huduma

Huduma Kenya Programme is a Kenya Vision 2030 flagship project captured under the Mid Term plan for 2013 – 2017. The Programme was launched by H.E Uhuru Kenyatta, President of the Republic of Kenya, on 7 November 2013 which coincided with the launch of the first Huduma Centre in Kenya at GPO Nairobi.
The aim of the Huduma Kenya program is to enhance the access and delivery of Government Services to all Kenyans. Ministry of Public Service, Youth and Gender Affairs is coordinating implementation of the Programme.c.Through the Huduma Kenya initiative, Kenya has been able to launch a Huduma Namba, which is equivalent to the US's Social Security Number (SSN).

View More On Wikipedia.org
  1. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania MPYA Paulo Makonda :Hakuna chama cha siasa, kitakacho futwa. Ila kuanzia 2030, ili mtu apate huduma za kiserikali, ni lazima awe na kadi ya CCM

    Kumekuwepo na chapisho linasambazwa mitandaoni huku likiambatana na picha ambayo inamuonesha paul makonda likinukuu kuwa vyama vya siasa vitabaki kama vilivyo, hakuna chama kitakachofutwa. Lakini ni vyema kutambua kuwa chama kinachoongoza nchi ndicho kinachoamua kupanga utaratibu wa mifumo yote...
  2. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kero ya Maji Uyole, Nimeilipa, huduma hakuna!

    Fichua uovu: Uyole, jimbo jipya la Tulia. Nimefanya malipo ya kuunganishiwa huduma ya maji safi tangu mwezi wa nne, lakini hadi leo sijapatiwa huduma hiyo. Kila ninapofuatilia, naambiwa vifaa bado havijapatikana, niwasubiri hadi vitakapokuja. Kinachoniumiza ni kwamba ninatumia gharama kubwa...
  3. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kero ya maji Njiro (Arusha), wiki 2 bila huduma! Tukiwaita AUWSA wanatuzungusha

    Mimi ni mkazi wa Njiro, Arusha katika maeneo ya kwa Msola na kwa Mrimba karibu na Climax Resort. Tumekaa karibu wiki mbili sasa bila maji, na hali hii imekuwa ikijirudia mara kwa mara tangu mwezi Januari. Kila tunapowasiliana na Arusha Urban Water Supply and Sanitation Authority (AUWSA)...
  4. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania RC wa Pwani, Kunenge aitaka DAWASA kuongeza kasi ya maboresho ya huduma ya maji ili kukidhi mahitaji

    Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Aboubakar Kunenge ameitaka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kuongeza kasi ya maboresho ya huduma ya maji ili kukidhi mahitaji yanayoendelea kuongezeka kutokana na kasi ya uwekezaji na ukuaji wa viwanda mkoani humo. ‎Kauli hiyo imetolewa...
  5. Amicable Group

    JamiiForums Tanzania Tangazo la Huduma za Ushauri wa Biashara

    TANGAZO LA HUDUMA ZA USHAURI WA BIASHARA Amicable Group Holdings Limited inatoa huduma za kitaalamu za Ushauri wa Biashara (Business Consultancy) kwa watu binafsi, vikundi, kampuni, taasisi na wafanyabiashara wanaohitaji kuanzisha, kukuza au kuboresha biashara zao. Tunatoa huduma za: ✔️...
  6. Amicable Group

    JamiiForums Tanzania Tangazo la Huduma za usafi

    TANGAZO LA HUDUMA ZA USAFI Amicable Group Holdings Limited ni kampuni inayotoa huduma za usafi wa viwango vya juu kwa watu binafsi, taasisi, makampuni, ofisi, shule, mabweni, hospitali, viwanda na maeneo mbalimbali ya biashara. Tunapokea kazi za: ✔️ Usafi wa ofisi, nyumba, shule, vyuo na...
  7. Amicable Group

    JamiiForums Tanzania Tangazo la Huduma za usafi

    TANGAZO LA HUDUMA ZA USAFI Amicable Group Holdings Limited ni kampuni inayotoa huduma za usafi wa viwango vya juu kwa watu binafsi, taasisi, makampuni, ofisi, shule, mabweni, hospitali, viwanda na maeneo mbalimbali ya biashara. Tunapokea kazi za: ✔️ Usafi wa ofisi, nyumba, shule, vyuo na...
  8. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Huduma za Afya Karibu na Nafuu Kwa Wananchi

    Serikali imejenga hospitali 10 mpya za rufaa za mikoa tangu mwaka 2021. Huduma zilizokuwa zinapatikana mbali kwa gharama kubwa, sasa zipo karibu na wananchi, pia ni nafuu zaidi.
  9. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kero za MCT: Ada Kubwa, Huduma Mbovu, majibu ya mitihani na leseni hawatoi kwa wakati

    Kuna kero sana kwenye hii Medical council of Tanganyika(MCT), chama kinachosimamia madaktari wa nchi hii kila mwaka tunalipia leseni laki moja na elfu hamsini, lakini hakuna cha maana tunachopata Sasa hivi mtu unalipia lakini wanashindwa kuhuisha leseni ukiwapigia simu hawapokei muda mwingine...
  10. upupu255

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Je, huduma ya uwezeshaji kwa njia ya mikopo inatolewa kwa kurasa hizi za Facebook?

  11. A

    JamiiForums Tanzania KERO Watendaji wa Wakala wa Huduma ya Ununuzi Serikalini (GPSA) – Arusha wanafanya kazi kimazoea, wanasababisha mafuta yasipatikane

    Kuna uzembe wa kukithiri katika utendaji wa Wakala wa Huduma ya Ununuzi Serikalini (Government Procurement Services Agency - GPSA) Mkoa wa Arusha kipindi hiki kigumu, unaletaje gari moja ya mafuta inahudumia Kanda nzima ya Kaskazini. Tuliomba wafanye shortlist ya baadhi ya vituo vya mafuta...
  12. D

    JamiiForums Tanzania DAWASA yazidi kutekeleza agizo la kuboresha huduma kupitia visima Kisukuru

    Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira (DAWASA) imekamilisha zoezi la upimaji wa wingi wa maji katika kisima kipya cha Kisukuru eneo la Viwanja vya Benki ambapo kimethibitika kuwa na uwezo wa kuzalisha takribani Lita 144,000 kwa siku. Akizungumza wakati wa zoezi hilo, Msimamizi wa mradi...
  13. R

    JamiiForums Tanzania Waitara: Wabunge tunapata huduma ya bima lakini wazazi wetu hawajajumuishwa, inaleta taharuki katika familia

    Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara, amehoji sababu za wazazi wa wabunge kutojumuishwa katika huduma za bima ya afya wanazopata wabunge, huku akielezea changamoto kubwa wanazopata familia nyingi wakati wazazi wanapougua. Akizungumza bungeni leo Mei 12, 2026, Waitara ameeleza kuwa utaratibu...
  14. NassoroTechtz

    JamiiForums Tanzania SAFARI YANGU: Nassoro Hemedi Kilimbite na Mapambano ya Nassoro TechTz – Huduma za Computer, Madishi na Mifumo ya Kidijitali

    Habari za muda huu Wakuu wa JamiiForums. Leo nimeona niingie mtaani kwenu rasmi. Jina langu ni Nassoro Hemedi Kilimbite, kijana wa kitanzania niliyezaliwa mwaka 2000. Mimi ni mmoja wa vijana wanaoamini kuwa teknolojia ndiyo mkombozi wa uchumi wetu wa sasa na chachu ya maendeleo kwa kila...
  15. A

    JamiiForums Tanzania KERO Afisa Rasilimali Watu (HR) wa Ilala ana Huduma Mbovu kwa watumishi

    Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam(Ilala) kuna afisa Utumishi (Afisa Rasilimali Watu), afisa huyu ana huduma mbovu sana na manyanyaso kwa watumishi waotaka huduma za kiutumishi toka kwake. Imefikia hatua mtumishi kwenda kupata huduma kwa huyu dada kuwa kama adhabu kwani na hata hiyo huduma...
  16. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Mchengerwa: Serikali imetoa Sh Bilioni 48.8 Bima ya Afya kwa wote, Wanufaika 463,228 waanza kupata huduma za matibabu

    Serikali imeanza rasmi utekelezaji wa Mpango wa Bima ya Afya kwa Wote kwa kaya zisizo na uwezo kwa kutoa Shilingi bilioni 48.8 kwa ajili ya kuwawezesha wananchi wa makundi maalum kupata huduma za afya kwa uhakika. Kupitia utekelezaji huo, jumla ya kaya 172,297 tayari zimefikiwa na kuingizwa...
  17. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Waziri Mchengerwa: Wizara ya Afya imefikia 72% ya Makusanyo, Fedha za Nje zaendelea kuimarisha Huduma Za Afya

    Wizara ya Afya pamoja na taasisi zake imeendelea kuimarisha utoaji wa huduma za afya nchini kupitia ukusanyaji wa mapato na matumizi ya fedha katika utekelezaji wa miradi na huduma mbalimbali za afya kwa wananchi. Hayo yamesemwa na Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa leo Mei 11, 2026, wakati...
  18. Think2

    JamiiForums Tanzania Yas kwanini mnafungia huduma laini ikikosea kuingiza vocha ?

    Yas matrako yenu nimenunua vocha za 5000 niunge bando ile namaliza kuingiza niunge bando naambiwa sina salio la kutosha kuuliza salio wanasema nina 4000 Nikaanza kurudia vocha moja moja lakini wapi nimewapigia wanaongea ungese mwingi mwingi wanadhani hela tunaziokota Naomba mwanasheria mzuri...
  19. B

    JamiiForums Tanzania MHE JUMAA AWESO; ELERAI MTAA WA TARIMO TUNAHUJUMIWA HUDUMA ZA MAJI

    Naomba kutoa taarifa kwako Mhe Jumaa Aweso waziri wa Maji. Sisi wakazi wa Mtaa wa Elerai jirani na shule ya msingi Burka tunahujumiwa na wasimamizi wa huduma za maji. Leo ni week ya tatu hata tone moja la maji halijatoka. Taarifa zisizo rasmi zinasema Pump ya kusukuma maji iliopo shule ya Msingi...
  20. M

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Ubovu wa Barabara Kimanga, Daladala zatishia kusitisha huduma

    Wakazi wa Kimanga, Dar es Salaam, wataanza kukumbana na adha ya usafiri kuanzia kesho baada ya wamiliki wa daladala zinazotoa huduma katika barabara hiyo kutishia kuanza kugoma. Hatua hiyo imefikiwa kama njia mbadala ya kushinikiza mamlaka husika kuchukua hatua za haraka kutengeneza barabara ya...
Back
Top Bottom