dada

Dada () or Dadaism was an art movement of the European avant-garde in the early 20th century, with early centres in Zürich, Switzerland, at the Cabaret Voltaire (c. 1916). New York Dada began c. 1915, and after 1920 Dada flourished in Paris. Dadaist activities lasted until c. the mid 1920s.
Developed in reaction to World War I, the Dada movement consisted of artists who rejected the logic, reason, and aestheticism of modern capitalist society, instead expressing nonsense, irrationality, and anti-bourgeois protest in their works. The art of the movement spanned visual, literary, and sound media, including collage, sound poetry, cut-up writing, and sculpture. Dadaist artists expressed their discontent toward violence, war, and nationalism, and maintained political affinities with radical left-wing and far-left politics.There is no consensus on the origin of the movement's name; a common story is that the German artist Richard Huelsenbeck slid a paper knife (letter-opener) at random into a dictionary, where it landed on "dada", a colloquial French term for a hobby horse. Jean Arp wrote that Tristan Tzara invented the word at 6 p.m. on 6 February 1916, in the Café de la Terrasse in Zürich. Others note that it suggests the first words of a child, evoking a childishness and absurdity that appealed to the group. Still others speculate that the word might have been chosen to evoke a similar meaning (or no meaning at all) in any language, reflecting the movement's internationalism.The roots of Dada lie in pre-war avant-garde. The term anti-art, a precursor to Dada, was coined by Marcel Duchamp around 1913 to characterize works that challenge accepted definitions of art. Cubism and the development of collage and abstract art would inform the movement's detachment from the constraints of reality and convention. The work of French poets, Italian Futurists and the German Expressionists would influence Dada's rejection of the tight correlation between words and meaning. Works such as Ubu Roi (1896) by Alfred Jarry and the ballet Parade (1916–17) by Erik Satie would also be characterized as proto-Dadaist works. The Dada movement's principles were first collected in Hugo Ball's Dada Manifesto in 1916.
The Dadaist movement included public gatherings, demonstrations, and publication of art/literary journals; passionate coverage of art, politics, and culture were topics often discussed in a variety of media. Key figures in the movement included Jean Arp, Johannes Baader, Hugo Ball, Marcel Duchamp, Max Ernst, Elsa von Freytag-Loringhoven, George Grosz, Raoul Hausmann, John Heartfield, Emmy Hennings, Hannah Höch, Richard Huelsenbeck, Francis Picabia, Man Ray, Hans Richter, Kurt Schwitters, Sophie Taeuber-Arp, Tristan Tzara, and Beatrice Wood, among others. The movement influenced later styles like the avant-garde and downtown music movements, and groups including Surrealism, nouveau réalisme, pop art and Fluxus.

View More On Wikipedia.org
  1. Fbn

    Bora dada poa anaweka bei kuliko hawa wameficha bei.

    Mi nikiona mtu mwanaume mwenzangu ana lalamika kuwa wenye pesa wamemchukua au kadanganywa na mali. Kichwa cha habari kishajieleza hapo juu. Wanawake wengi wamejificha kwenye bei ya kujiuza kama bidhaa zilizopo sokoni na madukani. Bora wale wengine wanakwambia kabisa bei ili ushindwe wewe au...
  2. Best home tutor

    Vile vyumba vya dada poa kwenye majiji nani anavimiliki kwanini havibomolewi?

    Salama wakuu Ukipita kwenye majiji makubwa hasa uchochoro unaweza Kishangaaa kukutana na vyumba vidogo sana zaidi ya 100 ambavyo vinatumika kufanya shughuli za ukahaba mfano katika jiji la dar es Salaam kuna maeneo kama kimboka ,uwanja wa fisi ,mwananyama hospital,temeke Sudan temeke...
  3. Jaji Mfawidhi

    Je, Mama , Dada na Binti kuanika Chupi Hadharani kwachangia vijana kujichua?

    Siku hizi imekuwa kawaida mama kuanika chupi zake nyumbani na kuagiza mtoto wake wa kiume aka anue. imekuwa tabia ya kawaida wauza chupi na bikini au "vikamba-ngono" kuvalisha kwenye midoli na kuweka hadharani chupi na kuonyesha hasa sehemu ya mbele ya mwili. Wanaume wakiona hupata picha...
  4. Dogoli kinyamkela

    Dada jitahidi sufuria lako lizoee mwiko mmoja tu na aina moja ya ugali. Sembe haiwafahai wanawake!

    Dada jitahidi sufuria lako lizoee mwiko mmoja tu na aina moja ya ugali. SEMBE HAIWAFAI WANAWAKE.
  5. Madame S

    Nahitaji dada wa kazi

    Hello! kama uko na mtu anahitaji kaz za ndan naomba nicheki, location ni pemba,
  6. stabilityman

    Nimefiwa na dada yangu Oliva 25 Jun 2026 tunasafirisha kwenda Njombe

    Nimefiwa na dada yangu 25 Jun 2026 dada yangu alikuwa mfanyabiashara wa mbao buguruni Jina lake Oliva kwa dhat nawashukuru wafanyabiashara wote wa mbao bugurun kwa upendo mmejitoa sana kufariji familia .Tunasafirisha kwenda Njombe ndio nyumban. Mtaalamu wa ujenzi wa nyumba za kisasa. Eng James...
  7. de Gunner

    Huyu dada ajengewe sanamu lake

    Zamaradi.. Katika chapisho lake leo huko Instagram.. Kaongelea namna safari ya mwanaume inakuwa ngumu. Kaelezea how society na mifumo yake haimfavor mwanaume.. Kaelezea how majeraha yetu hayasikilizwi, how tunapaswa kushow up hata kama nafsi zetu zinaumia Katika jamii ambayo wanawake wamekua...
  8. K

    Kampeni za Dada Happy wa CCM zimedoda

    Kuna jamaa mmoja mwenye jina la kike anapigia kampeni CCM! Naona kazidiwa hoja🤦🏾‍♂️🤦🏾‍♂️
  9. MMASSY

    Dada wa barbershop wanahitajika Arusha

    Tunatafuta wadada wa kuhudumia wateja katika Barbeshop yetu iliyopo Olasiti,Arusha. Sifa zinazohitajika  Awe smart na mwenye muonekano mzuri  Awe anajua kufanya scrub,Massage ya Kichwa na shingo  Awe msafi na anayejitambua  Awe mchangamfu na anayejua kuongea vizuri na wateja ...
  10. K

    Wakazi wa Mbweni JKT Tunaomuomba Dada Jesca Kikumbi Kufikiria Kufungua Kitambaa Cheupe Huku Kwetu

    Wakazi wa Mbweni JKT Tunamuomba Dada Jesca Kikumbi Kufikiria Kufungua Kitambaa Cheupe Huku Kwetu Kwa miaka ya hivi karibuni, biashara ya Kitambaa Cheupe chini ya uongozi wa Dada Jesca Kikumbi imekuwa moja ya brand zilizofanikiwa kujijengea jina kubwa kwenye sekta ya burudani na huduma za...
  11. Mallerina

    Hii screenshot ya huyu dada imekaaje ?!

    maamuzi mengine kumpa mtu magumu.... Mimi nimempigia ila kuna maneno kaniambia.. BOyfriend wake line yake inakuaga imezimwa kwa sababu ya madeni ( kwanini azime )red flag sign 2...miezi mitano ata kwa wazazi wa mwanaume hapajui eti alimuahidi biashara hela zipo NMB nikamuuliza ameziona jibu...
  12. Mallerina

    Hii screenshot ya huyu dada imekaaje ?!

    maamuzi mengine kumpa mtu magumu.... Mimi nimempigia ila kuna maneno kaniambia.. BOyfriend wake line yake inakuaga imezimwa kwa sababu ya madeni ( kwanini azime )red flag sign 2...miezi mitano ata kwa wazazi wa mwanaume hapajui eti alimuahidi biashara hela zipo NMB nikamuuliza ameziona jibu...
  13. mr pipa

    hivi wanaume wakizazi hiki tumepatwa shemu toka amefika kwetu ukweni saizi anamaliza miezi sita

    Alikuja kwa kigezo kumwona mke wake na mtoto maana huyu dada yangu baada ya kujifungua ikampasa aje hom ajitazamie kutokana na ukaribu na urahisi wa huduma za hospitar Uzuri mzee amejijenga kwahiyo dada pia alikuwa n vyumba vyake ndani ya hiyo nyumba ya mzee Cha kushangaza haka kajamaa...
  14. wa stendi

    Sitokaa nihudhurie tena kwenye harusi ya dada au ndugu wa karibu upande wa kike

    Nineumia sana kuona dadangu anashikwa shikwa trako na kuchezewa mbele yetu ma kaka na wazazi ukumbini kisa wanacheza mziki wa bluez. Japo dada yetu katuheshimisha kutuletea shemela lakini binafsi nimeumia. Yaani baada ya kula na kunywa tukiwa ukumbini kuna mda kukawa hakuna shamra shamra...
  15. Fbn

    Mnakumbuka vituko vya utawala wa Idd Amin Dada kwenye utawala wake

    Inawezekana kizazi chake kilikuwepo Zanzibar na ndio kinaendelea kufanya haya kwa taswira ya znz inaonyesha kulikuwa na waganda wengi mpaka kuwepo mapinduzi. Tuje kwenye mada sasa. Ukifatilia matendo ya idd amin ni yale yale kama hapa. Kuna kipindi alitaka kuwa rafiki mzuri wa urusi. ukuangalia...
  16. M

    Akina Mama na akina dada, dudu za wenza wenu zikigoma kusimama msiwadhihaki muwabembeleze

    Unakuta mdada au mmama anaingia faragha na mwenzake lakini jogoo anagoma kuwika. Badala ya kumbembeleza ndio anaanza kumkejeli na kumdhihaki. Utasikia huna lolote. Nini hiki huku anashikashika dudu. Hii mbaya sana maana watu tuna stress.
  17. Mpolah

    Ushauri kwa dada na kaka

    Ushauri kwa dada mahusiano ni vita mwanaume msafi yupo kwenye vitabu vya kuandikwa ukiolewa na ndoa inayumba jiongeze mwanaume mchafu ukitaka aliyetukuka mtengeneze. Ushauri kaka mahusiano sio hija wanawake wasafi wapo kwenye filamu za ukiigiza kwahiyo ndoa yako inapopindi jiongeze mwanamke...
  18. Q

    A word of Appreciation to Shangazi Maria, Dada wa Taifa Mange, Hilda, Liberatus and others

    Vita mnayopigana kwa ajili ya Watanganyika ni kubwa ni Mungu pekee ndiye atakayewalipa wala siyo Ford Foundation. Waliwabeza, waliwanyanyasa, waliwadharau, wametembea dunia nzima hadi kwa Papa, wametumia pesa nyingi lkn nyie mnatumia kalamu, akili na Mungu hongereni sana, tumeanza kuona...
  19. rikiboy

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Katika harakati za ujana unaweza jikuta unatunukiwa tunda na binti kama utani vilee. Hii hutokea pale binti anapokuwa na hasira, jamaa yake amecheat so anataka kulipiza kisasi na kipindi manzi ana maumivu ya kuachwa! Hizi ndo moment kubwa ambazo gilrs wengi wanaliwa bila kutarajia wala kupanga...
  20. Best home tutor

    Ni tukio/kituko gani ambacho alifanya dada yako wa kazi hapo nyumbani hutosahau?

    Salute! Nafahamu kwa sababu mbalimbali watu wengi tunapenda kuishi na dada wa kazi majumbani mwetu Wapo watu wengi ambao wamekutana na Mikasa mbalimbali kutokana na dada hawa wa kazi. Je ,ni kituko gani uliwahi kukutana nacho kutoka kwa dada wa kazi?
Back
Top Bottom