kubwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Vurugu ya middle east imekuwa kubwa sana

    Wahouthi wameuteka mlango bahari wa Bab al Mandab unaotenganisha Afrika na Asia na kupitisha asilimia 7 ya mafuta duniani. Bei imepanda kufikia dola 105 kwa pipa? Wahouthi wanasema meli za SA hakuna kupita. Wahouthi hao hao wameipiga mabomu Saudi Arabia. Saudi Arabia kaomba msaada US, Trump...
  2. lord atkin

    JamiiForums Tanzania AI: Lissu akifungwa kwa uhaini kutakuwa na taharuki kubwa, maandamano na vurugu za kiusalama.

    Ikiwa Makamu Mwenyekiti (au kiongozi mkuu) wa Chadema, Tundu Lissu, atafungwa kwa kosa la uhaini, hali ya hewa ya kisiasa nchini Tanzania inatarajiwa kukumbwa na taharuki kubwa, migawanyiko ya kiitikadi, na shinikizo kubwa la kimataifa. Kesi hii inayomkabili, ambayo kwa sasa inaendelea katika...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Roma Mkatoliki: Silaha kubwa wanayotumia ni Watanzania tumeshawazoea, watapiga tu kelele siku tatu, ya nne watasahau na kuendelea na maisha”

    Silaha kubwa wanayoitegemea na kuitumia watawala ni hii sentesi “Watanzania tumeshawazoea, watapiga tu kelele siku tatu, ya nne watasahau na kuendelea na maisha” Hiyo silaha wanaitumia kwenye kila uchafu wanaoufanya…….. And yes, so far ina~work ✅ Untill tutakapoamua kuwaonyesha tofauti.
  4. R

    JamiiForums Tanzania Othman Masoud: Hatarishi kubwa ya Muungano ni katiba yetu ya sasa hivi

    Akizungumza leo Septemba 8, 2026, kwenye Mkutano wa Kitaifa wa Kutafakari hali ya Kisiasa uluiondaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othuman Masoud, amesema Katiba ya sasa ndiyo inahatarisha Muungano wa Tanganyika Zanzibar. Nukuu ya Maandishi...
  5. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Tesla Cybercab imeanza kufanya kazi rasmi baadhi ya majimbo USA. Sema Bei kwa route ni ya moto na demand kubwa sana!

    Kama mnakumbuka, October 2024 Tesla walikua na Event wakazindua Robitaxi zao wanazoziita Cybercab, unarequest gari (kama Uber), inakuja bila dereva, inakupeleka unakotaka kwenda. Easy. Tesla wamezindua Cybercab (Robitaxi) Tesla wamezindua Cybercab Robitaxi II Sasa kawaida ya Tesla, wanatangaza...
  6. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Mtu hajakuomba ushauri, wewe unamshauri, halafu hujui namna ya kushauri, nyambafu!

    Mara ooh! Hili shati siyo zuri, nyambafu! Kama kwako siyo zuri kwangu ni zuri. Mwingine ooh! Usipige nyeto maana siyo tamu! Kama kwako siyo tamu funga bakuli! Ukumanyoko wala si dili! 😎
  7. M

    JamiiForums Tanzania Siamini kauli ya keki ni kubwa kwajili yetu wote kwenye biashara yenye ushindani, Biashara ni vita !!

    “Keki ni kubwa kwa ajili yetu wote.” Si amini. Kwenye biashara, kila mtu anataka kuongeza market share. Kila mtu anataka scale. Kila mtu anataka wateja wengi zaidi, branches nyingi zaidi, revenue kubwa zaidi. Wateja wako kuhamia kwao ndio mafanikio ya kibiashara kwe wengine Kuna muda...
  8. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Hujuma kubwa dhidi ya reli mpya ya SGR inayofanywa na wanaccm na ndilo chimbuko la kukataa katiba mpya.

    Utawala wa hayati Magufuli uliona tatizo la gharama za matengenezo ya barabara zinazoelekea bandarini, hivyo rais Magufuli akaamua kujenga bandari kavu mkoa wa pwani eneo la Kwala, na ili itumike ikaamuliwa iunganishwe na reli ya sgr. Uwepo wa reli hiyo ungeiingizia mapato serikali ambayo...
  9. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Umoja wa Mataifa (UN) wapiga kura kupitisha ramani mpya ya dunia ili kuonyesha ukubwa halisi wa Afrika

    Umoja wa Mataifa umepiga kura ya kupitisha ramani mpya rasmi ya dunia iliyobuniwa kuonyesha ukubwa halisi wa kijiografia wa bara la Afrika na maeneo mengine ya kanda ya ikweta. Mabadiliko haya yanalenga kuchukua nafasi ya "Mercator projection" (ramani ya kale ya Mercator), ambayo imekuwa...
  10. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Majeshi Shupavu ya Israel yateka eneo la Ali al-Taher Ridge huko Lebanon pigo kubwa kwa Iran!!!!

    Wanajeshi wa IDF kutoka Kikosi cha 36 wameweka udhibiti wa operesheni katika eneo la Ali al-Taher Ridge, juu na chini ya ardhi, baada ya wiki kadhaa za operesheni za kusafisha na kutuliza njia 2 za chini ya ardhi. Magaidi waliokuwa wakiendesha shughuli zao kutoka kwenye mtandao huo waliuawa au...
  11. O

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa Dini -TEC,BAKWATA,CCT chini ya mwamvuli wa Interfaith Committee wana nafasi kubwa ya kuchangia kupatikana Maridhiano na Mufaka wa Kitaifa

    Viongozi wa Dini Baraza la Maaskofu Katoliki,Baraza Kuu la Waislamu Tanzania,Jumuiya ya Wakristo Tanzania ,wanayo nafasi kubwa sana kuchangia upatikanaji wa Mazungumzo,Maridhiano na Muafaka wa Kitaifa na hatimaye Taifa kuanza safari ya kupata Katiba mpya. Tukumbuke kwamba kwenye mapendekezo ya...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Utekaji na "Majeshi" Binafsi Vikitikisa Nchi: Kwanini Waziri Katambi na Boss Wake Wanaona Dudubaya na Uchafu wa Dar Ndio Kero Kubwa?

    Habari wana-JamiiForums, Hivi karibuni, tumeshuhudia tukio ambalo limeacha maswali mengi kuliko majibu kuhusu mwelekeo wa usalama wa nchi yetu. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, ameingia kwenye vichwa vya habari baada ya kuwaita wasanii na maarufu wa mitandao ya kijamii na...
  13. jamaikatz

    JamiiForums Tanzania Hivi kati ya kuwa msomi na mfanyabiashara ni yupi ana advantage kubwa katika maisha ??!

    Hivi kati ya kuwa msomi(muajiriwa )na mfanyabiashara ni yupi ana advantage kubwa katika maisha ??
  14. L

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Anastahili Pongezi Na Heshima Kubwa Sana Kwa Hapa Alipolifikisha Taifa Letu. Amelivusha Nyakati Zote Ngumu Na Za Giza

    Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Anastahili Pongezi,anastahili heshima na kuheshimiwa, anastahili kuungwa Mkono kwa kazi kubwa na njema aliyoifanya ya kulivusha Taifa letu katika nyakati Nguma na za...
  15. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania Dawa kuacha pombe kuwasili: Maduka kiujengwa pembezoni mwa Baa Kubwa!

    Fursa ya wastaafu wenye mafao wasiojua la kufanya kufungua maduka ya kuuza dawa ya kuacha pombe pembezoni mwa Baa kubwa. Pia kwenye vituo vya daladala kama Bifara ambapo wanauza pombe zote na bange, morroco na sehemu nyingine hizi awa ziwepo. Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Grace Magembe...
  16. CreativeSanta

    JamiiForums Tanzania [B]Tunadizaini. Tunaprint na-kudeliver, Oda kubwa hazitupi presha.

    Kila safari. Kila kituo. Kila mtaa. Ni nafasi ya brand yako kuonekana👀 SantaPrint - Tunapeleka brand yako barabarani, barabara ina macho! 📍 Mwenge, opposite Mlimani City ☎️0743 717 072/ 0733 000 638
  17. K

    JamiiForums Tanzania Samia akubali "kuna uhaba wa fedha" sababu kubwa ni ubinafsi wake

    https://youtube.com/shorts/EeJ0AHAKwSU?si=PQTa1IHifdwM32E4 Uchaguzi wa wizi umefanya misaada mingi na wawekezaji kutoka nchi zinazojali demokrasia umepungua au kukatwa kabisa. Sasa analaumu wengine kwa ubinafsi wake wa utekaji, wizi wa kura, undungu, uzanzibari, ufisadi, unyanyasaji wa vyama...
  18. Hidden Diamond

    JamiiForums Tanzania CHADEMA nguvu kubwa sana ya Watanzania iko nyuma yenu msijemkarudia makosa mliyofanya chini ya mwenyekiti wenu aliyepita

    Watanzania hakika tunafurahia sana kuona jinsi mnavyopambana bila kukata tamaa mungu aendelee kusimama na nyie katika kila jambo Hakika hii ndo chadema ambayo nilikuwa natamani itokee siku zote comb ya lisu na john heche nafikirii ndo combination bora ambayo mimi nimeiona tangu nianze...
  19. Sodoku Myebusi

    JamiiForums Tanzania Asilimia kubwa ya Wake zetu wanataka tuwe kwao vile ambavyo hawataki watoto wao wakiume wawe kwa wake zao- Sodoku Myebusi

    Mke anataka mshahara wote umkabidhi yeye. Anataka umsikilize yeye kuliko mtu mwingine yeyote Duniani. Wanawake wengi wanapenda mwanaume ambaye kwake atakuwa bwege. Afanye kila kitu ambacho mwanamke huyo atataka. Mali zote ziandikishwe jina lake mwanamke. Mume awahi kurudi nyumbani, akiweza...
  20. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kwa nini kutaka kuwa Rais Tanzania inaonekana dhambi kubwa sana ?

    Kuanzia Nyerere mpaka awamu hii, chama cha CCM, watawala na raia wengi huwa wanawachukulia kwa mtazamo hasi sana watu wanaoutuka urais wa Tanzania. Kwa nini inaonekana ni vibaya kuutaka urais wa Tanzania wakati wowote ule ikiwa tunasema hii ni nchi ya kidemokrasia na kila mtu ana haki ya kuwa...
Back
Top Bottom