Wenzetu wanamaisha tofauti na huku afrika.Unaweza kupishana na kiongozi mkubwa mtaani wala usimjue kabisa.
Wenzetu wamejijengea kutofautisha kazi na nzengo.
Sio wote ambao wanafanya hivyo ila wengi wao wanataka kuishi hivyo.
Kuna vyeo vinaweza kukufanya kuwa tofauti ila vyeo vingi kwa wenzetu...
Tumeshuudia kila kiongozi wa iran aliwahishwa haraka kupokea mabikra 72.
Kwa sasa nchi ya irani inaogopa hata kutangaza huyu ni kiongozi gani maana kwa mashambulizi wanayo pokea mpaka nyumbani kwao na familia zao wameona kuishi kwa mtindo giza.
Tumeona kwenye tamasha la bongo fleva Mlimani City jinsi ambavyo wahudhuriaji walivyokataa mambo wasiyoyataka. Tumeona naibu waziri wa utamaduni akizomewa kwa kutaka kuingiza siasa kwenye burudani. Pia tumeona hayo hayo yakimtokea Dully Sykes kwa kumtaja tu Makonda. Haya yanatufundisha nini...
Ile paaap Ccm Chali
Kuna kiongozi yeyote ambaye ana mlengo wa kisiasa kupitia chama Cha Ccm atatufaa au tunaanza upya na viongozi wapya
Binafsi naona kama Hawa jamaa wakianguka Tena Kwa njia ambayo ya wazi ambayo kuwaambia kuwa hatuwataki watoke madalakani ni vyema wote wakatafuta biashara...
Kuna madhara makubwa anayoyapatia kiongozi mwenye hatia ya mauaji hata kama ana mamlaka makubwa juu ya wananchi wake. Kuuwa ni dhambi kubwa kwa hiyo basi kuna madhara makubwa ya kisheria, kijamii, na kiroho ama kisaikolojia.
Madhara ya Kisheria
1. Kufunguliwa kesi ya jinai mahakamani.
2. Rekodi...
Wanjamvi na geniuses wa HnM sakamu!
Nimetafakari sana, nimewaza na kuwazua. nikahitimisha kuwa hakuna kisicho na dosari. Mhe. Ridhiwani Kikwete ni kiongozi bora, ni bora ndiyo, na siku hapo mbeleni akitangaza nia ya kujaribu kugombea Urais, nitamuunga mkono 100%. Sababu zangu zipo hapo chini...
Kwa tafsiri ya haraka ni kuwa anakubalika na anapendwa na raia wengi wa nchi yake.
Asingekuwa na hofu kabisa na maandamano sabababu ambao wangeandamana ni wachache sana kuliko wale mil 33 wanaompenda na wasingeleta impact yoyote.
Sasa kwa nini hofu kubwa namna? Ukipita miji mikubwa kama Dar...
Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2030 unahitaji viongozi wenye kuendeleza maono, uadilifu na uwezo wa kuendeleza maendeleo ya Taifa ili kufanikisha malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, hususan katika sekta zifuatazo:
Elimu bora, jumuishi na yenye kuendana na mahitaji ya maendeleo endelevu ya...
Nimeshangazwa sana na kauli ya Mwigulu Nchemba (PM) kuwa wanaChadema wanafanya harakati na kutukaa viongozi.
Ameenda mbali na kudai huko nyuma Chadema walikuwa wakimtukana hayati JPM
Napolingana na hii hoja maana viongozi wa Chadema wanaeleza kwa hoja namna CCM inavyotumika kitafuna pesa za...
WAPINZANI TANZANIA BADO WAMEMKALIA KOONI WAZIRI KATAMBI
Nibaada ya waziri wa mambo ya ndani Tanzania Patros Katambi akijibu swali la mwandishi kuwa ametumia kifungu gani cha sheria kufungia mikutano ya vyama vya saasa,.anasema,!
"Kama mnahisi sina mamlaka hayo na mnakwenda mahakamani mkijua...
Wanaukumbi.
🚨 KUTOKEA KWA MMOJA KUNATAWALA VICHWA VYA HABARI. 🇮🇷
Kiongozi Mkuu wa Irani Mojtaba Khamenei hatahudhuria mazishi ya baba yake.
Uamuzi huo umezua maswali mara moja, huku umakini ukielekezwa kwenye umuhimu wa moja ya kutokuwepo kwa watu waliofuatiliwa kwa karibu zaidi kwenye...
Kiongozi Mkuu wa Iran, Mojtaba Khamenei, hatohudhuria shughuli za mazishi ya baba yake, Ali Khamenei,
Taarifa hiyo imetolewa na mwakilishi wa kiongozi huyo nchini India wakati Iran ikiendelea na maandalizi ya shughuli za mazishi.
kuna possibility kubwa hata huyu walishapita nae
MUNGU HUWAINUA WANYENYEKEVU
1. Wimbo wa Hana (1 Samweli 2:1-10)
Hii ndiyo tenzi kamili inayoanzia kwa maneno uliyotaja "Moyo wangu wamshangilia BWANA" .
Kisha Hana akaomba na kusema:
1 “Moyo wangu wamshangilia BWANA, katika BWANA pembe yangu imeinuliwa juu. Kinywa changu chajisifu juu ya...
Mwenyekiti wa Kata ya Buyombe, Wilaya ya Ilemela, Mkoa wa Mwanza anauza maeneo ya wazi (open space) kinyemela, yaliyotengwa na Serikali kwa ajili ya shughuli za Kiserikali.
Anaharibu ramani ya mipango miji na anatutengeneza mazingira mabovu ya makazi, tunaomba Mkuu wa Mkoa aje akomeshe tabia...
Anonymous
Thread
ilemela
kiongozi
maeneo
maeneo ya wazi
mwanza
timu
wazi
Katika mahojiano maalum yaliyorushwa na M&S Podcast, Juni 24, 2026, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Mstaafu, Prof. Mussa Juma Assad, amefafanua kuwa kiongozi bora ni yule mwenye uwezo wa kusimamia watu na taasisi kwa ufanisi kupitia mambo makuu matatu: upangaji wa mipango ya...
Nchi inaendeshwa na bajeti ya mikopo ,tutegemee siku moja mabeberu kuja kututawala tena .
Watanzania ni lini wataambiwa takwinmu za deni na watasikia deni likishuka chini na siyo kila takwimu inapotolewa ni kuongezeka kwa namba tu hivi wewe kama kiongozi huoni AIBU.
Zaidi ya Trilion 100........
BORA TUFIKISHANE MBALI POTELEA POTE. LAKINI HUWEZI NITANDIKA MBELE ZA WATU. KISA WEWE KIONGOZI BILA SHERIA KUFUATWA.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
1. Watibeli sio kwamba Sisi ni wajeuri. Hapana. Sisi ni watu wa principles, watu wa kanuni.
2. Ukishakuwa mtu wa principles watu wengi...
Mimi naona lilikuwa jambo la kichama zaidi na kutakiwa kuwasilishwa kwenye vikao vya chama. Ila Simai ana hoja ingawa alitumia platform isiyo sahihi. Kwa aliyoongea ni wazi italeta maneno mengi ndani ya chama na kuchafua hali ya hewa.
Kama mtu ninayetaka mama aongezewe muda wa kuongoza hadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.