Nimesoma mkataba wa Siri wa bandari
Nimesoma mikataba ya ujenzi wa viwanja vya afcon
Nimesoma mikataba ya barabara
Nimesoma mkataba wa bandari ya bagamoyo.
Nimesoma mkataba wa ngorongoro
Nimesoma mikataba wa makaa ya mawe,gasi na uranium kusini
Aisee ni majanga niwaambie tu nchi yetu...
Bila maamdano haki haipatikani.
Maandamano yaitishwe nchi nzima mpaka waseme po.
Katiba mpya ndio suluhu ya ufisadi na na wanasiasa wezi kama CCM mtandao.
Bila maandamano hatupati katiba mpya.
Rais William Ruto amesema hakuna Mkenya anayepaswa kupoteza maisha, uhuru au heshima yake kwa sababu tu ya kuikosoa serikali, kutoa maoni yasiyopendwa na wengi au kushiriki maandamano ya amani.
Akizungumza katika Kongamano la 16 la Katiba lililofanyika KICC, Nairobi, Agosti 27, 2026, Ruto...
Hii nchi sijui kama itapoa. Kufatia serikali katili ya CCM kuua watanganyika zaidi ya 3000 na kuwazika kwenye kaburi la halaiki, na kuacha mamia ya vijana wakiwa na ulemavu wa kudumu. Mambo hayajaisha
Gen Z wamesema kisasi lazima kilipwe, Gen Z wametangaza maandamano makubwa nchi nzima...
Hawa ccm wanatakiwa kupewa somo for once and for all. Watanzania wengi tupo tayari ku-sacrifice maisha yetu kwa ajili ya vizazi vyetu vijavyo. Huu upuuzi unatakiwa ukomeshwe for once and for all.
Sasa wanachotakiwa Chadema waanze kumobilize waandamanaji taratibu kwenye mikutano yao ya hadhara...
Maandamano hayo yaitishwe nchin nzima ambapo Watanzania wote ambao wanaunga mkono msimamo wa Lissu kupinga rasilimalinza taifa hili kunyonywa washiriki.
Mabango yaliyoandikwa No reform no election yapeperushwe nchi nzima siku hiyo ya maandamano.
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Mzee Stephen Wasira, akihojiwa leo Agosti 19, 2026, katika kipindi cha UTV amesema Serikali haiwezi kuomba radhi kwani ilitimiza wajibu wake wa kulinda amani.
Mzee Wasira ameongeza kuwa kile kilichotokea Oktoba 29, 2025 haikuwa...
MAMBO 7 NILIYOJIFUNZA KUPITIA MAANDAMANO YA 29 OKTOBA 2025
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
1. HASIRA ZA WANANCHI PEKEE HAZITOSHI KUANGUSHA SERIKALI.
Maandamano yanaweza kuonyesha ukubwa wa hasira na kutoridhika kwa wananchi, lakini hilo pekee halimaanishi serikali itaondoka madarakani...
Kwa mtazamo wangu maandamano yanaweza kuwa na maana zaidi pale yanapokuwa na kundi maalum lenye madai yanayoeleweka na yanayohusu moja kwa moja maslahi yao kwa mfano wafanyakazi, wanafunzi, madereva au kundi fulani la kijamii.
Kwa mfano wanasiasa au wanaotaka kugombea nafasi kwenye uchaguzi...
LUCY KOMBA AOMBA MSAMAHA KUHAMASISHA MAANDAMANO
Badala ya kumkebehi au kumdharau kwa kujishusha na kuomba msamaha, tujifunze kwamba kuomba msamaha ni ishara ya ujasiri na uwajibikaji.
Pia tukumbuke kuwa nyumbani ni nyumbani. Tunaweza kwenda sehemu mbalimbali kutafuta fursa au kuishi, lakini...
Mwigizaji wa zamani wa maigizo lucy Komba ameomba msamaha kwa Serikali na wananchi wa Tanzania kufuatia mjadala ulioibuka baada ya kuwa moja ya watu waliowahi kuzua kauli tata za maandamano Mwaka Jana.
Baadhi ya wananchi na watumiaji wa mitandao ya kijamii wanamtuhumu Lucy Komba kuwa alikuwa...
Ukimjibu mtu ambae hana hoja katika jamii. Unampa mtu nafasi kujiona anafaa.
Dili la Chauma kutumiwa na CCM lilishabuma.
Andaeni maandamano ya nchi nzima Lissu aachaiwe maana akitoka nje CCM watakiona cha moto.
Kuweka mizengwe hakukusaidia tension iliyokuwepo already....
Wananchi wamebaki resentful kwa sababu ili serve kama reminder kuwa wako powerless hata pale rights zao zinapokuwa violated....(right to protest)
Kusema tuko vizuri kisiasa ni ku undermine hii tension iliyopo..ingawa tunaelewa ni...
Tukisema CCM ni takataka wakina Lucas Mwashambwa Tlaatlaah ChoiceVariable Crocodiletooth na wengine vinara.
Haya mtueleze haya maandamano ni ya pesa yapo uhuru kupitia wizara gani.
Mkija na jibu naomba kuuliza kama vibari hivyo na kuitisha hayo walipata kwa waziri wa kikosi cha ugaidi wa...
Kulingana na vyanzo ulivyotoa, neno "maandamano" na harakati za kudai mabadiliko zimezungumziwa katika mazingira mawili tofauti: maandamano ya wananchi katika nchi za Ghuba dhidi ya kambi za kijeshi za Marekani, na wito wa vijana wa Tanzania kuchukua hatua za ujasiri kudai mabadiliko ya...
Kwa miaka hii ya karibuni, tena wakati huu ambapo tunajiita Demokrasia imeongezeka, inashangaza watu kuogopa maandamano.
Nimemsikiliza Wazira juzi kwenye luninga , nikajua huyu ni mshamba mwingine tu.
Miaka ya Mwalimu, kwanza tukiwa Praimari, yalitokea maandamano makubwa sana kuunga Azimio la...
Tume ya Kitaifa ya Haki za Kibinadamu nchini Kenya (KNCHR) imewasilisha pendekezo la sheria mpya inayolenga kuweka mfumo wa kisheria wa kusimamia maandamano, mikutano ya hadhara, kupiga kambi za maandamano na mwenendo wa polisi wakati wa shughuli hizo.
Pendekezo hilo la Sheria ya Uwezeshaji wa...
Nimejaribu kuwaza maana maisha wanayoishi raia siyo poa kabisa. Ukiwa mjini utaona mambo yako sawa kiasi nenda vijijini mzee, aseeee
Ni mwendo wa kubeba bendera za Britain na chanting za "Long live the King! 👑"
Jioni hii naona makala za waturuki kukumbuka siku ya jaribio la mapinduzi ila kwetu kuna wa puuzi October 29 ni kama kulikuwa na kibao kata cha chawa.
uturuki wanatuzidi mambo mengi leo mnaona mpo kama hivi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.