guinea

Guinea ( (listen)), officially the Republic of Guinea (French: République de Guinée), is a coastal country in West Africa. Formerly known as French Guinea (French: Guinée française), the modern country is sometimes referred to as Guinea-Conakry, after its capital and largest city Conakry, to distinguish it from other countries with "Guinea" in the name and the eponymous region, such as Papua New Guinea,Western New Guinea, Guinea-Bissau and Equatorial Guinea. Guinea has a population of 12.4 million and an area of 245,857 square kilometres (94,926 sq mi).The sovereign state of Guinea is a republic with a president who is directly elected by the people; this position is both head of state and head of government. The unicameral Guinean National Assembly is the legislative body of the country, and its members are also directly elected by the people. The judicial branch is led by the Guinea Supreme Court, the highest and final court of appeal in the country.Guinea is a predominantly Islamic country, with Muslims representing 85 percent of the population. Guinea's people belong to twenty-four ethnic groups. French, the official language of Guinea, is the main language of communication in schools, in government administration, and the media, but more than twenty-four indigenous languages are also spoken.
Guinea's economy is largely dependent on agriculture and mineral production. It is the world's second largest producer of bauxite, and has rich deposits of diamonds and gold. The country was at the core of the 2014 Ebola outbreak. Human rights in Guinea remain a controversial issue. In 2011, the United States government claimed that torture by security forces and abuse of women and children (e.g. female genital mutilation) were ongoing abuses of human rights.

View More On Wikipedia.org
  1. JanguKamaJangu

    Serikali ya Guinea yamteua Kiongozi wa upinzani kuwa Waziri Mkuu mpya

    Jeshi linaloongoza Serikali ya Guinea limemteua Mamadou Oury Bah aliyekuwa kiongozi Mkuu wa Upinzani kuwa Waziri Mkuu siku chache baada ya Watu wawili kuuawa (Februari 26, 2024) baada ya Polisi kukabiliana na Waandamanaji wakati wa mgomo wa Wafanyakazi Nchini kote wakidai kupunguzwa kwa bei ya...
  2. BARD AI

    Guinea: Serikali yavunjwa, mipaka yafungwa, intaneti yazimwa kwa muda

    GUINEA: Rais wa Mpito, Mamady Doumbouya, amevunja Serikali ya Kijeshi bila kueleza kwa undani sababu za hatua hiyo huku akifanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri kuanzia nafasi ya Waziri Mkuu. Taarifa zinaeleza kuwa Katibu Mkuu Kiongozi, Brigedia Jenerali Amara Camara amewataka Mawaziri wote...
  3. balibabambonahi

    Wenyeji wa AFCON, Ivory Coast wamekubali kupigwa na wamepigika, wachapika 4-0

    Tuwaombeetu lakini mwenyeji sijui anapigaje ======== WENYEJI WA AFCON, IVORY COAST WAMEKUBALI KUPIGWA NA WAMEPIGIKA Wenyeji wa Michuano ya Kombe la Mataifa ya Africa 2023 (AFCON), Timu ya #IvoryCoast imeishia Hatua ya Makundi baada ya kukubali kichapo cha magoli 4-0 kutoka kwa Equatorial...
  4. Lady Whistledown

    Guinea: Mwandishi wa Ufaransa akamatwa kwa kuchunguza Ufisadi wa Maafisa wa Serikali

    Maafisa wa Jeshi wamemkamata Mwandishi wa Habari wa Ufaransa Thomas Dietrich Mjini Conakry, alipokuwa akichunguza madai ya ufisadi katika Kampuni ya Serikali ya Mafuta (SONAP) huku kukiwa na ripoti za kuzorota kwa hali ya Uhuru wa vyombo vya habari nchini humo Vyanzo vya Habari vinasema...
  5. w0rM

    Marekani inafundisha Wanajeshi wa Kiafrika kufanya Mapinduzi nchini mwao? Walioongoza mapinduzi Guinea na Burkina Faso ni zao lao

    Katika majibizano makali mnamo Machi 23, 2023, Congressman Matt Gaetz alimuhoji kiundani Kamanda wa Kamandi ya U.S. Afrika, Jenerali Michael Langley kuhusu Dola za Walipa Kodi wa Marekani zilizotumika kuwafunza Viongozi wa Kijeshi wa Mapinduzi barani Afrika Mnamo Januari 2022, Luteni Kanali...
  6. BARD AI

    Ivory Coast vs Guinea Bissau wanaanza leo, Nchi gani itaibuka na Ubingwa wa AFCON mwaka huu?

    Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) inaanza leo Januari 13 ambapo Wenyeji #IvoryCoast watamenyana na #GuineaBissau kwenye Uwanja wa Alassane Ouattara mjini Abidjan. #Tanzania inayoshiriki Michuano hiyo ikiwa katika Kundi F pamoja na #DRCongo, #Morocco na #Zambia itatupa Karata yake...
  7. beth

    Papua New Guinea: Hali ya hatari yatangazwa Mji Mkuu baada ya maandamano na uporaji kutokana na kupanda kwa gharama za maisha na malipo finyu

    Papua New Guinea imekusanya vikosi vya usalama baada ya uporaji na ghasia nchini kote. Ufinyu wa ajira na kupanda kwa gharama ya maisha kumezua hali ya kufadhaika katika taifa hilo la Pasifiki Kusini Waziri Mkuu wa Papua New Guinea James Marape alitangaza hali ya hatari ya wiki mbili katika mji...
  8. BARD AI

    Kiongozi wa Kijeshi na Rais wa zamani wa Guinea atoroshwa Gerezani

    Waziri wa Sheria, Charles Wright, amesema Moussa Dadis Camara akiwa na Wanajeshi wengine wa ngazi za juu wametoroshwa katika Gereza la Central House walilokuwa wamefungwa ikiwa ni baada ya kutokea majibizano ya Risasi kati ya Jeshi na waliofika kumchukua. Camara na wenzake walifikishwa...
  9. Alwaz

    Guinea yasema mbele ya UN kuwa waafrika hawana shida na demokrasia ya Kimgagharibi

    Kiongozi wa kijeshi wa Guinea,Mamady Doumbouya hapo jana alipokuwa akihutubia baraza kuu la umoja wa mataifa UNGA kuwa mfumoj wa demokrasia haufanyi kazi kwa nchi za kiafrika. Katika hotuba yake hiyo alisema nchi hizo ziache kuzilazimisha nchi za kiafrika kufuata mifumo yao ya kiutawala...
  10. BARD AI

    Guinea: Madaktari wafungwa miaka 35 kwa makosa ya Kubaka, Kuua na Kutoa Mimba

    Mahakama Nchini #GuineaBissau imetoa adhabu hiyo baada ya kubaini kuwa Madaktari hao walihusika na matendo hayo dhidi ya M'Mah Sylla, aliyebakwa akiwa Hospitali na kuhamishiwa kutibiwa Nchini Tunisia mwaka 2021. Waliohukumiwa ni Daniel na Patrice Lamah ambao wamepea kifungo cha miaka 15 jela na...
  11. H

    Rais wa Guinea Bisau akimchapa makonde Waziri wa Afya kwa kula pesa za COVID 19

    Huku kwetu Rais anaweza kujikuta karibu kila waziri wake anakula ngumi kwa ubadhirifu kwenye wizara zao 😀😀. Mwalimu Nyerere alikuwa sahihi kwa sehemu kuwapiga viboko ishirini na vinne,siku anaingia viboko kumi na viwili na siku anatoka jela viboko kumi na viwili akamuonyeshe mkewe 😀😀.
  12. Sky Eclat

    Equatorial Guinea vice-president's superyacht and homes seized in South Africa

    https://m.facebook.com/story.php?story_fbid=pfbid02nDTGfvmgixpUsurJourjPX3UQ4bgfNWyrbRbEfBMfDtNAmxonBS3iqvoR8SxRUm8l&id=100003926560564
  13. BARD AI

    Mahakama yakamata Nyumba na Yacht, mali za Makamu wa Rais wa Equatorial Guinea

    Nyumba 2 na Jahazi (Super Yacht) 1, mali za Teodoro Nguema Obiang zimewekwa chini ya Ulinzi kwa agizo la Mahakama baada ya Mfanyabiashara Daniel Janse Van Rensburg kudai Kiongozi huyo alimkamata kinyume cha Sheria na kumtesa. Mfanyabiashara huyo anataka kulipwa fidia ya Tsh. Bilioni 5.1...
  14. BARD AI

    Mtoto wa Rais wa Equatorial Guinea akamatwa kwa kuuza Ndege ya Serikali

    Mmoja wa watoto wa mtawala mkongwe wa Equatorial Guinea amekamatwa na kuwekwa kizuizi cha nyumbani kwa tuhuma za kuuza Ndege inayomilikiwa na Shirika la Ndege la Taifa kinyume cha sheria. Kw a mujibu wa Kituo cha TV cha Taifa, TVGE, Mamlaka zilifungua uchunguzi mwishoni mwa Novemba 2022 "baada...
  15. BARD AI

    Equatorial Guinea: Teodoro Nguema ashinda tena Urais kwa mara ya 6

    Mtawala huyo wa muda mrefu zaidi duniani amechaguliwa tena kwa kupata 95% ya Kura huku chama chake kikishinda viti vyote Bungeni. Imeripotiwa kuwa Upinzani wa Kisiasa dhidi yake umekuwa ukibanwa na Dola, pamoja na kuripotiwa ukandamizaji wa Vyombo vya Habari ambavyo vinamilikiwa na Serikali na...
  16. Lady Whistledown

    Guinea: Rais wa zamani apelekwa jela kabla ya kusomewa Mashtaka

    Mawakili wa Rais wa zamani wa Guinea, Moussa Dadis Camara, wanasema amepelekwa jela kabla ya kusikilizwa kwa kesi yake ya kuhusika katika mauaji ya Halaiki ya Mwaka 2009. Rais huyo anakabiliwa na kesi kwa tuhuma za kuhusika katika mauaji, ambapo watu 156 waliuawa na maelfu kujeruhiwa huku zaidi...
  17. Lady Whistledown

    ECOWAS yakubaliana kuweka vikwazo dhidi ya Washirika wa Serikali ya Guinea

    Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) imekubaliana kuwawekea vikwazo watu wa karibu na Serikali ya Kijeshi ya Guinea kufuatia Mapinduzi ya Mwaka 2021 yaliyoiondoa Serikali ya Kiraia Madarakani Viongozi wa Guinea wanasema wanahitaji miaka mitatu kuirejesha Nchi hiyo katika...
  18. JanguKamaJangu

    Waziri wa zamani wa Guinea afariki akiwa gerezani

    Waziri wa zamani wa Guinea, Lounceny Camara (62) ambaye alifungwa jela akishutumiwa kwa ubadhirifu wa pesa za umma na utawala amefariki Dunia. Utawala wa kijeshi uliomuondoa madarakani aliyekuwa Rais wa taifa hilo, Alpha Conde, mwaka 2021 ulishutumu viongozi kadhaa akiwemo Camara ambaye alipata...
  19. Analogia Malenga

    Wadau huko Equatorial Guinea, GB 1 ni Tsh 114,241

    Nchi Gharama Kwa 1GB in USD Kwa Tsh 1 Equatorial Guinea 49.67 114,241 2 Sao Tome and Principe 30.97 71,231 3 Malawi 25.46 58,558 4 Chad 23.33 53,659 5 Namibia 22.37 51,451 6 Central African Republic 9.03 20,769 7 Seychelles 8.64 19,872 8 Gambia 5.86...
  20. beth

    Guinea: Rais Alpha Conde kufunguliwa Mashtaka ya mauaji, utesaji na ubakaji

    Mamlaka za Guinea zimesema zitamshtaki aliyekuwa Rais wa Nchi hiyo, Alpha Conde (84) pamoja na Maafisa wake 27 kwa makosa mbalimbali yaliyofanyiwa akiwa Madarakani. Mbali na mauaji makosa mengine wanayotuhumiwa kufanya ni mauaji, kuwekwa kizuizini kinyume cha Sheria, utekaji nyara, utesaji na...
Back
Top Bottom