Samia Hassan Suluhu (born 27 January 1960) is a Tanzanian CCM politician and the designated President of Tanzania, due to be sworn into office following the death of president John Magufuli on 17 March 2021. She became Tanzania's first female vice-President following the 2015 General election, after being elected on the CCM ticket along with president John Magufuli. Suluhu and Magufuli were reelected to a second term in 2020. Before her tenure as vice-president she served as the Member of Parliament for Makunduchi constituency from 2010 to 2015, and was also the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015.
Prior to this, she served as a minister in the semi-autonomous region of Zanzibar in the administration of President Amani Karume. In 2014, she was elected as the Vice Chairperson of the Constituent Assembly tasked with drafting the country's new constitution.
Japo mimi siamini kama nchi yetu ina Rais kwasasa (nasubiri uchaguzi mkuu maana haukufanyika), lakini nina hamu ya kwenda kumpa pole ndugu Samia Suluhu Hassan.
Je, utaratibu ukoje?
By. Boss la Bandari zote za Tanganyika.
dkt. samia
dkt. samiasuluhu hassan
jamhuri
jamhuri ya muungano
kutoka
muungano
muungano wa tanzania
rais
rais wa jamhuri
samiasamiasuluhusamiasuluhu hassan
shukrani
suluhu
tanzania
ujumbe
Deogratius Ndejembi, Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi, Dkt. Mwigulu Nchemba pamoja na viongozi mbalimbali wa vyama na Serikali na wananchi, wamefika nyumbani kwa Mzanzibari Samia Suluhu Hassan Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja, kumfariji kufuatia kifo cha Mume wake, Hafidh Ameir Hassan...
Samia Suluhu hakutaka kusikia neno la Mungu. Masikio akatia pamba. Akajiona Mungu Mtu. Mungu anamchukua amtake. Lakini kuva vifo vingine vinatokea ili watu wajue mali hazitishi kifo. Iba uibavyo ila Mungu ndo Mwisho wa MANENO.
Unaweza ukafanya ufisadi wa DP World kwa kuuza bandari, lakini...
Kamati ya Kusukuma Maridhiano ya Kitaifa,tunapendekeza na kushauri kwa Rais SAMIA SULUHU HASSAN kuunda Kmati au Timu ya watu wasiopungua watano (5) kushughulikia utekelezaji wa mapendekezo
yaliyotolewa na Tume ya Jji CHANDE.Kamati au Timu hii iuendwe na watu toka Serikalini,Taasisi za...
chande
jaji
jaji chande
kamati
mapendekezo
ndogo
rais
rais samia
rais samiasuluhu
rais samiasuluhu hassan
samiasamiasuluhusamiasuluhu hassan
suluhu
tume
tume ya jaji chande
utekelezaji
watano
Kwakuwa serikali dhaifu na haramu ya Samia imeshindwa kumtafuta ndugu yetu Humphrey polepole, tutaanza kampeni nyumba kwa ngumba mpaka tumpate ndugu yetu.
Nyumba tunazotilia shaka:
Nyumba zote zinahohusianishwa na Daudi Albert Bashite, nyumba zote zinazo husishwa na Abduli, nyumba ya Muliro na...
https://www.youtube.com/live/BdUex_A8m7A
Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwaapisha Wakuu wa Mikoa na Katibu Tawala wa Mkoa, Ikulu Ndogo ya Tunguu, Zanzibar Septemba 02, 2026.
dkt. samia
hoja
ikulu
katibu
katibu tawala
maelekezo
mikoa
mkoa
mkono
ndogo
nukuu
rais
rais dkt. samia
rais samia
rais samiasuluhu
rais samiasuluhu hassan
samiasamiasuluhusamiasuluhu hassan
septemba
suluhu
viongozi
viongozi wateule
wakati
wakuu
wakuu wa mikoa
wateule
zanzibar
Baadhi ya waumini wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (T.A.G), eneo la Mnange, Mtaa wa Lyamkena, mjini Makambako, Mkoa wa Njombe wamelazimika kufanya ibada nyumbani kwa Mchungaji wao baada ya kanisa kufungwa.
Waumini hao wanadai kuwa milango ya kanisa ilifungwa kufuatia taarifa ya...
Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani.
Yaani kumbuka sasa hivi...
Salaam Watanzania.
Kwa ufupi ni kwamba Nchi imekwama. Watanzania wanabaki wameduwaa.
Samia Suluhu Hassan amebaki na Mamlaka ya Urais kama taasisi tu ila kapoteza Mvuto.
Kageuka kituko kila mtu anamshangaa.
Na Watanzania msitegemee kuna kitu chochote kitafamyika kwa mika 4 iliyobakiza ya...
Tundu Lissu AOMBE MSAMAHA na MSAADA kwa Rais Dkt Samia. Kesi AMESHASHINDWA. Kosa analo na anajua kosa alilifanya kwa makusudi. CHADEMA na walio karibu nae, WAMSHAURI aache kibri, jeuri na ujuaji hewa. Kama ataendelea kushupaza shingo, UHAI WAKE WA KISIASA UTAFIKA TAMATI DAIMA siyo aibu bali ni...
Je Mzanzibari Samia Suluhu Hassan kaajiandaa kumtetea Lissu? Kajiandaa kupigwa Maswali ya dodoso na Tundu Lissu?
KAMA MAHAKAMA ITASEMA MHE TUNDU LISSU ANAKESI YA KUJIBU, RAISI ATAPASWA KUFIKA MAHAKAMANI KAMA SHAHIDI WA LISSU?
Na Emily Mwakilembe
Kama mahakama itaona kesi iendelee basi Tundu...
Mkitaka kujua Mkitaka kujua mtu hafai kuvaa viatu vya urais, au roho ya Samia au Samia ni mtu wa namna gani ni pale kwenye Matatizo.
Rais ndo mfariji wa kwanza katika Nchi. Anatakiwa atoe pole, na kufariji wafiwa(comforter-in-chief). Pole sana Watanzania.. Mungu atatupa Rais.
Watu 17 wanakufa...
Wachimbaji madini nchini wamenunua picha moja kwa ajili ya kumpa zawadi, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani, Samia Suluhu Hassan kwa thamani ya Shilingi Bilioni 1.8.
Wachimbaji hao wamenunua picha inayowaonesha Pomboo (Dolphin) wakiwa ndani ya maji Kizimkazi.
Katika hafla ya usiku wa sanaa...
Katika nchi ni lazima tukubaline kuwa kuna mambo ni maslahi ya Taifa. Mojawapo ni uwekezaji wa Petroleum Refinary Tanga.
Tukiwa wakweli, Kenya walishatupiga chenga baada ya Dangote kubadili mawazo na kuhamishia Lamu uwekezaji wake wa Refinary.
Mkutano wa Rais Samia na Rais Ruto, baadaye na...
Watu wanadai kikundi kinachoteka na kupoteza watu alikiunda yeye ili kulinda kiti dhidi ya wapinzani wake wa kisiasa. RIP Polepole.
Watu wanadai aliyetoa amri ya kupiga risasi za moto wananchi wanaoandamana ni yeye.
Aliyeteua kiongozi wa tume huru ya Uchaguzi ambayo ndo iliharibu uchaguzi ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.