Ahadi is an Iranian surname. Notable people with the surname include:
Ahadi (The Lion King), a character from the fictive world of The Lion King
Mina Ahadi, Iranian Communist political activist
Reza Ahadi, Iranian footballer
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Simiyu, Ndugu Shemsa Seif Mohammed amewataka Wabunge na Madiwani kuhakikisha wanatekeleza ahadi zao binafsi walizotoa kwa wananchi wakati wanaomba kura kwenye uchaguzi wa mwaka 2020.
Mwenyekiti Ndugu Shemsa Seif Mohammed amewataka ametoa wito...
MBUNGE KASALALI: JIMBO LA SUMVE HATUNA HATA MILIMITA MOJA YA LAMI, TUMECHOKA!
Mbunge wa Jimbo la Sumve, Mhe. Emmanuel Kasalali amechangia, April 4.2024 Bungeni jijini Dodoma ambapo katika mchango wake amemuomba Waziri Mkuu wa Jamhuri nya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa kuongea na Waziri wa...
Salaam,Shalom!!
Leo twende Kona za kinabii, watakaodaka wadake, wasioelewa ndo basi tena, wale wasioamini kuwa Mungu husema na manabii, ndo kabisa, hawatodaka chochote.
MWANZO WA NDOTO.
Roho wa akanichukua Hadi Mahali palipokuwa na maji mengi, ufukweni mwa ziwa na tazama, mnyama mkubwa...
Israeli settlers build symbolic house on Gaza border
Wakazi wa asili wa Kiyahudi wanataka kujenga nyumba zao mpakani mwa Mji wa Gaza,
Wakazi wa Israel wameiomba Serikali yao kulisimamia bila kikomo eneo la Mkoa wa Gaza na Serilaki ijenge makazi ya kudumu kwa ajili ya Waislam mara tu vita...
Si vyema kuweka ahadi ambazo unajua huwezi kuzitimiza au zisizotekelezeka.
Baadhi ya watu hupatwa na msongo wa mawazo na kupoteza uaminifu kwa kushindwa kutimiza ahadi.
Uwekapo ahadi hugeuka deni, na usiku wa deni haukawii kukucha.
Je, ni ahadi zipi ziliwekwa na kiongozi wako ambazo...
Zimebaki siku 18 mgawo wa umeme iwe historia! Ndivyo unaweza kusema baada ya kauli ya matumaini ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko kuwa ifikapo katikati ya Machi 2024 hakutakuwa na kadhia hiyo tena nchini.
Dk Biteko amebainisha hayo leo Februari 25, 2024 alipotembelea...
Sasa ni dhahiri kuwa suala la umeme linakitweza na kukiaibisha chama tawala-CCM. Pia, umeme unaitweza na kuiaibisha Serikali iliyopo madarakani. Umeme unakatikakatika. Umeme haueleweki. Umeme hauaminiki. Umeme hauzoeleki. Umeme unagawiwa. Unaleta athari kubwa kwa wananchi na kwa nchi.
Mimi...
Uwakilishi wa kisiasa ni nguzo muhimu katika demokrasia, ambapo vyama vya siasa vinapaswa kuwakilisha mahitaji na maslahi ya idadi kubwa ya wananchi. Hata hivyo, katika mazingira mengi, kuna utata kuhusu ikiwa vyama hivi kweli vinawakilisha kikamilifu maslahi ya umma au vinazingatia tu maslahi...
Desemba 24, 2010: Aliyekuwa Meneja Uhusiano wa TANESCO, Badra Masoud, alitangaza kuanza kwa Mgawo Mkali wa Siku 30 nchi nzima na kuahidi utaisha Januari 2011
Machi 2011: Aliyekuwa Meneja Uhusiano wa TANESCO, Badra Masoud, alisema Mgawo utaisha mwaka 2013
Juni 2014: Aliyekuwa Katibu Mkuu wa...
Hakuna usaliti wowote uliofanyika, sababu kumuahidi mtu nafasi ya urais baada ya kiongozi aliyepo madarakani ni suala linaloibua maswali kuhusu uadilifu na utawala bora. KIla mtu ana haki ya kuwa Rais kama alivyoteuliwa mwingine badala ya yule aliyepewa ahadi. Hivyo sio jambo la kuwekeana bifu...
Uchaguzi ni wakati muhimu sana katika mchakato wa kidemokrasia ambapo wananchi wanapata fursa ya kuchagua viongozi na chama ambacho wanaamini kitatekeleza sera na ahadi zilizowekwa. Katika kufanya uamuzi huu muhimu, ni muhimu kuchunguza historia ya mgombea anavyotekeleza ahadi zao za kampeni...
Huyu mbunge wa kawe ambaye alikuwa napesa mingi sana kiko wapi? Kapata ubunge Kawe ni Hovyo barabara chafu, mbovu, miundombinu ni mibaya, wazo yote ila Mungu anawaona wanasiasa aisee
Serikali yetu pendwa chini ya Rais wetu Mama Samia Suluhu imekuwa ikitudanganya baadhi ya mambo, na mbaya zaidi serikali yetu imekuwa haituletei mrejesho wa mambo waliyotuahidi.
Haya ni baadhi ya mambo ambayo Serikali yetu ilituahidi pasi na kuyatekeleza,
Ombi langu kwa Serikali yetu -...
Leo ni tarehe Mosi Februari 2024. Tuliambiwa na Mhe. Waziri Mbarawa kuwa safari za treni mwendokasi kati ya Dar na Moro kuanza January 24.....
Je, tuendelee kuwaamini CCM kuwa wana nia njema na nchi hii?
Wapo bize kupitisha miswada inayokandamiza haki za raia. Na hawajali changamoto...
Wadau hamjamboni nyote?
Nitoe pole kwa wote mlioathirika na mafuriko yanayotokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini
Naomba kujua Kwa lengo la kupata Elim.u.
Je kwa mujibu wa Quaran tukufu Wana Israel wakitokea utumwani Misri walifanikiwa kufika nchi ya ahadi yaani Kanani?
Na kama...
Kuhusu kuanza kwa treni ya kisasa ya SGR, Makonda amesema kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM kilichoketi Unguja hivi karibuni kiliwaita Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa kutoa maelezo kuhusu maendeleo ya ujenzi wa reli...
Habari wana JF wenzangu Mimi MENERIKI II naweka ahadi kwa timu yangu ya Taifa Stars, ikipata point 3 katika Kundi lake kila Mchezaji nitamnunulia SODA.
Naomba ikiwezekana wafikishiwe hii taarifa ili wajitume walau waambulie hata SODA ya MENERIKI II.
Video inajieleza.
Watu wa Kawe wanauliza greda uliloahidi kununua mara tu baada ya kichaguliwa lipo wapi?
Je baba Mchungaji, utakuja na uongo upi tena mwaka 2025?
Tuanze kukumbushana ahafi za uongo zilizotolewa kuhadaa wapigakura 2019/2020
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.