Naomben Mkumbushe Bashungwa, kua yake Mauaji ya Oktoba 29 2025 anahusika 100%.
Samia kumwondoa kwenye Uwaziri , hakuondoi JINAI ya Bashungwa Dhidi ya Watanganyika!!!.
Bashungwa huna lolote unalojua kuhusu CCM, uliokotwa huko matopeni !!.
Unazúngumzia Nchimbi, Kijana wa Chama, Mzee wa Chama...
Rais ni Mzanzibari lakini anateua watanganyika bila ubaguzi, nashangaa watu wanaopiga kelele anchagua wazanzibari wengi.
Mawaziri zaidi ya 75% ni watanganyika
Mkuu wa majeshi Jwtz - Kuna kelele za mnadhimu kuwa Mzanzibari, lakini nina uhakika hata leo huyo mnadhimu akipandishwa cheo kuwa Mkuu...
Huu ni mwendelezo wa ule uzi niliouandika mwaka 2025 kuhusu tume ya Jaji Chande ambayo ilitumika kudogosha mauaji ya maelfu ya watanganyika. Kwa malengo ya kumbukumbu unaweza kufanya rejea hapa: Tume ya Uchunguzi yenye lengo la kudogosha mauaji ya watanganyika...
Wala sina mdaaa
Ushauri nii huuu WATANGANYIKA
WALIOKO CCM TUHAME TUHAMIE CDM TUKAIPIGANIE TANGANYIKA
NAWAHAKIKISHIA ASUBUHI TUU TUNAPATA TANGANYIKA HURUU KABISA.
Sitaki ushaurii nimeamua kusema
Maana asilimia kubwa ya wanotekwa ni WATANGANYIKA TUU!
Ila angalizo akina Lucas Mwashambwa...
Hapa tupo shingoni, bado kichwa tu. Kama ni ng'ombe imebaki mkia tu kiwiliwili kwisha. Kwa kuwa serikali haziamini utabiri. Basi waamini hata political winds it blows.
Tayari sio mpasuko tena ni pamde mbili tofauti, asilimia mia hakuna anayesapoti pande.
Hata raia wamechoka. Ikifanyika...
Wana wa Mungu JF , amani ya Bwana ikawe juu yenu kila mmoja kwa imaniyake popote mlipo.
Yupo uyu Bwana mkubwa Dr Nchimbi kwa kujiuzulu hali ya hewa katika mitandao ya kijamii imechafuka balaa.
Ccm mmekwisha maana uyu wenda angesaidia sana tuliza hali ya nchi mngempa ushirikiano ila ndo hivyo...
Kwa nini Nyerere aliwanyamazisha kimabavu Watanganyika walioitaka Tanganyika yao ?
Kwanini G55 walionekana sana wakosefu kisa kuidai na kuipigania nchi yao ?
Nyerere alikuwa ni nani hasa hapa nchi kuwaamulia Watanganyika wote kuhusu hatima ya nchi yao iwe hai au iuawe bila hata kujua...
Tunaendelea kuuenzi Muungano wetu wa Tanzania, ambao baba yetu wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ndiye Muasisi.
Zanzibar kama upande mmoja wa Muungano tunawapa pongezi kwa kuendelea kuunogesha Muungano kwa kuweka mifumo yenye kujali usawa zaidi. Na huo ndio Muungano tunaoupenda...
awamu
ccm
dawa
hatua
hatuna
hii
ili
imara
jitihada
kuimarisha
mfumo
muungano
nafasi
ndani
nguvu
sawa
system
taifa
tanganyika
unyonge
usawa
vingi
viongozi
viongozi wa ccm
vizazi
wana
wana ccm
wasiwasi
watanganyika
wazanzibari
Uamzi wa Chalamila wa juhamishia mabasi yote Stand ya Magufuli ni wa Ovyo mno
Kwa geografia na population ya Dar stand ya Magufuli ni ndogo mno na utazidiwa vibaya mno
1. Mtu atoke Vikundu akapande gari la Mtwara Mbezi Magufuli? Kwanini asipande gari Mbagala
2 Mtu anaenda Tanga, Moshi...
Nataka kujua umuhimu wa hili tamasha kwa Watanganyika ambao hadi leo taifa lao limepotezwa.
Hawana uhakika wa maji salama, barabara ni tatizo kubwa vijijini na mijini.
Watanganyika wapo zaidi ya mil 60. Ndio wanaolipa kodi na kuendesha maisha ya Wazanzibari mil 1+
Tamasha kama hili...
=================
Tumuulize Bwana Kamusi tujue exactly maana ya neno "nyukua" na mnyambuliko wake...
Na hii ndiyo maana yake...
NYUKUA:
Ni kitenzi cha Kiswahili kinachomaanisha kufinya, kunyofoa, au kung'oa kwa ghafla kwa kutumia vidole, na kitu chenye ncha kali:
Mnyambuliko wa Maana na...
Wakuu hii imakaaje kwamba kwamba wazanzibar ndio wanauchungu na Zanzibar ila watanganyika wao ni mapoyoyo yanalipwa kufanya chochote.
Wazanzibar walikupigia kura kwa sababu ya uwezo au uzanzibari wako!? Watanganyika wao ni wakurubuniwa kufanya chochote
Zunguka Tanzania nzima utakutana maelfu kwa mamilioni ya wanannchi wakichimba dhahabu kwenye hali duni kabisa. Hawana mitaji, vifaa vya kisasa na mazingira wanayofanyia kazi ni hovyo.
Leo hii kigezo cha Wachimbaji wachache ambao wanavijisenti vya kukodi helkopta inatangazwa kuwa sababu ya...
Zanzibar walifanya mazungumzo yao chini ya Wazanzibari.
Hakutakuwa na maridhiano ya Tanzania, hadi Watanganyika tutakapo ridhiana kwanza.
Wazanzibari lazima wajue ni wakati wa kurudi kwao, siku kadhaa zijazo itabidi tutumie kitabu cha Rwanda, kuidai Tanganyika.
Mtu Yuko ndani ya gari anakuambia tuendelee kusukuma tukiwa ndani litasogea TU . Tunashangilia tuanaacha kuliondoa gari bovu tuingiingize gari jipya lenye uwezo wa kutuvusha hapa .
Tunaamini divai mpya kwenye kiriba kile kile Cha zamani italeta mabadiliko yoyote
Gari ilipopata ajali huyu...
Kama kuna mtu anaweza kufikisha kwenye habari za Maajabu ya dunia na ili la muungano liwekwe.
Ukiangalia hata mpangilio wa bunge, waziri yani wao wanaweza kutawala Tanganyika ila sisi kwao hata uwo kama raia wa muungano hupati.
Kweli tutamkumbuka Oscar Kambona.
Ndugu watanzania, husikeni na kichwa cha habari.
Kazi iliyotukuka ya makamu mwenyekiti wa chama pendwa CHADEMA, inahitaji kuungwa mkono na kila mzalendo yoyote popote alipo.
Ni wakati sasa kuwaonyesha hawa watesi, wauwaji, wafiraji, watekaji na waporaji wa mali za watanganyika kuwa tunaitambua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.