kuingia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Pakistan yatishia kuingia vitani dhidi ya Wahouth wa Yemen!!

    Pakistani: Waziri wa Ulinzi Khawaja Asif anaripotiwa kuonya kwamba kuendelea kwa mashambulizi kutoka Yemen dhidi ya Saudi Arabia kunaweza kulazimisha Islamabad kuingilia kati kwa sababu ya ahadi zake za ulinzi wa pande zote. Pakistani, Saudi Arabia na Uturuki zilisaini mkataba wa ulinzi wa pande...
  2. de Gunner

    JamiiForums Tanzania Nakaribia Kuingia Kwenye Kusudi Langu Kuu

    Ndugu zangu.. Ni najiona kabisa, baada ya mwaka 1 au 2 ni taanza kuingia rasmi kwenye purpose yangu.. I was made to become the GOAT yaani kwenye field yangu, au kile nikifanyacho. I'm highly favored by the most high na niseme tu ya kuwa nashukuru Mwenyezi Mungu kwa kunipa karama hii kuu...
  3. A

    JamiiForums Tanzania HOJA Chuo cha SUA kina utaratibu mbovu wa kuingia kwenye mfumo unaosimamia taarifa za Wanafunzi

    Chuo cha Kilimo cha Sokoine (SUA) kina utaratibu mbovu wa kuingia kwenye mfumo unaosimamia taarifa za wanafunzi uitwao SUASIS ambao taarifa za mwanafunzi zinapatikana ikiwemo matokeo, usajili wa kozi, ulipaji ada nk. Utaratibu uliopo ni kwamba Mwanafunzi hawezi ingia kwenye mfumo huo akiwa nje...
  4. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Israel yajiandaa kuingia vitani na Iran ikiwa itashambuliwa na magaidi wa IRGC!!

    Israeli inajiandaa kwa uwezekano wa vita vingine vya kushtukiza, wakati huu katika nyanja nyingi. Mkuu wa jeshi Eyal Zamir alisimamia zoezi la utayari wa kushtukiza lililobuniwa kulingana na masomo ya Oktoba 7. Israel iko tayari kujibu haraka na kwa nguvu shambulio lolote kile kutoka Iran!!
  5. M

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu adai kuzuiwa kuingia Mahakamani na Tisheti lililoandikwa aliyenusurika Risasi 16

    Lissu adai kuzuiwa kuvaa T-shirt iliyoandikwa “LISSU — SIXTEEN BULLETS SURVIVOR.” akiingia mahakani
  6. MSUKUMA02

    JamiiForums Tanzania Ndugu wanachama wa CDM msije kabisa kujaribu kuingia kwenye huu mtego

    Twende moja kwa moja kwenye hoja ya msingi maana muda mchache mambo ni mengi Ndugu wanachama wa CDM msije kabisa kujaribu kuingia kwenye huu mtego ambao mmewekea siku ya uzinduzi wa bwawa la Umeme kwa camera zote kummulika aliyekuwa mwenyekiti wenu MBOWE Hili jambo halijatokea kwa bahati mbaya...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kusajili mshambuliaji kutoka mali ni sawa na kuingia msituni kuvua samaki!

    Tuliambiwa tumesajili Doumbia wa ukweli kutoka ligi kuu ya Mali, tena alikuwa mfungaji bora kwenye ligi hiyo. Hiyo ni taarifa ya kweli. Lakini ligi kuu ya mali si chochote kitu, si miongoni mwa kumi bora katika mkeka wa ubora wa ligi kuu hapa Afrika. Mkeka huo huu hapa: Top 10 African Football...
  8. A

    JamiiForums Tanzania KERO Inakuwaje mtu mwenye tiketi analazimishwa kulipia ushuru wa kuingia katika Stendi ya mabasi 88 Dodoma?

    Halmashauri ya Jiji la Dodoma inawaibia abiria waliokata tiketi kupitia mfumo kwa kuwalazimisha kulipia ushuru wa kuingia stendi na kupanda mabasi. Hili ni jambo lisilo sahihi ambalo sijawahi kuliona katika stendi nyingine za mikoani. Ndiyo maana baadhi ya abiria wameanza kuepuka kupandia...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Simwelewi Chalamila; anapunguza msongamano wa mabasi kuingia mjini kwa wenye mabasi kununua shuttle za kuingiza abiria mjini; shuttle zitaruka hewani?

    Chalamila anasema, ili kupunguza msongamano wa magari mjini, mabasi yaishie Magufuli stand, halafu wawe na shuttle za kupeleka watu mjini. Hivi mnamwelewa huyu bwana? Basi moja la abiria 45 likifika Magufuli stand litahitaji kwa wastani shuttle mbili ili kufikisha watu mjini. Sasa basi moja kwa...
  10. Kumfumaster97

    JamiiForums Tanzania Plan B ya kuingia X(Twitter) Natumia Huawei Nova 2s

    Habari za muda huu wakuu its Blue monday hope mko poa ambao wanaumwa Mwenyezi Mungu ni mwingi wa rehema mtakuwa sawa Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nashindwa kudownload X (Twitter) kwa sababu moja natumia Huawei Nova 2s ina android ya 10 thus why nashindwa kudownload So kwa anaejua plan...
  11. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Wazungu wakiendelea kukaza hivi hivi hadi mwisho inaweza kutuchukua muda gani kuingia katika total economic crisis?

    Economists, Planners, Financial analysts, Insiders, Strategists, JFers, Karibuni.
  12. Think2

    JamiiForums Tanzania Waogelea Kilomita 2–5 Kutoka Morocco Kuingia Ceuta, Eneo la Hispania

    Waafrika tutabaki kuwa waafrika tu raia wa morocco wanaikimbia nchi yao kisa hali ngumu ya maisha walilazimika kuogelea kilometa 2 hadi 5 kutoka pwani ya morocco kuingia ceuta eneo ambalo lipo afrika ila linamilikiwa na Hispania. Morocco inahadaa watu kuwekeza kwenye mpira lakini hali ya...
  13. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kuna sababu gani za wanawake kutoa namba kwa wanaume kisha kuingia mitini (ku-ghost)?

    Wanawake ambao huwa wanatoa namba za simu kwa uchangamfu mkubwa tu baada ya kuombwa na wanaume kisha wakishaachana wanawapotezea (ghost) au kujifanya matawi huwa ni wapuuzi wakubwa sana. Kama huna mpango wa kuwasiliana na mwanaume hakuna haja ya kutoa namba ya simu.
  14. Fbn

    JamiiForums Tanzania Dunia sasa imebakisha aslimia fulani kuingia kwenye Apocalypse

    Apocalypse ni neno la asili ya Kigiriki (apokalypsis) lenye maana ya ufunuo, kufunuliwa au kuwekwa wazi kwa jambo lililofichika. Mfano leo uwezi kufanya uwovu alafu ukasema ule sio uwovu na wala sikufanya ukaona hakuna mwenye kumbukumbu. Mifumo yote ambayo dunia imeifanya na kuifanya dunia...
  15. puker

    JamiiForums Tanzania Uliwahi kuingia kwenye matatizo bila kutegemea? Ulifanya nini kuondokana nayo?

    Nilijifunza nini baada ya karibu kuingia kwenye tatizo kubwa? Nataka kushirikisha jambo lililonitokea, si kwa ajili ya kulaumu mtu yeyote, bali labda linaweza kumsaidia mtu mwingine ambaye amewahi kujikuta kwenye hali kama hii. Mimi ni mtu ninayependa kusocialize. Ninaamini sehemu kama baa...
  16. C-C Digital Pro

    JamiiForums Tanzania T-shirts za Home boy gear (African map wear) zimeanza KUINGIA mitaani

    Watch
  17. Prakatatumba abaabaabaa

    JamiiForums Tanzania Unatamani kuingia mbingu ipi? Firdaus au paradiso ya milele?

    Mpaka Sasa naona Kila Imani na mbingu yake, wakristo wanaamini katika paradiso, Yesu alimwambia yule mwizi msalabani: “Leo hii utakuwa pamoja nami katika Paradiso.” (Luka 23:43) Lakini pia waislam wapo na Firdaus Hao ndio warithi, ambao watairithi Firdaus, watadumu humo milele." (Surah...
  18. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Imekuwaje Mwana FA,Msigwa na Makonda wote Kuingia Mitini kwenye ziara ya Nchimbi uwanja wa Afcon Arusha

    Comments ziwe fupi fupi ingekuwa Samia Wasingetokea pia? Nchimbi anatisha hata kikanusho hajaonekana
  19. Red black

    JamiiForums Tanzania Kama hauko matured enough usijaribu kamwe kuingia kwenye ndoa

    Maturity imebeba mambo mengi sana, Ukiingia kwenye ndoa kwa kuongozwa na nyege au influence kutoka kwa jamii sjui umri umeenda wenzako wote wameshaoa wewe mbona huoni aise utarudi kwa speed kali sana kwenye ubachela. Ulishawahi kumuona kasongo akikimbia porini. Maturity ndio itaamua ukae...
  20. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Afrika Kusini imetoa orodha mpya ya nchi ambazo raia wake wanaweza kuingia nchini humo bila VISA

    Serikali ya Afrika Kusini imefanya maboresho katika sera yake ya msamaha wa visa, ikithibitisha kuwa raia kutoka nchi 22 za Afrika sasa wanaweza kuingia nchini humo bila visa kwa ajili ya utalii, biashara, au ziara fupi. Muda wa kukaa unaoruhusiwa unatofautiana kati ya siku 30 hadi 90, kulingana...
Back
Top Bottom