waziri mkuu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. H

    JamiiForums Tanzania Tumejipanga kukabiliana na athari zinazoweza kusababishwa na mvua za Elnino - Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba

    Tumejipanga kukabiliana na athari zinazoweza kusababishwa na mvua za Elnino - Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba 📍Bungeni-Dodoma 🗓️ Agosti 27, 2026. ————————————- Amesema hayo wakati akijibu swali la Mbunge wa Jimbo la Bukoba Mjini, Johnston Mtasingwa.
  2. H

    JamiiForums Tanzania Pongezi za Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba kwa Mheshimiwa Deogratius Ndejembi kuteuliwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Pongezi za Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba kwa Mheshimiwa Deogratius Ndejembi kwa kuteuliwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Soma Deogratius Ndejembi ateuliwa kuwa Makamu wa Rais 📍Bungeni-Dodoma 🗓️Agosti 27, 2026
  3. H

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba akijibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa Wabunge Bungeni jijini Dodoma. Agosti, 27 2026.

    Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba akijibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa Wabunge Bungeni jijini Dodoma. Agosti, 27 2026.
  4. Li ngunda ngali

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Nchemba kuwa Makamu wa Rais na Makonda kuwa Waziri Mkuu

    Mwigulu atateuliwa kuwa VP na Makonda anaenda kuwa PM" Uamuzi alishauamua tokea akiwa Zanzibar na ni Washirika wake wachache sana aliowajuza; mmoja-wao ni Abeid" Anamwona Mwigulu anapwaya kuwa PM na kwa sababu ya hilo la EN ku resign, anaona ni wasaa sahihi wa kumpa nafasi isiyo na kash-kash...
  5. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Mwigulu awataka Watanzania kuimarisha malezi, kulinda amani na kutimiza wajibu

    Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewataka Watanzania kuendelea kuimarisha malezi ya watoto na vijana, kulinda amani, kuheshimu tofauti na kutimiza wajibu wao kwa taifa, akisisitiza kuwa haki na wajibu haviwezi kutenganishwa. Dkt. Mwigulu ameyasema hayo leo Jumanne, Agosti 25, 2026, wakati...
  6. H

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu awasili Tanga, mgeni rasmi kilele cha wiki ya elimu, ujuzi na ubunifu

    WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewasili leo Jumatatu, Agosti 24, 2026, katika Uwanja wa Ndege wa Mkoa wa Tanga, ambapo anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu yanayofanyika katika Viwanja vya Shule ya Sekondari Usagara, mkoani...
  7. H

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu ataka ubunifu upelekwe sokoni

    WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba ameitaka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia pamoja na taasisi zake kuhakikisha bunifu zinazozalishwa na Watanzania haziishii kuonyeshwa kwenye maonesho, bali zinaendelezwa, zinalindwa na kupelekwa sokoni ili zitoe suluhisho kwa changamoto mbalimbali na...
  8. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Kuna uwezekano mkubwa Abdul akawa na sauti kuliko makamo wa rais na waziri mkuu

    Ukitoa wakuu wa majeshi , kuna uwezekano mkubwa abuduli licha ya kutokuwa na uongozi wowote serikalini akawa na sauti na mamlaka na akasikilizwa anachokitaka hata kwa kulazimisha kuliko makamo wa rais na waziri mkuu. Nchi imefika pabaya sana. Ngoja tuone mwisho wa haya yote.
  9. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu aionya Uturuki kuingilia Syria!!

    Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu alionya kwamba Israeli haitavumilia uvamizi wa kijeshi wa Uturuki nchini Syria unaotishia nchi ya Israel Netanyahu alisema Israeli tayari ilikuwa imetoka ONYO Kali kwa Uturuki: "wasipeleke vifaa vyao vya kijeshi huko Syria." "Inavyoonekana wali dharau ONYO Hilo,"...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Yule waziri mkuu wa kupachikwa na ziara zake yuko wapi?

    Wadau bila shaka mko poa, swali langu yule waziri mkuu fake aliyetokana na uongozi wa kuua watu na umwagaji damu aliyekuwa anafanya ziara uchwara zisizo na matunda yuko wapi?
  11. H

    JamiiForums Tanzania Nukuu za Waziri Mkuu katika Sekta ya Afya

    Nukuu za Waziri Mkuu katika Sekta ya Afya
  12. Nguva Jike

    JamiiForums Tanzania Malalamiko ya walimu Kilindi Tanga yafika ofisi ya waziri mkuu Kwa mafanikio.Cwt kilindi kuburuzwa katika vyombo vya kisheria

    Habari za muda huu. Kwa mafanikio makubwa katika historia ya maendeleo ya kielimu wilayani kilindi.Mjumbe maalumu alieandaliwa na walimu hao wenye malalamiko ya madai mbalimbali aliwajulisha walimu kuwa kazi aliyotumwa ameifanya kikamilifu huku akiwatumia picha kadhaa za ushahidi wa kufanikisha...
  13. H

    JamiiForums Tanzania Nane nane njema kutoka kwa Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba

    Ninaungana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika kuwapongeza na kuwashukuru wakulima, wafugaji na wavuvi kwa mchango wao mkubwa katika uzalishaji wa chakula, malighafi, ajira na ukuaji wa uchumi wa Taifa. Katika maadhimisho ya Siku ya Wakulima (Nane...
  14. H

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akishiriki uzinduzi wa Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Wahusika wa Ghasia na Ukiukwaji wa Sheria

    Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Agosti 07, 2026 ameshiriki uzinduzi wa Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Wahusika wa Ghasia na Ukiukwaji wa Sheria katika Matukio ya wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Uzinduzi huo umefanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa...
  15. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Iwapo Salum Mwalimu angeshinda urais basi Kigaila angekuwa Waziri mkuu wetu!

    Mazungumzo yote yapo kwenye page ya Chief Odemba Facebook. Kwa kifupi sana hii nchi raia tunaonwa kama matako Yao tu kama ni hivi asee
  16. H

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Nchemba azindua boti mbili za doria na uokozi

    WAZIRI MKUU AZINDUA BOTI MBILI ZA DORIA NA UOKOZI ▪️Atoa siku 14 Kituo cha Kitaifa cha Oparesheni kianze kufanya kazi WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa siku 14 kwa wizara na taasisi zinazohusika na Kituo cha Kitaifa cha pamoja cha Oparesheni zipeleke wawakilishi ili kianze kufanya kazi...
  17. USSR

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba azindua Boti mbili za doria uokozi

    WAZIRI MKUU AZINDUA BOTI MBILI ZA DORIA NA UOKOZI ▪️Atoa siku 14 Kituo cha Kitaifa cha Oparesheni kianze kufanya kazi WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa siku 14 kwa wizara na taasisi zinazohusika na Kituo cha Kitaifa cha pamoja cha Oparesheni zipeleke wawakilishi ili kianze kufanya kazi...
  18. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Mwamba Waziri Mkuu wa Israel akiongea na Volodomyr Zelensiky huko Washington!!

    Waziri Mkuu Netanyahu na Rais wa Ukraine Zelensky walionekana wakizungumza wakati wa ziara yake Washington katika tukio la nadra sana kuonekana
  19. H

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu: Serikali kuangalia fursa za mikopo kwa wanaosoma kozi fupi

    SERIKALI KUANGALIA FURSA ZA MIKOPO KWA WANAOSOMA KOZI FUPI - WAZIRI MKUU WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imepokea ombi la Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) la kutoa fursa ya mikopo kwa vijana wanaosoma kozi za muda mfupi kwenye chuo hicho. “Mkuu wa Chuo ulieleza uwepo wa...
  20. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Eti Mayor wa New york atamkamata waziri mkuu wa Israel Benjamini Netanyahu!!

    Mayor wa New York aliamua kuwadanganya waislamu wenzake kuwa eti endapo Mwamba Benjamin Netanyahu atatembelea New York atamkamata kitu ambacho ni uongo wa mchana kweupe!!wajinga tu wa kiislamu ndiyo wanaweza kuamini mtu kama mayor wa New York anaweza kumkamata Mwamba!!!
Back
Top Bottom