Mwandishi:"Na unahisi hawa wanaosema ugaidi, wanasema kuwa bahati mbaya..."
Peter Madeleka:"Wanamhujumu Rais. Wanamhujumu Rais tuliyonaye huyu. Anajitahidi sana lakini kundi la watu waliopo pembeni yake wanamhujumu. Kwa mfano kesi ya Mbowe, tulihakikisha kabisa Mbowe ni gaidi. Yaani kwamba...
Msaidizi binafsi wa Mwenyekiti wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA), Tundu Lissu, David Djumbe, amefunguka kuhusu mazingira yaliyomfanya akimbie nchini Tanzania baada ya kupokea taarifa za siri kutoka ndani ya mfumo zilizomwonya kuwa alikuwa hatarini kutekwa na kuuawa ndani ya siku...
Jeshi la Polisi Mkoani Geita limejipanga kikamilifu kuhakikisha amani na usalama vinatawala kuelekea msururu wa matukio makubwa ya kimichezo na kijamii yaliyopangwa kufanyika leo, Agosti 4, katika Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe.
Akizungumza na waandishi wa habari, Msemaji wa Jeshi la Polisi...
Waziri wa mambo ya ndani ya nchi ambaye ndiye waziri anayesimamia pia jeshi la polisi, Patrobas Katambi, alitangaza bungeni pamoja na mambo mengine, agizo kwa IJP kusitisha mikutano yote ya vyama vya siasa nchini.
Jeshi la polisi kupitia msemaji wa jeshi hilo limetangaza kuondoa marufuku hiyo...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kagera linapenda kutoa taarifa ya ufafanuzi juu ya tukio linalosambaa kweye mitandao ya kijamii likionyesha picha mjongeo ya mwanaume mmoja akiwa anashambuliwa kwa kupigwa maeneo mbalimbali ya mwili wake kwa fimbo na watu ambao ni walinzi wakishirikiana na mtumishi wa...
Ni kwa mara nyingine naliomba Jeshi la Polisi ndani ya mji wa Bunda kukamata hiki kikosi kazi kinachojihusisha na uhalifu, uporaji na udhalilishaji wanawake.
Hili ni janga na lisipodhibitiwa madhara yake ni makubwa mno
.Kuna vijana watatu ambao kwa sasa ndio vinara wa matukio ya kihalifu hapa...
Dkt. Gwajima D labda unaweza kusaidia wewe una matumaini kwa kimbilio la watu.
Hivi inakuwaje mtu kaona kwenye nyumba yake CCTV camera kuna watu sio salama na wana magari ambayo hata jambazi hawezi kuwa nayo na zile silahaa kwa mtu kama afande muriro mstaafu japo yupo kazini mara moja kwa sifa...
Kipindi nagawa vipeperushi vya amani kwenye mitaa mbalimbali ya mji wa Iringa, jeshi la polisi mkoani humo limeanza kunibugudhi kisa ujumbe uliopo ndani ya vipeperushi.
Ujumbe huo ni mfupi tu unasomeka kuwa "tunamhitaji ndugu Humphrey Polepole aje atusaidie kujenga hoja za maridhiano"
Nadhani...
Ndugu zangu Watanzania,
Nimeona tangazo la Mwenyekiti Wa BAVICHA Taifa Deogratias Mahinyila Akisema watakuwa na mkusanyiko wa vijana utakaofanyika pale Dodoma wakitaka ama wakiwa na ajenda za kutaka Katiba mpya na kuzungumza mambo mengine ya kisiasa .
Sasa kwa jicho la kijasusi na jicho la...
Kwanini waendesha Bodaboda nchini hawatii mamlaka na kufuata sheria?Je Jeshi la polisi limeshindwa kabisa mbinu??
Kama kichwa cha habari nasikitika sana kuona vijana wanaisha kwasababu ya kukosa maalifa vijana naowaongelea ni waendesha bodaboda! Kwani ajali zao mara nyingi ni za kipumbavu kwani...
Jeshi la Polisi Wilaya ya Rungwe, leo tarehe 20.7.2026 limeshiriki zoezi la Usafi wa Mazingira katika Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe Makandana ikiwa ni hatua muhimu ya kuboresha afya ya jamii pamoja na kudumisha uhusiano mzuri uliopo kati ya jeshi hili na Wananchi.
Aidha Jeshi...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita limemkamata Philipo Kazungu (43), mkazi wa Nkomo, Wilaya ya Geita, kwa tuhuma za kuhusika na wizi wa mali mbalimbali. Mali zilizokutwa naye ni pamoja na pikipiki mbili, televisheni aina ya Solarmax ya inchi 43, king'amuzi cha Azam na mashine ya michezo ya...
Tuanze na:
JESHI LA POLISI TANZANIA.
Wajibu mkuu wa jeshi la polisi kwa jamii ni kulinda maisha ya watu na mali zao. Kazi hii inafanyika kwa mujibu wa sheria ili kuhakikisha amani, utulivu, na usalama vinatamalaki katika nchi.
Majukumu makuu ya polisi kwa jamii yamegawanyika katika maeneo...
Mkuu wa Polisi Jamii Wilaya ya Kipolisi Makambako, mkoani Njombe, Mrakibu msaidizi wa Polisi ASP Lilanga Chodas ameitaka jamii kushirikiana katika masuala ya kijamii kama misiba ili kudumisha umoja na mshikamano.
ASP Chodas ametoa rai hiyo wakati akitoa salamu kwa waombolezaji katika msiba...
Jeshi la Polisi nchini limetangaza kuwatia mbaroni jumla ya watuhumiwa 130 katika mikoa mbalimbali kwa tuhuma za kupanga na kuhamasisha vitendo vya kihalifu nchini ambapo watuhumiwa hao wanadaiwa kutumia vikao vya ndani na mitandao ya kijamii kuratibu mikakati ya kuvuruga amani na usalama wa...
Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini Tanzania na Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) David Alphonce Misime amesema hali ya usalama katika viwanja vya Sabasaba na jiji la Dar es Salaam imeimarishwa huku jeshi la polisi na vyombo vingine vya usalama vikiwatoa hofu wananchi wanaofika katika viwanja hivyo...
Ninaitwa Daniel Yohana Mussa, na napenda kuweka wazi kuwa ninaungana na kauli za Karori Jacob kuhusu umuhimu wa Jeshi la Polisi kuwatambua waandishi wa habari na kuwapa ushirikiano wanapotekeleza majukumu yao, badala ya kuwaona kama maadui.
Uhuru wa vyombo vya habari ni jambo muhimu katika...
Fikiria, Una Kaka yako, Katekwa .
Unatakiwa ukareport Polisi TUKIO hilo
Unakutana na Habari ya WAZIRI ,anakuambia, Kama unaushahidi wa Utekaji, uniletee hapa !!.
SI TU kuwadharau Wananchi, KATAMBI anathibitisha hatakiwi kua hata Mjumbe wa Nyumba Kumi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.