Kwa miaka mingi, baadhi ya wafanyabiashara nchini Nigeria wamekuwa wakijisifu sana kuhusu umahiri wao katika biashara, wakijiona kama miongoni mwa wafanyabiashara hodari zaidi barani Afrika. Lakini baada ya “kisu kugonga mfupa” kutokana na ushindani mkali kutoka kwa wafanyabiashara Wachina...
Mtangazaji, muigizaji na mtayarishaji wa filamu nchini Tanzania, Idris Sultan, amepata mwaliko mkubwa wa kuwa mmoja wa washereheshaji wa msimu wa 20 wa tuzo mashuhuri za The Future Awards Africa (TFAA) zitakazofanyika mwezi Novemba jijini Lagos, Nigeria.
Idris Sultan atajumuika kwenye jukwaa...
Wanandoa wa Nigeria wafika mahakamani kwa ajili ya kudai talaka wakiwa wamevalia mavazi sare. 😂
Inadaiwa kuwa jaji alihoji kama kweli walikuwa wameamua kuvunja ndoa yao baada ya kuwaona wamevalia mavazi yanayofanana.
Walifika mahakamani kwa ajili ya talaka, lakini walionekana kana kwamba...
Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) likishirikiana na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeagiza kusitishwa mara moja kwa mchakato wa uchaguzi mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu la Nigeria (NFF). Uchaguzi huo ulikuwa umepangwa kufanyika Septemba 27, 2026, mjini Lafia, Jimbo la...
Miaka zaidi ya hamsini imepita tangu kumalizika kwa Vita vya Biafra nchini Nigeria, lakini majeraha ya kipindi hicho bado yanaendelea kuishi katika kumbukumbu za manusura na familia zilizopoteza wapendwa wao.
Vita hivyo vilidumu kuanzia mwaka 1967 hadi 1970 baada ya eneo la mashariki mwa...
Mahakama Kuu ya Jimbo la Lagos nchini Nigeria imetoa amri ya muda inayomzuia muigizaji wa Nollywood, Liz Anjorin, kuchapisha au kusambaza picha na maudhui yoyote yanayomhusu mtoto wa Priscilla Ojo na msanii Juma Jux, aitwaye Rakim, kwenye mitandao ya kijamii .
Amri hiyo iliyotolewa kufuatia...
Seneta wa Jimbo la Oyo nchini Nigeria, Sharafadeen Abiodun Alli, amekosolewa baada ya video kusambaa ikimwonyesha akiwa amempakata mwanafunzi wa chuo kikuu na kumpapasa paja wakati wa mahojiano.
Tukio hilo lilitokea baada ya viongozi wa wanafunzi kutoka The Polytechnic, Ibadan, kumtembelea...
Kampuni ya Uber inayohusika na huduma za taksi mtandao,imetangaza kusimamisha shughuli zake nchini Nigeria na Uganda kuanzia tarehe 2 Septemba 2026.
Wataalam wa biashara na uchumi tunaomba mtusaidie, je nini kinaweza kuwa chanzo cha Uber kusitisha huduma zake katika nchi hizo ikiwa ni baada ya...
HARARE — Zimbabwean musician Winky D and Nigerian star Patoranking have used their collaboration, Leadership, to deliver a pointed commentary on governance, corruption, inequality and the continued poverty of ordinary people in resource rich African countries.
The song, featured on Winky D’s...
Chief Patrick Andrew Anebi popularly known as Shuga Anebi Appointed Director of Entertainment, North Central Region, Under Relax Tinubu Is Fixing Nigeria Initiative.
Renowned Nigerian music artiste and philanthropist, Shuga Anebi, has been appointed as the Director of Entertainment, North...
Rapa wa Marekani Cardi B amefanya mahojiano na jaria la Vogue Arabia na kuulizwa kuhusu mchezaji golikipa wa Nigeria, Maduka Okoye, ambaye alionekana naye kwenye onesho la mavazi la Jean Paul Gaultier (Paris Fashion Week) mwezi Julai, kisha tena katika hoteli ya The St. Regis Venice takriban...
Kampuni moja ya vipimo vya DNA nchini Nigeria inaitwa Smart DNA imetoa takwimu zao za 2025/2026.
Wanasema kati ya watu wote waliokwenda kufanya kipimo cha kujua kama mtoto ni wao kweli, asilimia 23.6 walikuta hapana, sio watoto wao.
Mwaka jana ilikuwa 24%, na 2023 ilikuwa 26.1%. Kwa hiyo...
Idadi ya watu waliofariki dunia kufuatia ajali ya boti kaskazini magharibi mwa Nigeria imeongezeka na kufikia 52. Ajali hiyo ilitokea karibu na mji wa Gorau katika Jimbo la Sokoto baada ya boti hiyo kupinduka ikiwa njiani kuelekea kwenye mashamba ya mpunga.
Wengi wa waathiriwa wanaripotiwa kuwa...
Taifa kubwa, lina hela na linapenda mpira. Inakuwaje ligi ya Tz ni bora kuliko ya Nigeria? Naona wanigeria wengi kama wakenya. Kushabikia zaidi timu za Epl lakini ndani hawana club za maana. Shida yao nini?
Wakazi wa Lagos wana malalamiko makubwa baada ya jiji hilo kukabiiliwa na wimbi kubwa la kundi ombaomba wa pesa wanaolazimisha watu kuwapa pesa.
Raia mmoja wa Lagos ameandika ushuhuda wake akisema;
Lagos siku hizi kunakera sana, maana niambieni kwa nini...
Nilikuwa kwenye safari yangu ya...
Lengo tuliloweka kama Nchi kupitia Dira ya 2026-2050 ni kubwa sana na linahitaji juhudi za ziada sana.
Ni sawa na mtu mwenye Milioni 1 kuweka lengo la Kufikia Milioni Bilioni 1.
Kama tutafika inamaana tutakuwa miongoni mwa mataifa.
Nigeria wao wameshindwa Kufikia Lengo lao mwaka 2030 na Sasa...
Hebu Fikiria mtu ambaye si Ofisa wa serikali, lakini anatembea kwa kujiamini ndani ya majengo ya Ikulu, anapokea wageni wa kimataifa, anajadiliana na wawekezaji, na kila anayekutana naye anaamini anawakilisha mamlaka ya Rais. Hicho ndicho kilichotokea nchini Nigeria, ambapo Adeniyi Adeyemi...
Boko Haram ilianzishwa mwaka 2002 mjini Maiduguri, Nigeria, na mhubiri wa kiislam mwenye msimamo mkali Sheikh Mohammed Yusuf. Hapo awali, lilifanya kazi kama vuguvugu la kidini baadaye likawa kundi la kihalifu linalochinja watu, lililoishinda serikali.
Ndilo kundi linalosakwa na Marekani leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.