zanzibar

  1. Kisesetusese

    JamiiForums Tanzania Inapotajwa Mwanza, Dodoma, Dar es salaam, Arusha, Tanga, Mbeya nk Zanzibar hakuna jiji?

    Ni ubaguzi ulioje.
  2. radhiya

    JamiiForums Tanzania New Constructed Villas on Sale at Zanzibar KiombaMvua

    Turu villas is an exclusive collection of 12 private luxury located in the prestigious Kiombamvua area of Zanzibar. 40min from ferry, 35-40min from airport, 10min walk to the beach, 10min walk to the 9-hole golf course. Features: •2 bedrooms villas. •Boutique 12 villa development. •Private pool...
  3. M

    JamiiForums Tanzania G55 vs Nyerere, Pemba 2000 vs Mkapa na Warioba vs Kikwete ilishindikana kupata Tanganyika au Zanzibar huru. Je, kipindi cha Samia tutatoboa ?

    G55 vs Nyerere, Pemba 2000 vs Mkapa, na Warioba vs Kikwete. Vipindi hivi vitatu vilitikisa mjadala kuhusu mustakabali wa Muungano, lakini hatimaye havikuzaa Tanganyika au Zanzibar huru. Leo tunajiuliza swali lilelile: Je, kipindi cha Samia Suluhu Hassan ndiyo tutatoboa? Je, tutafika kwenye...
  4. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania Zanzibar imepata jembe, Dkt Mwinyi anavunja hadi Ofisi za CCM zilizo barabarani kupisha ujenzi wa barabara safi kabisa kazi iendelee

    Barabara ya kutoka mwembe ladu mataaa kupanda mwembe mimba, kulikua na majengo mawili ya wazee wa ccm, yana maduka na maskani ya kuangalia mpira na habari, amani fry over majengo ya ccm zaidi ya maduka kumi na kitu, aseee yamekula nyundo sio poa alafu ni ile ya shwaa yani fumba fumbua...
  5. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Mbowe hakuwahi kwenda hata mara moja kumjulia hali Mwenyekiti wake Lissu ila ameenda Zanzibar kumpa pole Samia , hii imekaaje?

    Nimesikitika kuona mbowe kutokwenda kumjulia hali mwenyekiti wake licha ya kusota rumande kwa muda mrefu na pia hajawahi kwenda au kusema lolote hata kwa bahati mbaya kumtia nguvu mwenyekiti wake ila cha ajabu amesafiri mpaka zanzibari kumpa pole samia . Hii imekaaje? Je mbona samia hakutuma...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Wazanzibari acheni kelele. Zanzibar sio dola huru. Pambaneni kuwe na serikali tatu.

    Zanzibar sio dola huru hii ni kwa mujibu wa Montevideo convetion of statehood Article one. Mtapiga kelele sana na hicho chama chenu cha wahafidhina wa Act Wazalendo lakini hamtafanikiwa.
  7. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Mume wa Rais Samia azikwa Kizimkazi, Zanzibar

    Marehemu Hafidh Ameir Hassan, Mume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezikwa jioni ya leo, Septemba 7, 2026, Kizimkazi, Zanzibar. Watu mbalimbali, wakiwemo Viongozi wa Serikali, Viongozi wa Dini, Wafanyabiashara pamoja na Waombolezaji wengine, wamejitokeza...
  8. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Kumbe Mzena Hospital iko pia Zanzibar

    Leo ndio nimejua kuwa Hospitali ya Kumbukumbu ya Emilio Mzena iko pia visiwani Zanzibar. Nimejua hayo kupitia taarifa ya Makamu wa Rais, akitangaza kifo cha Mume wa Rais Samia leo. Ikumbukwe, hiyo ni hospital maalum kwajili ya viongozi waandamizi wa Serikali na ile iliyozoeleka huwa ipo hapa Dar.
  9. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania Zanzibar ianzishe shirika la ndege kuchochea Utalii!

    Zanziba si tu ni nchi iliyoungana na Tanganyika kuunda Tanzania, bali ni utalii. Zanzibar inapaswa sasa kuunda shirika lake la ndege na kuchochea utalii. Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Zanzibar, Khalid Salum Mohamed amesema Serikali imeanza mazungumzo na EgyptAir kwa ajili ya kushirikiana katika...
  10. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania HOTELI YA BILIONI 132, YAFUNGULIWA ZANZIBAR ALAFU WEWE KUWEKEZA 5M UNAJIITA MFANYABIASHARA NA UNACHOMEKEA KABISA

    Siwatishi ndugu zangu ndio hali halisi ilivyo, Leo majira ya saa tisa nimekutana na msafara wa dkt mwinyi mtoni mess sikujua anaenda wapi kumbe alikua ana pelekea pwani mchangani kufungua hiyo hotel, bilioni 132 imetupwa hapo, alafu mtu UNAJIITA una hela umewekeza 10m una hela una heleni ?
  11. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania Yuda Fever: Nyumba nyeupe haikaliki analala Zanzibar

    Usimchokoze jirani wakati nyumba yako ya kioo,atakupiga mawe avunje nyumba yako.
  12. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Rais wa Zanzibar aahidi Tsh. Milioni 1 kwa kila goli, Tsh. Milioni 5 kwa kila ushindi wa KMKM na KVZ CAF

    Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kutoa motisha ya kifedha kwa timu za KMKM na KVZ FC ambazo zinaiwakilisha Zanzibar katika mashindano ya klabu barani Afrika yanayosimamiwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF). Rais Mwinyi ameahidi kila timu kupata shilingi milioni tano (TSh...
  13. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Kwanini Rais Samia habinafsishi wala kuuza bandari ya Zanzibar na Uwanja wa ndege wa Zanzibar?

    Uwaanja wetu wa ndege uko mbioni kuuzwa kwa mwekezaji wa India 🇮🇳. Miaka michache nyuma, serikali ya mama Samia, iliingia mkataba wa ajabu kabisa na mwekezaji wa DP WORLD kutoka Dubai. Mama Samia sio kwamba anaipenda sana Tanganyika, aina ya mikataba anayoingia na wawekezaji haiko wazi na...
  14. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Nukuu Za Rais Samia Suluhu Hassan Akiwaapisha Viongozi Wateule Ikulu Ndogo Ya Tunguu, Zanzibar

  15. NkomaBakhosi

    JamiiForums Tanzania Fei Toto na Jeuri ya Zanzibar

    KUHUSU MCHEZAJI ANAYELIPWA ZAIDI TANZANIA: MIUNDO NA MIKAKATI YA MSHAHARA Feisal Salum (Fei Toto) analipwa mshahara mkubwa zaidi kwa sasa nchini akipokea kiasi cha Shilingi milioni 100 kwa mwezi, huku mkataba mpya wa Stephane Aziz Ki Yanga ukimwingizia kiasi kinachokadiriwa kufikia Dola...
  16. NkomaBakhosi

    JamiiForums Tanzania Fei Toto na Jeuri ya Zanzibar

    KUHUSU MCHEZAJI ANAYELIPWA ZAIDI TANZANIA: MIUNDO NA MIKAKATI YA MSHAHARA Feisal Salum (Fei Toto) analipwa mshahara mkubwa zaidi kwa sasa nchini akipokea kiasi cha Shilingi milioni 100 kwa mwezi, huku mkataba mpya wa Stephane Aziz Ki Yanga ukimwingizia kiasi kinachokadiriwa kufikia Dola...
  17. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aapisha Wakuu wa Mikoa wapya Ikulu Ndogo Zanzibar

    Mheshimiwa Dkt.Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,akizungumza na Viongozi baada ya kuwaapisha Wakuu wa Mikoa ya Mbeya,Geita,Pwani,Mwanza pamoja na Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani katika Ikulu Ndogo ya Tunguu,Zanzibar Leo Tarehe 02 Septemba,2026
  18. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Rais Dkt. Samia Akiwaapisha Viongozi Wateule, Ikulu Ndogo Ya Tunguu, Zanzibar | 02 Septemba, 2026

    https://www.youtube.com/live/BdUex_A8m7A Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwaapisha Wakuu wa Mikoa na Katibu Tawala wa Mkoa, Ikulu Ndogo ya Tunguu, Zanzibar Septemba 02, 2026.
  19. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Mamia wafurika kambi ya matibabu ya macho MUHIMBILI Zanzibar

    Mamia ya wananchi wamejitokeza kupata huduma katika Kambi Maalum ya Matibabu ya Macho inayoendeshwa na madaktari bingwa kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH)kwa kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Qatar Charity ambapo Septemba 01, 2026 huduma hizo zimeanza kutolewa rasmi...
  20. R

    JamiiForums Tanzania Unatetea katiba mbovu ambayo kila mtu anaweza kugundua makosa /mapungufu iliyonayo

    Unatetea katiba mbovu ambayo hata kipofu na kiziwi wanaweza kui palpate na kugundua makosa /mapungufu iliyonayo. Best katiba kama za marekeni mnazisfia, mnasahau kuwa ziliundwa/ziliandikwa na watu waliojitoa mhanga kama Lisu. Mjue likitokea la kutokea muungano ukavunjika, your beloved ones will...
Back
Top Bottom