kiongozi

Enjo Kiongozi (born 27 March 1990) is a Tanzanian cricketer. He played in the 2014 ICC World Cricket League Division Five tournament.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    JamiiForums Tanzania Ameigiza ila ndio uhalisia wa wa Kiongozi mmoja wa Serikali ambaye anapenda kuwadanganya watanzania

  2. Fbn

    JamiiForums Tanzania Hivi mnafahamu wenzetu wanamaisha ya raha sana unaweza kuishi na jirani wala usimfahamu kuwa ni kiongozi

    Wenzetu wanamaisha tofauti na huku afrika.Unaweza kupishana na kiongozi mkubwa mtaani wala usimjue kabisa. Wenzetu wamejijengea kutofautisha kazi na nzengo. Sio wote ambao wanafanya hivyo ila wengi wao wanataka kuishi hivyo. Kuna vyeo vinaweza kukufanya kuwa tofauti ila vyeo vingi kwa wenzetu...
  3. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kuna mambo yana chekesha sana ;Iran ya sasa iwezi kutanganza wala kuonesha huyu ni kiongozi wa sasa.

    Tumeshuudia kila kiongozi wa iran aliwahishwa haraka kupokea mabikra 72. Kwa sasa nchi ya irani inaogopa hata kutangaza huyu ni kiongozi gani maana kwa mashambulizi wanayo pokea mpaka nyumbani kwao na familia zao wameona kuishi kwa mtindo giza.
  4. F

    JamiiForums Tanzania Hii namna mpya ya kuandamana hapo hapo na kiongozi akiwepo jukwaani inaweza kuleta mapinduzi makubwa kwenye siasa za Tanzania

    Tumeona kwenye tamasha la bongo fleva Mlimani City jinsi ambavyo wahudhuriaji walivyokataa mambo wasiyoyataka. Tumeona naibu waziri wa utamaduni akizomewa kwa kutaka kuingiza siasa kwenye burudani. Pia tumeona hayo hayo yakimtokea Dully Sykes kwa kumtaja tu Makonda. Haya yanatufundisha nini...
  5. Kevzy

    JamiiForums Tanzania Tuwe wazi, hivi CCM ikitoka madarakani Kuna kiongozi yeyote anafaa kutuongoza

    Ile paaap Ccm Chali Kuna kiongozi yeyote ambaye ana mlengo wa kisiasa kupitia chama Cha Ccm atatufaa au tunaanza upya na viongozi wapya Binafsi naona kama Hawa jamaa wakianguka Tena Kwa njia ambayo ya wazi ambayo kuwaambia kuwa hatuwataki watoke madalakani ni vyema wote wakatafuta biashara...
  6. Izato

    JamiiForums Tanzania Madhara anayoyapitia kiongozi muuaji

    Kuna madhara makubwa anayoyapatia kiongozi mwenye hatia ya mauaji hata kama ana mamlaka makubwa juu ya wananchi wake. Kuuwa ni dhambi kubwa kwa hiyo basi kuna madhara makubwa ya kisheria, kijamii, na kiroho ama kisaikolojia. Madhara ya Kisheria 1. Kufunguliwa kesi ya jinai mahakamani. 2. Rekodi...
  7. zee_latown

    JamiiForums Tanzania Nadhani Ridhiwani ni kiongozi bora, nitamuunga mkono

    Wanjamvi na geniuses wa HnM sakamu! Nimetafakari sana, nimewaza na kuwazua. nikahitimisha kuwa hakuna kisicho na dosari. Mhe. Ridhiwani Kikwete ni kiongozi bora, ni bora ndiyo, na siku hapo mbeleni akitangaza nia ya kujaribu kugombea Urais, nitamuunga mkono 100%. Sababu zangu zipo hapo chini...
  8. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Kiongozi aliyeshinda kwa 98% na kuchaguliwa na watu mil 33 yeye na selikali yake hapaswi kuwa na hofu juu ya maandamano

    Kwa tafsiri ya haraka ni kuwa anakubalika na anapendwa na raia wengi wa nchi yake. Asingekuwa na hofu kabisa na maandamano sabababu ambao wangeandamana ni wachache sana kuliko wale mil 33 wanaompenda na wasingeleta impact yoyote. Sasa kwa nini hofu kubwa namna? Ukipita miji mikubwa kama Dar...
  9. funaku

    JamiiForums Tanzania Ujumbe wa Tanzania katika kumuaga Kiongozi wa Taifa la IRAN KHAMENEI!

    Tanzania haijabaki nyuma katika diplomasia hii muhimu.
  10. Alloyce PR

    JamiiForums Tanzania PIGA KURA: Ni kiongozi gani unayemwona anafaa kuaminiwa na Watanzania kuwa Rais wa 2030/2035?

    Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2030 unahitaji viongozi wenye kuendeleza maono, uadilifu na uwezo wa kuendeleza maendeleo ya Taifa ili kufanikisha malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, hususan katika sekta zifuatazo: Elimu bora, jumuishi na yenye kuendana na mahitaji ya maendeleo endelevu ya...
  11. Kamanda Asiyechoka

    JamiiForums Tanzania Hakuna mahala Kiongozi wa CHADEMA ametukana . Wanachofanya ni kuuleza umma wa Watanzania namna taifa lao linavyoporwa na wanaCCM wachache

    Nimeshangazwa sana na kauli ya Mwigulu Nchemba (PM) kuwa wanaChadema wanafanya harakati na kutukaa viongozi. Ameenda mbali na kudai huko nyuma Chadema walikuwa wakimtukana hayati JPM Napolingana na hii hoja maana viongozi wa Chadema wanaeleza kwa hoja namna CCM inavyotumika kitafuna pesa za...
  12. papag

    JamiiForums Tanzania Hapa kuna kiongozi kweli?

    WAPINZANI TANZANIA BADO WAMEMKALIA KOONI WAZIRI KATAMBI Nibaada ya waziri wa mambo ya ndani Tanzania Patros Katambi akijibu swali la mwandishi kuwa ametumia kifungu gani cha sheria kufungia mikutano ya vyama vya saasa,.anasema,! "Kama mnahisi sina mamlaka hayo na mnakwenda mahakamani mkijua...
  13. Ritz

    JamiiForums Tanzania Kiongozi Mkuu wa Irani Mojtaba Khamenei hatahudhuria mazishi ya baba yake

    Wanaukumbi. 🚨 KUTOKEA KWA MMOJA KUNATAWALA VICHWA VYA HABARI. 🇮🇷 Kiongozi Mkuu wa Irani Mojtaba Khamenei hatahudhuria mazishi ya baba yake. Uamuzi huo umezua maswali mara moja, huku umakini ukielekezwa kwenye umuhimu wa moja ya kutokuwepo kwa watu waliofuatiliwa kwa karibu zaidi kwenye...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Motjaba walishamla kichwa au ? unaogopaje kutoka hadharani nchi unayoiongoza iliyojigamba kushinda vita kwenye msiba wa kiongozi mkubwa na mzazi ?

    Kiongozi Mkuu wa Iran, Mojtaba Khamenei, hatohudhuria shughuli za mazishi ya baba yake, Ali Khamenei, Taarifa hiyo imetolewa na mwakilishi wa kiongozi huyo nchini India wakati Iran ikiendelea na maandalizi ya shughuli za mazishi. kuna possibility kubwa hata huyu walishapita nae
  15. Baba mtakatifu91

    JamiiForums Tanzania Ukiambiwa umwombee baraka kiongozi yeyote utamwombea nani?

    MUNGU HUWAINUA WANYENYEKEVU 1. Wimbo wa Hana (1 Samweli 2:1-10) Hii ndiyo tenzi kamili inayoanzia kwa maneno uliyotaja "Moyo wangu wamshangilia BWANA" . Kisha Hana akaomba na kusema: 1 “Moyo wangu wamshangilia BWANA, katika BWANA pembe yangu imeinuliwa juu. Kinywa changu chajisifu juu ya...
  16. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kiongozi wa Kata ya Buyombe – Ilemela (Mwanza) anauza maeneo ya wazi, RC tuma timu ikague

    Mwenyekiti wa Kata ya Buyombe, Wilaya ya Ilemela, Mkoa wa Mwanza anauza maeneo ya wazi (open space) kinyemela, yaliyotengwa na Serikali kwa ajili ya shughuli za Kiserikali. Anaharibu ramani ya mipango miji na anatutengeneza mazingira mabovu ya makazi, tunaomba Mkuu wa Mkoa aje akomeshe tabia...
  17. R

    JamiiForums Tanzania CAG Mstaafu, Prof. Mussa Assad: Tatizo tuna watu ambao wameibuka, Kiongozi lazima atayarishwe

    Katika mahojiano maalum yaliyorushwa na M&S Podcast, Juni 24, 2026, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Mstaafu, Prof. Mussa Juma Assad, amefafanua kuwa kiongozi bora ni yule mwenye uwezo wa kusimamia watu na taasisi kwa ufanisi kupitia mambo makuu matatu: upangaji wa mipango ya...
  18. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Wewe kama kiongozi huoni aibu kutamka takwimu za deni la Taifa

    Nchi inaendeshwa na bajeti ya mikopo ,tutegemee siku moja mabeberu kuja kututawala tena . Watanzania ni lini wataambiwa takwinmu za deni na watasikia deni likishuka chini na siyo kila takwimu inapotolewa ni kuongezeka kwa namba tu hivi wewe kama kiongozi huoni AIBU. Zaidi ya Trilion 100........
  19. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Bora tufikishane mbali potelea pote. Lakini huwezi nitandika Mbele za watu kisa wewe kiongozi bila Sheria kufuatwa

    BORA TUFIKISHANE MBALI POTELEA POTE. LAKINI HUWEZI NITANDIKA MBELE ZA WATU. KISA WEWE KIONGOZI BILA SHERIA KUFUATWA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli 1. Watibeli sio kwamba Sisi ni wajeuri. Hapana. Sisi ni watu wa principles, watu wa kanuni. 2. Ukishakuwa mtu wa principles watu wengi...
  20. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Ninaunga mkono kutumbuliwa kwa kiongozi mwandamizi tuliyedokezwa na mbunge Sumai

    Mimi naona lilikuwa jambo la kichama zaidi na kutakiwa kuwasilishwa kwenye vikao vya chama. Ila Simai ana hoja ingawa alitumia platform isiyo sahihi. Kwa aliyoongea ni wazi italeta maneno mengi ndani ya chama na kuchafua hali ya hewa. Kama mtu ninayetaka mama aongezewe muda wa kuongoza hadi...
Back
Top Bottom