Kuingia kwa wachimbaji wa kigeni na wawekezaji kutoka bara la Asia, hasa katika sekta ya uchimbaji, kunaweza kuleta fursa na changamoto kwa Watanzania.
Idadi kubwa ya wachimbaji wa kigeni na wawekezaji wengi wanatokea bara la Asia, hususan China. China ni moja ya nchi zenye uchumi mkubwa zaidi...
"Epithermal" ni neno linalotumiwa katika muktadha wa jiolojia na uchimbaji wa madini. Linahusu aina fulani ya mazingira ya kijiolojia ambayo madini hukutwa.
Katika muktadha wa uchimbaji wa madini, epithermal inahusishwa na mchakato wa kijiolojia ambapo madini yanayotafutwa, kama vile dhahabu na...
Aina ya jiolojia MAGNETITE GRANITOIDE META SEDIMENTARY COMPLEX mara nyingi uleta changamoto kwa wachimbaji wengi wadogo wa madini na ujikuta wakati mgumu katika uchimbaji wa kutafuta madini.
muelekeo wake wakupata viashiria vyake ambavyo utokea kwenye Magnitite.
je Magnitite ni nini ...
Kuna kitu kimoja watanzania tunafeli ni Ili.
Unakuta una laptop au kompyuta ila ujajua zinakusaidia nini?.
Kwa Dunia ya Leo Kuna internet ila Kwa kwetu ni kama matumizi haya yamekuwa tofauti sana na mapokeo.
Mara ya kwanza sikuwa mpenzi wa mambo ya madini ila kutokana na kuishi nao na kuona...
Wachimbaji wadogo wa dhahabu katika Kiiji cha Dilifu kilichopo Kata ya Magamba iliyopo Wilaya ya Mpanda Mkoani Katavi wameulalamikia uongozi wa wilaya hiyo kwa kushindwa kutatua mgogoro baina yao, muwekezaji na kikundi kinachomiliki leseni ya uchimbaji madini katika eneo hilo.
Wachimbaji hao...
Ndugu zangu kuna taarifa nimezipata kuwa inadaiwa kuna Mgodi umetitia kutokana na mvua zinazoendelea Wilayani Bariadi Mkoani Simiyu na Watu kadhaa kufukiwa.
Mgodi upo Kijiji kinaitwa Ikinabushu, details za jina na kilichotokea zaidi bado sijazipata.
Mliopo karibu na Bariadi tupeni taarifa...
Habari wana jambi!
Wachimbaji wadogo waliopo kwenye mgodi wa Kanegere wilaya ya Mbogwe mkoa wa Geita wamepewa siku sita wawe wameondoka katika mgodi huo.
Serikali inasema wawekezaji Wachimbaji hao wadugu wamekuwa wakichimba ki wizi ilihali serikali ilikua ikichukua kodi na mirahaba mingine...
MILIONI 13 ZA MBUNGE ULANGA NEEMA KWA WACHIMBAJI WADOGO
Mbunge wa jimbo la Ulanga Salim Alaudin Hasham ametoa kiasi cha shilingi milioni kumi na tatu (13,000,000) kwaajili ya malipo ya leseni za wachimbaji wadogo wanaofanya kazi zao za uchimbaji wa madini katika kata ya Lukande wilayani humo...
Mbunge wa Jimbo la Msalala Mkoani Shinyanga ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini Mheshimiwa Iddi Kassim Iddi ameomba kufanyika kwa mabadiliko ya Kisera na Kisheria ili kuendelea kuwanufaisha wachimbaji wadogo wa madini hapa nchini.
Mhe. Iddi ametoa maombi hayo...
Eti wakuu sana. Haiwezekani kwa serikali kuingia mikataba na wauzaji huko na wadeni wetu ili tuwalipe kwa dhahabu? Maana suala la dola ni mtihani, huko wakishindwa kupandisha silingbodi la madeni dola zinapotea dunia nzima. Kwa nini tusinunue mafuta kutoka Saudi Arabia kwa kutumia dhahabu na...
MASACHE KASAKA - 40% YA MADINI YANATOKA KWA WACHIMBAJI WADOGO LAKINI MAISHA YAO HAYAAKISI WACHOKIZALISHA
Mbunge wa Jimbo la Lupa tarehe 27 Aprili, 2023 akichangia bajeti ya Wizara ya Madini ya Shilingi Bilioni 89.3 iliyosomwa Bungeni na Waziri wa Madini Mhe. Dkt. Dotto Biteko amesema Asilimia...
Zaidi ya shilingi milioni 901 zimekusanywa na serikali kuu kupitia mrabaha na ada ya ukaguzi katika mgodi wa madini ya shaba uliopo katika kijiji cha Nditi wilayani Nachingwea.
Hayo yamesemwa na afisa madini mkazi Iddy Msikozi alipokuwa akisoma taarifa ya makusanyo tangu Septemba 28, 2022 hadi...
Wachimbaji wadogo wawili wa familia moja katika Kijiji cha Sabora wilayani Geita wamefariki dunia baada ya kufukiwa na kifusi wakati wakichimba madini ya dhahabu.
Wachimbaji hao Charles Nyamandodi na Benjamin Nyamandodi wanadaiwa kuingia kwenye shimo la uchimbaji lililoko kwenye leseni...
Waziri wa Madini Mh. Doto Biteko chini ya Rais Samia Suluhu imetangaza neema kubwa kwa wachimbaji wadogo nchi nzima. Neema ambayo inakwenda kuwakomboa kabisa kimaisha. Hatua hii imekuja baada ya kuonekana kwamba wachimbaji wadogo na sekta nzima ya madini imekuwa na mchango mkubwa sana katika...
Niwe muwazi mimi sio mchimbaji wa dhahabu lakini nimezungukwa na wachimba dhahabu wengi sana hapa ninapoishi kwahiyo nimeamua nianzishe huu uzi maalaum ambao utakuwa ukitumika kupeana updates za machimbo mapya na stories nyingine za kiuchimbaji
Kwa walioko Geita kuna machimbo mapya yameibuka...
Mwanzo nilikuona wa maana sana kumbe ndio walewale walamba viatu na wajali matumbo yao. We ni mtu wa ovyo, mzandiki na usiyefaa hata kidogo!
Umeamua kuwafukuza wananchi wa Chunya kwenye eneo lao waliokuwa wanachimba eti walimdanganya rais.
Wewe kama msaidizi wa rais, iweje ukubali bosi wako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.