maandamano

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Fbn

    JamiiForums Tanzania Mapinduzi ya Uturuki na waliyokumbuka na sheria zikabadilishwa ila hapa Tanzania mnaogopa nini?

    Jioni hii naona makala za waturuki kukumbuka siku ya jaribio la mapinduzi ila kwetu kuna wa puuzi October 29 ni kama kulikuwa na kibao kata cha chawa. uturuki wanatuzidi mambo mengi leo mnaona mpo kama hivi
  2. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Wafanyakazi wanaolipwa mishahara duni na kufanya kazi masaa mengi kwa siku wanatamani angalau kwa wiki siku moja yatangazwe maandamano ili iwe offday

    Hamjambo! Hii ni maajabu. Nasindwa kuhelewa. Katika mishemishe zangu huko nikatokea kijiwe fulani hivi huko mjini kati. Sasa wale vijana wanafanyia kazi katika moja ya viwanda hapa jijini. Vijana wanakuambia, kazi ni ngumu sana. Kazi wanafanya Masaa zaidi ya 12. Malipo ni kidunchu. Siku za...
  3. F

    JamiiForums Tanzania Haya maandamano mnayofanya hapa Watanzania nawaambieni yana matokeo makubwa zaidi kuliko yale ya mtaani

    Ni heri serikali ingeruhusu watu kuandamana mitaani kuliko haya maandamo yanayofanywa sasa mitandaoni. Maandamano haya yana madhara makubwa kwa utawala laiti wangefahamu hili. Maandamano haya hayafanyiki siku moja yakaisha kama yale ya mitaani, ni kila ukicha maandamano haya yapo na yanavuka...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Balozi Sefue: Maandamano halali yana masharti, watu wanasema Polisi wameua watu lakini polisi hawakuamka tu wakaamua kuua

    Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu, Balozi Ombeni Sefue, amewataka wananchi, hasa vijana, kuacha kuiga kiholela mifumo ya maandamano ya nchi za nje ambayo mara nyingi husababisha uharibifu wa mali, vitisho kwa vyombo vya usalama, na taharuki katika jamii. Akizungumza katika mahojiano na Mwananchi...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Siku 30 za CW zinatoa nguvu kwa maandamano ya 8/8 katika uso wa jumuiya ya kimataifa. Je mwaka huu utakuwa mwaka wa maandamano na migomo?

    Katika hali ya kipekee October 29 ni kama jana, hii siku haijafutika katika vichwa vya Watanzania wote na ukisoma Barua ya Common wealth, kuanzia siku 30, 60, 90 yote yanatoa nguvu Kwa maandamano ya 8/8 hadi October 29 kuwa na sura ya shinikizo la kimataifa na kuungwa kwake. Hizi siku 30...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Baada ya maridhiano nini kinafuata, uchaguzi unarudiwa au, Isije kuwa ni maridhiano ya kugawana vyeo maana kila baada ya uchaguzi maridhiano

    Kwa akili ya kawaida mnapokuwa na mgogoro mnatafuta sababu za mgogoro harafu ndo mnakubaliana kuutatua huo mgogoro , Hapo ili kupata suruhu huwa tunatafuta mtu watatu ambaye atakaa katikati kuhakikisha pande zote mbili zinaridhia yale yaliyojadiliwa na kuafikiwa yanatekelezwa. Kama sababu za...
  7. E

    JamiiForums Tanzania Serikali Ishughulikie Malalamiko ya Wanaoitisha Maandamano, Sio Kupambana Nao

    Tishio la maandamano la hivi karibuni la Julai 7, 2026, limeibua mjadala mpana na mzito nchini kuhusu namna bora ambayo Serikali inapaswa kukabiliana na changamoto za kisiasa na kijamii zinazochochea wananchi na wanaharakati kutangaza maandamano. Badala ya kuwekeza nguvu nyingi na mabilioni ya...
  8. K

    JamiiForums Tanzania Tishio la "Maandamano" linavyogeuka mtaji kwa Askari nchini Tanzania

    Toka oktoba 29, 2025 linapokuja suala la watu kuandamana, waandamanaji wamekuwa ni Jeshi la Polisi na Majeshi mengine katika maeneo mbalimbali ya nchi hususani mijini. Hali ya askari kurandaranda mtaani wakiwa na silaha nzito badala ya raia walioshikilia mabango imekuwa ikiwatisha wananchi hali...
  9. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Ratiba ya maandamano 2026

    Ya sabasaba yamepita bila watu wengi kuandamana kutokana na nguvu kubwa ya ulinzi iliyotumika kudhibiti maandamano Siku ya 7/7 ilitawaliwa na ukimya wa kutisha Barabara zilikuwa tupu Biashara asilimia 99 zilikuwa zimefungwa Watanganyika kwa asilimia 90 hawakutoka majumbani, kitu ambacho si...
  10. McLaren

    JamiiForums Tanzania Dangote aichagua Kenya badala ya Tanzania kuanzisha kiwanda kikubwa cha kusafishia mafuta

    Kampuni ya Dangote (Dangote Industries Limited) imetangaza mpango wa kujenga mtambo mkubwa wa kusafisha mafuta nchini Kenya utakaokuwa na uwezo wa kuchakata pipa 700,000 kwa siku Mabadiliko ya kutoka Tanga kwenda Kenya Mradi huu unakuja kufuatia taarifa za awali za Rais wa Kampuni hiyo, Aliko...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Vyama vya siasa ndio vipewe haki ya kuitisha maandamano kwa uwajibikaji na matokeo ya maandamano

    Kwako , Rais wetu Dkt. Samia Suluhu na Serikali kwa ujumla, Nakusalimu kwa jina la JMT, Nina ushauri wa kudhibiti hali ya tishio la maandamano la mara kwa mara. Katika matishio hayo inavyoonekana kwa nje , wananchi ndio wanayoratibu na wanayataka wao lakini ukweli ni kwamba maandamano hayo...
  12. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Wafanyabiashara Ubungo wachangishwa hela ya ulizi wa maandamano 7 7

  13. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania RPCs, OCDs, maRCs na maDCs wametumia uwepo wa maandamano ya 77 kutapeli wafanyabiashara mamilioni ya pesa eti ili biashara zao zilindwe 24hrs!

    Anaandika Hilda Newtown kutoka ukurasa wake wa X-TWITTER... ================== Baada ya Gen-Z kutangaza Maandamano ya Amani ya 7/7 #77Tunatoka. Sasa maandamano haya kwa MaRPC na Wakuu wa Wilaya nchini, wao wakaigeuza kuwa fursa ya kutapeli Wafanyabiasha wenye Maduka pamoja na wamiliki wa Petrol...
  14. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Hakuna maandamano haramu yatayokafanikiwa tena Tanzania

    Unaweza kuthibitisha mwenyewe kwamba wajinga waliisha Tanzania. Hayupo mTanzania atakae kubali tena kujitokeza barabara kupiga mayowe kama mwendawazimu, kopora mali za wengine, kuharibu miundombinu, makazi au ofisi za umma, kumuumiza au kumuua mTanzania mwingine kwa niaba, faida au manufaa ya...
  15. passioner255

    JamiiForums Tanzania Maandamano yamefanikiwa

    The fact that maandamano yameleta usumbufu wa kisaikologia kwa watawala ni ushahidi kuwa watawala hawa waovu wanakosa utulivu na wametingishwa.tunajua kabla ya siku ya leo kila kiongozi wa serikali hii alitoa Tamko. Lakini tujiulize haya mambo yataendelea hadi lini?hii ni zao la nchi kuendeshwa...
  16. L

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Amefanikiwa Kugusa Maisha ya Watu Na Mahitaji ya Mioyo yao na ndio Maana Hakuna Mtanzania Mwenye Kuunga Mkono Maandamano

    Ndugu zangu Watanzania, Watanzania wa Leo chini ya Uongozi Thabiti na Madhubuti Wa Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan hawawezi kukuelewa wala kukuunga Mkono wala kukusikiliza wala kuwa nyuma Yako ukiwaambia habari za kuandamana...
  17. Wazalendo_Tz

    JamiiForums Tanzania Sioni umuhimu wa maandamano

    Kila mtu atafute hela yake, mwanasiasa hawezi kukuletea pesa ya kula. Vijana pambaneni, mnatumiwa na wanasiasa kupigania nafasi zao
  18. Chakaza

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya Leo ni Kama Tufanyapo Uchaguzi, Anayeshinda X Anatangazwa Y. Leo Maandamano Wamealikwa Wengine Wanaandamana Polisi!

    Kuna mambo yanaendelea ni ya kushangaza, Sasa ona Leo hata kazi za ujenzi wa taifa na uchumi wa individuals hazijafanyika kisa Waandamanaji wamealikana wao wenyewe lakini walioandamana na kwa gharama kubwa ni askari wetu. Hii tabia Sasa inajirufia sana, uchaguzi nao tumekuwa na tabia hii ya...
  19. Yoda

    JamiiForums Tanzania Nini huwa kinawasukuma watu wa kawaida kwenda kwenye maandamano ya timu za michezo?

    Katika vitu ambavyo huwa sijawahi kuvielewa ni mtu wa kawaida tena mvuja jasho tu kufunga safari kwenda kwenye maandamano ya timu ya mpira au paredi akitumia muda wake na gharama zake mwenyewe, Sijawahi kuelewa wanafaidika nini na maandamano kama hayo, michezo kuna namna fulani huwa inawafanya...
  20. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Watanzania wamechagua amani badala ya vurugu: Wanaharakati wa maandamano wameshindwa

    Leo, tarehe 7 Julai 2026, Jiji la Dar es Salaam limeshuhudia mtihani mzito wa kisaikolojia baada ya barabara kuu kuwa tupu na maduka mengi kufungwa, kufuatia hofu ya maandamano yaliyohamasishwa na wanaharakati lakini yakapigwa marufuku na serikali. Hatua hii ya serikali ililenga kuzuia ghasia na...
Back
Top Bottom