Huduma Kenya Programme is a Kenya Vision 2030 flagship project captured under the Mid Term plan for 2013 – 2017. The Programme was launched by H.E Uhuru Kenyatta, President of the Republic of Kenya, on 7 November 2013 which coincided with the launch of the first Huduma Centre in Kenya at GPO Nairobi.
The aim of the Huduma Kenya program is to enhance the access and delivery of Government Services to all Kenyans. Ministry of Public Service, Youth and Gender Affairs is coordinating implementation of the Programme.c.Through the Huduma Kenya initiative, Kenya has been able to launch a Huduma Namba, which is equivalent to the US's Social Security Number (SSN).
Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha imetangaza kurejeshwa kwa huduma ya usafiri wa Mwendokasi kuanzia leo 06 Julai 2026!
Pichani ni mabasi katika Stendi ya Kibaha!
Pia soma ~ Mwendokasi imesitisha huduma Kibaha na hakuna maelezo
Zaidi ya wananchi 470 wamepatiwa Hatimiliki katika banda la Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi wakati wa Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba), yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Akizungumza leo, Julai 5, 2026...
Fedha za basket fund ambazo huwa zinaingizwa kwenye vituo vya kutolea huduma za Afya kila baada ya robo mwaka haijaingia tangu mwezi disemba 2025.
Hii imepelekea changamoto ya uendeshaji wa vituo hivi vya Afya kwani fedha hizi hutumika kununua dawa na vifaa tiba, kulipa bili za umeme na maji...
Sijajua kuna nini.
Hii huduma imeanzishwa juzi tu badala ya kutumia namba ya simu sasa unaweza kutumia username.
Kumbukeni India kuna wataalamu wengi swala la IT na scammer wengi wapo India.
Au wameanza kutumia username zitakazo tapeli.
Nipo katika hospital ya Wilaya ya Mkalama muda huu.
Naona kila mhudumu wa afya anapita kavailia uniform nadhifu lakini cha kushangaza chini wanavaa yeboyebo tena za shilingi elfu tano tano.
Je, ndio utaratibu rasmi wa Wizara ya Afya?
Anonymous
Thread
afya
huduma
kazini
rasmi
sana
utaratibu
watumishi
wizara
wizara ya afya
Nyamongo iko Tarime DC ni miongoni mwa maeneo ambayo Waziri Mkuu alitembelea lakini hatujaona mwenendo wa tatizo la maji maana wakija kusoma matumizi ya maji kwenye Mita wanaleta bili unawauliza vipi tutapata maji wanakujibu hama line?
Hakuna maji, yani hakuna maji ya uhakika toka mwaka 2025.
Anonymous
Thread
hudumahuduma ya maji
inapatikana
maji
nyamongo
viongozi
Ninaomba kufikisha malalamiko yangu kuhusu utaratibu wa utoaji wa huduma katika Hospitali Teule ya Wilaya Muleba yaani Rubya Hospital ambao kwa maoni yangu unaweza kuhatarisha maisha ya wagonjwa wanaohitaji huduma za dharura.
Nilifika hospitalini hapo nikiwa na mgonjwa aliyekuwa anahitaji...
Anonymous
Thread
hospitali
huduma
kabla
katika
kumpoteza
kutaka
mgonjwa
muleba
sababu
wilaya
Kuna muda najiuliza kuwa hii App mliiweka ya kazi ipi hasa
Tangu asubuhi Mtu wa miamala anashindwa kuhudumia wateja kwa kutumia Simbanking kisa huduma haipatikani
Mara hii nimejaribu kununua
umeme kwa mara 4 zote sipati majibu yeyote
Mlituwekea huduma hii ya kazi gani?
Mnakera sana ninyi.
Kutoka mezani kwa Adama H kigamboni Dar esaalam
Rafiki
Ndani ya second 60 zijazo Nitaenda kukuonesha sababu kubwa Tano za kwanini wateja hawanunui Bidhaa au
Huduma Yako
Na Hizi sababu haijalishi una uza nguo,Viatu,magari,viwanja nyumba nk
Zinaingia kote kote
Twende pamoja
Sababu ya...
Kutokana na kukua kwa Teknolojia ni vyema pia hata baraza letu la mitihani(NECTA) likaanzisha huduma za online hasa kwa wahitimu wa miaka ya nyuma kuweza kujipatia vyeti vyao. Hapa kuna makundi mengine ya waliopoteza vyeti, kuharibikiwa n.k.
Baraza lianzishe utaratibu huo kwa kuwa utaratibu...
Kuna ugumu wa kupata Visa ya kwenda China kutoka hapa nchini, hali inayosababisha usumbufu mkubwa kwa waombaji wengi.
Tunalazimika kuamka saa tisa usiku ili kuwahi foleni, lakini hata hivyo hatufanikiwi kupata huduma tunazotarajia, baadhi ya waombaji tumeomba kwa siku ya tatu mfululizo bila...
Mathayo 26:26–29
Walipokuwa wanakula, Yesu alitwaa mkate, akabariki, akaumega, akawapa wanafunzi wake, akasema, “Twaeni mle; huu ndio mwili wangu.”
Akakitwaa kikombe, akashukuru, akawapa, akisema, “Nyweni nyote katika hiki;
kwa maana hii ndiyo damu yangu ya agano, imwagikayo kwa ajili ya wengi...
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesaini mkataba wa msaada wa Euro milioni 20 sawa na shilingi za Tanzania bilioni 60.7 kutoka Serikali ya Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani kupitia Benki ya Maendeleo ya Ujerumani (KfW) kwa ajili ya kufadhili mradi wa Uboreshaji wa Huduma za...
Viongozi wa serikali, washirika wa maendeleo, wataalamu wa afya, asasi za kiraia pamoja na wawakilishi wa jamii wamekutana jijini Dodoma, Juni 18, 2026 katika kongamano la kujifunza lenye kaulimbiu “Kudumisha Mafanikio Yaliyopatikana katika Afya ya Uzazi na Jinsia”, kuadhimisha kufungwa rasmi...
Hoja kuhusu Kuboresha Huduma za Utumaji Fedha Kupitia Mawakala
Ningependa kutoa maoni yangu kuhusu huduma za utumaji fedha zinazotolewa kupitia mawakala wa mitandao ya simu. Kuna haja ya kuweka utaratibu bora zaidi utakaomwezesha mteja kutuma fedha moja kwa moja kwenda sehemu yoyote nchini...
Habai JFM,
Ile huduma adhimu ya uchimbaji wa visima bado inaendelea, faida ya kufanya kazi nasi ni hizi;
✔️ Survey bure
✔️ Kufunga pump ya maji bure
✔️ Finishing plumbing fitting bure
✔️ Kufwatilia vibali bure
Kazi ya uwakika popote ulipo bara na visiwani at easy, fast & affordable.
Call,sms...
Nianze kwa kuwapongeza customer care wa kwenye private sectors Wapo very active kupokea simu na kutoa maelekezo ya huduma wanazo zitoa kwa wateja hapa nawajumuisha na customer care wa TANESCO.
Nije kwa hawa customer care wetu hawa, wanaoweka namba za simu ili watu wapge wapate maelekezo ya...
BIASHARA AU HUDUMA YAKO INAHITAJI LOGO NZURI KAMA HIZI.Logo nitakayokudizainia unaweza kuitumia kwenye
👉 Kuprint T-shirt
👉 Kwenye Documents
👉 Kuprint kwenye Kofia
👉🏾 Kuprint kwenye Mabango
👉🏾 Kuitumia Mtandaoni
👉🏾 Kuiweka Profile n.k Kitu cha kufanya ni wewe kuwasiliana na mimi tu kupitia namba...
🔐 Je, unataka kuona kinachoendelea hata ukiwa mbali?
🔐 Epuka wizi na uharibifu wa mali zako.
🔐 Fuatilia biashara yako LIVE kupitia simu yako.
Smart Eye Security Services tunakufungia:
✅ CCTV Camera Installation
✅ Electric Fence
✅ Gate Motor
✅ Alarm System
✅ Biometric Attendance
✅ Access Control...
Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Wananchi na Watumishi tunapata changamoto sana hasa tunapohitaji huduma ya Mkurugenzi (DED), zinaweza pita siku 5 hupati huduma unaambiwa hayupo na hajakaimisha mtu.
Kinachokera zaidi ni kuwa Halmashauri ni mbali kiasi kwamba hizo siku zote unaweza tumia zaidi...
Anonymous
Thread
ded
halmashauri
huduma
kupata
majukumu
ofisini
shinyanga
wilaya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.