jeshi la polisi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Amani na utulivu uliopo leo ni matokeo ya kazi ya jeshi la polisi na vyombo vyetu vingine vya ulinzi na usalama

    Rais Samia Suluhu Hassan anasisitiza kuwa amani na utulivu uliopo leo ni matokeo ya kazi ya jeshi la polisi kwa kushirikiana na vyombo vyetu vingine vya ulinzi na usalama. "Kwa kuwa hii ni mara yangu ya kwanza ya kuonana na jeshi la polisi tangu tumemaliza uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka jana...
  2. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania IGP Mstaafu Omar Mahita: Mshtakiwa akiwa lockup halafu ikatokea kapoteza maisha tunafungua inquest, lakini kwa sasa sioni

    IGP Mstaafu Omar Mahita "mshtakiwa yeyote kaingia katika jeshi la kaingia polisi kwenye lockup kapoteza maisha tunafungua inquest". Anasisitiza kuwa: "kifo chochote cha mashaka unafungua request [inquest]... na inquest huwezi ukatoa ruling Soma Pia: IGP Mstaafu Omar Mahita: Jeshi la polisi...
  3. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania IGP Mstaafu Omar Mahita: Jeshi la Polisi lizingatie misingi yake, wasifanye kwa shinikizo la Idara nyingine

    IGP Mstaafu Omar Mahita wakati akizungumza kwenye M&S Podcast ametoa mtazamo wake na ushauri kwa Polisi wasifanye kazi kwa shinikizo au ushawishi wa watu au idara nyingine, bali wabaki katika misingi yao ya kisheria wanapokamata watu. Soma Pia: IGP Mstaafu Mahita: Jeshi la Polisi la Sasa...
  4. figganigga

    JamiiForums Tanzania IGP Mstaafu Mahita: Jeshi la Polisi la Sasa linaingiliwa na Wanasiasa

    IGP Mstaafu Omar Mahita amesema Jeshi la Polisi la Sasa linaingiliwa na Wanasiasa. "Polisi wanaingiliwa na wanasiasa... ndio maana nikasema mimi wakati wangu hapa challenge yangu ni wanasiasa Ameuliza, unaweza kwenda Hospitali ukamwambia Daktari pasua hapa? ni sawasawa wewe daktari unaweza...
  5. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Katambi: Wizara kupitia Jeshi la Polisi imepokea Tsh. Bilioni 247.48 kwa ajili ya ununuzi wa magari 412 na pikipiki 29 za kuongozea misafara

    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema "Wizara kupitia Jeshi la Polisi imepokea Tsh. Bilioni 247.48 kwa ajili ya ununuzi wa magari 412 na pikipiki 29 za kuongozea misafara" akiwa bungeni Mei 25, 2026, wakati akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kwa...
  6. P

    JamiiForums Tanzania Jeshi la polisi mnamsikia Waziri Mkuu huko Iringa? Ni wakati wa kumhoji awatajie aliyempiga Risasi Tundu Lissu

    Ni miaka na mikaka sasa bado mnatafuta chanzo cha kwanini WATU wanatekwa na kupoteza Lakini haitoshi bado mnatafuta nani alimpiga TUNDU LISSU risasi pale Dodoma had kumsababishia ulemavu wa kudumu Sasa katika hali ya kushtua mbele ya umma wa WATU wa IRINGA WAZIRI MKUU wa JAMHURI ya MUUNGANI WA...
  7. McLaren

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Yaliyomo kwenye muswada wa Marekani kuipa vikwazo Tanzania. Polisi, TISS na Wachina wametajwa

    Kuhusu Demokrasia, Uchaguzi na kinachoendelea Tanzania, Muswada huu ambao umetengenezwa na Seneta Ted Cruz na Shaheen unasema yafuatayo: (1) Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo uchumi wake unakua kinoma Afrika, kukiwa na ukuaji thabiti wa kiuchumi katika kipindi cha miaka kumi iliyopita...
  8. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi limlete David Jumbe akiwa HAI, Mashuhuda wanakiri Gari la Watekaji kuingia Moja ya Nyumba hapo Mbweni wakiwa Naye !!!

    Muache ngonjera za kusema Aliruka na kutokomea akiwa na PINGU. Ukimfunga Mtu Míkono kwa namna yoyote ile, UMEMUONDOLEA BALANCE YA KUKIMBIA , HIVO HAWEZ KUA NA UWEZO WA KUKIMBIA KWA KASI HATA KUWASHINDA MAASKARI UHUNI MLOUFANYA KWA POLEPOLE, KWAKUA HAMNA AKILI, NDIO MNAURUDIA ULEULE
  9. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi Pwani lawakamata watu wanne kwa tuhuma za mauaji Vikawe

    Kufuatia majukumu ya Jeshi la Polisi kama yalivyoainishwa katika Ibara ya 147 (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Sura ya 322 ya Sheria ya Jeshi la Polisi na Polisi Wasaidizi Katika kifungu cha 5 (1), Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linatimiza wajibu wake kuhakikisha Usalama wa...
  10. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Kuhusu Utekaji, Ripoti ya Chande, imeakisi sababu zilezile za Jeshi la Polisi wanazotoa Kila siku

    Yaan kwamba una Jeshi la Polisi, Una TISS , lkn bado Wananchi wako wanatekwa kwa sababu za Mapenzi na Kishirikina Yaan kwa Chande yeye, Ukitekwa kisa Mapenzi, au ushirikina , aaahhhhhh ni sawa tu bana Kama sio kuvivua Nguo Vyombo vya Ulinzi ni nini Chande anajaribu kusema??. Chande wewe ni...
  11. McLaren

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande: Kwa mujibu wa Jeshi La Polisi watu 758 walipotea, watu 448 hawajapatikana

    Anazungumza Jaji Chande leo wakati anakabidhi anakabidhi Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025, tarehe 23 Aprili, 2026, Dar es Salaam
  12. McLaren

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa wamiliki na usafirishaji wa abiria Mwanza: Daladala zimeandamwa na Polisi. Kila askari ameelekezwa lazima akamate makosa matatu

    Wakuu, Akizungumza kwenye Mkutano wa wadau wa kupokea maoni ya wadau wa usafiri wa umma kwa njia ya barabara Yusuph Lupilia (Mwenyekiti wa wamiliki na usafirishaji wa abiria Mwanza) analalamikia ongezeko la makosa na tozo kubwa zinazowakabili wamiliki Daladala Alichokisema: Faini Kubwa na...
  13. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi: Utapeli wa "Ile fedha tuma kwenye namba hii" umeshuka kwa kasi

    TAARIFA KWA UMMA TAHADHARI KUHUSU VITENDO VYA UTAPELI. Hali ya Usalama nchini inaendelea vizuri kutokana na jitihada za Jeshi la Polisi zinazo saidiwa na ushirikiano mkubwa kutoka kwa wananchi katika kubaini na kuzuia uhalifu. Pamoja na ushwari huo, yapo matukio mengine yanatendeka kutokana na...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Askofu Msonganzila: Imefika wakati tufanye mabadiliko ndani ya jeshi la Polisi

    Askofu Michael Msonganzila ametoa pendekezo hilo wakati akizungumzia kitendo cha jeshi polisi kuwashambulia bawacha eneo la kanisani --- Askofu wa Jimbo Katoliki la Musoma, Michael Msonganzila amelaani tukio la Jeshi la Polisi kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanachama, wafuasi na...
  15. Travis Kitengo

    JamiiForums Tanzania TRA NA JESHI LA POLISI BUNDA MNA HABARI KUHUSU HUYU JAMAA ANAYEUZA STICKER FEKI ZA TRA?

    Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano.Kati ya maandiko yangu ya siku zilizotangulia niliwahi kugusia bwana mmoja maarufu kwa jina Baraka wasila ambaye ni muasisi wa kuuza dhahabu feki hapa bunda mjini.Niliwahi pia kueleza kwamba licha ya kuwa muuza dhahabu feki mjini aliamua kufungua...
  16. R

    JamiiForums Tanzania Katibu Mkuu BAWACHA, Pamela Maassay: Jeshi la Polisi halina mamlaka kutoa tafsiri ya kimahakama, tunampango kwenda Musoma kuadhimisha siku ya wanawake

    "Jeshi la Polisi halina mamlaka ya kutoa tafsiri ya kimahakama au kujichukulia hatua zozote bila kupewa maelekezo na mahakama. Wanawake nchi nzima tumejiandaa tunampango wa kusafiri kwenda Musoma katika Maadhimisho ya siku ya Mwanamke Duniani, tunajua hatujavunja Sheria." Amesema Pamela...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Akwezo: Waliniambia nitoe milioni 147 na kuzipaka mafuta ili Malaika azichukue ili zikirudi ziwe nyingi, kumbe walikuwa matapeli

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma linawashikilia watuhumiwa watatu waliokuwa wakijiusisha na shughuli za utapeli maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Ruvuma na Mikoa Jirani. Akizungumza kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Kamishna Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Marco G. Chilya Februari 23,2026 katika...
  18. Q

    JamiiForums Tanzania Boniface Mwabukusi: Iundwe Tume huru ya kulichunguza Jeshi la Polisi

    Polisi makao makuu waliunda Kamati kuchunguza kutekwa kwa Mdude mpaka sasa kimyaa japo afisa wao alitajwa bayana. Mzee Kibao uchunguzi unaendelea, Soka na wenzake Mahakama ikaamuru Polisi wa chunguze hadi leo kimyaa labda bado wanaichunguza amri ya mahakama. Soka na wenzake uchunguzi...
  19. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi lawakamata Watu watatu wakiwa njiani kutorosha Punda 21 kwenda Nchi jirani

    Jeshi la Polisi kupitia Kikosi cha Kuzuia Wizi wa Mifugo Nchini (STPU) Kwa kushirikiana na Shirika lisilokuwa la kiserikali la ASPA limefanikiwa kuwakamata Watuhumiwa Watatu waliokuwa wakitorosha Mifugo aina ya Punda 21 kwenda Nchi jirani pasipo kuwa na kibali. Kamanda wa Kikosi hicho, Kamishna...
  20. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Nililionya Jeshi la Polisi kuhusu ukamataji bila kufuata taratibu kwakuwa unaacha 'Loophole' kwa Magenge kufanya Utekaji na Mauaji Unrecognizable

    Wakati tukiendelea Kushuhudia Matukio ya Utekaji na Mauaji yanayoendelea nchini, Mimi binafsi nilitumia Akili yangu na kipawa KIKUBWA nilichojaaliwa cha kutizama mambo kwa UPANDE wa pili, na nikushauri JESHI LA POLISI LIKAMATE WATU KWA UTARATIBU NA MAFWELE ADHIBITIWE kwakua anavuruga Security...
Back
Top Bottom