mambo

The Museo d'Arte Moderna di Bologna or MAMbo is a purpose-designed museum of modern and experimental art in Bologna, Italy. The Museo Morandi, which displays a large collection of works by Giorgio Morandi, is temporarily housed in a part of it.

View More On Wikipedia.org
  1. Mstahiki Mea

    JamiiForums Tanzania Mambo yanayoweza kufanya Ukishinda Beti (Mkeka usilipwe)

    Kwenye tasnia ya betting malalamiko hayaishi pengine ni kutokuwa na uelewa wa wahusika na wadau leo naona niorodheshe mambo ambayo yanaweza kusababisha usilipwe mkeka hata kama umeshinda na nihatua gani ya kuchukua ,, vile vile nitaeleza mambo yanayochelewesha malipo. UKIFANYA MAMBO HAYA...
  2. Tajiri Tanzanite

    JamiiForums Tanzania Kwa nini manabii na mitume hawakuona mambo haya

    Hapo vip! Binafsi naheshimu na kuamini dini zote zinazomtambua na kumuamini Mungu. Ila binafsi nimejikuta mimi ni mkristo na naamini nipo eneo au katika imani sahihi na ya kweli pasina shaka. Ila nina swali huwa najiuliza,biblia yetu pendwa na iliyojaa hekima,unabii,upendo ,unyenyekevu na...
  3. Megalodon

    JamiiForums Tanzania Wakuu Tusipuuze ishu ya Dr. Emmanuel Nchimbi na taarifa zinazoitwa za Upotoshaji, mambo huwaga hivi hivi …..

    Well , taarifa za Dr. Emmanuel Nchimbi (PhD) kuhusukujiuzulu zilianza chinichini hadi Gazeti moja likapigwa ban , mwisho wa siku ni kweli Daktari Nchimbi akalazimishwa kuachia Ofisi - Ni taarifa za Upotoshaji zilizokuwa kweli Kifo cha JPM kilianza kama drama na upotoshaji, baadae ni kweli JPM...
  4. H

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) na Katibu Mkuu Balozi Dkt. Samwel Shelukindo wakiwa kw

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) na Katibu Mkuu Balozi Dkt. Samwel Shelukindo wakiwa kwenye picha ya pamoja na Waheshimiwa Mabalozi wanaowakilisha nchi zao Tanzania, pamoja na Wawakilishi wa Mashiriki na Taasisi za Kimataifa nchini...
  5. Red black

    JamiiForums Tanzania Kwenye utafutaji wa ridhiki/kipato kuna mambo mengi sana.

    Majungu Fitina wizi Uongo Utapeli kupata na kukosa ukiwa na roho ndogo una-give up mapema sana #Wapambanaji wote msio kaa kwa shemeji zenu mnatoka asubuhi ghetto kwenda harakati big up sana.
  6. Kisesetusese

    JamiiForums Tanzania Mambo muhimu ya kuzingata wakati wa El Nino

    El Niño na maandalizi ya mvua kubwa Nyumba: Kagua paa, mifereji ya maji na sehemu zinazovuja. Mafuriko: Ondoa taka kwenye mitaro na epuka kujenga/kukaa kwenye maeneo yanayotuamisha maji. Maji: Hifadhi maji safi ya matumizi endapo huduma itakatika. Chakula: Kuwa na akiba ya vyakula...
  7. kavulata

    JamiiForums Tanzania Vurugu za Oct29 hazitokani na madai ya Katiba mpya. Tusichanyanye mambo hapa

    Kuna watu wanataka kupandia juu kwa kutumia ngazi ya vurugu za Oct29 kupata Katiba mpya. Chanzo halisi cha vurugu za Oct29 ni kifo cha Rais Magufuli na ujio wa Rais SAMIA madarakani. Nyingine hizi zoote ni mbwembwe za kutumia fursa za vurugu na vifo vilivyotokea. Kama JMP angekuwahai...
  8. Tochuku

    JamiiForums Tanzania Eti waziri wa mambo ya ndani...eti shekhe(uchwara) mwaipopo alianzisha kikosi kwa ajili ya kuua wananchi alikua ana NIA NJEMA.. whaaat????

    HUYU ni wazuri Gani huyu? Kuna mawaziri wengine wa nchi nyingine wanafanya kazi iliyotukuka...nani anamjua wazuri wa mambo ya ndani wa Rwanda? Au south Africa? Au Botswana? HUYU waziri wenu Niko hapa nasema ni Kichekesho sijawah kuona. Hivi hii nchi Ina laana ama imelogwa? Ni uchawi Gani...
  9. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Tunapenda kulaumu madogo wa Jenzii ila tunasahau wanafanya wanayo fanya kupitia uvumbuzi wa vitu na mambo tulioleta sisi millenials

    Ooh mabinti wa jenzii wanaliwa jicho sana, ila ni nani alio wafundisha tangu wakiwa shuleni, si ndio nyie milenials wenyewe Ooh vibinti vya jenzii vinajiuza sana mitandaoni, kwani ni nani ni inventor wa social media na kuruhusu policies za utupu si ni vijana wa millenials kurudi nyuma? Ooh...
  10. mirindimo

    JamiiForums Tanzania SAMIA : MPANDISHE CHEO IGP AWE WAZIRI WA MAMBO YA NDANI HALAFI WAZIRI AWE IGP AU MPELELEZI MAANA ANAFANYAKAZI ZA POLISI

    Yule Waziri anajia work descriptions zake kweli ? Ukute alimwagiza IGP kufanya anachokifanya akagomewa akaona sio kesi afanye hayo mahojiano mwenyewe
  11. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania UPANUZI NA UBORESHAJI WA BANDARI YA DAR ES SALAAM MAMBO YAZIDI KUNOGA

    UPANUZI NA UBORESHAJI WA BANDARI YA DAR ES SALAAM MAMBO YAZIDI KUNOGA UJENZI WA MATENKI YA KUPOKEA NA KUHIFADHI MAFUTA WAFIKIA ZAIDI YA ASILIMIA 52. Mradi huu Utagharimu kiasi cha Shilingi Bilioni 678 za Kitanzania. Matenki haya yatafanya jumla ya Ukubwa wa Cubic Meter 389000 sawa na Lita...
  12. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Mambo ambayo mwanaume akifanya Mwanza/ Usukumani, jamii yote itamshangaa

    Ngoja nikwambie mambo ambayo huko Mwanza ulikuwa ukiyafanya unaonekana wa ajabu...! 1. Mwanaume kula viazi mchana kama chakula... mwanaume kama alikuwa anakula viazi basi viwe vimechomwa 😂 2. Kupika dagaa wana vichwa.. 3. Kwenye msiba watu kula majurijuri... majurijuri ni wale watoto wa...
  13. Setfree

    JamiiForums Tanzania Mtengeneza maudhui maarufu - Youtube, aliyekuwa akibeza mambo ya dini, aamua kuokoka na kubatizwa katika maji mengi!

    Hii habari ni moto sana! Kila mtu anapaswa kuisoma mwanzo mpaka mwisho. Kweli Mungu anawapenda watu wote. Amebadilisha maisha ya Mtengeneza Maudhui(Youtuber) maarufu mwenye umri wa miaka 30, aliyejizolea mamilioni ya Subscribers kwa video zake za comedy, muziki, boxing na survival challenges...
  14. Diaspora Messenger

    JamiiForums Tanzania Hapa duniani hakuna laana au baraka mambo yote yapo kama yalivyo.

    Hapa Duniani hakuna baraka wala laana mambo yote hayana maana ni wewe ndo unayapa maana. Jambo unaloliita laana kwa mwingine ni baraka na jambo unaloona kama baraka kwa mwingine ni laana So , mambo yapo kama hivyo
  15. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Mambo 20 ya kipekee usiyoyajua kuhusu Tanga

    Reli ya Kwanza Tanzania Bara – Tanga (1893). Shule ya Kwanza ya Sekondari ya Serikali – Tanga (1890) (Tanga Old School). Shule ya Kwanza kabisa (ya Anglikana) nchini Tanzania – Magila, Muheza, Tanga (1848). Taasisi ya Kwanza ya Utafiti wa Malaria Duniani – Ubwari, Muheza, Tanga (1949). Hospitali...
  16. W

    JamiiForums Tanzania Kama unataka kuwa na Fikra Tulivu fanya mambo haya mawili

    1)Elewa ukomo wa fikra, Ni mambo mengi yanajiri katika maisha yetu, Si yote tunauwezo wa kuyadhibiti tupendavyo katika uhalisia. Lakini fikra zetu zimebeba vita kubwa ambazo mikono yetu haiwezi pigana. Hali hii imejaza ukungu katika mawazo yetu ambapo hutufanya tuteseke kimawazo na kihisia...
  17. Trainee

    JamiiForums Tanzania Hii nchi kuna mambo wewe unajua yamebaki stori lakini kumbe kuna maeneo ukienda unakuta watu wanayaishi bado!

    Mtandao na internet Kuna maeneo Bado watu wanajitega kwa ajili ya kupiga simu na kuingia internet Tigo na kujimwambafai kote Kuna maeneo Bado ni bilabila Barabara na uchukuzi Kuna maeneo Tanzania hii hii kipindi cha mvua wanakata muingiliano/mawasiliano ya kutoka na kuingia mpaka mvua...
  18. youngkato

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kuanzisha na kufanikiwa katika biashara ya Vifungashio Tanzania

    Biashara ya vifungashio ni miongoni mwa fursa zinazokua kwa kasi nchini Tanzania. Ukuaji wa viwanda vidogo na vya kati (SMEs), pamoja na ongezeko la wajasiriamali wanaozalisha vyakula, vinywaji, vipodozi na bidhaa za matumizi ya nyumbani, umeongeza kwa kiasi kikubwa mahitaji ya vifungashio bora...
  19. youngkato

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kufanikiwa katika biashara ya kununua na kusafirisha mazao Tanzania

    Unaweza kununua mahindi, mpunga, maharage, karanga, alizeti, mihogo au mazao mengine kutoka maeneo yenye uzalishaji mkubwa na kuyapeleka kwenye masoko yenye uhitaji. Lakini bila mpango mzuri, biashara hii inaweza kukuletea hasara badala ya faida. Biashara ya kununua na kusafirisha mazao ni...
  20. SIR MGAX

    JamiiForums Tanzania Je, wajuzi mna nini cha kusema kuhusu mawe haya?

    Niliwahi kupata ufumbuzi juu ya haya mawe,lakini kwa bahati mbaya sikumaliza elimu kutoka kwa aliyekuwa akinipatia. Je,wajuzi wana nini cha kusema kuhusu mawe haya? Cc: Seran Mshana Jr Rakims
Back
Top Bottom