The Museo d'Arte Moderna di Bologna or MAMbo is a purpose-designed museum of modern and experimental art in Bologna, Italy. The Museo Morandi, which displays a large collection of works by Giorgio Morandi, is temporarily housed in a part of it.
Habari Mjasiriamali, karibu kwenye Episode 1 ya "Business Compliance series" Na Leo tunaongelea Compliance ya kwanza "Annual Returns"
Hii ni application ambayo hufanywa na Kampuni kila mwaka katika maadhimisho au birthday ya Kampuni.
Wamiliki Wa Kampuni, directors, wakili au secretary Wana...
Ukitaka kufahamu uhakika wa kichwa cha habari nilichoandika tafakari juu ya mtu anapokufa waliobaki huwa wanafanya nini? (Jiulize tu kwa dhati ya moyo wako na ujijibu). Jibu la swali hilo ndiyo uhakika wa maisha yalivyo.
Ni wewe tu umekaa unawawazia wao ila kwa hakika watu wana mawazo yao na...
Kwangu mimi na amini asilimia kubwa jinsi walivyo mpata pole pole ni mitandao ya simu ndio ilivujisha root trace ya pole pole.
Kwa kipindi chote inaonekana kumtafuta waliangalia namba za simu za ukaribu wake na watu wake.
Hapa tunaweza kuweka asilimia nyengine waliomzunguka kwa...
Haya matendo uwa yapo na yana kuwepo mfano kwa idd amini ilishafanyika,sudan ya kaskazini na sasa naona kwa tanzania kufanyika tena kuna hatari kubwa.
Katika majukumu yangu juzi tarehe 8 mwezi wa saba pale kahama kulikuwa na jubilee kanisa la roma .Ila kilicho isikitisha kulikuwa na matumizi...
Haya mambo huenda taratibu sana lakini madhara ni makubwa
Jumuia ya madola ilimtuma Chakwera viongozi wetu wakampiga siasa wakajua wamemtuliza kumbe aliandika hati chafu leo hii tunaona tamko la jumuia
Najua kama kawaida yetu na serikali sikivu hii watakuja watu kede kede kuifokea...
Tumeshuudia kila kiongozi wa iran aliwahishwa haraka kupokea mabikra 72.
Kwa sasa nchi ya irani inaogopa hata kutangaza huyu ni kiongozi gani maana kwa mashambulizi wanayo pokea mpaka nyumbani kwao na familia zao wameona kuishi kwa mtindo giza.
Huyu naye inasakiwa amepotezwa.
👇
Julius Mbalile Erick (pichani), alikuwa ni Katibu Mwenezi wa CHADEMA Kata ya Murongo Jimbo la Kyerwa mkoani Kagera. Kwa mujibu wa taarifa ya aliyekuwa Mbunge wa CHADEMA, Anatropia Theonest ambayo imetolewa leo, Julius Mbalile Erick alitekwa na kupotea katika...
1.��️ Uvutaji wa sigara
2.��️ Unywaji wa pombe
3.��️ Utumiaji wa vyakula au vinywaji vywenye Caffeine kama vile Kahawa,Chocolate, Soda nk
4.��️ Kula vyakula vyenye mafuta mengi/vyakula vilivyokaangwa
5.��️ Kula chakula kingi kupita kiasi ama kula usiku sana.
6.�� Kutumia baadhi ya Madawa...
Yaan leo aliyekaa nyuma yangu hapa ni Yale mambo Nataka Mimi nyama nyingiiiiiii mchuzi kwa mbaaaaliiii
Toto limeshanijoin ***** linaagiza tu now ni 340$ kabisa Dadek
Katika waraka wa maridhiano uliowasilishwa na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi, Zena Ahmed Mohamed, pande zote mbili zimekubaliana kuzingatia misingi saba muhimu itakayoongoza utekelezaji wa makubaliano hayo:
1. Kuimarisha ushirikiano wa dhati kwa kuzingatia hali halisi ya...
Kuna haka ka Tabia ka kubeza nguvu na sacrifice za watu! Hasa jasho kwenye vyama! Naona CHADEMA mmeanza kujisahau kisa tu mtu mmoja ambaye anataka ambition zake zitimie
Mimi ni CCM mfu niwe wazi, ila Ninapenda kuona CHADEMA ikiendelea kuimarika zaidi na zaidi kwa kuwa ndo chama mbadala, achana...
. Epuka kufanya ngono hadi matibabu yakamilike na daktari athibitishe kuwa ni salama, ili kuzuia kuambukiza wengine au kuambukizwa tena.
Hii watu wengi hupuuzia lakini imekuwa ikifanya watu wengi kutokupona kabisa maana unapokuwa unatumia dawa hata wale bakteria walinzi wanakuwa wanazidiwa na...
Wanaukumbi.
IRGC ya Iran Yajibu kwa Mgomo Mzito kwenye Kambi za Marekani
Makao Makuu ya Khatam al-Anbiya: Hatutaruhusu Marekani kuingilia mambo au kusimamia Mlango-Bahari wa Hormuz.
🔹 Tukio hilo lisilo la kawaida na uwepo wa umma katika msafara wa mazishi na sherehe ya kumuaga kiongozi...
Mimi ni mmoja wa watumishi wa Kituo cha Afya Yombo Vituka, na ninaomba kufikisha kilio chetu kuhusu mazingira ya kazi ambayo kwa muda mrefu yamekuwa magumu kutokana na mwenendo wa katibu wa kituo chetu.
Sisi watumishi tunafanya kazi kwa muda wa ziada (overtime), lakini malipo yake hayafanyiki...
Anonymous
Thread
afya
kituo
kituo cha afya
mambomambo ya
sawa
serikali
uongozi
watumishi
yombo vituka
Kuna swali huwa ninalojiuliza sana peke yangu, naomba nishare hapa
Utasikia watu wakisema ulimwengu wa roho, ulimwengu wa siri. Hivi huo ulimwengu huwa ni upi?
Je, mambo ya ulimwengu wa roho au ulimwengu wa siri huwa ni pamoja na ndoto tunazoota usiku au mchana?
Au tuseme ndoto huwa ni dunia...
Vyanzo vyangu vya Taarifa vimejihakikishia hakuna Kunguni yoyote aliyetoka leo baada ya Katazo la Waziri wa Mambo ya Ndani Mheshimiwa sana Patrobas Katambi. Mikutano ya Chuki, Matusi, Uzandiki na Uchochezi hatimaye imekwisha kabisa. Kama ulikua hujui hiyo ndiyo Serikali.
Kwa kipindi tulichopo nakushauri fukuza huyo waziri wako anaitwa Katambi huyu ni Kama anakuhujumu mchana kweupe.
Kwa kipindi kama hiki joto ni kubwa kwenye nchi yetu liko juu sana sio ndani ya nchi tu mpaka nje ya nchi tumeona nchi za magharibi zinataka kutunyima...
huyu
kipindi
mambomambo ya
mambo ya ndani
mzigo
naomba
ndani
rais
rais samia
rais samia suluhu
rais samia suluhu hassan
samia
samia suluhu
samia suluhu hassan
sio
suluhu
tatizo
waziri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.