jumla

  1. A

    JamiiForums Tanzania Natarajia kuuza viatu kwa jumla naombeni maoni yenu

    Natarajia kuuza viatu kwa jumla naombeni maoni yenu.
  2. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ukijumulisha Jumla ya Vifo kwa mikoa ilochunguzwa ni 182+90+80+53=405 Vifo..... Tume inatuambia Jumla Vifo ni 518, mara 818

    Wajinga wakitamalaki ,Dunia inakua sehemu ya kichekesho. Hata hivo, HATUWEZI KAMWE KUSAMEHEE MAUAJI HAYA. Yeye amuombe Mungu msamaha, sisi hatusamehe, NA HILI LITAKUA JUU YAO NA VIZAZI VYAO HATA MILELE.
  3. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Media, Tukiendelea Kunyamazia Unyanyasaji wa Uhuru wa Habari Unaofanywa na JAB na TCRA, Mwisho wa Siku, Ama Tutanyamazishwa Jumla Ama Tuwe Machawa?.

    Wanabodi, Hii ni Makala yangu gazeti la mwananchi la leo https://www.mwananchi.co.tz/mw/kolamu/kwa-nini-tunahitaji-kuulinda-uhuru-wa-vyombo-vya-habari-5417540 Hili ni Swali: Media tukiendelea kuunyamazia unyanyasaji huu wa uhuru wa habari na uhuru wa maoni kwa mujibu wa Ibara ya 18 ya Katiba...
  4. VN Warehouse Limited

    JamiiForums Tanzania Unatafuta Vifaa vya Ujenzi? Karibu VN Warehouse Limited – Tunauza Jumla na Rejareja

    Unatafuta vifaa bora vya ujenzi kwa bei nzuri? Karibu VN Warehouse Limited, kampuni iliyosajiliwa kisheria inayojihusisha na uuzaji wa vifaa mbalimbali vya ujenzi kwa jumla na rejareja. Tunatoa bidhaa zenye ubora wa uhakika kwa mafundi, wakandarasi, na wateja wa kawaida wanaojenga au kufanya...
  5. Armani William

    JamiiForums Tanzania Mafuta safi ya alizeti jumla jumla

    Habari wadau, ninauza mafuta ya alizeti kutoka Singida. Kiasi Kilichopo: 5,000LTRS Package: 20Ltrs & 5Ltrs Bei: Tsh 6,000 per Ltr Napatikana: Dar Es Salaam MOQ: DUMU 50 (20LTRS) Mawasiliano: 0652070444 Karibu Sana
  6. Kitambi chakufutia tachi

    JamiiForums Tanzania Msaada wapi naweza kupata mikeka ya jumla?

    Salaam wakuu. Katika harakati za kujikwamua kimaisha na eneo nililopo naona hii biashara itanilipa. Sasa nilikuwa nahitaji inakopatikana ile mikeka iliyoandikwa ZARI au ile ya milia. Ikiwa ni kiwandani au kwa Mchina itakuwa zaidi mana nahitaji kuuza jumla nipo Mtwara. Natanguliza shukran.
  7. FORBIDDEN HISTORY

    JamiiForums Tanzania Ushauri kuanzisha biashara ya gum boots (rain boots) jumla na reja reja

    Eneo ni mkoani, mara Changamoto, wosia, ushauri, mazuri, mabaya, maeneo ya kuchukulia jumla dar n. K Karibuni ndugu zangu
  8. K

    JamiiForums Tanzania Nataka kufungua biashara ya khanga na vitenge naweza wapi kupata kwa Bei ya jumla?

    Habari zenu wadau wa jukwa la biashara. Nakua hapa sintakosasaada wa ombi langu. Ombi langu kwenu ni kutaka kufahamishwa ni sehemu Gani kwa Dar es salaam ambapo naweza kupata khanga na vitenge kwa Bei ya jumla,NAMI kwenda kuuza kwa Bei ya lejaleja. Naomba msaada wenu tafadhari Natanguliza...
  9. The Eric

    JamiiForums Tanzania Nauza Spare za Bajaji na Pikipiki Jumla kwa bei ya Jumla, natoa ushauri pia

    Hello Jf Spare zote za Bajaji na pikipiki kama ↔️ tyre Rim Bush Bearings Plugs Engine mount Block Piston and Rings Valve Cylinder head Brake shoe Master brake Rubber Brake Shock ups cable gear clutch plates na center yake Maker etc Pia tunauza lubricants na oil za jumla.
  10. Busu la Kenge

    JamiiForums Tanzania Zamani bongo ukinunua vyakula kwa jumla watu wanakushangaa

    Zamani bongo ukinunua vyakula kwa jumla kwa nia ya kubana matumizi watu wanashangaa na kukuuliza unanunua vyote hivyo kwani Tanzania kuna vita? Baada ya tarehe 29October mambo yamebadilika sana na hasa sasa hivi tunapoelekea 9D watu watanunua na kuhifadhi vyakula kwa wingi na jumla hasa Unga...
  11. thriftwaika

    JamiiForums Tanzania Nguo za Mtumba kwa jumla na Rejareja

    Jina la biashara ni thriftwaika au kwa namna rahisi Waika Mitumba Ni wauzaji wa nguo za mtumba za kike na watoto kwa bei ya jumla na Rejareja Tunaouzoefu wa miaka zaidi ya minne (4) kwenye biashara hii..Na kwa uzoefu wetu tunatambua kuwa hitaji kubwa zaidi kutoka kwa watu kwenye bidhaa hizi za...
  12. R

    JamiiForums Tanzania Wakili Katuga tangu alivyodanganya mahakama eti video ilichezwa Kisutu akapotea jumla

    Tusiwe wepesi wa kusahau, maana yale yalikuwa ni mauaji makubwa
  13. Greg50

    JamiiForums Tanzania Pata mayai jumla - Arusha

    Nauza mayai organic Arusha. Bei jumla 8,500-11,000/= kwa tray. Ukihitaji piga simu 0763784190
  14. Damaso

    JamiiForums Tanzania Wembe 200 Kinyozi 300 Jumla 500

    Ukimaliza kunyoa uosha kichwa na maji yenye chumvi
  15. ADESIGN

    JamiiForums Tanzania TUNAUZA NYANYA JUMLA KINYEREZI/SEGEREA/TABATA

    TUNAUZA NYANYA FRESH KWA JUMLA NA REJA REJA! SHAMBA LIPO KINYEREZI, NA TUNAPATIKANA HAPA HAPA KINYEREZI! NYANYA MBEGU YA KENYA! IMARA SANA NA HAZIHARIBIKI KWA HARAKA, NIPIGIE 0684101707, NYANYA KWENYE MBOGA TAMU SANA! TUNETUMIA MBOLEA ASILIA, KARIBU SANA!
  16. A

    JamiiForums Tanzania Natafuta Wafugaji/Mashamba ya Kuku wa Nyama kwa Ajili ya Kununua kwa Bei ya Jumla (Dar es Salaam)

    Habari wakuu, Natafuta wafugaji au mashamba ya kuku wa nyama wanaouza kwa bei ya jumla. Mpango wangu ni kuanza kununua kuku takribani 150 kwa wiki hii ya kwanza, na kuendelea kuongeza kiwango hadi 200 au zaidi kwa kila wiki, kulingana na uhitaji wa soko langu. 📌 Vigezo ninavyohitaji: Kuku wa...
  17. Heritage123

    JamiiForums Tanzania Siri za Kariakoo: Jinsi ya kupata bidhaa kwa bei ya jumla bila kupoteza muda

    Wafanyabiashara wengi wanajua Kariakoo kama sehemu yenye msongamano na kelele, lakini wachache sana wanajua nguvu iliyo ndani ya machimbo ya bidhaa yaliyopo pale. Kariakoo ndiyo moyo wa biashara Tanzania — bidhaa zikishafika Kariakoo, unaweza kupata kila kitu kutoka bei ya jumla, hadi bidhaa...
  18. Se Busca

    JamiiForums Tanzania Nunua accessories kwa bei ya jumla na reja reja

    Karibu upate vifaa vya umeme vya kisasa na vyenye ubora wa hali ya juu kwa ajili ya biashara yako! Tunauza jumla na reja reja flash, cover, chaji na USB kwa bei nafuu kabisa, zenye kuhakikisha unanufaika kwa faida kubwa. Tunajua wateja wako wanapenda bidhaa zinazodumu, zenye ubora na...
  19. N

    JamiiForums Tanzania Fredrick Sumaye mbona yeye haonekani na hasikiki au kapigwa ban ya Jumla?

    Fredrick Sumaye alikuwa waziri mkuu kwa miaka 10 lakini sioni kama ccm au nje ya ccm anaongelewa kabisa. Alikosea wapi huyu mtanganyika mwenzetu? Mkapa anapewa sifa lukuki lakini yeye aliyekuwa waziri mkuu kwa vipindi viwili vya uongozi wa Mkapa hana hata moja zuri alilolifanyia taifa hili...
  20. N

    JamiiForums Tanzania Pharmacy inayouza Medical Dietary Supplements kwa bei ya Jumla.

    Habari, Nijulishe jina, contacts na location ya Pharmacy inayouza dietary supplements. Note: Nahitaji Medical dietary supplements sio gym supplements. Hizi hapa, 1. Vitamin D 200 IU 2. Calcium biophosphate/Human milk fortifier 3. Premature formula Pamoja, Noke
Back
Top Bottom