Hivi karibuni, kumekuwa na ushabiki wa kipumbavu sana, hasa kutoka kwa wakereketwa wa CCM, pale waliposikia USA wataipatia Tanzania msaada wa huduma za afya wa USD 1.3 ndani ya miaka mitano ijayo. Sasa hawa wenzetu wasio na uwezo wowote wa kufikiri wameshangilia sana kusikia hili, hata wakibeza...
Ladies punguza kuringa kuna siku utazeeka afu wale mahandsome au wenye hela unaowapenda waliokupendea sura watakuacha watahamia kwa pisi zingine za wakati huo, sa sijui utakua mgeni wa nani on those days😳
Na changamoto ni kwamba wale wanaowapenda kwa dhati mara nyingi hawanaga pesa currently...
Mshana Jr hii elimu naomba nikupe uweze kuwajibu.
Ila nimeona mpaka kwenye teknolojia sio jina ila kwenye mambo mengi ambayo tunafanya kama binadamu.
mfano namba 9 inaweka kuwa 6 hapa ndio binadamu wakapishana.
Mfano 3 kwa mwengine ikawa B.
Kwa nini 6 iwe jicho la ufahamu .
Mwanasayansi...
1. Hospital
2. Jela
3. Makaburini
Hospitalini utajua afya ni utajiri mkubwa.
Jela utajua umuhimu wa uhuru
Makaburini utathamini umuhimu wa maisha.
Kuwa mtulivu!
Katika maisha ya kila siku, wanawake wengi hupitia mabadiliko mbalimbali ya kiafya bila kuelewa chanzo chake halisi. Wakati mwingine, dalili zinazoonekana kama magonjwa ya kawaida zinaweza kuwa ishara ya ujauzito mchanga.
Ni muhimu kwa mwanamke kuutambua mwili wake na kufahamu mabadiliko...
Kila siku mbinu mpya zinabuniwa ili mradi madawa ya kulevya kufika duniani kote.
Kuna mbinu mpya ambayo meli za mizigo zimejikuta zikisafirisha madawa bila kujua .
Kinachofanyika ni kwamba wanatumia wale diver
Meli wakati hipo bandarini au zikiwa zimepark.diver wanazama na vifaa maalumu na...
Asilimia 95% ya simu za iphone ambazo watanzania wengi wanauziwa kwenye box huwa ni simu used….
Je,
Ulikuwa unajua hili ? kama hujui basi habari ndio hiyo.
……naona unabisha pengine wewe mwenyewe au rafiki au ndugu ulisha wahi muona amenunua simu mpya kabisa na amefungua kwenye box …sasa...
bestiphonedealersintanzania
bila
bila kujua
hii
hizi
iphone
iphonedealerstanzania
iphonempyanausedkariakoo
kujua
siri
sirimuhimuzaiphone
tena
ukwelikuhusuiphone
usiyoyajuakuhusuiphonetanzania
wauzaiphonekariakoo
Waweza kuingia hata tovuti za Necta kuthibitisha hayo, miaka nenda miaka rudi nafasi za mwisho huwa ni Zanzibar.
Kwa wale wanaofika vuoni ambao asilimia kubwa husomea Bara, uwezo wao ni wa kawaida sana,
Lakini kitakwimu hakuna sehemu ambayo ina watu wengi maofisi ya taasisi kubwa au kwenye...
Watu wengi hujiunga na vyama vya siasa kwa sababu ya ushawishi wa marafiki, familia, viongozi maarufu au hisia za wakati huo. Hata hivyo, hatua muhimu ambayo mara nyingi hupuuzwa ni kuelewa itikadi ya kisiasa inayosimamia chama husika.
Itikadi ndiyo msingi wa mawazo, sera na maamuzi ya chama...
Kila siku mamilioni ya watu duniani hutumia simu, kompyuta na intaneti kwa mawasiliano, biashara, masomo na huduma za kifedha. Hata hivyo, kadri matumizi ya teknolojia yanavyoongezeka, ndivyo hatari za uhalifu wa mtandao, wizi wa taarifa na udanganyifu wa kidijitali zinavyoongezeka pia.
🛡️ Kozi...
Kuna malalamiko kuhusu matukio ya upotevu wa fedha kwenye akaunti za baadhi ya wateja wa CRDB katika Manispaa ya Morogoro. Miongoni mwa walioathirika ni baadhi ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) pamoja na wateja wengine, ambao wamejikuta fedha zikitolewa kwenye akaunti zao...
Anonymous
Thread
account
bila
crdb
crdb morogoro
fedha
kujua
manispaa
morogoro
upotevu
wao
wateja
wimbi
zao
Naomba kujua kwa walioamua kuishi bila bila kuoa/kuolewa maisha yao yote na bila kuwa na watoto kabisa(sio kwasababu hana uwezo wa kuzaa).
Ni mambo gani yaliwasaidia kuishi hiyo lifestyle? Umelala kwa muda gani na attention yako umehamishia wapi zaidi tofauti na ndoa/Watoto?
Mwenye kujua jina la huu mwimbo na jina la mwimbaji tafadhali nijulishe?
Huu upo kwenye background wa hilo Tangazo.
https://www.instagram.com/reel/DY5FyGRMbVY/?igsh=MWJlb214MWtxejZjbg==
Eeh jamani ndugu zangu yoyote mwenye kujua chimbo la bei rahisi la bando tafazali share hapa .nilikua natumia bando la halotel 10 gb 10 sasa silipati tena inasekana line nyingi zimepigwa pini please mwenye chimbo msaada
Habari za Ijumaa wana JF.
Mimi leo nimeona nije na hii mada tajwa nahitaji kujifunza mambo ya asili hasa matambiko faida zake pamoja hasara zake kama zikiwepo.
Na vitu gani vinatakiwa katika kukamilisha zoezi hilo la kutambika.
NB: Mimi asili yangu mkurya itapendeza sana kurya iwe case study...
Watu wengi huamini kwamba kuchelewa kufanikiwa ni bahati mbaya, ukosefu wa connection, au mazingira magumu pekee. Lakini ukweli ni kwamba kuna tabia ndogo ndogo ambazo watu huzifanya kila siku bila kujua ndizo zinazowarudisha nyuma polepole kwenye maisha. 😳
👉 Kwanini baadhi ya watu wana...
Kila siku binadamu hufanya maamuzi kuhusu pesa, mahusiano, biashara, afya, kazi, na maisha kwa ujumla. Lakini ukweli wa kushangaza ni kwamba watu wengi hawaamui kwa logic pekee — akili, mazingira, emotions, habits, na psychology vina influence kubwa sana kwenye choices tunazofanya kila siku.
👉...
Kiu ya Maisha
Kila mmoja wetu hupitia wakati wa kiu. Kiu ya pesa, kiu ya kazi, kiu ya mapenzi, kiu ya mafanikio. Kiu inatufanya tuwe wanyonge, wenye pupa, na wakati mwingine tupofuke. Ndipo wengi hutunuku "maji".
Maji yenye Sumu
Lakini si kila anayekupa maji anakutakia mema. Kuna maji ya bure...
Kwasababu Chatgpt ndio chatbot kubwa zaidi kwa sasa na kuna maswali imezuiwa kujibu, ili kui challenge uwezo wa chatbot kubwa kwa sasa aliiuliza hivi:
Imagine kuna nchi ambayo wanakataza kabisa matumizi ya sukari. lakini mimi nataka kwenda nchi hiyo kwa wiki 2 na ninataka kubeba sukari kilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.