kifo

Mwisho wa uhai, mwili kutokuwa na uhai.
  1. ShesRise_1

    Je, umewahi kutamani kifo chako kiwe cha namna gani?

    Binadamu tuna ndoto, malengo na matamanio mengi kuhusu maisha Tunapanga kuwa na nyumba nzuri, gari, ardhi, biashara na mafanikio mengine mengi Lakini umewahi kujiuliza kuhusu mwisho wa safari yako? Umewahi kutamani kifo chako kiwe cha aina fulani? Mara nyingi husikia watu wakisema...
  2. de Gunner

    Kifo Ni Udanganyifu? Nishati

    Post hii imebase kwenye science na sio kwa ajili ya kudhihaki kifo.. So naomba sana mzingatie hili. As we all know everything is energy. That tukiivunja matter tu nakutana na simplest particles ambazo Zina beba charge... So since kila kitu in this physical universe is made up of particles...
  3. Brother Depo

    Ayatollah mpya wa Iran Ameogopa Kifo Kutoka Kwa Israel

    Wafuasi wa Iran walikua wakitubeba ujinga kuwa viongozi wa Iran hawaogopi kufa, kumbe si kweli. Huyu Ayatollah mojtaba kaja kutufunua ukweli kuwa ni waoga sana wa kufa. Miezi minne sasa ana hofu Hadi na wasaidizi wake huko Iran, hawezi hata kuonekana hadharani sababu ya hofu ya kuuliwa na...
  4. ndege JOHN

    Hivi ingekuwaje kama binadamu wote tungekufa kwa aina moja tu ya kifo ajali?

    Hebu tufikirie kwa mfano tu dunia ambayo hakuna kuugua wala kufa kwa magonjwa wala uzee. Kila mtu siku moja atakufa kwa ajali tu, ila hajui ni lini na wapi na kwa ajali gani ajali ya ndege ,gari au meli..natamani kujua maisha yangekuwaje tofauti na yalivyo sasa? Watu wangekuwa waoga zaidi na...
  5. DCI Comrade One

    Hiki kifo ni ujumbe kwa Heche?

    Silazima nisalimu Wana jamvi. Katika Hali ya kushangaza na kustaajabisha, ni Jana Tu alitoa kauli kuwa anafuatiliwa na wasiojulikana.Leo Dereva wake kafa..NI kuna ujumbe umetumwa kwake ama Vipi?
  6. Sifi Leo

    Kiungo pekee kinachotabiiri kifo kwa mgonjwa wa kiume.sjui kwa Wanawake ILA hiki kidume ukifa kinasimama hatari.

    Mtoto/MWANAUME/Baba/Babu shikilia mashine yako kama uko poa kabisa huna changamoto ya kiafya, tekenya kende, gusa limsuri la katikati ya mtu.wa nyama wako, ukiona limesmama mwambie Mungu Asante. Kwa ufupi MWANAUME akiumwa na ugonjwa AMBAO auendi kumtoa roho kila siku asubuh atasimamisha ILA ni...
  7. bless on

    Unga: Utajiri wa Haraka, Kifo cha Hakika

    Hakuna biashara duniani inayoweza kugeuza maisha ya mtu kutoka umaskini wa kutupwa hadi kuwa bilionea ndani ya masaa 24 kama biashara haramu ya dawa za kulevya (Ubwabwa/Unga). Lakini nyuma ya mamilioni hayo ya haraka, kuna mfumo wa kikatili, usaliti wa kiwango cha juu, na kamba za kunyongwa...
  8. M

    Mbaroni kwa kuchoma moto chumba na kusababisha kifo cha mabinti wawili kisa aliachwa na mmoja wapo

    Jeshi la Polisi mkoani Dodoma linamshikilia Filbert Philimon (23), mwanachuo wa Chuo Kikuu cha St. John's kwa tuhuma za kuchoma chumba moto na kusababisha vifo vya watu wawili, Rebecca James na Felister Peter katika Mtaa wa Kikuyu, Juni 7, 2026. Polisi wamesema mtuhumiwa alikamatwa katika...
  9. Desierto

    Naomba kuuliza kama Kuna mbinu za kukwepa kifo Cha mapema

    Sijachanganyikiwa lakini nimefikiria TU maana sielewi kuishi ni bahati au Kuna Nini. Mbona Toka kuzaliwa kwangu nimezika na kusikia misiba mingi. Je? Kuishi ni bahati TU. Maana kama mabasi nimepanda Sana pikipiki boti kutembea Kwa miguu barabarani kuogelea nk. Kwanini Bado naishi?
  10. S

    Kuna siku ukweli wote utajulikana wazi kuhusu kifo cha Nyerere, lakini kwa wenye akili alichosema Jenerali Ulimwengu kinatosha

    Kuna mambo mawili ambayo wenye akili wanayatafakari sana: 1. Nyerere alikuwa ameshaamua Mkapa asingekuwa raisi wa awamu mbili 2. Nyerere angekuwa hai, Kikwete asingekuwa Rais, maana alimshamkataa katakata 3. Mkapa alimwambia Kikwete waziwazi, kwamba kwa mazingira yaliyopo mimi nisipokuwa...
  11. Sifi Leo

    Ukweli usiopenda kusema, pasipo kifo cha magufuli hakuna mzanzibari angetawala Tanganyika, hata ilimbidi awaue kwanza.

    Ni jumapili ambayo imetulia sana, tulivuuu HASWA natafakari mengi nabaini Kuna yaliyojil October 29.2025 nakumbuka Rafiki yangu, master tendwa, nakumbuka shekhe majini mzee wa kupaka kidevu Ina. GHAFLA naiona inveterview ya kikeke na hasha rose migiro katibu MKUU WA ccm, akisifia mauaji...
  12. Common Folk

    Hii kauli ya "Kifo ni Kifo tu" kutoka kwa Rais Samia imekaaje?

    Kwamba kufa ni sawa hata kama ni premature death! Kwamba wale wanaokufa mahospitalini kwa sababu ya uzembe wa serikali kupeleka vifaa na wataalamu waliobobea navyo ni vifo tu! Kwamba vifo vitokanavyo na ajali za barabarani ambavyo vingi ni kutokana na uzembe wa polisi wa usalama barabarani...
  13. O

    Ruto Aahidi Haki Baada ya Kifo cha Mwimbaji wa Gospel Rachel Wandeto Katika Shambulizi la Petroli

    Serikali ya Rais William Ruto imeahidi kuhakikisha haki inapatikana baada ya kifo cha mwimbaji wa gospel Rachel Wandeto aliyefariki kufuatia shambulizi la kuteketezwa kwa petroli jijini Nairobi. Waziri wa Usalama wa Ndani Kipchumba Murkomen alilaani tukio hilo akilitaja kama la kusikitisha na...
  14. Fbn

    Japo kifo kipo ila kuna watu wakifariki labda muunde kamati ya kuwalilia ila sio watanzania na nzengo zao.

    Nimewaza tu jinsi matendo yao na maovu yao wanavojiona kuwa wapo duniani mpaka mwisho wa dunia. Nawaza jinsi nguvu kubwa itakayotumika watu waonekane na majonzi wakati ukatili waliofanya wakiwa madarakani na vyeo vyao. Tumeshuudia kwa aliyekuwa spika wa bunge. Hivi mfano Stephen Wasira.Hapa...
  15. Mshana Jr

    Kifo cha jukwaa la celebrity

    Kudorora Kudhoofika na hatimaye kupotea kwenye ulimwengu wa umaarufu wa wasanii wa wa mziki wa kisasa Tanganyika ndiko kulikosababisha mauti ya jukwaa la celebrity Hili jukwaa kuna kipindi lilikuwa maarufu mno kiasi cha kuifunika vilivyo chitchat. Huku likiwa na magwiji wake kama marehemu...
  16. Driz de Mafwele

    Bongo Zozo amshtaki Mtanzania aliyemtishia kifo na matusi

    Raia mzungu Muingereza alielowea Tanzania na wakati flani alikuwa balozi wetu wa kujitolea anayezungumza kiiswahili Fasaha Bongo Zozo amshtaki Mtanzania polisi uingereza kwa kumtukana na kumtishia kumuua. Soma hapo chini. adriz de mbusii
  17. M

    Mahakama ya Kijeshi China yahukumu mawaziri wawili wa zamani wa ulinzi adhabu ya kifo

    Mahakama ya kijeshi nchini China imewapa adhabu ya kifo yenye kusimamishwa kwa miaka miwili mawaziri wawili wa zamani wa ulinzi, Wei Fenghe na Li Shangfu, kutokana na makosa ya rushwa, kwa mujibu wa vyombo vya habari vya serikali. Taarifa za Xinhua News Agency zinasema kuwa hukumu hiyo...
  18. Yoda

    Kwanini hakuna adhabu ya kifo kwa mafisadi nchi za Afrika?

    Pamoja na ubaya mkubwa wa ufisadi katika maendeleo ya nchi kwa nini hakuna nchi hata moja ya Africa iliyoweka adhabu ya kifo kama China kuthibitisha dhamira kubwa ya kupambana na ufisadi?
  19. Life2

    Mwenyezi Mungu ametaka tujifunze kupitia kifo cha Temba

    Pumzika kwa Amani Temba ndio umekufa kifo cha kikatili sana sidhani kama uliwahi kufikiria utakufa kifo cha kikatili hivo. Poleni sana wana familia wa Temba Mungu awe faraja kwenu kipindi hiki kigumu hakika ni msiba mkubwa sana kwenu na kwa wapenda haki na amani. Lakini kupitia kifo cha Temba...
  20. figganigga

    PostGE2025 Kwa yaliyotokea 29 Okt. 2025, ipo haja ya kuchunguza Kifo cha Pombe Magufuli

    Salaam Wakuu, Kwa roho iliyooneshwa 29 Oct 2025 na Samia Suluhu Hassan, Mwenyeji wa huko Zanzibar ambaye anapenda kutembelea maeneo ya Tunguu.. Hakika damu ya Watanzania ipo mikononi mwake. Bado naamini Pamoja na Misimamo ya Magufuli, kingine kilichomponza ni Utanganyika wake. Zanzibar...
Back
Top Bottom