JWTZ someni ujumbe wenu kutoka X
Mmeshindwa kulinda Ardhi Yetu, Bandari zetu,Gesi Yetu, Madini Yetu, Mbuga zetu na Mifumo ya hovyo ya kuruhusu uholela wa wageni kuingia nchini, vijana, ndugu zenu,wazee wenu wamepoteza vingi kama ajira,ardhi na mengine mengi halafu mnasema amani na utulivu. Haya...