Sidhani kama kuna Mtanzania ambae hajui mazuri ya Magufuli akiwa raisi wa Tanzania, atapinga kwamba Magufuli hakuwa na roho ya uzalendo kwa Tanzania, alichukia ufisadi, alichukia watu ambao anawaona walikwamisha bidii zake za kuindeleza Tanzania. Hakuna Mtazania atakaepinga kwamba Magufuli...
Habar zenu wanna jamiiforums kher ya mwaka mpya.
Naomba msaada wa kuweza kuacha kumwaza na kumkumbuka yule ambaye bado nampenda sanaaa. Nilikuwa na mahusiano na binti ambaye kwakweli haijawah isha siku nisimkumbuke. Namuwaza mpaka mda mwingine nahisi bado nipo naye karibu yangu na imepelekea...
Inakuwaje wakuu,
Hii hali inanisumbua sana nashindwa kumsahau huyu mwanamke niliyekuwa napendana naye kipindi nipo o level. Tulishaachana na yeye alishapata mtu mwingine. Imepita takribani miaka kumi ila bado hatoki kichwani.
Dr. Mwakikuma amekumbusha kuwa bosi na mfadhili wa club ya Yanga wa wakati huo ndugu yetu Manji alipakqziwa na Makonda kuwa anatumia madawa ya kulevya. Manji akakamatwa, akapimwa mkojo, na kuharibiwa biashara zake zote. Manji aliteseka kupita viwango vya unyanyasaji hadi akakimbia nchi.
Dr...
Habari zenu waungwana,
Katika ulimwengu wa sasa ni nadra sana kupata rafiki wa kweli ambaye unaweza kumuamini,
Nakumbuka miaka kadhaa nyuma niliwahi kuwa na rafiki, huyu alikuwa ni zaidi ya ndugu, tulielewana sana.
Tulishirikiana kwa kila jambo, Popote alipo nami nilikuwepo, jamaa alikuwa...
Kila nikikumbana na wimbo wa Tutakukumbuka wa GK unanikumbusha taswira ya D-Rob (Robert Mwingira).
Nashindwa kuacha kutoa machozi kila nikiusikia wimbo huo.
Nakukumbuka sana brother, 2001 kumbukumbu ambayo itaishi daima maishani mwangu.
Kwa wafuatiliaji wa muziki wa miaka 90 watamkumbuka...
Mtu unayempenda akikuacha inauma.
Hasa pale unapokumbuka jinsi ulivyompenda na mlivyokua na furaha. Usiku huwa ni mrefu sana. Ukiwa bado huamini kama ndo mmeshaachana(umeachika) na unaona huna matumaini tena ya kumpata kama yule uliyempenda sana.
Unachoka zaidi pale unapofikiria kuanza upya...
Kila awamu huacha kumbukumbu zake muhimu wengine hutumia neno "Legacy". Kwangu mimi ninaamini wananchi na Taifa litamkumbuka Rais Dr JPM kwa mambo yafuatayo baada ya muda wake kuisha:
1. Nidhamu maofisini haijawahi kutokea maadili na nidhamu kurejeshwa hivi hata kama bado kuna changamoto ya...
Habar wadau,
Ni hivi nimekuwa na mahusiano na demu taklibani miez 3, sasa analeta mambo ambayo hata hayaeleweki mim nilimuomba mahusiano ya kimapenzi, sasa tumezoeana sana, mara nyingine tunatukanana hadi tunataka kuachana kila tukitaka kuachana yeye ndo anaanzisha mada ya kuachana lakini...
Wapendwa naombeni sijui ushauri au sijui niseme faraja mana hata sielewi mimi ni mdada umri 27 mwaka jana December nilifungua mtandao unaitwa Badoo huko ili nipate marafiki wa kuniliwa kama vile kuchat ikibidi kuonana sikuuchulia seriously Sana'a kwakuwa watu wengi niliobahatika kuchat nao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.