Huduma Kenya Programme is a Kenya Vision 2030 flagship project captured under the Mid Term plan for 2013 – 2017. The Programme was launched by H.E Uhuru Kenyatta, President of the Republic of Kenya, on 7 November 2013 which coincided with the launch of the first Huduma Centre in Kenya at GPO Nairobi.
The aim of the Huduma Kenya program is to enhance the access and delivery of Government Services to all Kenyans. Ministry of Public Service, Youth and Gender Affairs is coordinating implementation of the Programme.c.Through the Huduma Kenya initiative, Kenya has been able to launch a Huduma Namba, which is equivalent to the US's Social Security Number (SSN).
Mwongozo wa matumizi ya teknolojia ya akili unde (Artificial Intelligence – AI) katika huduma za utra sound kwa afya ya mama na mtoto unatarajiwa kuwa suluhisho muhimu katika kuboresha ubora na upatikanaji wa huduma za afya nchini Tanzania.
Mwongozo huo unaandaliwa kwa lengo la kuweka viwango...
Habai JFM,
Ile huduma adhimu ya uchimbaji wa visima bado inaendelea, faida ya kufanya kazi nasi ni hizi;
✔️ Survey bure
✔️ Kufunga pump ya maji bure
✔️ Finishing plumbing fitting bure
✔️ Kufwatilia vibali bure
Kazi ya uwakika popote ulipo bara na visiwani at easy, fast & affordable.
Call,sms...
Nianze kwa kuwapongeza customer care wa kwenye private sectors Wapo very active kupokea simu na kutoa maelekezo ya huduma wanazo zitoa kwa wateja hapa nawajumuisha na customer care wa TANESCO.
Nije kwa hawa customer care wetu hawa, wanaoweka namba za simu ili watu wapge wapate maelekezo ya...
BIASHARA AU HUDUMA YAKO INAHITAJI LOGO NZURI KAMA HIZI.Logo nitakayokudizainia unaweza kuitumia kwenye
👉 Kuprint T-shirt
👉 Kwenye Documents
👉 Kuprint kwenye Kofia
👉🏾 Kuprint kwenye Mabango
👉🏾 Kuitumia Mtandaoni
👉🏾 Kuiweka Profile n.k Kitu cha kufanya ni wewe kuwasiliana na mimi tu kupitia namba...
🔐 Je, unataka kuona kinachoendelea hata ukiwa mbali?
🔐 Epuka wizi na uharibifu wa mali zako.
🔐 Fuatilia biashara yako LIVE kupitia simu yako.
Smart Eye Security Services tunakufungia:
✅ CCTV Camera Installation
✅ Electric Fence
✅ Gate Motor
✅ Alarm System
✅ Biometric Attendance
✅ Access Control...
Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Wananchi na Watumishi tunapata changamoto sana hasa tunapohitaji huduma ya Mkurugenzi (DED), zinaweza pita siku 5 hupati huduma unaambiwa hayupo na hajakaimisha mtu.
Kinachokera zaidi ni kuwa Halmashauri ni mbali kiasi kwamba hizo siku zote unaweza tumia zaidi...
Anonymous
Thread
ded
halmashauri
huduma
kupata
majukumu
ofisini
shinyanga
wilaya
OMBI LA KUOMBA MSAADA WA HUDUMA YA MAJI
MTAANI TERRYNITE STREET, SEGEREA MAGEREZA.
Sisi wakazi wa Mtaa wa Terrynite Street, Segerea Magereza, tunapenda kuwasilisha malalamiko yetu kuhusu upatikanaji wa maji.
Tatizo:
Kwa muda mrefu tumekuwa tukipata maji mara moja tu kwa wiki, siku ya Alhamisi...
Anonymous
Thread
hudumahuduma ya maji
kuomba
magereza
maji
msaada
mtaa
mtaani
ombi
segerea
tuna
wakazi
Usiache kuumia kimya kimya nyumbani AU ofisini – usikubali kuishi na msongo wa wadudu wasumbufu! Chukua hatua Leo kwa huduma ya kitaalam ya fumigation inayoondoa mdede, mbu, kunguni, viroboto na panya kabisa kwa muda mfupi na salama 🔥
Je, nyumba yako, ofisi au biashara inasumbuliwa na mende...
Shabiby Bus boresheni huduma zenu haswa sehemu mnazopeleka abiria kula na kujisaidia.
Maafisa afya nao mfanye kazi zenu vizuri,abiria watakuja kupata madhara kiafya.Hembu kuweni na ofisi nzuri Arusha kama Machame Bus,
Sehemu mnazopeleka watu kula mbaya na chafu mtu unakosa alternative!Hii kero...
Nina malalamiko yangu kwa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) kuhusu huduma ya mawasiliano kwa wateja.
Kumekuwa na changamoto kubwa ya kutopokelewa simu tunapowasiliana na ofisi zao kwa ajili ya kupata msaada au ufafanuzi wa masuala mbalimbali. Mara nyingi...
Anonymous
Thread
baraza
changamoto
elimu
elimu ya
elimu ya ufundi
hudumahuduma kwa wateja
kero
malalamiko
nactevet
ufundi
Kuwa kwenye nafasi ni huduma, Wananchi wanapofika katika ofisi za umma wanapaswa kuhudumiwa kwa heshima, haraka na kwa ufanisi-Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba
📍Isimani-Iringa
🗓️Juni 5, 2026
———————————
Amesema hayo wakati alipozungumza katika mkutano wa hadhara na wakazi wa Isimani, Mkoani...
HII NDIO LIST YA HUDUMA UTAKAZOPATA KWETU
HUDUMA KATIKA MASUALA YA AJIRA
1. KUJISAJILI AJIRAPORTAL
2. KUJISAJILI TAESA
3. KUJISAJILI KATIKA BANK PORTALS
4. KUANDAA APPLICATION LETTER
5. KU EDIT DOCUMENT MBALIMBALI
6. AVN
7. TRANSCRIPT
HUDUMA KATIKA MASUALA YA VYETI
1. KUPATA CHETI CHA...
Mimi ni mkazi wa Kigoma Mjini, napenda kutoa malalamiko yangu kuhusu huduma niliyoipata katika Hospitali ya Mkoa Kigoma Maweni wakati nilipompeleka mke wangu kujifungua.
Tulipofika hospitalini majira ya saa 3:00 asubuhi, hali ya mke wangu ilikuwa mbaya sana, hakuweza hata kusimama. Nilipowaomba...
Anonymous
Thread
hospitali
hudumahuduma mbaya
katika
kigoma
mbaya
mkoa
Wakazi wa eneo la Msumi, Kata ya Mbezi wilayani Ubungo, wameanza kupata huduma ya majisafi kufuatia kukamilika kwa Mradi wa Maji wa Msumi uliotekelezwa na DAWASA kwa gharama ya zaidi ya shilingi bilioni 1.2.
Kupitia mradi huo, wakazi wameanza kukabidhiwa vifaa vya maunganisho mapya sambamba...
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), imeanza rasmi zoezi la kufunga Pampu 3 kati ya Pampu 7 zilizowasili mapema Mwezi Mei Mwaka huu zinazotarajia kuimarisha na kupunguza changamoto za kihuduma katika Mikoa ya Dar es salaam na Pwani.
Pampu hizo zitakazofungwa katika...
Hii meli mpya kabisa inafanya route zipi?
Hii meli nakumbuka tuliambiwa imeanza rasmi safari zake kati ya Mwanza na Bukoba mwezi Sept mwaka jana.
Lakini sasa hivi nadhani hii route bado inahudumiwa na MV. Victoria peke yake.
Wenyeji wa Mwanza, Bukoba Musoma hii meli inato huduma huko mliko?
Au...
KARIBU KWA HUDUMA BORA ZA UJENZI
Huduma zetu ni kama zifuatazo
1.Ramani za nyumba aina zote
2.Kuanda makàdirio ya ujenzi Yani B.O.Q
3.Ufatiliaji wa vibari vya ujenzi na Mabango
4.Ujenzi na usimamizi.
5.Uhuishaji majengo(Renovation)
5.Ushauri wa kitaalamu wa Ujenzi.
Karibu tukuhudumie,,huduma...
Meta Imeweka Mkazo Zaidi Kwenye Huduma za Kulipia (Subscriptions)
Siku ya Jumatano, kampuni hiyo kubwa ya mitandao ya kijamii ilitangaza kuwa inazindua rasmi huduma zake za kulipia kwa watumiaji wa kawaida duniani kote kwenye programu zake kuu za Instagram, Facebook, na WhatsApp. Pia, imeanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.