Wakuuu someni AYA ya mwisho ya Waraka wa kijinga wa Polisi!!.
Juu wanasema uchunguzi ulifanyika, chanzo ni kukoswa hewa kwa kujinyonga, na kwamba Mwili umekabidhíwa Tayari kwa Ndugu Tayari kuzikwa kwa kusaidiwa na Polisi.
Hiyo Aya ya Mwisho, wanasema, Uchunguzi unaendelea !
Haya Majamaa ndio...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga linapenda kutoa taarifa kuhusu kifo cha askari namba. H.1796 Koplo Mwita, aliyekuwa akishikiliwa kwa ajili ya uchunguzi katika kituo cha Polisi Wilaya ya Tanga.
Tarehe 27 Agosti 2026 majira ya saa moja na dakika tatu usiku, askari huyo alikutwa akiwa amefariki...
Askari sita wa Jeshi la Polisi mkoani Morogoro wanashikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya kijana wa miaka miaka 23, mkazi wa kijiji cha Bwakila Chini wilaya ya Morogoro.
Soma Pia: Jeshi la Polisi: Watu 130 wakamatwa kwa tuhuma za mipango ya kuchoma shule na kuua viongozi
Kazi ya kutulinda sisi raia wenu imewashinda?
Ikiwa mnaweza kutumia risasi kuwaua majambazi na wahalifu sugu mnashindwa vipi kumtafuta na kumtia nguvuni mhalifu anayehusika na utekaji, mauaji ya raia na uvunjifu mwingine wa amani hapa Tanganyika?
Je, ni kwamba hamumjui, mmerogwa au...
Habari zilizonifikia , zinasema mwana mitandao na mfanyabiashara Mariam Uswazi anashikiliwa na Jeshi la Polisi Kituo cha Kati (Central), huku wadeni wake wakifika kituoni hapo kufuatilia hatma ya pesa zao.
Pia soma:
~ Wanawake wa Tanzania msipoachana na upatu mtaendelea kumlaumu Mariam Uswazi...
Jeshi la Polisi Mkoani Kilimanjaro kwa kushirikiana na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Moshi wamefanikiwa kuwakamata watuhumiwa wawili wakiwa na jumla ya mita 14 walizoziiba usiku wa kuamkia Agosti 22, 2026 kwenye Mji Mdogo wa Himo.
Akizungumza na waandishi wa habari Mhandisi Kija...
Hivi karibuni kumekuwepo na kesi ambazo tunaweza, kusema ni za mchongo, Kwani Hazina uhalisia na tuhuma zinazo chagizwa dhidi ya watuhumiwa iwe ni ugaidi au uhaini .
Sasa
Chama cha ACT Wazalendo kinakemea vikali kukamatwa kwa Wakili Peter Madeleka jioni ya jana Agosti 14, 2026, nje ya Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi akiwa anatekeleza majukumu yake. Polisi wamemkamata kwa kile wanachodai kudharau amri ya Mahakama Kuu.
Kukamatwa kwa...
Mimi ni mkazi wa Kata ya Nyamilangano, Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu, Mkoa wa Shinyanga. Ninaomba kuwasilisha malalamiko kuhusu matumizi ya mabomu ya machozi na Jeshi la Polisi katika maeneo ya wazi yanayotumiwa na wafanyabiashara na wananchi kukusanyika.
Kwa mujibu wa hali tunayoishuhudia...
Ikulu ijibu SWALI langu,
Mnasubilia hizi aibu zinazoendelea mahakamani zifike ikulu?
Afisa mkubwa kabisa wa jeshi la polisi anagalagazwa mahakamani mpaka anaulizwa kama ana akili timamu anajibu ndio,
Lakini unashangaaa anaulizwa maswali madogo.sana anajibu utumbo mtupu hii aibu mnataka ifike...
Mwandishi:"Na unahisi hawa wanaosema ugaidi, wanasema kuwa bahati mbaya..."
Peter Madeleka:"Wanamhujumu Rais. Wanamhujumu Rais tuliyonaye huyu. Anajitahidi sana lakini kundi la watu waliopo pembeni yake wanamhujumu. Kwa mfano kesi ya Mbowe, tulihakikisha kabisa Mbowe ni gaidi. Yaani kwamba...
Msaidizi binafsi wa Mwenyekiti wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA), Tundu Lissu, David Djumbe, amefunguka kuhusu mazingira yaliyomfanya akimbie nchini Tanzania baada ya kupokea taarifa za siri kutoka ndani ya mfumo zilizomwonya kuwa alikuwa hatarini kutekwa na kuuawa ndani ya siku...
Jeshi la Polisi Mkoani Geita limejipanga kikamilifu kuhakikisha amani na usalama vinatawala kuelekea msururu wa matukio makubwa ya kimichezo na kijamii yaliyopangwa kufanyika leo, Agosti 4, katika Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe.
Akizungumza na waandishi wa habari, Msemaji wa Jeshi la Polisi...
Waziri wa mambo ya ndani ya nchi ambaye ndiye waziri anayesimamia pia jeshi la polisi, Patrobas Katambi, alitangaza bungeni pamoja na mambo mengine, agizo kwa IJP kusitisha mikutano yote ya vyama vya siasa nchini.
Jeshi la polisi kupitia msemaji wa jeshi hilo limetangaza kuondoa marufuku hiyo...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kagera linapenda kutoa taarifa ya ufafanuzi juu ya tukio linalosambaa kweye mitandao ya kijamii likionyesha picha mjongeo ya mwanaume mmoja akiwa anashambuliwa kwa kupigwa maeneo mbalimbali ya mwili wake kwa fimbo na watu ambao ni walinzi wakishirikiana na mtumishi wa...
Ni kwa mara nyingine naliomba Jeshi la Polisi ndani ya mji wa Bunda kukamata hiki kikosi kazi kinachojihusisha na uhalifu, uporaji na udhalilishaji wanawake.
Hili ni janga na lisipodhibitiwa madhara yake ni makubwa mno
.Kuna vijana watatu ambao kwa sasa ndio vinara wa matukio ya kihalifu hapa...
Dkt. Gwajima D labda unaweza kusaidia wewe una matumaini kwa kimbilio la watu.
Hivi inakuwaje mtu kaona kwenye nyumba yake CCTV camera kuna watu sio salama na wana magari ambayo hata jambazi hawezi kuwa nayo na zile silahaa kwa mtu kama afande muriro mstaafu japo yupo kazini mara moja kwa sifa...
Kipindi nagawa vipeperushi vya amani kwenye mitaa mbalimbali ya mji wa Iringa, jeshi la polisi mkoani humo limeanza kunibugudhi kisa ujumbe uliopo ndani ya vipeperushi.
Ujumbe huo ni mfupi tu unasomeka kuwa "tunamhitaji ndugu Humphrey Polepole aje atusaidie kujenga hoja za maridhiano"
Nadhani...
Ndugu zangu Watanzania,
Nimeona tangazo la Mwenyekiti Wa BAVICHA Taifa Deogratias Mahinyila Akisema watakuwa na mkusanyiko wa vijana utakaofanyika pale Dodoma wakitaka ama wakiwa na ajenda za kutaka Katiba mpya na kuzungumza mambo mengine ya kisiasa .
Sasa kwa jicho la kijasusi na jicho la...
Kwanini waendesha Bodaboda nchini hawatii mamlaka na kufuata sheria?Je Jeshi la polisi limeshindwa kabisa mbinu??
Kama kichwa cha habari nasikitika sana kuona vijana wanaisha kwasababu ya kukosa maalifa vijana naowaongelea ni waendesha bodaboda! Kwani ajali zao mara nyingi ni za kipumbavu kwani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.