The Museo d'Arte Moderna di Bologna or MAMbo is a purpose-designed museum of modern and experimental art in Bologna, Italy. The Museo Morandi, which displays a large collection of works by Giorgio Morandi, is temporarily housed in a part of it.
Wakuu, maafande wi
Baada ya kushiba kipolo cha wali na chai ya maziwa hapa nimewaza mambo mengi sana ...
Hebu fikiria kama watanzania wote million 70s tungekuwa na ideology au tungesuport falsafa za chama tawala .....bila upinzani nafikiri Tanzania tungekuwa mbali zaidi kiuchumi hapa Africa Kwa...
1. Nikiwa sekondari wakati tunaanza form 2 nilijikuta accidental Nanyoosha mkono kugombea uongozi wa darasa, Nilipata Kura Moja (1) yani kura moja yakujipigia mwenyewe darasa lina zaidi ya wanafunz mia.
then kuna rafik yangu wa karibu alitafuta nafasi muda tukiwa darasani akajipitisha na maneno...
Ukweli lazima usemwe. Hii ni wizara ambayo inagusa maisha ya kila mtanzania.
Kuna vijimtu vipuuzi na vipumbavu kuwa wasimamizi vinadhania vimemaliza maisha.
Vinanyanyasa watumishi na kuwatukana kama housegirls wao.
Tangu Rizimoko aingie madarakano kama waziri wa menejimenti ya utumishi na...
Kuna mambo nilijua nimeona na kusikia mengi ila hili alilolileata britanicca kwenye uzi wake wa episode 1 mambo yanayotokea huko ughaibun limenizuhuzunisha na kuona hela zinachukua nafasi ya ubinadamu.
"Ntaendelea na kisa cha Mtanzania aliyeambukiwa online kufika anaambiwa wamnyee mdomoni na...
Yaani Kila ukifungua redio utasikia, "hizi si mambo zangu", "mambo zako?" nk. Kibaya zaidi wanaozungumza haya ni vioo vya jamii na ni wasomi, kwamba lazima watakuwa wamesoma kipengele cha ngeli za nomino wakiwa O level.
Nawasihi watangazaji waache hii tabia mara moja tabia hii.
Ni waziri kuwa Hali si shwari Tena kati ya Israel na marekani. Rais Trump ameamua kuukosoa kwa wazi na kuubeza utawala wa Israel bila aibu.
Leo makamu wa rais JD Vance nae ameongea na kueleza kuwa Israel hawana adabu na wanapaswa kumshukuru Donald Trump's na akaendelea kusema kuwa Israel...
- Kupiga simu badala ya kutuma ujumbe.Gen z wanapendelea kutuma ujumbe kupiga simu wanaona ni kuingilia uhuru wao binafsi.
Mambo gani mengine yakushangaza funguka?
jamaa zangu mara nyingi huwa wananiambia "Chidy unapenda sana chini we jamaa" kwa kweli siwakatalii mimi napenda sana chini na huko kumenisaidia katika mambo mengi sana kwa kuwa nilipoanza kuwa napenda chini nikagundua ukipawezea huko chini kuna utajiri mwingi sana sema watu hawajui tu au...
Hizi mambo zichunguzwe aiseeeeee
Huu ujumbe naona una circulate kwenye makundi kadhaa huko whatsap nadhan huyu ndo britanicca wa hapa au wapo tofauti ?
Tangu alipoamua kuzungumza wazi kuhusu masuala mbalimbali ya uongozi, siasa na utawala nchini, Humphrey Polepole amekuwa mmoja wa viongozi waliozua mjadala mkubwa katika jamii.
Wapo waliomuunga mkono wakisema alikuwa anatoa tahadhari muhimu kwa mustakabali wa taifa, huku wengine wakiona kauli...
My Take
Jarida Maarufu la Habari za Intelijensia na Usalama Afrika "The African Report" limechapisha habari hii kuhusu Wakuu wetu.
Kama sio ukweli na chokochoko za kibeberu kutia chumvi basi ni vyema Serikali ikakanisha.
Mjumbe Hauwawi...
Watu wengi hujiunga na vyama vya siasa kwa sababu ya ushawishi wa marafiki, familia, viongozi maarufu au hisia za wakati huo. Hata hivyo, hatua muhimu ambayo mara nyingi hupuuzwa ni kuelewa itikadi ya kisiasa inayosimamia chama husika.
Itikadi ndiyo msingi wa mawazo, sera na maamuzi ya chama...
1. Kilimo cha kutupa maendeleo kinahitaji uwekezaji mkubwa wa pesa na sio hiki kilimo cha jembe la mkono na kutegemea mvua.
2. Ongezeko la wawekezaji kwenye pombe kali na kamari unatugharimu nguvukazi na maadili. Kodi kubwa ziongezwe huko ili kuwakatisha tamaa wawekezaji kwenye hayo mambo ya...
Elimu ya sheria kuhusu usajili wa Makampuni nchini Tanzania.
(Procedures for the registration of companies, costs for registration and things to take into account before and after registration of a company in Tanzania).
Mwandishi: ZECHARIAH WAKILI MSOMI
(MWANASHERIA)
(0612275246 📞)...
MOJA YA DALILI KWAMBA UTAFELI MAISHA NI KUCHUKIA WANAOKUZUIA USIFANYE MAMBO MABAYA.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.
1. Ishara za mwanzoni kabisa za mtu kufanikiwa maisha sio katika bidii yake, sio katika Uchapakazi wake, sio katika uhodari na ujasiri wake.
2. Ishara za mwanzoni ukitaka ujue...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.