makonda

Paul Makonda
Paul Christian Makonda born 15 February 1982 is the Regional Commissioner of Arusha, Tanzania.

Makonda gained popularity during a constitutional amendment referendum, where he was among a few members of a special parliamentary session that was tasked with drafting a new Constitution.

He would later become more prominent in politics, first acting as the District Commissioner(DC) for Kinondoni before being appointed Regional Commissioner(RC)of Dar es Salaam by the late President, John Pombe Magufuli, in 2016.
  1. R

    Makonda: Tumewasilisha ombi Content Creators walipwe zaidi

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesema Tanzania imewasilisha ombi UNESCO la kutambua Kiswahili kwenye mitandao ya kijamii ili vijana wanaotengeneza maudhui kwa lugha ya Kiswahili walipwe vizuri. "Kupitia Balozi wetu wa Tanzania aliyeko Ufaransa, tumeshawasilisha...
  2. Nyendo

    Paul Christian, Makonda amesimamisha Uchaguzi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) na kuusimamisha Uongozi wa sasa wa Kamati hiyo

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Christian, Makonda amesimamisha Uchaguzi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) na kuusimamisha Uongozi wa sasa wa Kamati hiyo kufuatia malalamiko ya baadhi ya Wagombea waliokuwa wakiwania nafasi mbalimbali za Uongozi wa TOC kuenguliwa kushiriki...
  3. Stroke

    Makonda ondoka Arusha

    Makonda Arusha hatukutaki. Ubunge umelazimisha ili uwe Waziri. Get the he'll out of Arusha.
  4. Waufukweni

    CAG: Mradi wa ujenzi wa Uwanja Arusha ulikadiriwa bilioni 187, mkataba ukasainiwa bilioni 338

    Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere akisoma ripoti ya ofisi yake ya Mwaka 2024/2025, Machi 30, 2026 amesema alibaini upungufu katika mradi wa ujenzi wa Uwanja wa Mpira wa Arusha, ambapo ulikadiriwa kugharimu Tsh. Bilioni 187 lakini mkataba ukasainiwa kwa Tsh...
  5. tpaul

    Makonda: Mwakani tunaanzisha ligi ya wazawa tu!

    Waziri wa michezo bwana Paul Makonda amesema kuwa kuanzia mwakani ataanzisha ligi ya wachezaji wa ndani tu kama ilivyokuwa michuano ya Afrika (CHAN) iliyohusisha wachezaji wanaocheza ndani ya Afrika tu. Kwa kuwa michuano hii ya Afrika imefutwa rasmi na CAF, sasa ni wakati muafaka kuifufua kwa...
  6. L

    Wizara ya Mambo ya ndani inaweza kumpendeza sana mwamba Makonda. Siku akisimikwa Nchi itatetemeka na kishindo chake kitatikisa Whitehouse Marekani

    Ndugu zangu Watanzania, Huyu Mwamba siku Akiwekwa Wizara ya Mambo Ya Ndani ya Nchi . kwa Hakika Nchi itatetemeka na kishindo chake kitatikisa kuta za Whitehouse Marekani. Na Kila Mmoja atakaa Mguu Sawa. Timu ya Rais Samia Ya Baraza la Mawaziri ni nzuri sana na imesheheni wachezaji wenye...
  7. Meja Jenerali Isamuhyo

    Makonda anamlenga nani kuelekea 2030?

    Nadhani wote mmemsikia Paul Makonda kuhusu mpambano wa kuelekea 2030 kwenye kiti cha Urais kupitia ccm. Makonda kwa madongo ya leo atakuwa anamlenga nani haswa? Ila cha kusikitisha leo ni takribani miezi mitano tangu waingir madarakani ila vita ya Urais 2030 ni kama ishashika moto. Hawa jamaa...
  8. M

    Makonda: Hawajawahi kuona vita kati ya Tanzania na Marekani ila wanasema Marekani ina jeshi imara

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Paul Christian Makonda katika kuhamasisha utengenezaji wa filamu zinazoitangaza Tanzania.
  9. Waufukweni

    Makonda: Kombe la AFCON litabaki nyumbani

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amesema Tanzania imejipanga kikamilifu kuelekea mashindano ya AFCON 2027, akieleza kuwa si ushiriki tu bali pia itachukua ubingwa wa kombe hilo. Amesema kuwa ushiriki wa Tanzania katika michuano hiyo unatoa nafasi ya kipekee ya...
  10. Kipenzi Changu

    Makonda akiongea Kingereza cha kubangaiza

    https://youtu.be/tXhJ6gAj-Cs?si=bEedIn-AZpN-b4LQ Aliipona English inataka kumponyoka akamshikilia Mchina kujivika ujasiri. My Take Kama kwenye CV yako umesema Iam fluent in speaking English, basi ondoa mara moja
  11. Waufukweni

    Makonda amuomba Mabeyo amuwakilishe siku ya kumbukizi ya Hayati Magufuli

    Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Paul Makonda, amemtembelea Mkuu wa Majeshi Mstaafu, Jenerali Venance Salvatory Mabeyo, nyumbani kwake jijini Dar es Salaam na kutumia nafasi hiyo kumshukuru kwa mchango wake mkubwa kwa taifa pamoja na kulea viongozi wengi wanaolitumikia taifa katika...
  12. L

    Mkuu Wa Majeshi Mstaafu Jenerali Venance Mabeyo Ammiminia Sifa na Pongezi Paul Makonda Kwa Uchapakazi wake Uliotukuka. Ampa Baraka na Nasaha

    Ndugu zangu Watanzania, Mwamba Paul Makonda Ataendelea kung'aa Kiuongozi ,kushika nafasi nyeti ,kupaa kiuongozi Kutokana na uchapakazi wake uliotukuka na wa kuleta matokeo chanya na ya haraka. Huyu Mwamba ni kama amekuja kwa kazi maalumu hapa Duniani. Ni mtu ambaye ukimpatia kazi anaifanya...
  13. Mafyangula

    Makonda atoa saa 48 Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania kumkabidhi ofisi Hasheem Thabeet

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, ameagiza Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF) kuhakikisha ofisi ya Rais wa shirikisho hilo inakabidhiwa kwa Hasheem Thabeet ndani ya siku mbili kabla ya Jumatatu. Agizo hilo amelitoa Machi 13, 2026 wakati akifunga mkutano wa...
  14. W

    Makonda: Migogoro ya Ardhi itapungua wananchi wakisikilizwa mapema

    Migogoro ya ardhi imeelezwa kuwa inaweza kupunguzwa kwa kuimarisha mfumo wa kusikiliza na kutatua changamoto za wananchi mapema kabla hazijafikishwa mahakamani. Hayo yameelezwa jana Jumatano Februari 25, 2026 na Mbunge wa Arusha Mjini, ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo...
  15. Parabolic

    Gari analotumia "Makonda" lazua mjadala mitandaoni

    Gari hiyo aina ya Bentley Flying Spur lenye kibao cha namba W HUSM linalodaiwa kutumiwa na Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Paul Makonda limezua mjadala hasa katika mtandaow a X, ambapo watu mbalimbali wamehoji kiongozi wa Serikali kutumia gari aina hiyo. Kwa mujibu wa akili mnemba...
  16. onemediaonline

    Makonda: Serikali yampitisha Gamondi timu ya Taifa

    #onemediaupdates🇹🇿 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Paul Makonda ameweka wazi kuwa Serikali imempitisha Kocha Miguel Gamondi kuwa Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa, Taifa Stars, kutokana na uwezo wake aliouonyesha kwenye Michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) 2025 iliyofanyika...
  17. Allen Kilewella

    Makonda ni Trump wa CCM... Ole wetu!!

    Kuna nyakati huwa sielewi ni kwa nini Kuna mfanano wa karibu sana Kati ya ambayo hutokea kwenye siasa za Tanzania na Marekani. Tarehe 18/05/2009 Jakaya Mrisho kikwete akiwa Rais wa Tanzania, alikuwa ndiye kiongozi wa kwanza kutoka Afrika kukutana na Obama tangu alipochaguliwa mwaka 2008...
  18. Sifi Leo

    Makonda bhana! Kwa hiyo Gambo alikuwa CHADEMA wakati wewe ukiwa mkuu wa mkoa kutokea ACT?

    Unatuletea siasa uchwara Kanda ya Kasikazini utachinjwa mchana kweupe we endelea na magonjwa yako badala ufanye kazi unaanza siasa mfu heti Maendeleo yalichelewa kisa upinzani, kwani Hela ni Mali ya CCM? Mnaturudisha kwenye siasa za kishamba kwa manufaa ya nani? Umepewa bilioni mbili...
  19. G

    Bilion 2 za content creators ningefanya nini?

    “You don’t change youths by giving them money You change them by giving them access.” Nitatoa uchambuzi na ushauri wangu kwa uzoefu wangu ONLINE, je hiki kitu kina manufaa?. Faida na hasara zake ni nini? Tufanyeje? Taarifa ya TCRA inasema watumiaji wa intaneti (ama subscribers) wameongezeka...
  20. Robert Heriel Mtibeli

    Sisi Content Creators wa JF na Mitandao mingine tunasubiri kwa hamu hayo mabilioni. Chondechonde Makonda tutaonana wabaya

    SISI CONTENT CREATORS WA JF NA MITANDAO MINGINE TUNASUBIRI KWA HAMU HAYO MABILIONI. CHONDECHONDE MAKONDA TUTAONANA WABAYA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. 1. Kwenye hii nchi ya Tanzania, moja ya watu wanaofanya kazi kubwa Sana kwenye jamii yetu na serikali ni Sisi Content Creators hasa wa...
Back
Top Bottom