=================
Tumuulize Bwana Kamusi tujue exactly maana ya neno "nyukua" na mnyambuliko wake...
Na hii ndiyo maana yake...
NYUKUA:
Ni kitenzi cha Kiswahili kinachomaanisha kufinya, kunyofoa, au kung'oa kwa ghafla kwa kutumia vidole, na kitu chenye ncha kali:
Mnyambuliko wa Maana na...
Wakuu hii imakaaje kwamba kwamba wazanzibar ndio wanauchungu na Zanzibar ila watanganyika wao ni mapoyoyo yanalipwa kufanya chochote.
Wazanzibar walikupigia kura kwa sababu ya uwezo au uzanzibari wako!? Watanganyika wao ni wakurubuniwa kufanya chochote
Zunguka Tanzania nzima utakutana maelfu kwa mamilioni ya wanannchi wakichimba dhahabu kwenye hali duni kabisa. Hawana mitaji, vifaa vya kisasa na mazingira wanayofanyia kazi ni hovyo.
Leo hii kigezo cha Wachimbaji wachache ambao wanavijisenti vya kukodi helkopta inatangazwa kuwa sababu ya...
Zanzibar walifanya mazungumzo yao chini ya Wazanzibari.
Hakutakuwa na maridhiano ya Tanzania, hadi Watanganyika tutakapo ridhiana kwanza.
Wazanzibari lazima wajue ni wakati wa kurudi kwao, siku kadhaa zijazo itabidi tutumie kitabu cha Rwanda, kuidai Tanganyika.
Mtu Yuko ndani ya gari anakuambia tuendelee kusukuma tukiwa ndani litasogea TU . Tunashangilia tuanaacha kuliondoa gari bovu tuingiingize gari jipya lenye uwezo wa kutuvusha hapa .
Tunaamini divai mpya kwenye kiriba kile kile Cha zamani italeta mabadiliko yoyote
Gari ilipopata ajali huyu...
Kama kuna mtu anaweza kufikisha kwenye habari za Maajabu ya dunia na ili la muungano liwekwe.
Ukiangalia hata mpangilio wa bunge, waziri yani wao wanaweza kutawala Tanganyika ila sisi kwao hata uwo kama raia wa muungano hupati.
Kweli tutamkumbuka Oscar Kambona.
Ndugu watanzania, husikeni na kichwa cha habari.
Kazi iliyotukuka ya makamu mwenyekiti wa chama pendwa CHADEMA, inahitaji kuungwa mkono na kila mzalendo yoyote popote alipo.
Ni wakati sasa kuwaonyesha hawa watesi, wauwaji, wafiraji, watekaji na waporaji wa mali za watanganyika kuwa tunaitambua...
Natoa maana ya Serikali ya Kigaidi, ili kila mwenye akili timamu na mwenye uwezo wa kutafakari, aone, Serikali ya Tz inapungukiwa na nini ili kupata sifa ya kuitwa "Serikali ya Kigaidi":
STATE TERRORISM:
State terrorism refers to violent acts, threats, or intimidation committed by a government...
Naona kama watanganyika tumesha zoea hili la serikali kuua watu, yani wala hatujali tunaona kawaida tuu, na wala hatuoni kama ni mjadala tena, yani ni kama tumesha kuwa polarised kwa matukio ya namna hii ,tumesha ona ni sehemu ya maisha yetu na serikali ,
Je, Ndio tumesha kubali kutawaliwa kwa...
Naona dalili za Muungano kuvunjika zinanukia.
Kila kona ya Tanganyika ni minog'ono juu ya Wazanzibari kuwanyonya Watanganyika kwenye kila sekta.
Mfano, teuzi nyingi kwa sasa wanapewa Wazanzibari hata kwenye masuala ambayo sio ya muungano.
Mbaya zaidi Watanganyika hawateuliwi kuwa viongozi...
Tujikumbushe Mchungaji Mtikila na Unyani APEDOMIA.
Ukiona Mtanganyika hajali Utu wa Mtanganyika mwenzake kwa sababu ya pesa, cheo ndio UNYANI-APEDOMIA
Ukiona Mtanganyika Unauza utu wake na watanganyika wenzake kwa tende na Harua, ndiyo Unyani...APEDOMIA
Video chini
Kinachoendelea ukitulia utajua kimepangwa kwa makusudi, akili yangu inaniambia hili jambo limetengenezwa na wanasiasa kutugawa.
Siwezi kujua sana lengo lake ni nini ila ninaamini wajuzi wa mambo wataelewa hichi kinachoendelea, nia yake ni kuvuruga kitu fulani.
Kama tunaweza tusiingie kwenye...
Hili ndio Wazanzibar wafahamu , Mzee Karume hakua Mjinga , Mzee Nyerere hakua Mjinga !!.
Toka Muungano , Tanganyika imekua inaibeba sana Zanzibar , Kwa Tanganyika kama kupoteza tulishapoteza vitu vingi sana Kiasi kwamba HAMNA NAMNA YOYOTE YA KUIACHA ZANZIBAR IWE NCHI .
Zanzibar ni Alama...
Sisi watu wa Tanganyika ni ama hatuna akili na hatujitambui hata kidogo au tunajizima tu data ilimradi liende kwamba hatujipendi.
Fikiria kuwa Zanzibar ina majimbo 54 ya uchaguzi. Katika majimbo hayo kila jimbo lina muwakilishi mmoja kwenda baraza la wawakilishi lakini pia lina mbunge kwenda...
Kauli za kuudhi za mara kwa mara kutoka kwa wazanzibari.
Sheria kandamizi za wazanzibari kwa watanganyika
Ubaguzi wa waziwazi wa wazanzibari kwa watanganyika tena wazanzibari wengine wanawabagua watanganyika hapa hapa Tanganyika , haswa wale waliopo vyuoni.
Dharau za viongozi wa dini wa...
Watanganyika wamegeuka kuwa oombaomba ndani ya nchi ya Zanzibar. Kama wazanzibar hawawataki katika nchi yao si muondoke? Kwanini mnang'ang'ania kukaa katika nchi ya watu kwa lazima? Mnasubiri mpaka wazanzibar waanze kuwaua kama inavyofanyika kule Afrika Kusini ndipo mng'oke kutoka huko...
Watanganyika wote walioko Zanzibar ni tumbo Joto. Waanza kuzuiwa kuingia Ofisini kufanya kazi. Iinadaiwa wanafanya kazi za Wazanzibar na Vijana wa Zanzibar wanakaa jobless.
MY TAKE
Watanganyika tukijibu watavuka kurudi Zanzibari kwa kupiga mbizi.
Wazanzibar wajinga, wamesahau Mchanga wa...
Wazanzibar wanadai Bajeti yao ya afya ni ndogo, inawatosha wao tu..
Hivyo kama wewe ni Mtanganyika, ili utibiwe unatakiwa upate barua kadhaa za Masheha.
Kumbuka bado wanaendelea kupokeac kodi ya Watanganyika wanaofanya kazi Zanzibar.
Hata kama umepata ajali, kabla ya kukimbizwa Hospitali...
Kwanza kabisa ni muungano ambao wananchi hawakushirikishwa kuhusu muungano wenyewe.
Baraza la wawakikishi halikurudhia kuwepo kwa muungano huu. Ratification haikufanyika kabisa.
Wazanzibari hawautaki Muungano tangu zamani. Muungano ulifanyika kwa hofu tu kuw Waarabu watarudi kuchukua nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.