wenzangu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Wenzangu huwa mnaishi vipi na watu wabahili?

    Wafanyakazi wenzangu wamekuwa wabahili kupitiliza Hadi nakereka Mtu anataka Hadi ku submit kazi kwa supervisor umfanyie hotspot Akitaka kuchat kwenye grp napo anaomba kuwa hotspoted Chakula kwake kununua ni changamoto Hadi anavizia muda wako wa kula naye anakuja na si kwamba ni mara Moja...
  2. Its Jensen

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume wenzangu mnisaidie naenda kupoteza mchumba

    Habari zenu wana jamvi Kwa kweli kijana mwenzenu nina changamoto ambayo inapelekea nakosa amani kabisa ninapokutana kimapenzi na mchumba wangu kitu ambacho kwa sasa hakinipi furaha tena Kwa sasa nina changamoto ya kuchelewa sana kumwaga (kukojoa) wakati nafanya mapenzi na mchumba wangu swala...
  3. Isenye

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume Wenzangu mnawezaje kudeal na wanawake walevi?

    Fresh wakuu? Mficha maradhi kifo humuumbua. Nina mpenzi wangu,ni mwanamke wa kichaga,ni mrembo tu na ana akili ya maisha ,lakini changamoto yake ni tungi huyu mtu anapenda bia (castle lite) zaidi ya chakula,nimeongea weee mpaka nimeamua kuwa mpole. Note:majukumu yake kama mwanamke...
  4. instinct desire

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume wenzangu ngoja niwaambie kitu: Mwanamke atakayekubali kuwa chini Yako na kukusikiliza ni yule uliyemzidi Kila kitu tu

    Ngoja nipumzike siasa kidogo jioni hii: Unaishi na mwanamke ambaye mpo sawa almost Kila kitu usitegemee atakuheshimu kwenye ndoa, utabaki unalalamika ana kucheat na huna cha kumfanya. Kwa mfano: Salary advance mnaomba wote, kikundi/kikoba mnacheza wote, kwanye gari nauli mnabisha wote🤣, jero...
  5. A

    JamiiForums Tanzania How wenzangu munaweza ku control wanawake katika ndoa zenu nipeni mbinu

    Moja kati ya jambo ambalo najiulizaga How Hawa wanaume wenzangu wanafikia Level za kutesa wake Zao au kuwa control na wengine wanashindwa kabisa na matukio ya wanaume wanaamua kwenda kwao Wanafanya fanyaje 😀😃😄 maana Mimi mwezenu tayari nimedandia mtungi wa vibwengo Nimeona Kamada wa jeshi (😀😃)...
  6. Kazanazo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Toka nijiunge JF sijapata wa kum-cc humu wenzangu huwa mnawapataje

    Naamini mitaa hii manzi zipo nyingi sana ila ni adimu kupatikana kwa upande wangu wakuu nipeni miongozo namimi niwe na c mbili kwenye comments
  7. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Hivi wenzangu, mnafanyaje mnapobeti hamgusi fedha mlizoweka kama akiba?

    Eti Wakuu mnafanyaje? Nimefanya kila mbinu kuepuka mtego huu wa ku-bet bila kutumia pesa yangu ambayo nimeweka kama akiba ila nimeshindwa, umekuwa ugonjwa wangu karibu kila ninapo suka mikeka yangu. Hali hii inaniumiza sana na sijui najinasuaje?
  8. Mngoni asiyepiga gambe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa wahenga wenzangu naitafuta hii nyimbo

    Nyimbo ya dansi sikumbuki vizuri imeimbwa na bendi gani (nahisi tu ni daimond Sound) inaimbwa hivi "Nashangaa na maneno yako umekuwa kigeugeu aah neema tunapopendana na wewe umenitamkia mwenyewe nakupenda japo huna kitu Chorus " Neema kumbuka kupata ni majaliwa mapenzi sio mali wala kipato...
  9. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Wakazi wa Songwe nipo kwenu toka Jumatano nimekuja kubalizi kidogo na majini wenzangu 😂😂 karibuni mnaotaka kuonana na mimi

    Wakazi wa Songwe nipo kwenu toka Jumatano nimekuja kubalizi kidogo na majini wenzangu 😂😂 karibuni mnaotaka kuonana na mimi
  10. M

    JamiiForums Tanzania Wazazi wenzangu huwa tunaongea na watoto wakiwa bado tumboni ili kuwajenga namna tunataka wawe?

    Kuongea na mtoto aliye tumboni ni kitendo cha mzazi (hasa mama au baba) kuwasiliana na mtoto kabla hajazaliwa kwa kutumia sauti, nyimbo, kugusa tumbo na kumwambia kwa upendo kuwa wewe ni mama yake au baba yake, unampenda na unamsubiri, unataka aje kuwa mtoto wa aina gani au hata kusali naye nk...
  11. Equation x

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wazo langu kwa hawa wazazi wenzangu linaweza kuwa na faida?

    Kutokana na harakati za maisha za hapa na pale, nimejikuta nimezaa na wanawake mbali mbali nje ya ndoa; na kabla ya wao kuingia kwenye mahusiano walijua kabisa mimi namilikiwa na mrs Equation x. Ila kwa kutaka kupata chata tu ya equation x iliwalazimu wao wenyewe, kwa mida yao kujibebea mimba...
  12. Anana_

    JamiiForums Tanzania Ambao mmetoka kwenye Familia zenye Upendo, Mshukuru Mungu

    Nyumbani papo ila siwez kukanyaga… Kila nifanyacho home wanaona sijafanya kitu, napambana kadri ya uwezo wangu ila maneno ni mengi sana kule. Mimi kama kunguni yan Nikitatua migogoro ndiyo inaongezeka Nimeamua kujitenga niwe alone. Na hivi am zodiac Cancer bas naenjoy sana kua alone. Kama sina...
  13. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Wakristo wenzangu, kwahiyo pamoja na kuwa na elimu zetu Bado tunaamini Nabii Yona alimezwa na nyangumi na akatapikwa akiwa Yu hai?

    Hapa sasa nakubaliana na Mzee Kikwete hasa aliposema Akili za kuambiwa changanya na zako. Inawezekana vipi mtu amezwe siku3 nzima mchana na usiku Kisha akatapikwe akiwa Yu hai? Haihitaji maelezo mengi sana naishia hapa ila Mimi pamoja na ukristo wangu nakiri wazi tulipigwa chumvi iliongezwa...
  14. a sinner saved by Christ

    JamiiForums Tanzania Wahubiri Wenzangu, tuhubiri utakatifu

    VIONGOZI TUHUBURI UTAKATIFU 1)Ipo kauli moja ambayo ambayo inapendwa sana na waamini wanaopenda sababu ya kuhalalisha kwao kudumu kuishi kudumu katika dhambi 1)kauli ya kwanza wanayoipenda sana kuisikia DUNIANI SISI WOTE TUNA DHAMBI HAKUNA ASIYE NA DHAMBI 2)Kauli ya pili inayopendwa ili...
  15. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya misemo ya makapuku wenzangu

    "aah wapi, hayo mapiza na mabaga wanayokula na mimi ninae kula matembele vyote vitaishia kuwa mavi tumboni" "usione mtu amekuwa tajiri kiasi hicho wewe, watu wanalala na nyoka kitandani, wewe unaweza?" "usione dar hii watu wengi hali ngumu, lile sanamu la askari pale posta ndilo linalonyonya...
  16. R

    JamiiForums Tanzania Vijana wenzangu changamoto ni nyingi sana katika maisha

    Wakuu mambo vipi wadau kwema niaje aseee, mko poa wote, Sasa wakuu nilikuwa na changamoto imenikumba muda wote naomba mnisaidie kiasi chochote tu kinisave mdogo wenu wakuuu🙏jioni hii 0674615883 mbarikiwe sana
  17. H

    JamiiForums Tanzania Ninawatakia Heri ya Mwaka Mpya 2026 Watanzania wenzangu wote. Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

    Ninawatakia Heri ya Mwaka Mpya 2026 Watanzania wenzangu wote. Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
  18. Kimbesa11

    JamiiForums Tanzania Nawatakia Christmas njema Watanzania wenzangu

    Yesu azaliwe mioyoni mwetu, siku ya Leo tuzaliwe upya •tuache matendo mabaya, •tulipe Kodi, •tufanye kazi tutafute Hela, tuache kukesha mitandaoni mida ya KAZI •tuache uchonganishi na upotoshaji, • tuache ku comment matusi, •tutubu dhambi zetu, • tuheshimu viongozi wetu kuanzia ngazi ya mitaa...
  19. Miguel255

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mimi na Wapangaji Wenzangu

    Kwa majina naitwa Emma (Sio jina langu halisi), nina miaka 30 sasa nina mke na mtoto mmoja - Maria (sio jina halisi pia). Nampenda sana binti yangu, yeye pamoja na mke wangu ndio sababu ya mimi kupambana kiasi hichi. Wakishiba, wakivaa vizuri mimi ndo furaha yangu. Nafanya hivi kwasababu sitaki...
  20. Think2

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Gharama za kutoka na Mchepuko

    1.Usafiri 10,000 2.Chumba Lodge 30,000 3.Chakula + Vinywaji 30,000 4.Asante Kwa Kuja 50,000 Jumla 120,000 Brother Unaongeza Umasikini Tu Nyumbani Mpe Mke Hii 120,00 Uone Utakavyo Ombewa Na Kupata Zaidi Na Zaidi.
Back
Top Bottom