ujumbe

  1. M

    JamiiForums Tanzania TAARIFA RASMI: Maandamano ya Amani kwa Wasafirishaji wote Nchini, Sambaza ujumbe huu Kila Jukwaa na kila mtandao

    Ndugu Madereva wa Bodaboda, Bajaji, Daladala, Mabasi ya Mikoani, Wamiliki wa Magari, na Vijana wote wa Tanzania, Salamu za amani na mshikamano. 1. UTANGULIZI Hii ni taarifa rasmi kutoka kwa waandaaji UWADAR na vyama vyote vya wasafirishaji nchini kuhusu maandamano ya amani yatakayofanyika...
  2. funaku

    JamiiForums Tanzania Ujumbe wa Tanzania katika kumuaga Kiongozi wa Taifa la IRAN KHAMENEI!

    Tanzania haijabaki nyuma katika diplomasia hii muhimu.
  3. R

    JamiiForums Tanzania Kuna ujumbe wenu JWTZ hapa kutoka X. Mjumbe hauawi

    JWTZ someni ujumbe wenu kutoka X Mmeshindwa kulinda Ardhi Yetu, Bandari zetu,Gesi Yetu, Madini Yetu, Mbuga zetu na Mifumo ya hovyo ya kuruhusu uholela wa wageni kuingia nchini, vijana, ndugu zenu,wazee wenu wamepoteza vingi kama ajira,ardhi na mengine mengi halafu mnasema amani na utulivu. Haya...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Watalaam wa kuchambua bible naombeni ufafanuzi wa huu ujumbe.

    Ujumbe aliopewa musa wa kuvua kiatu alichotoka nacho kwa farao,kwamba mahala pale ni patakatifu ulimaanisha kiatu Gani?je ni kiatu kama kiatu Cha kuvaliwa mguuni au ni Nini kililengwa.Je mahala pale palipotajwa kwamba ni pasafi ni sehemu gani?mbinguni,Israel au hapo walikokua wamefikia mala...
  5. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania DC Magoti-Kisarawe: Ujumbe wako toka kwa wananchi, polisi wanyanyasa kwa ruksa yako usiku wa manane!

    "Brand ya Wanaume", DC Magoti wa Kisarawe akilalamikiwa vikali baada ya polisi kuvamia nyumba na kuvunja geti. Utaratibu wa ukamataji kwa PGO umezingatiwa? Clip inazunguka mitandaoni.
  6. Mshana Jr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ujumbe wangu wa Kuwatia Moyo Wazazi Wanaolea Watoto Peke Yao(single parents)

    "Wewe ni shujaa unayepambana kila siku bila ngao. Upendo, nguvu, na ustahimilivu wako unajenga mustakabali wa watoto wako, hata pale unapohisi umechoka au haitoshi. Kumbuka kuwa kila tone la jasho lako na kila tabasamu unalolazimisha kwa ajili ya watoto wako ni ushahidi wa ukubwa wa moyo wako...
  7. R

    JamiiForums Tanzania Ujumbe wa leo toka X

    Tanzania SIYO Monarchy. Ukisha tambua hilo, lazima uwe Mnyenyekevu. governments derive their legitimacy ONLY from the consent of the governed. In a democratic republic, "Rebellion becomes a Right":when a government becomes tyrannical,the people possess a natural right to alter or
  8. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kombe la dunia wenye elimu ya ujumbe kuwa timu zitakazo kutana finali na kama sio fainali basi moja wapo ni hii

    Kama unajisumbukia kuwasikiliza CCM utapata shida sana. Hapa na zungumzia dunia ambayo ina watu nyuma ya dunia wanaweza kukupa signal,habari ambazo kwa mwenye akili ndogo unaweza kusema yule kichaa. Afrika inarudishwa kwa wazungu tena. Na kombe la dunia finali kutakuwa Portuguese vs...
  9. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Ujumbe kwa Waziri Mkuu: Usikate Tamaa

    Mheshimiwa Waziri Mkuu, Katika uongozi kuna siku za pongezi na kuna siku za lawama. Kuna siku watu watakushangilia na kuna siku watu watakosoa kila hatua unayopiga. Hayo yote ni sehemu ya safari ya uongozi. Lakini usikate tamaa kwa sababu ya kelele za wachache wanaodharau kazi unayoifanya...
  10. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Waziri Kombo amkabidhi Guterres ujumbe wa Rais Samia

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo (Mb), amewasilisha ujumbe maalum wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Mhe. António Guterres, na kusisitiza dhamira ya Tanzania ya...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Chalamila, CCM, wanaodhani kwamba wataweza kuzuia mabadiliko kwa kukutumia vitisho

    Chalamila, na wengine wowote wanaodhani kwamba wataweza kuzuia mabadiliko kwa kukutumia vitisho. Hiki ni kizazi kipya, ni tofauti sana na sisi.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Ujumbe kwako wewe mwanaume

    Ujumbe kwako wewe mwanaume wa leo, mwanaume mramba lipsi, mwanaume mrembuaji, mwanaume unae amini eti mabadiliko ya sayansi na technologia yatakubadilishia maisha yako (sayansi na technologia scam tu kama scam nyingine) 👊 Hebu sikia!!!... Mwanaume wa kweli hapaswi kujilegeza, kuzubaa zubaa...
  13. papag

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ujumbe toka kwa Fere Gola

    Kula ngoma na week-end njema
  14. A

    JamiiForums Tanzania KERO Manyanyaso tunayopitia Wauguzi Watarajali Manyara

    Mimi ni mmoja wa wauguzi watarajali (Intern Nurses) katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara, kuna changamoto kubwa tunazopitia kutoka kwa msimamizi wa mafunzo wa hospitali yetu. Tumejaribu kuwasilisha malalamiko yetu bila kupata msaada wowote katika Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania...
  15. R

    JamiiForums Tanzania Ujumbe wa Leo

    Muwe na Usiku mwema.
  16. ngozimbili

    JamiiForums Tanzania Khalifa hakumtendea haki Jaji Warioba, ujumbe wa wazi kwa mwandishi Khalifa wa The Chanzo

    YA WARIOBA, MANGE NA KHALIFA: TANZANIA MOJA, ULIMWENGU MITATU TOFAUTI Tanzania ya leo inaishi katika mgawanyiko ambao hauonekani kwa macho, lakini unasikika kwenye kila mjadala wa kisiasa, kila “trend” ya mtandaoni, na kila tamko la viongozi. Ni mgawanyiko wa kizazi, wa taarifa, wa lugha, na wa...
  17. Echolima1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rais wa Marekani Donald Trump afuta Mazungumzo ya Amani na Iran!

    ‼️ MPYA: Trump afuta mazungumzo yaliyopangwa ya Islamabad na Iran, akisema muda unapotea safarini na kutaja "machafuko makubwa ya ndani" ndani ya uongozi wa Iran. "Ikiwa wanataka kuzungumza, wanachotakiwa kufanya ni kupiga simu." "Tuna kadi zote, hawana hata moja!" Endelea kuwasiliana...
  18. bwawani90

    JamiiForums Tanzania Kama kuna Mbunge anasoma huu ujumbe sasa hivi atoe hoja ya dharura

    Bunge linaendelea na hakuna anayejali kupanda kwa bei ya vyakula na bidhaa. Salaam! Hali ya uchumi inaelekea pabaya sana. Kama kuna mbunge anasoma huu ujumbe wangu afanyr jambo. Huku mtaani kila kitu kimepanda bei, cha ajabu kwa hawa user wa mwisho kabisa ie mwananchi kila kitu bei imepanda...
  19. Prof Phraoh AI

    JamiiForums Tanzania Voyager i ndo chombo kilicho mbali zaidi na dunia, kimebaba picha na ujumbe kutoka Duniani. NASA waliamini sikumoja labda kitapatikana na alliens

    Chombo cha anga cha Voyager 1 ni moja ya mafanikio makubwa zaidi ya binadamu katika historia ya sayansi. Hiki ndicho chombo kilicho mbali zaidi na Dunia kuliko chochote ambacho binadamu amewahi kutuma angani. Kilirushwa mwaka 1977 na NASA, kikiwa na lengo la kuchunguza sayari kubwa kama Jupiter...
  20. figganigga

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tarehe 29 Oktoba 2025 haitasahaulika. Ujumbe kwa Samia na CCM

    CCM na huyo Samia wao, wametenga hela nyingi kwa Content Creators ili wawe wanahoji mambo ya kijinga ili kuwasahaulisha watu Ugumu wa maisha, Ripoti ya CAG na Mauaji waliyofanya tarehe 29 Oktoba 2025 walipokuwa wanalazimisha kuongoza Nchi. Hii Video ni Ushahidi kwamba tarehe 29 Oktoba 2025...
Back
Top Bottom