zanzibar

  1. Yoda

    JamiiForums Tanzania Faida za muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni zipi?

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar una faida zipi? Isije ikawa tunapinga tu jambo lenye faida/manufaa.
  2. radhiya

    JamiiForums Tanzania The hills Nungwi apartments at Zanzibar

    THE HILLS NUNGWI by MAJESTIC LUXURY SUITES We are pleased to introduce The Hills Nungwi by Majestic Luxury Suites, a premium residential development located just 50 meters from the beach in Nungwi, Zanzibar. The project consists of a total of 88 units, designed to offer both lifestyle and...
  3. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Dangote njoo ujenge Oil Refinery Zanzibar, huko Bara hawapo serious!

    Asalam Aleikum Alhaji Aliko Dangote, Karibu visiwani ujenge Oil Refinery. Hapa utapata ardhi bure, nafuu ya kodi, nafuu ya kodi na soko kubwa Comoro, Kenya, Madagascar, Seychelles, Somalia, Eritrea n.k
  4. figganigga

    JamiiForums Tanzania Hawa Wazanzibar wanaotumia Leseni za Zanzibar kuendesha gari Tanganyika Wakamatwe

    Tangu Samia Suluhu Hassan ajimilikiishe Tanganyika, kumekuwepo na Wimbi la Wapemba wansotumia Leseni za Zanzibar Tanzania bara. Hawa ndugu zake samia wote wana leseni za Zanzibar. Wote wakamatwe kwani Leseni sio jambo la Muungano. Pia wasiijifanye ni International license sababu Zanzibar...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Pesa zinazokusanywa ni kwajili ya kuendeleza Dar, Dodoma na Zanzibar ? mikoa mingi imekuwa vyanzo vya mapato bila kupewa umuhimu kwenye maendeleo

    Kuna mikoa huchangia mamia ya mabilioni ya kodi kila mwaka kupitia biashara, kilimo, madini na shughuli nyingine za kiuchumi. Lakini ukifika hata makao makuu na majiji ya mikoa hiyo, maendeleo hayaendani kabisa na mchango wao, Inasikitisha kuona kuwa sehemu kubwa ya mapato hayo yanaelekezwa...
  6. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Wanawake wa Tanzania waingia Kumi Bora kama Watu wanaofanya Kazi zaidi Duniani

    My Take Nakubaliana kabisa na huu utafiti na ndio sababu Wanaume Wengi wa Tanzania wameishia kuwa walevi,kulelewa na hao wanawake na kupoteza uelekeo na Heshima ya uanaume. Hongera sana wanawake wa Tanzania mumeiwakilisha Nchi kwenye nafasi ya 4.👇👇
  7. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Ujenzi wa Barabara ya Kwanza ya Njia 6 Waanza Zanzibar

    My Take Safi sana Wazanzibari Kwa kuamua kujitegemea na kuonesha mfano. Mzanzibari hajawahi kuwa na sifa ya ubianafsi Wala ufisadi kama ule upande wa watu wenye mdomo sana. =========================== Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi Zanzibar, Said Bakari amesema Serikali imeanza...
  8. Siri yangu

    JamiiForums Tanzania Kwamba Zanzibar kuwa majike mazuri zaidi yenye macho kama anasinzia ?

    kurekodiwa, huenda ukiwa umechochewa na mabadiliko ya tabia nchi, wanasayansi wanasema. Alionekana katika bahari ya pasifiki karibu na Colombia mwaka 2017, kisha kuzuka tena miaka kadhaa baadaye kisiwani Zanzibar katika bahari hindi - umbali wa kilomita 13,000. Wataalam wanaamini kuwa safari...
  9. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Zanzibar Mbioni Kuanzia "Muhimbili National Hospital Yake"

    My Take Safi sana ni mwendo wa kusogeza Huduma Kwa Wananchi,wanaozubaa wacha wazubae. Ni aibu Kwa Nchi kama Zanzibar ambayo ni kitovu Cha Utalii Tanzania kushindwa kuwa na hospital Bora za kuhudumia Watalii na Wananchi. Aisha wanaweza anzisha Utalii tiba na kuongeza bidhaa ya Utalii wa beach...
  10. radhiya

    JamiiForums Tanzania Khanga kubwa kutoka Zanzibar

    Khanga kubwa nzito kutoka Zanzibar zinapatikana. Bei ya Khanga: sh 20,000/= Bei ya Jumla: sh 18,000/= kuanzia Khanga tatu. Tunapatikana tabata kinyerezi/Msasani (Biashara ni ya Mtandaoni), tunafanya delivery. Mkoani tunatuma kwa gharama za mteja. Delivery unalipia sh 3,000/= tu. Delivery...
  11. BigTall

    JamiiForums Tanzania Zanzibar: Jengo lililopo eneo la Stone Town, Zanzibar limeporomoka

    Jengo lililopo eneo la Stone Town, Zanzibar limeporomoka ghafla, huku mamlaka zikianza uchunguzi wa haraka kubaini chanzo cha tukio hilo. Chanzo: Mnana Online TV Pia soma ~ Jengo Maarufu Zanzibar kwa utalii, Beit Al Ajaib laporomoka
  12. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Zanzibar mbioni kuanzisha shirika lake la ndege ''Zanzibar Airline''

    Zanzibar iko katika mazungumzo na wawekezaji, ikiwa ni sehemu ya hatua zake za kuanzisha shirika la ndege la kitaifa. Mpango huu unaonekana kama hatua ya kimkakati ya kuboresha miundombinu ya usafiri wa anga na kukuza sekta ya utalii visiwani humo. Akizungumza katika kikao cha Baraza la...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Zanzibar wanaongezwa mishahara halafu sisi Watanganyika TUCTA inasema hatuhitaji mshahara kupanda. Kwa mantiki hii najitoa CWT

    Mafuta yamepanda bei. Maisha yamekuwa ghali. Wazanzibari wanaongezwa mshahara Watanganyika tunaambiwa eti pesa zilitumika kwenye uchaguzi na nyingine zitatumika kwenye kukarabati uharibifu uliofanywa na Gen Z waliotaka kupindua nchi. Jumatatu najaza fomu na kujitoa CWT.
  14. Kijakazi

    JamiiForums Tanzania Muslims wa Tanzania (bado) wako poa, shida ni Zanzibar!

    Kwa mujibu wa pew research center 41% ya Muslims wa tanzagiza wanasapoti sharia au wangependa sharia iwe sheria ya nchi vs 39 % ya Christians wangependa Biblia iwe sheria mama ya nchi i.e tuishi kwa kufuata Biblia amri 10 za Mungu ziwe supreme, kulinganisna na muslims wa kwingineko bado hali...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Unahisi ni mkoa gani ungepewa hadhi ya muungano kama Zanzibar ungekuwa na maendeleo sana kuzidi hata Dar ?

    Kuna mikoa ingepewa hadhi ya kuwa nchi ndogo kama Zanzibar ndani ya Muungano ingekuwa mbali sana. Je unauona mkoa gani na kwa sababu zipi Kwa mtazamamo wangu nahisi mikoa hii ingekuwa mbali sana Kilimanjaro ingekuwa so far, Kuna mwamko mkubwa wa elimu, utamaduni wa kupanga na kushirikiana...
  16. Bei rahisi Electronicks

    JamiiForums Tanzania Maoni yangu: Zanzibar hapana!! Wanapenda kwenda Mahakamani

    Nipo Zanzibar nimemleta Mtuhumiwa escort. Hawa jamaa wanapenda kupelekana Mahakamani Mi muislamu ila hawa jamaa wana roho mbaya
  17. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Ukitoka nje ya Tanzania ndio utajua kuwa kumbe hatujulikani sana tunapitwa hata na Zanzibar na Zimbambwe

    Nadhani tuna safari ndefu sana kujulikana kimataifa sijajua kwa upande wa western countries sana ila ukanda wa cental asia na southern asia na oceania countries bas Tanzania haijulikani kabisa hata ukiwatajia raia wa kawaida kuitamka ni shida. Ila kuhusu safari tour wanajua ni kenya pekee...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Simba 3-0 Mlandege | New Amani Zanzibar Kombe la Muungano | 26 Aprili 2026. Fainali ni Simba vs Yanga

    Mnyama anaunguruma Zanzibar, Dabi ipo pale pale hakuna kukimbia Fainali ya Kombe la Mapinduzi 2026 inatarajiwa kuzikutanisha Yanga dhidi ya Simba, hiyo ni baada ya Simba kuitafuna Mlandege Magoli 3 -0 kwenye Nusu Fainali iliyopigwa Uwanja wa Amaan, Aprili 26, 2026. Fainali hiyo inatarajiwa...
  19. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Live From Tunguu Zanzibar: Kongamano Kuadhimisha Miaka 62 ya Muungano Wetu Huu Adimu na Adhimu, Tutaulinda kwa Gharama Yoyote ili Udumu Milele!

    Wanabodi, Kupitia TBC, matangazo ya moja kwa moja, live Mubashara kutoke Tunguu Zanzibar: Nawaletea Kongamano la Vijana la kuadhimisha miaka 62 ya Muungano wa Tanzania lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa CCM katika Viwanja vya Tunguu - Zanzibar ambapo mgeni rasmi ni Mwenyekiti wa CCM na Rais...
  20. M

    JamiiForums Tanzania Tume ya Chande. Imevunja Umoja wa Tanganyika na Zanzibar

    Tunzeni hii kumbukumbu
Back
Top Bottom