vichwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Mnaokulaga “vichwa” njiani wakati wa kusafiri, hivi hamuoni ni high risk?

    Kwa mfano, unasafiri unatoka Dar unaenda Mbeya kwa gari binafsi. Ukifika pale Mbezi Mwisho, utakuta madalali wa abiria wanaoenda mikoani. Ukisema unaenda Mbeya wanakuletea abiria wa Moro, Mbeya, Iringa, nk mnanegotiate bei na yeye unampa chake safari inaanza. Nawaza, hii risk ya kupakiza...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Jose mla Vichwa - Kuna kipi huyu jamaa hawezi kula kama kafikia huku ?

  3. Titicomb

    JamiiForums Tanzania CCM na wakata vichwa wanaotaka vita na kanisa Katoliki mmewasahau akina Komando Padre Dr. Henry Rimisho askari na majasusi wa kanisa?

    Kuna Padre Askari Komando, Architect, muhadhiri wa chuo kikuu alipata umaarufu sana kwenye vyombo vya habari miaka minne iliyopita. Anaitwa Dr. Henry Rimisho. Jamaa ukisikiliza wasifu wake wa elimu na mengineyo unaweza kuwaogopa sana kanisa Katoliki. Jamaa Askari wa jeshi na alikuwa vitani...
  4. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Watakapoandamana Wakatoliki Halisi kulaani "kutaka kukatwa vichwa" Mwigulu uwalinde

    Watakapokuja Wakatoliki halisi wanaojua kusoma na kuvaa kwa heshima mbele ya Balozi wa Papa, wakasoma tamko lao kuwataka Polisi wamkamate aliyempiga Fr. Kitima, na wamlete aliyeteka mapadre na kuwadhalilisha, akawavisha wake za watu mavazi ya kitawa ili waonekane ni watawa walioshika bendera za...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Watu wa Mama vichwa panzi! Bila HAKI mnapoteza muda pesa sio kila kitu!!!

    Watu wa Mama vichwa panzi! Bila HAKI mnapoteza muda pesa sio kila kitu!!! Huwezi kushinda mioyo ya Watanzania kwa kutoa pesa kwa wapinzani , vyombo vya habari au viongozi wa dini wachache. Unashinda kwa kutoa HAKI bila kutoa HAKI mnapoteza muda na pesa za nchi hii. Watu wa Mama wanafikiri pesa...
  6. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania 'Sheikh mkata vichwa' ndo aliua issue ya udini ilioanza taratibu kuenea

    Yule Shekh Mkata vichwa alikosea kuongea vile , Ila ndo aliua huo mchezo wa UDINI . Ile watu walipoanza kuudhuria kanisani na makanzu tatizo likawa solved.
  7. The Father of All

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Aliyetishia kukata watu vichwa kaishia wapi? Ameshtakiwa?

    Kichwa cha habari kiko wazi. Inakuwaje watu ambao hawakuchaguliwa, kuteuliwa, au kuwa sehemu ya serikali kikatiba wanatishia Watanzania? Wamelipwa, kujituma, au kutumwa? Je, nani anawatuma na kwanini? Wanapata wapi uhalali wa kutoa vitisho ? Mbona hawakamatwi wala kukaripiwa? Kwanini serikali...
  8. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Baada ya serikali kupinga maandamano haramu vijana vichwa ngumu mkaandamane UN itawsaidia kulea wake na watoto wenu

    Tanzania inaendeshwa kwa mujibu wa Sheria na kanuni . Kuandamana ni haki ya kila Mtanzania ila ni haki ya serikali kupinga au kukataa maandamano kwa sababu za kiusalama na kijamii. Hakuna serikali itakayotoa kibali cha maandamano ya kuiondoa serikali husika. Mngetaka kuiondoa mngepiga kura na...
  9. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kutishia kuua kwa maneno ni kosa la Jinai. Sheikh aliyetishia kukata vichwa watu kwa majambia anapewa onyo!

    Kifungu cha 89 2(a) cha kanuni ya adhabu kimeweka wazi kabisa kuwa kutishia kuua ni kosa na mtu anapaswa kufungwa mwaka mmoja. Mbona huyu sheikh amepewa kadi ya njano na huku amefanya makosa? Pia soma > Uislamu unamkataa Sheikh aliyehamasisha kukata vichwa. Masheikh wenzie walaani
  10. B

    JamiiForums Tanzania Chalamila atuma ujumbe mzito kwa waliosema watakata watu vichwa

    24 November 2025 RC ALBERT CHALAMILA MKUU WA MKOA WA DSM ATUMA UJUMBE MZITO KWA WALIOSEMA WATAKATA WATU VICHWA https://m.youtube.com/watch?v=Gv-JhuTHmN4 mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ambaye pia ni mwenyekiti kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa inayokusanya wajumbe kutoka jeshi la polisi...
  11. R

    JamiiForums Tanzania Mwananchi: Sheikh gani unasimamia uovu, Wakristo ni ndugu zetu kujeni kivingine hili lishadunda

    Baaaas dada kamaliza mjadala kabisa Hawa watu wamezoea kuona watanzania kuwa wa kimya hawajui karne hubadika kisha watu na mitazamo yao pia hubadilika, Walidhani wakileta masuala ya dini basi wakristo na waislamu tungeanza battle la kiimani, imegeuka kuwa battle kati ya misimamo na umoja wa...
  12. mwehu ndama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Je aliyesema atawakata vichwa waandamanaji amekwisha kamatwa?

    Hivi majuzi Kuna limbukeni mmoja wa elimu duuniya aliibuka na kuzua taharuki aliposema atakata waandamanaji vichwa D9. Nataka kujua kama huyo tahira anaewatukanisha ndugu zangu Waislamu na mtume Mohammed katika kristo kama amekwisha tiwa nguvuni. Kama bado nitahamasisha kukamatwa kwake mara moja!!
  13. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Sheikh aliyesema atakata watu watakaoandamana vichwa alitakiwa awe anahojiwa na Polisi

    Lissu alisema atakinukisha yuko gerezani, Shekhe kasema atakata vichwa waandamanaji imekuwa habari kwenye media ana trend yupo kijiweni anavuta fegi na kahawa. Karibu Tanzania. Polisi mnataka tuanze kuwafundisha kazi yenu, Au mnajua tu kuua na nyie ?
  14. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Uislamu unamkataa Sheikh aliyehamasisha kukata vichwa. Masheikh wenzie walaani

    Naituma kama nilivyoipokea kutoka jukwaa la masheikh. Nitamrekebisha shekh aliesema watu watakatwa (vichwa) na kuzungumzia wakristo kama ndio njia ya ukosefu wa amani Hakuna shekhe, kiongozi, au mtu yeyote aliyepewa ruhusa na Allah kusimamisha uhai wa mtu au kukataza jambo kwa kutumia njia ya...
  15. Damaso

    JamiiForums Tanzania Vyakula vya Ajabu kutoka kwa Jose Mla Vichwa

    Kwa muda mrefu sasa, jina la Jose Mla Vichwa limekuwa gumzo mitaani, mitandaoni na hata meza za chai za ofisi nyingi hapa nchini. Ni mtu anayeonekana tofauti, mtu mwenye hamu ya kugusa, kuonja na kula vyakula ambavyo Watanzania wengi hawaitaji hata kuvisikia. Kicheche, kenge, panya, chatu – kwa...
  16. NALIA NGWENA

    JamiiForums Tanzania Kwa kitendo Cha Simba Sc kupost video wakichana picha ya Eng. Hers, ni wazi kabisa Vichwa vyao vinamiwaza mno

    Wamejikaza sana mpaka Leo wamepost video wakichana picha ya Eng Hers, Ni wazi kabisa jamaa kawatesa mno na amewakaa mno vichwani mwao maana toka jamaa atue Yanga Simba SC hawajawahi kujua utamu Wa kombe
  17. Alloyce PR

    JamiiForums Tanzania Ukipuuzia Vichwa, Kesho Utahukumu Kichaa

  18. T

    JamiiForums Tanzania Unabii: Mkiyaona haya, basi inueni vichwa na kumtukuza Mungu

    Wana wa Mungu wana wataifa teule la Tanzania na wana wataifa la babu zenu Tanganyika haya ndio yata tukia ktk siku zijazo na kama mkiyaona basi inuweni vichwa juu na kumtukuza Mungu. 1. Patakuwa na ukimya mzito haujawahi tokea tangu kuwepo kwa Taifa 2. Kwa wale mpo miji mikuu mtasikia sauti za...
  19. Hamissi Hamza Jr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Gentlemen commandments//the art of winning women psychology

    1.Kama Una Mwanamke Unaempenda Usimuoneshe Kama Unampenda Sana au una muhitaji Sana 2.Ukitaka Mawasiliano naye Mpe Namba yako usichukue yake". Kukiwa na Mazingira complicated ya kukulazimisha kuchukua yake Ukichukua Pitisha siku tatu au week ndio umtafute 3.Ukimproach Mwanamke akikutaa...
Back
Top Bottom