ujumbe

  1. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Misemo na methali mbalimbali zenye nasaha na ujumbe mzito kutoka kwa watu jamii ya Kihindi

    Kuna misemo mingi maarufu ya Kihindi. Hapa kuna baadhi yake pamoja na maana zake: “Duniya gol hai” (दुनिया गोल है) 🌍 Maana: Dunia ni duara. Mara nyingi hutumiwa kumaanisha kuwa dunia ni ndogo; unaweza kukutana tena na mtu au jambo ulilodhani limepita. “Jo hoga, achha hoga” (जो होगा, अच्छा...
  2. zaza1

    JamiiForums Tanzania Ujumbe kwa Heche

    Heche, kupambana kisiasa ni haki yako, na kukosoa mfumo ni sehemu ya demokrasia. Lakini siasa haipaswi kufika mahali ambapo furaha, maendeleo na maslahi ya Taifa yanafanywa kuwa mhanga. Kama kweli kuna kauli za kuzuia au kuhujumu mambo yenye maslahi mapana kwa Tanzania—ikiwemo michezo, Yanga...
  3. LIKUD

    JamiiForums Tanzania Wahadhiri 100 kuchanga sh laki tano pekee kwa Mhadhiri wa UDOM anae shitakiwa kwa ugaidi. Je huu ndio ujumbe wanao upeleka kwa serikali ya Samia? 👇👇

    Picha lina anza mhadhiri wa UDOM anakamatwa na vyombo vya dola kisha kushtakiwa kwa kosa la ugaidi. Je huyo mhadhiri ametenda kosa la ugaidi? Mimi sio mwanasheria ila najua kuwa this case is Res Sub Judice, and therefore very little to comment about that. Hukumu ya Mahakama ndio itakayo tupa...
  4. Huihui2

    JamiiForums Tanzania Video: Heche kuna ujumbe wako hapa, acha kuropoka

    Najuwa ndani ya CHADEMA hakuna mtu wa kumkosoa. Huyu dogo hapa amempaka za uso. My take: Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA yuko overrated. Anahitaji kuwa adjusted kidogo. Sometimes anakuwa kama amevuta bangi.
  5. Faana

    JamiiForums Tanzania Kuna Ujumbe Mzito Huku

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amemjulia hali, Mama Fatma Karume,Mjane wa Rais wa Kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume, ambaye anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Lumumba Zanzibar.
  6. Etwege

    JamiiForums Tanzania Hukumu ya kifo kwa Rais wa Syria inatuma ujumbe gani kwa wahusika wa October 29?

    #HABARI: Wakazi wa mji wa Idlib nchini Syria wamekusanyika kusherehekea baada ya mahakama kumhukumu kifo Rais wa zamani wa nchi hiyo, Bashar al Assad. Mahakama moja nchini Syria imemhukumu kifo kwa kutokuwepo rais wa zamani wa nchi hiyo, Bashar al-Assad, kwa makosa yanayohusiana na uhalifu...
  7. R

    JamiiForums Tanzania Ujumbe wa leo: Hakuna uhaini wa mtu mmoja, labda kama ulimlenga risasi rais

    Tafakari kesi ya Lisu inavyoendelea......................................... Anyway kesi ikiwa mahakamani wanasema tusiijadili....
  8. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Kumbukizi ya Ujumbe ambao Hatari Mkapa aliwaambia CHADEMA

    My Take Chadema ni wapumbavu sijui wanahubiri ukombozi gani wakati Tanu ilishaleta ukombozi 😂😂👇👇 https://www.instagram.com/reel/DbsGl72oHQJ/?igsh=cXJvajNzaTVnZXd6
  9. Kiranja Mkuu

    JamiiForums Tanzania Ujumbe kwa machawa wote

  10. S

    JamiiForums Tanzania Leo nataka niwaeleweshe juu ya ishu ya "vacancy not budgeted" kwenye mchakato wa uhamisho wanaokutana huu ujumbe

    LEO NATAKA NIWAELEWESHE JUU YA ISHU YA "VACANCY NOT BUDGETED" kwenye mchakato wa uhamisho wanaokutana huu ujumbe
  11. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Ujumbe wa John Heche kwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza (Mutafungwa)

    Bwana Mtafungwa unataka nije kuripoti nini kwako? Yaani nije kukupa ripoti ya jambo ambalo unalijua ili iweje? Hiyo gari yenye namba fake ambayo inatoka ofisi ya RCO unataka nije kukuambia nini? Kama jambo liko kwenye public unahitaji mimi kuja au wewe kufuatilia na taarifa zako za...
  12. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Evarist Chahali - Jasusi: Ugaidi is a very stupid and poor CCM's political strategy kukabaliana na CHADEMA. Hii ni dalili kuu ya kushindwa kwao!

  13. Khantwe

    JamiiForums Tanzania Mabinti Sayuni kuna ujumbe wenu hapa

    Hakyamungu, ndio maana huwa silali kwa watu
  14. K

    JamiiForums Tanzania Huu ndiyo Ujumbe wangu kwa Dotto Magari.

    Ujumbe wangu kwangu Dotto Magari, haya majaribu unayopitia ya kuhusishwa Kwamba umeathirika na Virusi vya UKIMWI ni mpango wa MUNGU ambao amekuandalia katika Maisha yako Kwamba ipo siku haya yatatokea. Mimi nikushauri Mdogo wangu usikate tamaa ugali wako na familia yako hakuna atakayelisha...
  15. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Watanzania wenzangu hii picha imebeba ujumbe mzito sana

    Ujumbe huu ni mzito sana. 👇
  16. S

    JamiiForums Tanzania Wana-JF tusiwe wavivu ku-comment na kuishia kutoa likes nk peke yake; reply thread nzuri ili zikae kwenye chat muda mrefu na ujumbe usomwe na wengi

    Kuna watu wanatembelea JF ilikusoma threads za watu wengine na kazi yao ni kutoa likes, laughs, dislikes, fire etc peke yake, Nadhami mnatambua JF wametengeneza system kwa namna mbayo thread isipopata replies au comments basi itazidi kushuka chini na kupotea, ili kutoa nafasi ya juu kwa thread...
  17. Doto12

    JamiiForums Tanzania Msaada kuondoa ujumbe huu kwenye mtandao nikiingia kwa kompyuta yangu

    Jamani Nikiingia aidha kwenye mtandao hasa email, app, system yoyote inahitaji password yangu napata ujumbe huu Your token has expired Awali nilifanya yafuatayo kuondoa 1. Nikiingia kwenye dot tatu kulia mwa address ya web nikaenda setting ku delete catches, cookies nk 2. Nili reflesh site...
  18. Yoda

    JamiiForums Tanzania Wosia wa marehemu ulikuwa ni upi?

    Marehemu hakufa kifo cha kushtukiza, alijua ugonjwa wake utampeleka kaburuni ndio maana akaomba hadi mpako wa wagonjwa, Je hakuacha ujumbe wowote wa kuzingatiwa kwa aliokuwa akifanya nao kazi kwa karibu? Kwa nini hatujawahi kusikia wosia wa marehemu kutoka kwa yeyote aliyekuwa karibu naye...
  19. britanicca

    JamiiForums Tanzania Ujumbe wa kumkosoa IGP kuhusu vikundi vya Mwaipopo wampeleka Polisi mwalimu Laulent Joseph (Mnegro)

    Hii inathibitisha kuwa hii nchi imewashinda hawa walio madarakani. Hivi kweli ingekuwa hao ni wanaojitambulisha kuwa ni waandamanaji, je wasingekamatwa? Huyu anayeitwa IGP nadhani ni bosheni tu. Huenda IGP halisi ni mafwele na wauaji wenzake ndomana wakina Mwaipopo wako na ujasiri wa kuvaa...
  20. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Ujumbe wa Tahadhari kwa ndugu Faustine Mafwele

    Kwanza kabisa sijakusamehe kwa kuhusika moja kwa moja na utekaji wa Humphrey Polepole na naunga mkono mkakati wowote wa kukuwajibisha wewe binafsi. Pili nakupa tahadhari walinde members wa familia yako waishio nchi fulani kusini mwa bara la Africa. Wameshawekwa kwenye rada siku kadhaa...
Back
Top Bottom