makonda

Paul Makonda
Paul Christian Makonda born 15 February 1982 is the Regional Commissioner of Arusha, Tanzania.

Makonda gained popularity during a constitutional amendment referendum, where he was among a few members of a special parliamentary session that was tasked with drafting a new Constitution.

He would later become more prominent in politics, first acting as the District Commissioner(DC) for Kinondoni before being appointed Regional Commissioner(RC)of Dar es Salaam by the late President, John Pombe Magufuli, in 2016.
  1. M

    JamiiForums Tanzania Makonda: Ferdinand atakuwepo kwa siku 3, atakwenda Bungeni, Arusha akiinjoi hali ya hewa nzuri

    Mliokuwa mnasema Paul Makonda huwa haongei kingereza hapa ni wapi? WAziri Makonda akizungumzia ujio wa Ferdinand ambaye amewasili Mei 19, 2026 amesema atakaa nchini kwa siku 3 na atatembelea maeneo mbali mbali ikiwemo bungeni.
  2. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Wageni anaowaleta Makonda watatumika na vijana wa mtandaoni kuelezea maovu ya Tanzania

    Hamjambo wote! 1. Ni Kweli yapo mambo ambayo sio mazuri ambayo yalitokea na yanayoendelea kutokea ndani ya nchi yetu. 2. Ambayo yamelalamikiwa kwa muda mrefu Sana. Vijana na wanaharakati wamekuwa wakiimba Kila Siku mitandaoni kuhusu maovu yaliyotokea na Yale yanayoendelea kutokea ndani ya nchi...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Makonda amekonda akili.

    Akili yenye afya ingemwelekeza kujenga akademi za mpira walau 5 tu nchi nzima, halafu akawa anaweleta hao wacheza mpira wa zamani kuja kuwatia hamasa vijana kwenye hizo akademi za mpira. Anachokifanya sasa hivi ni kuwafanya hao wachezaji kuwa twiga wa maonesho . Maana wanakuja ili tuwatazame...
  4. Inside10

    JamiiForums Tanzania Makonda: Serikali imeanza Mchakato wa Uraia Kwa Clatous Chama

    WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesema serikali imeanza kuona taratibu za kumpatia uraia kiungo mshambuliaji wa Simba SC, Clatous Chama baada ya kuonyesha kiwango kikubwa katika soka la Tanzania. Akizungumza katika usiku wa Tuzo za BMT 2025, Makonda alisema kiwango...
  5. Parabolic

    JamiiForums Tanzania Makonda anarudia yale yale ya Mobutu: kutumia umaarufu kufunika matatizo ya watu

    Waziri wa Habari, Michezo, Sanaa na Utamaduni, Paul Makonda, ameibuka na ahadi kemkem za kuwaletea Watanzania watu maarufu duniani ili kuwafurahisha. Alianza kwa kuwaahidi wananchi wa jiji la Arusha kwamba angemleta nguli wa filamu na mwanasiasa wa Marekani, Arnold Schwarzenegger, katika sherehe...
  6. W

    JamiiForums Tanzania Babu Tale: Leo naondoka na mshahara wa Makonda na Mwana FA sijaona bajeti ya Arena ikizungumziwa

    "Waziri amezungumza hapa sijaona amezungumza bajeti ya Arena...ndugu yangu Makonda leo, kama mama anakuombea Dua nyumbani, mshahara wako naondoka nao...Mwana FA mshahara wako naondoka nao...ndugu zangu mtanisamehe Taifa kwanza udugu baadae..."- Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki, Hamis Taletale...
  7. Think2

    JamiiForums Tanzania Makonda: Nitawaleta Floyd Mayweather na Mike Tyson

    Hizo fedha za kuwaleta Floyd na Tyson kwanini zisielekezwe kwenye miradi ambayo bado haijakamilika kuna vijiji shule hazina madawati, hospital ziko mbali, barabara mbovu kupita kiasi Afrika ni bara linaloongoza kwa ulimbukeni duniani voongozi wengi wanatumia fedha nyingi kuleta watu maarufu ni...
  8. Mchumi90

    JamiiForums Tanzania Upendeleo live: Makonda ashtukia utapeli

    Leo kwenye ngumi kuna chalii etu kapigwa live na Mfilipino ila majaji wa mchongo wakampa ushindi mbongo.
  9. figganigga

    JamiiForums Tanzania Hongera BASATA kwa kuua Vipaji na Wasanii, Je, Chini ya Makonda, Sanaa itainuka tena?

    Salaam Wakuu, Kwa Ufupi Malengo ya BASATA ya kuua Vipaji na sanaa ya Tanzania yamefanikiwa. BASATA wamefanikiwa kuua Tasnia ya Burudani. Nimeenda BASATA wafanyakazi wao wamelala wengine wameenda chai. Hawana kazi tena kwani kazi washaikamilisha. Namshauri Paul Makonda(Waziri) aangalie namna...
  10. Q

    JamiiForums Tanzania Anayetamani Makonda kuwa Rais hana akili timamu

    Hajui mipaka yake ya kazi, hujiona yeye ni kiongozi wa wizara zote. Hajui chain of command. Akipewa cheo hujiona yeye ni kila kitu, he's everything. Low IQ, 'wanaopigia kelele rushwa hawajaingia jikoni'. One man show. Ana Charismatic ya kuaminiwa but empty head. Layman, hana profession...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Makonda: Kabla hujainyooshea kidole Serikali tafakari kwanza familia yako

    Itakua ni ngumu sana kupiga vita madawa kulevya kama familia haijakaa sehemu yake, itakuwa ngumu mno kuwapata viongozi bora kama familia haijakaa sehemu yake, kwa hiyo ni wito wetu kama Serikali ya kwamba jukumu walilonalo kila mwananchi ni kuitafakari kwanza familia yake kabla hajanyoosha...
  12. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Unaweza usinielewe, lakini Ruge wa Clouds na Yusuph Manji, vifo vyao vina mkono wa mtu

    Unaweza usinielewe kamwe wewe unayesoma hapa, ILA kiukweli vifo vya hao ndugu nilio wataja vilichagizwa na Nafasi za utawala alizo kuwa nazo Paulo chiristiani Bashite Makonda. Yawezekana unielewi ILA YUSUPH MANJI angekuwa hai Leo hii Makonda hasingekuwa salama kamwe. Alimsingizia kesi ya...
  13. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Ni usiku wa saa kumi, nimemaliza maombi ila siwezi msamehe Ole Sabaya na Makonda, hawa ni waasisi wa utekaji

    Ni usiku wa saa kumi Nina amini Ole Sabaya upo hai au umeondoka, Mbowe najua uko hai, lakini Makonda sjui uliko maana ushakuwa waziri Sasa walindwa, nakushauri uimalishe ulinzi wako, usizanie uliokuwa unawaita wauza madawa wamelala kama wewe Nimemaliza maombi yangu ya siku hakika nasema kweli...
  14. R

    JamiiForums Tanzania Wameshatuona matakataka: Tanzania kuwa masikini ni mtu kutaka by Makonda

    Kuwa masikini ni utashi wetu. Eti hela iko nje nje.
  15. R

    JamiiForums Tanzania Makonda: Tumewasilisha ombi Content Creators walipwe zaidi

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesema Tanzania imewasilisha ombi UNESCO la kutambua Kiswahili kwenye mitandao ya kijamii ili vijana wanaotengeneza maudhui kwa lugha ya Kiswahili walipwe vizuri. "Kupitia Balozi wetu wa Tanzania aliyeko Ufaransa, tumeshawasilisha...
  16. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Paul Christian, Makonda amesimamisha Uchaguzi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) na kuusimamisha Uongozi wa sasa wa Kamati hiyo

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Christian, Makonda amesimamisha Uchaguzi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) na kuusimamisha Uongozi wa sasa wa Kamati hiyo kufuatia malalamiko ya baadhi ya Wagombea waliokuwa wakiwania nafasi mbalimbali za Uongozi wa TOC kuenguliwa kushiriki...
  17. Stroke

    JamiiForums Tanzania Makonda ondoka Arusha

    Makonda Arusha hatukutaki. Ubunge umelazimisha ili uwe Waziri. Get the he'll out of Arusha.
  18. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania CAG: Mradi wa ujenzi wa Uwanja Arusha ulikadiriwa bilioni 187, mkataba ukasainiwa bilioni 338

    Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere akisoma ripoti ya ofisi yake ya Mwaka 2024/2025, Machi 30, 2026 amesema alibaini upungufu katika mradi wa ujenzi wa Uwanja wa Mpira wa Arusha, ambapo ulikadiriwa kugharimu Tsh. Bilioni 187 lakini mkataba ukasainiwa kwa Tsh...
  19. tpaul

    JamiiForums Tanzania Makonda: Mwakani tunaanzisha ligi ya wazawa tu!

    Waziri wa michezo bwana Paul Makonda amesema kuwa kuanzia mwakani ataanzisha ligi ya wachezaji wa ndani tu kama ilivyokuwa michuano ya Afrika (CHAN) iliyohusisha wachezaji wanaocheza ndani ya Afrika tu. Kwa kuwa michuano hii ya Afrika imefutwa rasmi na CAF, sasa ni wakati muafaka kuifufua kwa...
  20. L

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Mambo ya ndani inaweza kumpendeza sana mwamba Makonda. Siku akisimikwa Nchi itatetemeka na kishindo chake kitatikisa Whitehouse Marekani

    Ndugu zangu Watanzania, Huyu Mwamba siku Akiwekwa Wizara ya Mambo Ya Ndani ya Nchi . kwa Hakika Nchi itatetemeka na kishindo chake kitatikisa kuta za Whitehouse Marekani. Na Kila Mmoja atakaa Mguu Sawa. Timu ya Rais Samia Ya Baraza la Mawaziri ni nzuri sana na imesheheni wachezaji wenye...
Back
Top Bottom