zanzibar

  1. itakiamo

    Zanzibar ni sehemu zipi wanauza potassium

    Nipo kisiwa cha unguja Bado sijapata direction, ni sehemu gani hapa naweza nunua potassium, please isiwe shamba, naombeni maelekezo hususani hapa mjini magharibi
  2. Freyzem

    Je ni rahisi Timu ya Azam, kuhama ligi ya Tanzania Bara, na kuhamia Zanzibar?! Tupitie hapa Tuone...

    Baada ya mechi kati ya Simba na Azam, mengi yameibuka..kubwa zaidi likimuibua mmiliki wa Azam na kutoa ya moyoni hasa kuhusu marefa, na kupelekea kusema ataiondoa Azam Bara na kuipeleka Zanzibar. Sasa tuone je hilo linawezekana au vipi. Tuanze; Ndiyo, inawezekana, lakini ni nadra sana na...
  3. figganigga

    Jamal Bakhresa: TFF imeharibu mpira wa Tanganyika. Azam FC nitaihamishia Zanzibar

    Mmiliki wa Azam FC, Jamal Bakhresa, amesema yupo tayari kuiondoa timu hiyo katika Ligi Kuu Tanzania Bara na kuihamishia Zanzibar, akidai kuwepo kwa ukosefu wa haki katika uendeshaji wa ligi. Bakhresa amesema uamuzi huo unatokana na kile alichodai kuwa ni waamuzi kutotenda haki katika baadhi ya...
  4. Chizi Maarifa

    Simba haiwezi chukua Ubingwa kwa Azam Zanzibar

    Nilisema na nasema tena. Simba haimfungi Azam Zanzibar. Kupeleka kule ni mkakati Maalum Azam kwao ni Zanzibar kama hamjui. Nimekaa hapa
  5. radhiya

    Khanga kubwa kutoka Zanzibar zipo

    Khanga kubwa nzito kutoka Zanzibar zinapatikana. Bei ya Khanga: sh 20,000/= Bei ya Jumla: sh 18,000/= kuanzia Khanga tatu. Tunapatikana tabata kinyerezi/Msasani (Biashara ni ya Mtandaoni), tunafanya delivery. Mkoani tunatuma kwa gharama za mteja. Delivery unalipia sh 3,000/= tu. Delivery...
  6. A

    DOKEZO Kilio cha Watumishi Hospitali ya Mkoa Lumumba (Zanzibar): Madudu, Dhuluma ya Masaa na Ubaguzi wa Kampuni ya NSK

    Wana-JamiiForums, Naleta mada hii mbele yenu nikiwa na masikitiko makubwa na dhumuni langu ni kuomba ushauri, lakini pia kufikisha sauti yetu kwa mamlaka husika juu ya ukiukwaji mkubwa wa sheria za kazi na haki za binadamu unaofanywa na Kampuni ya NSK, ambayo inasimamia Hospitali ya Mkoa ya...
  7. Chizi Maarifa

    CRDB FED. Fainali ikipelekwa Zanzibar Simba hatoboi. Nawaambia kabisa hili Muelewe. Simba hamfungi Azam Zanzibar

    Mpango wetu ulienda kama ambavyo tulipanga. Scratch my back and i will scratch yours. Azam atufunge Shirikisho apite akapambane na Simba akachukue kombe akashiriki Kimataifa. Maana amewekeza sana kwenye usajili. Ni aibu akikosa shiriki CAF. Na ushindi wake kwetu usingemsaidia kitu kwenye ligi...
  8. Idugunde

    Nani anamnyonya mwezake? Tanganyika au Zanzibar? Kwanini Watanganyika hawateuliwi kuwa viongozi Zanzibar? Tanganyika ipo wapi?

    Naona dalili za Muungano kuvunjika zinanukia. Kila kona ya Tanganyika ni minog'ono juu ya Wazanzibari kuwanyonya Watanganyika kwenye kila sekta. Mfano, teuzi nyingi kwa sasa wanapewa Wazanzibari hata kwenye masuala ambayo sio ya muungano. Mbaya zaidi Watanganyika hawateuliwi kuwa viongozi...
  9. Mohamed Said

    Chanzo Cha Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na Sura Yake 1964 - 2026

    https://youtu.be/MMjqlioWkrE?si=s4JlXcHPmN_pZzjq
  10. SamuraiJack

    Zanzibar ya Zamani Ilikuwa Mbele Kuliko Bara – Kwa Nini Leo Imerudi Nyuma?

    Wakati wengi wakizungumzia maendeleo ya Afrika Mashariki, mara nyingi husahaulika kwamba Zanzibar ilikuwa miongoni mwa maeneo ya kwanza kabisa Afrika kupata umeme mwaka 1888 chini ya utawala wa Masultani. Wakati huo huo, Zanzibar ilikuwa tayari na reli ya Bububu, mojawapo ya reli za mwanzo...
  11. funaku

    Toka kuanzishwa kwake Chadema haijawahi kuwa na Ushawishi Tanzania Zanzibar

    Ni vyama viwili tu vya upinzani ndio vimeweza kupenya kwenye ngome ngumu ya Tanzania visiwani yaani CUF na ACT wazalendo. Hii inamaanisha ili wapinzani kushika dola wanapaswa kuungana dhidi ya CCM. Mwaka 2015 walijaribu wakisaidiwa na EL lakini kwa kuwa muungano wao haukuwa na baraka za wananchi...
  12. F

    Kwanini Samia amekaa kimya Zanzibar inapotishia kuvunja katiba na kufanya ubaguzi wa wazi?

    Hakuna ubishi. Masuala mawilli, kuhusu wabara kuondolewa au hata kutotibiwa visiwani na kutangaza siku ya mwaka wa kiislam kuwa mapumziko ni chembe chembe, chokochoko, na viashilia vya kuuvunja muungano. Wengi wameandika juu ya upuuzi huu na kulaumu. Ajabu, rais wa muungano yuko kimya! Je...
  13. Carlos The Jackal

    Wazanzibar wafahamu , Mzee Karume hakua Mjinga , Mzee Nyerere hakua Mjinga !!.

    Hili ndio Wazanzibar wafahamu , Mzee Karume hakua Mjinga , Mzee Nyerere hakua Mjinga !!. Toka Muungano , Tanganyika imekua inaibeba sana Zanzibar , Kwa Tanganyika kama kupoteza tulishapoteza vitu vingi sana Kiasi kwamba HAMNA NAMNA YOYOTE YA KUIACHA ZANZIBAR IWE NCHI . Zanzibar ni Alama...
  14. G Sam

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni mzigo mzito kwa Tanganyika. Ni wa kuvunja tena iwe ajenda namba moja kwa watanganyika

    Sisi watu wa Tanganyika ni ama hatuna akili na hatujitambui hata kidogo au tunajizima tu data ilimradi liende kwamba hatujipendi. Fikiria kuwa Zanzibar ina majimbo 54 ya uchaguzi. Katika majimbo hayo kila jimbo lina muwakilishi mmoja kwenda baraza la wawakilishi lakini pia lina mbunge kwenda...
  15. Hance Mtanashati

    Lini watanganyika watajibu mapigo kwa yanayoendelea Zanzibar?

    Kauli za kuudhi za mara kwa mara kutoka kwa wazanzibari. Sheria kandamizi za wazanzibari kwa watanganyika Ubaguzi wa waziwazi wa wazanzibari kwa watanganyika tena wazanzibari wengine wanawabagua watanganyika hapa hapa Tanganyika , haswa wale waliopo vyuoni. Dharau za viongozi wa dini wa...
  16. tpaul

    Nawaunga mkono wazanzibar kuwafurusha watanganyika kutoka Zanzibar

    Watanganyika wamegeuka kuwa oombaomba ndani ya nchi ya Zanzibar. Kama wazanzibar hawawataki katika nchi yao si muondoke? Kwanini mnang'ang'ania kukaa katika nchi ya watu kwa lazima? Mnasubiri mpaka wazanzibar waanze kuwaua kama inavyofanyika kule Afrika Kusini ndipo mng'oke kutoka huko...
  17. W

    Mbunge wa Zanzibar Hamad: Anayechonganisha Muungano atakufa na atazikwa kwa chuki hiyo

    Mbunge wa Jimbo la Ole Zanzibar, Mhandisi Said Salim Hamad, amesema kuwa mtu yeyote anayetoa maneno ya uchonganishi dhidi ya Muungano, mtu huyo anachuki binafsi na atakufa na kuzikwa kwasababu ya chuki hiyo.
  18. figganigga

    Rasmi: Watanganyika waanza kuzuiwa kufanya kazi Zanzibar

    Watanganyika wote walioko Zanzibar ni tumbo Joto. Waanza kuzuiwa kuingia Ofisini kufanya kazi. Iinadaiwa wanafanya kazi za Wazanzibar na Vijana wa Zanzibar wanakaa jobless. MY TAKE Watanganyika tukijibu watavuka kurudi Zanzibari kwa kupiga mbizi. Wazanzibar wajinga, wamesahau Mchanga wa...
  19. figganigga

    Rasmi: Watanganyika waanza kunyimwa huduma za Afya Zanzibar

    Wazanzibar wanadai Bajeti yao ya afya ni ndogo, inawatosha wao tu.. Hivyo kama wewe ni Mtanganyika, ili utibiwe unatakiwa upate barua kadhaa za Masheha. Kumbuka bado wanaendelea kupokeac kodi ya Watanganyika wanaofanya kazi Zanzibar. Hata kama umepata ajali, kabla ya kukimbizwa Hospitali...
  20. Fbn

    Wanaotetea muungano wana mali tanganyika na wasioutaka mali zao zipo Zanzibar.

    Mijadala ya ambayo sisi watanganyika tukae watazamaji na hakimu ni ili la muungano. Kwenye huu muungano kutatokea vita mbili ya wenye mali na maisha tanganyika vs wenye mali znz.
Back
Top Bottom