watanzania

There are currently over 50,000 people of Indian origin in Tanzania. Many of them are traders and they control a sizeable portion of the Tanzanian economy. Indians have a long history in Tanzania starting with the arrival of Gujarati traders in the 19th century. They came to gradually control the trade in Zanzibar. Many of the buildings constructed then still remain in Stone Town, the focal trading point on the island.

View More On Wikipedia.org
  1. Miguel Felix Gallardo

    JamiiForums Tanzania Kijana jipende, jithamini jiwekee akiba usitie huruma wabongo na michango yao ya kiwaki

    Hivi aliyetuloga ni nani????!!!! Mtu anaakili kweli, mtu mzima kabisa anajua kabisa life limetyt mithili ya skin tyt na bado anapitisha michango ya kipuuzi. Nani aliyetuloga waTz kuwa fantacies zako zitakuwa fullfilled with my poor pockets.Who are you!!! seriuosly GADEMIT!!! Yaani unanifata...
  2. A

    JamiiForums Tanzania KERO Ajira za Watanzania katika Mradi wa EACOP ziangaliwe kwa karibu na Serikali

    Mradi wa EACOP ulianza mwaka 2021 na sasa mwaka 2026 unakaribia kufikia mwisho. Hata hivyo, kuna wasiwasi mkubwa kuhusu utekelezaji wa mpango wa uhamishaji wa ujuzi na urithishaji wa nafasi (succession plan), hususan kwa wafanyakazi wa Kitanzania. Kwa zaidi ya miaka minne, Watanzania wamefanya...
  3. Stability

    JamiiForums Tanzania Watanzania tunatia huruma, sio tu kwa dhiki zetu zilizoota mizizi lakini pia ulimbukeni humu mitandaoni

    Inasikitisha, kile tunachofahamikia zaidi huko mitandaoni uwezo wa wadada zetu kukata viuno katika ngoma za asili "traditional twerk" lakini pia ni chudai za kuchimbuana mitalo bongo ndio inaongoza kama kiwanda namba moja africa Ukija huku kwenye forums hakuna cha maana zaidi ya watu kutukanana...
  4. A

    JamiiForums Tanzania Wahanga 12 wa vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Sudan wamewasilisha malalamiko ya kihistoria ya jinai nchini Kenya

    Wahanga 12 wa vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Sudan wamewasilisha malalamiko ya kihistoria ya jinai nchini Kenya, wakiwashutumu wanachama wa kundi la RSF kwa kutenda uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya ubinadamu. Inaaminika kuwa hii ndiyo kesi ya kwanza ya aina yake chini ya sheria za...
  5. zaza1

    JamiiForums Tanzania Kauli za ubaguzi zinahatarisha muungano na umoja wa taifa

    Kwa muda sasa kumekuwa na mijadala na taarifa za baadhi ya viongozi Zanzibar kutoa kauli zinazoonekana kuwatenga au kuwashutumu Watanzania kutoka Bara, wakidai wanachukua ajira, fursa za kiuchumi au hata kupendekeza huduma zipatikane kwa kuzingatia asili ya mtu. Kama kweli kauli hizi zinatolewa...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Asha Said Hamis a.k.a, Asha Kimambi. Mwanamke wa Kimakonde kutokea mkoa wa Lindi, aliewaletea Watanzania kiumbe kinaitwa Mange Kimambi

  7. A

    JamiiForums Tanzania Watanzania tunaabudu sana viongozi, inatumaliza

    Watanzania tunaabudu sana mtu anaeitwa kiongozi. Tunakuwa "awe stricken...." tunazidiwa na furaha. Nimeona clip Kenan Kihongosi - of all the people - ametokea kwenye tawi la CHADEMA sijui ni mkoa gani pale..... Tawi kabisa lina jiwe la msingi na mabendera ya CHADEMA Watu wakaanza...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Hii ndiyo sababu ya pengo la maendeleo kati ya Wakristo na Waislamu kwetu Watanzania wa asili

    Kwa muktadha wa post hii wahusika ni Watanzania wa asili pekee, bila kuhusisha Watanzania wenye asili ya kuhamia kutoka nchi nyingine (waarabu, wahindi, wachina, wasomali, n.k) Unapo observe demographics za watanzania wa asili ni rahisi sana kugundua kuna gap kubwa la kiuchumi kati ya waislam...
  9. instinct desire

    JamiiForums Tanzania Hotuba za Rais Samia Suluhu kimataifa zinatuheshimisha watanzania, lazima UN watafanya nae kazi baada ya Urais kuisha

    Mh. Rais anaongea hotuba ambazo zipo very neutral hazifungamani na upande wowote hotuba zake zinaiishi falsafa ya Non aligned Movement (NAM) NI RAIS anayetumia akili kubwa kujibu hoja, ni Rais anayefatiliwa sana duniani, Leo hii vyombo vyote vya habari vinamtaja Dr Samia. Nadhani UN...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Ni ujinga wazanzibari 4% ya Watanzania kupiga kampeni za kibaguzi!!! kwa 96%

    Ni ujinga wazanzibari 4% ya Watanzania kupiga kampeni za kibaguzi!!! kwa 96%. Wabunge kutoka zanzibar wameanza kampeni za kibaguzi na kumuita huyu VP fake Yuda. Sasa hii inaweza kuleta fikra za kibaguzi kwa Watanzania pamoja na uvumilivu ubaguzi kwa watanganyika ni mkubwa sana kipindi hiki...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Watanzania majembe wanaommaliza Samia huko US

  12. S

    JamiiForums Tanzania Mmemsikia Mbunge wa Tunguu, Zanzibar Simai Saidi akitamka "Watanzania na Wazanzibari"? Hawa watu wanatafuta nini lakini?

    Nashangaa Mbunge wa Baraza la Wawakilishi na Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu Simai Saidi akimwaga sumu zake kuwa kuna Yuda, ametumia kauli "wanachotaka Watanzania na Wazanzibar" na hakuna mbunge hata mmoja alieomba mwongozo toka kwa spika. Hivi hawa watu wanatafuta nini lakini? Wee haya...
  13. R

    JamiiForums Tanzania Luhaga Mpina: Nilishirikishwa ufisadi na "mamlaka kuu" nikakataa, naogopa laana za Watanzania

    Amejitoa mhanga! Anytime soon atabambikiwa kesi ya Uhaini! Or any other life threatening attempts on him Huyu ni next to Lisu! Msikilize Note: mamlaka kuu ameitaja, sikutaka kuiweka kwenye heading
  14. Voltaire

    JamiiForums Tanzania October 29: Kumbukumbu ya Vifo vya Watanzania!

    Siasa zilivyo na kwa jinsi mambo yalivyo hadi sasa..baada ya huu utawala kumaliza kipindi chake, tukubali tukatae hii siku lazma itaingizwa kwenye siku za maombolezo makubwa sana nchi nzima! (JUMATANO NYEUSI). Iwe ni CCM au upinzani watakaokuwa madarakani..mliopo madarakani sasa mtatumika kama...
  15. K

    JamiiForums Tanzania Msaada utakaothaminiwa na waTanzania

    Ni jambo linalotia matumaini kwamba hali duni inayolikabili taifa la Tanzania hatimaye imewagusa hata watu wa mataifa ya nje; si Ulaya Magharibi au Marekani pekee bali hata katika nchi za kiafrika na baadhi ya majirani zetu; hata kama baadhi yao hawsemi chochote hadharani kwa sababu...
  16. Chizi Maarifer

    JamiiForums Tanzania Kumbe "Assalamu alaykum" ndio salamu ya Watanzania ?

    Mzuka wana jamvi ? Nilikuwa natafuta salamu halisi ya kitanzania maana watu wanasema shikamoo haina mana na ni salamu ya kitumwa . Nimeona YouTube clip ya Oscar Kambona , alivyotangaza BBC Swahili kwa mara ya kwanza enzi hizo kabla uhuru katika tukio kubwa alianza kuwasalimia watu kwa salamu...
  17. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Kupata Maendeleo ya Kweli, Watanzania Lazima Tubadili Mind Set Tuchagie Maendeleo, Afya na Elimu. BMH Hospital Anahitaji 7B!. Tuichangie!.

    Wanabodi Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la leo. Sisi Watanzania tuna utamaduni wa kuchangiana kwenye sherehe au misiba, hivyo ili Tanzania tuweze kupata maendeleo ya kweli, maendeleo endelevu, Watanzania ni lazima tubadilike sio tusichangie sherehe au misiba, bali tubadilike na...
  18. passioner255

    JamiiForums Tanzania Huu ni mwanzo tu wa wahuni wa CCM kulipa damu za watanzania

    CCM naendelea kuwakumbusha huu ni mwanzo tu mtalipia damu mlizomwaga za watanzania. Nawakumbusha damu huwa inalipwa kwa damu huu ni mwanzo tu. Nawashauri kabla ya mambo hayajakuwa mabaya zaidi vunjeni kichwa cha nyoka.kwa sababu tunajua mkuu wa haya yote yaani yule mstaafu. NB:sio...
  19. P

    JamiiForums Tanzania Watanzania na unafiki wa kimkumbo

    Nimekuwa mkubwa sasa na ninaweza kuyaona mambo kwa upande wa nyuma tofauti na wengi wanavyotazama Matango pori ninayang'amua mapema kabla hayajaniteka kama baadhi ya Watanzania wa sasa walivyo. Wanapenda kucheza midundo ambayo hata hawajui uelekeo wake ni upi, lakini unaweza kuwaelewa kwa...
  20. Anana_

    JamiiForums Tanzania Natamani Watanzania tuanzishe Sanduku la kuchangia nguo tusizozitumia kwa wenye uhitaji

    Wakuu, nimefanikiwa kutembea baadhi ya mikoa vijijini kama Dodoma, Kagera, Kigoma, na Mara. Hali ya watanzania wenzetu vijijini hairidhishi, nawaza hata tungeanzisha visanduku vya misaada ya nguo ambazo hatuna matumizi nazo ili ziwasaidie wengine huko. Najua wengi tuna nguo ambazo zipo tuu...
Back
Top Bottom