kuuza

  1. NassoroTechtz

    JamiiForums Tanzania Nassoro Techtz: Mabingwa wa Vifaa vya Kompyuta, Accessories & Vifaa vya Ufundi Madishi – Mapinga Mtambani, Bagamoyo!

    Habari za majukumu wana-JamiiForums!Je, wewe ni mkazi wa Mapinga, Bunju, Boko, Tegeta, au maeneo ya Bagamoyo na unatafuta vifaa bora vya kompyuta na accessories? Au wewe ni fundi wa madishi ya TV (Azam, DStv, Zuku, StarTimes) unayetaka vifaa imara vya kazi bila kusafiri umbali mrefu hadi mjini...
  2. neggirl

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya Kazi - Binti wa Kuuza Hardware

  3. A

    JamiiForums Tanzania Natarajia kuuza viatu kwa jumla naombeni maoni yenu

    Natarajia kuuza viatu kwa jumla naombeni maoni yenu.
  4. Eswa

    JamiiForums Tanzania Biashara za kuuza maji

    Wakuu kwema.? Anayefahamu biashara hii ya kuuza maji naomba anaifahamishe machache haya: Gharama za ununuzi wa machine (mfumo mzima) wa kuchuja maji. Gharama za ufungaji wa machine hizo -Upatikanaji wa machine hizo.- Gharama za uendeshaji. Faida ikoje. Natanguliza shukrani zangu za dhati.
  5. Yoyo Zhou

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya Samsung yaacha kuuza vifaa vyake vyote vya kielektroniki vya nyumbani nchini China

    Kampuni ya Samsung hivi karibuni ilitangaza kuwa itaacha kuuza vifaa vyake vyote vinavyotumika nyumbani nchini China. Chapa ya Samsung ilikuwa alama ya vifaa vya kielektroniki vya nyumbani vya hali ya juu na vyenye ubora wa juu zaidi, lakini sasa imeshindwa kabisa na kampuni za ndani za China...
  6. A

    JamiiForums Tanzania KERO Huduma ya kuuza na kununua madeni ya mikopo ya Watumishi katika mfumo wa ESS, iruhusiwe

    Jambo la kushangaza ni kuwa mfumo wa ESS unashindwa kutuhudumia upande wakuuza mikopo, uhuru wa kuchagua benki ni wa wazi na riba zinaonekana, tunaiomba Serikali imalizie ama i-activate mfumo wa kuuza na kununua madeni (loan takeover). Tunajua ni njama za benki zinaogopa kupoteza wateja, hivyo...
  7. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Nini hatima ya Tanganyika baada ya kuuza na kugawa kila kitu

    Tukichambua hoja hii ya kwamba "kuuza kila kitu ni kuuza urithi," tunaingia kwenye kiini cha mjadala wa uzalendo, uchumi, na mustakabali wa Tanganyika .Hapa ngoja nichambue kwa kina kwanini dhana hii ni nzito na ni muhimu kwa mustakabali, uhai na ustawi wa Tanganyika 1. Kupotea kwa Maamuzi...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kuligana na uzito wa cv zao humu JF, haya ni makadirio ya bei za kuomba upigiwe debe biashara au jambo lako na hawa wanachama maarufu

    Ni makadirio tu kulingana na cv zao nzito humu JF Kuwaomba watu hawa wakutangazie biashara yako kwa kuiingiza kijanja kwenye post zao au kuwaomba wakusaidie field waliyobobea, waweza gharamika kiasi hiki Chief-Mkwawa - 200,000 electonics na tech Mshana Jr - 300,000 dawa za mitishamba na...
  9. B

    JamiiForums Tanzania KERO Abiria Kigoma Mjini tumechoshwa na tabia ya baadhi ya magari kufaulisha abiria wao kwenye Kampuni ya Takbiir bila ridhaa yao

    Kumekuwa na tabia ambayo imekuwa endelevu kwa baadhi ya mabasi mengi yanayotokea Kigoma kuelekea MWANZA, mfano GTA Express, kuuza wateja wake baada ya kukata tiketi usiku wake unapigiwa simu eti "samahani gari halitoweza kwenda limekodishwa, hivyo mtapanda basi la Kampuni ya TAKBIIR". Wanafanya...
  10. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Metric Tonne (MT) Ndio Kipimo Kikuu Kinachotumika Wakati Kuuza na Kununua Mafuta katika Soko la Kimataifa

    Katika mijadala mingi kuhusu biashara ya mafuta duniani, mara nyingi watu huamini kuwa mafuta huuzwa kwa kutumia barrel (pipa) kama kipimo kikuu. Ingawa kipimo hicho hutumika kama benchmark ya bei, ukweli wa kitaalamu na kibiashara ni kwamba: Katika bulk procurement na mikataba mikubwa ya...
  11. jT0078

    JamiiForums Tanzania Tunatengeneza computer na kuuza spare

    LETE DESKTOP/LAPTOP ILIYO HARIBIKA TUKUTENGENEE PIA TUNAUZA SPARE ZA COMPUTER AINA ZOTE KAMA..... keyboard za Laptop/Macbook Battery za Laptop/Macbook Vioo vya Laptop/Macbook Hdd/Sdd Ram memory Housing za Laptop Wireless Keyboard & Mouse Usb wi-fi dong Tupo ilala - Dsm call; 0767953873 Whatspp...
  12. A

    JamiiForums Tanzania KERO Mawakala Selcom Tanzania hatupati Kamisheni ya kuuza Huduma ya Umeme

    Tunawaandikia kama mawakala wenu tukitoa malalamiko yetu rasmi kuhusu huduma za umeme (LUKU) na controller number, ambapo kwa muda mrefu hakuna kamisheni inayolipwa kabisa huku makato ya miamala yakiendelea kufanyika. Sisi kama mawakala: Tunaweka mtaji wetu binafsi Tunahudumia wateja na kubeba...
  13. Bushmamy

    JamiiForums Tanzania Rombo: vibinti vidogo kurubuniwa kutoka Kwa wazazi na kwenda kuuza Bar mpakani

    Vibinti vidogo umri chini ya miaka 17, wamekuwa wakirubuniwa na baadhi ya wafanyabiashara waliopo mpakani mwa Kenya na Tanzania na kwenda kuuza Bar. Maeneo haswa yanayotajwa kushamiri kuwa na wimbi la mabinti wadogo wanaouza Bar ni Tarakea na Mashati Watoto hao wamesena kuwa wafanyabiashara...
  14. E

    JamiiForums Tanzania Mradi wa Maji

    Wakuu kwema unaweza kufanya taratibu gani kuanzisha mradi wa kuuza maji katka jamii mfano ukauza island ila ukafunga kabisa na mifumo yote na mita utaratibu ukoje mpk ukamilishe kila ktu na faida yake inakuwa vipi msaada wakuu
  15. Z

    JamiiForums Tanzania Viongozi fisi! Walitangaza kuuza Meno ya Tembo na pembe za Faru. Sasa wametangaza kuuza dhahabu

    Pale Mpingo House walitunza meno ya tembo na pembe za faru. Ghafla wakatamani pesa, wakatangaza kuuza. Bahati nzuri kwa TZ, Kenya walivuruga mpango huo, wakashindwa. Sasa wamekuja na jipya. Wanatangaza kuuza dhahabu. Yaonekana wanaojiita ni viongozi ni kama fisi vile, hata akichomwa mkuki...
  16. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Kuwe na mjadala mpana kuhusiana na agenda zisizo rasmi za kuuza rasilimali za nchi kwasababu misaada imesitishwa lazima tujue nani chanzo

    Kuwe na mjadala mpana kuhusiana na agenda zisizo rasmi za kuuza rasilimali za nchi kwasababu misaada imesitishwa lazima tujue nani chanzo. Kama misaada hakuna nani amesababisha isitishwe ni watanzania au samia ? yani mtu mmoja sharti aondoke misaada ifunguliwe na sio kuuza rasilimali zetu...
  17. Abraham Lincolnn

    JamiiForums Tanzania Bunge lisilo na meno na hatari ya kuuza akiba ya dhahabu

    1/ Baada ya uchaguzi wa Oktoba 29 uliogubikwa na damu, hofu na tuhuma nzito za kukosa haki, Tanzania imejikuta ikipoteza imani ya mataifa na mashirika mengi ya kimataifa. Matokeo yake? Misaada na ushirikiano wa kifedha kusimamishwa au kupunguzwa. 2/ Badala ya serikali kuwa wazi kwa wananchi...
  18. R

    JamiiForums Tanzania Tukimaliza kuuza vitu, tunauzwa kama watumwa arabuni kama mababu zetu walivyouzwa

    Ndicho kilichobaki kwa watanganyika. Kaa mkao wa minyororo shingoni
  19. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Moderators wa JF rudisheni uzi wangu niloshauri Samia Suluhu Azuiwe kuuza Sehemu ya Akiba ya Dhahabu ya Taifa

    Ni Lazima Watanzania Wajue, nini maana ya HAZINA ya Dhahabu, umuhimu wake hasa katika Usalama wa NCHI kwa kuzingatia SIASA na Mabadiliko ya Kisera ya Dunia. HAZINA ya Dhahabu, haitakiwi kamwe Kuuzwa kwa ajili ya Miundo mbinu, Huu ni ZAIDI YA USENGEE !! Kwa akili ya Samia na Genge lake maana...
  20. B

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kuuza account yangu ya Instagram?

    Habari, Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu, nahitaji kuuza account yangu ya instagram yenye followers 16.4k kwa kiask cha 200,000/= Tsh. Nahitaji msaada wa kujua namna gani nitaweza kuiuza kwa haraka. Kwa mwenye uhitaji usisite kunipigia 0714657573. Ahsante
Back
Top Bottom