doup
JF-Expert Member
- Feb 26, 2009
- 2,347
- 2,151
Kwa muda Sasa kumekuwa na mijadara hisia mingi kuhusu kuwepo Kwa viumbe wa ajabu kutoka sayari za mbali "Aliens", pamoja na technolojia yao ya usafiri almaarufu kama UFO(unidentified flying object).
Dhana hii imekuwepo sana uko Marekani Kwa muda na wakeleketwa wa hii hoja wamekwenda mbali Hata kufadhili na kutengeza program mbalimbali katika jitihada za kuthibitiaha dhana hii, japo Kwa muda wote serikali imekuwa ikikanusha upo wa hao viumbe wa ajabu.
Sasa, hivi Karibuni Huko Mexico bunge la seneti limesikiliza na kuoneshwa live mabaki ya viumbe hivyo yaliyo gunduliwa huko Peru kwenye Migodi, mabaki hayo yanahisiwa kuwa na umri usiopungua miaka 1000+
Katika sakata hili wajumbe wakichangia, wanaamini serikali Yao inaweza chukua ujiko Kwa kuwa ya kwanza duani kukubari jambo hili na kutengeza Kanuni na miongozo mbalimbali kuhusiana na viumbe hao
Hii Habari ni Kwa mujibu wa The Guardian.com
Alleged "non human" remains
Dhana hii imekuwepo sana uko Marekani Kwa muda na wakeleketwa wa hii hoja wamekwenda mbali Hata kufadhili na kutengeza program mbalimbali katika jitihada za kuthibitiaha dhana hii, japo Kwa muda wote serikali imekuwa ikikanusha upo wa hao viumbe wa ajabu.
Sasa, hivi Karibuni Huko Mexico bunge la seneti limesikiliza na kuoneshwa live mabaki ya viumbe hivyo yaliyo gunduliwa huko Peru kwenye Migodi, mabaki hayo yanahisiwa kuwa na umri usiopungua miaka 1000+
Katika sakata hili wajumbe wakichangia, wanaamini serikali Yao inaweza chukua ujiko Kwa kuwa ya kwanza duani kukubari jambo hili na kutengeza Kanuni na miongozo mbalimbali kuhusiana na viumbe hao
Hii Habari ni Kwa mujibu wa The Guardian.com
Alleged "non human" remains
Mexican senate hears testimony on extraterrestrial life: ‘We are not alone’
Alleged remains of ‘non-human’ mummies presented at hearing, in country’s first official event on UFOs
www.theguardian.com