jeshi la polisi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    JamiiForums Tanzania Madeleka: Jeshi la Polisi liliundwa kwa sura ya ukandamizaji

    Mwandishi:"Na unahisi hawa wanaosema ugaidi, wanasema kuwa bahati mbaya..." Peter Madeleka:"Wanamhujumu Rais. Wanamhujumu Rais tuliyonaye huyu. Anajitahidi sana lakini kundi la watu waliopo pembeni yake wanamhujumu. Kwa mfano kesi ya Mbowe, tulihakikisha kabisa Mbowe ni gaidi. Yaani kwamba...
  2. R

    JamiiForums Tanzania David Djumbe: Nilipewa taarifa na mtu ndani ya mfumo kuwa natafutwa na ndani ya siku 3 ningepotezwa

    Msaidizi binafsi wa Mwenyekiti wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA), Tundu Lissu, David Djumbe, amefunguka kuhusu mazingira yaliyomfanya akimbie nchini Tanzania baada ya kupokea taarifa za siri kutoka ndani ya mfumo zilizomwonya kuwa alikuwa hatarini kutekwa na kuuawa ndani ya siku...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi Geita latoa onyo kali kuelekea utambulisho wa Yanga na Geita Gold Bukombe

    Jeshi la Polisi Mkoani Geita limejipanga kikamilifu kuhakikisha amani na usalama vinatawala kuelekea msururu wa matukio makubwa ya kimichezo na kijamii yaliyopangwa kufanyika leo, Agosti 4, katika Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe. Akizungumza na waandishi wa habari, Msemaji wa Jeshi la Polisi...
  4. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Jambo likitangazwa na Waziri, Jeshi la Polisi linaweza kutengua?

    Waziri wa mambo ya ndani ya nchi ambaye ndiye waziri anayesimamia pia jeshi la polisi, Patrobas Katambi, alitangaza bungeni pamoja na mambo mengine, agizo kwa IJP kusitisha mikutano yote ya vyama vya siasa nchini. Jeshi la polisi kupitia msemaji wa jeshi hilo limetangaza kuondoa marufuku hiyo...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi: Tumewakamata Walinzi wa Kampuni ya Nyamiaga kwa kumshambulia kwa fimbo Dereva aliyekuwa kwenye mzani Kagera

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Kagera linapenda kutoa taarifa ya ufafanuzi juu ya tukio linalosambaa kweye mitandao ya kijamii likionyesha picha mjongeo ya mwanaume mmoja akiwa anashambuliwa kwa kupigwa maeneo mbalimbali ya mwili wake kwa fimbo na watu ambao ni walinzi wakishirikiana na mtumishi wa...
  6. Tutu kalundji

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Jeshi la Polisi wilayani Bunda, kamateni hawa vijana vinara wa uhalifu, udhalilishaji na utapeli

    Ni kwa mara nyingine naliomba Jeshi la Polisi ndani ya mji wa Bunda kukamata hiki kikosi kazi kinachojihusisha na uhalifu, uporaji na udhalilishaji wanawake. Hili ni janga na lisipodhibitiwa madhara yake ni makubwa mno .Kuna vijana watatu ambao kwa sasa ndio vinara wa matukio ya kihalifu hapa...
  7. Fbn

    JamiiForums Tanzania Jeshi la polisi tanzania limekuwa la ovyo na linazidi kuwa la ovyo.

    Dkt. Gwajima D labda unaweza kusaidia wewe una matumaini kwa kimbilio la watu. Hivi inakuwaje mtu kaona kwenye nyumba yake CCTV camera kuna watu sio salama na wana magari ambayo hata jambazi hawezi kuwa nayo na zile silahaa kwa mtu kama afande muriro mstaafu japo yupo kazini mara moja kwa sifa...
  8. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Jeshi la polisi mkoa wa Iringa acheni kunibugudhi mimi ni raia mzalendo

    Kipindi nagawa vipeperushi vya amani kwenye mitaa mbalimbali ya mji wa Iringa, jeshi la polisi mkoani humo limeanza kunibugudhi kisa ujumbe uliopo ndani ya vipeperushi. Ujumbe huo ni mfupi tu unasomeka kuwa "tunamhitaji ndugu Humphrey Polepole aje atusaidie kujenga hoja za maridhiano" Nadhani...
  9. L

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi lipige marufuku na kuzuia mkusanyiko unaotaka kufanywa na BAVICHA mkoani Dodoma tarehe 12 Agosti kutokana na kuwa na viashiria vibaya

    Ndugu zangu Watanzania, Nimeona tangazo la Mwenyekiti Wa BAVICHA Taifa Deogratias Mahinyila Akisema watakuwa na mkusanyiko wa vijana utakaofanyika pale Dodoma wakitaka ama wakiwa na ajenda za kutaka Katiba mpya na kuzungumza mambo mengine ya kisiasa . Sasa kwa jicho la kijasusi na jicho la...
  10. KakaKiiza

    JamiiForums Tanzania Je Polisi mmenyosha mikono??Kwanini waendesha Bodaboda nchini hawatii mamlaka na kufuata sheria?Je Jeshi la polisi limeshindwa kabisa mbinu?

    Kwanini waendesha Bodaboda nchini hawatii mamlaka na kufuata sheria?Je Jeshi la polisi limeshindwa kabisa mbinu?? Kama kichwa cha habari nasikitika sana kuona vijana wanaisha kwasababu ya kukosa maalifa vijana naowaongelea ni waendesha bodaboda! Kwani ajali zao mara nyingi ni za kipumbavu kwani...
  11. Burn the bridge _Tz

    JamiiForums Tanzania Najuta kujiunga na jeshi la polisi

    Hiii sio kazi ni presha Kila mtu boss wako Unakaa kwa Machale Kazini chuki, mtaani chuki Rushwa kila kona Ama kweli najuta kuwa polisi
  12. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi - Rungwe limeshiriki zoezi la Usafi wa Mazingira katika Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya

    Jeshi la Polisi Wilaya ya Rungwe, leo tarehe 20.7.2026 limeshiriki zoezi la Usafi wa Mazingira katika Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe Makandana ikiwa ni hatua muhimu ya kuboresha afya ya jamii pamoja na kudumisha uhusiano mzuri uliopo kati ya jeshi hili na Wananchi. Aidha Jeshi...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Jeshi la polisi Geita lamkamata Philipo Kazungu kwa kuiba TV, King'amuzi cha Azam na mashine ya kubeti

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita limemkamata Philipo Kazungu (43), mkazi wa Nkomo, Wilaya ya Geita, kwa tuhuma za kuhusika na wizi wa mali mbalimbali. Mali zilizokutwa naye ni pamoja na pikipiki mbili, televisheni aina ya Solarmax ya inchi 43, king'amuzi cha Azam na mashine ya michezo ya...
  14. C-C Digital Pro

    JamiiForums Tanzania Civilian-Coin: Angalizo: wajibu wa Jeshi la Polisi kwa Wananchi na WAJIBU wa Askari Magereza kwa Wafungwa

    Tuanze na: JESHI LA POLISI TANZANIA. Wajibu mkuu wa jeshi la polisi kwa jamii ni kulinda maisha ya watu na mali zao. Kazi hii inafanyika kwa mujibu wa sheria ili kuhakikisha amani, utulivu, na usalama vinatamalaki katika nchi. Majukumu makuu ya polisi kwa jamii yamegawanyika katika maeneo...
  15. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi laitaka jamii kushirikiana kwenye misiba

    Mkuu wa Polisi Jamii Wilaya ya Kipolisi Makambako, mkoani Njombe, Mrakibu msaidizi wa Polisi ASP Lilanga Chodas ameitaka jamii kushirikiana katika masuala ya kijamii kama misiba ili kudumisha umoja na mshikamano. ASP Chodas ametoa rai hiyo wakati akitoa salamu kwa waombolezaji katika msiba...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi: Watu 130 wakamatwa kwa tuhuma za mipango ya kuchoma shule na kuua viongozi

    Jeshi la Polisi nchini limetangaza kuwatia mbaroni jumla ya watuhumiwa 130 katika mikoa mbalimbali kwa tuhuma za kupanga na kuhamasisha vitendo vya kihalifu nchini ambapo watuhumiwa hao wanadaiwa kutumia vikao vya ndani na mitandao ya kijamii kuratibu mikakati ya kuvuruga amani na usalama wa...
  17. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi: Wananchi msiogope kuja Sabasaba, hali ya usalama imeimarishwa

    Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini Tanzania na Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) David Alphonce Misime amesema hali ya usalama katika viwanja vya Sabasaba na jiji la Dar es Salaam imeimarishwa huku jeshi la polisi na vyombo vingine vya usalama vikiwatoa hofu wananchi wanaofika katika viwanja hivyo...
  18. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Daniel Yohana: Jeshi la Polisi linapaswa kuwatambua waandishi wa habari na kuwapa ushirikiano wanapotekeleza majukumu yao

    Ninaitwa Daniel Yohana Mussa, na napenda kuweka wazi kuwa ninaungana na kauli za Karori Jacob kuhusu umuhimu wa Jeshi la Polisi kuwatambua waandishi wa habari na kuwapa ushirikiano wanapotekeleza majukumu yao, badala ya kuwaona kama maadui. Uhuru wa vyombo vya habari ni jambo muhimu katika...
  19. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Kauli kama hizi za Katambi, ndio zimedisha UHALIFU, na kuwafanya Wananchi Waogope kulifikia Jeshi la Polisi kwakua hawalioni likiwasaidia

    Fikiria, Una Kaka yako, Katekwa . Unatakiwa ukareport Polisi TUKIO hilo Unakutana na Habari ya WAZIRI ,anakuambia, Kama unaushahidi wa Utekaji, uniletee hapa !!. SI TU kuwadharau Wananchi, KATAMBI anathibitisha hatakiwi kua hata Mjumbe wa Nyumba Kumi.
  20. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Katambi Mwenye jukumu la kutafuta Ushahidi ni JESHI LA POLISI, Wananchi ndio Wahanga wa Utekaji

    Katambi ,hivi wewe ni Mtanzania kabisa uliyekulia katika Shida za kifamilia ?.
Back
Top Bottom