makonda

Paul Makonda
Paul Christian Makonda born 15 February 1982 is the Regional Commissioner of Arusha, Tanzania.

Makonda gained popularity during a constitutional amendment referendum, where he was among a few members of a special parliamentary session that was tasked with drafting a new Constitution.

He would later become more prominent in politics, first acting as the District Commissioner(DC) for Kinondoni before being appointed Regional Commissioner(RC)of Dar es Salaam by the late President, John Pombe Magufuli, in 2016.
  1. robinson crusoe

    Ni kweli Makonda Ndo ameamua kuchangua rais wa kamati ya Olympic Tanzania?

    Nimeona taarifa za malalamiko toka Z'bar. Nimeona tena taarifa ya maandishi toka kwa mjumbe wa Bara. Wote wanasema Mshindi wa nafasi alikuwa Antony Mtaka, badala yake kapewa mtu aliyepata kura moja, kwa amri ya Makonda. Nasema hivi kama tumefikia hatua hii, kwamba tuna mawaziri hovyo kiasi hiki...
  2. figganigga

    Paul Makonda aenda Kuandamana Paris Ufaransa kisa Kiswahili huku Tanzania Maandamano ya KATIBA MPYA yakipigwa Marufuku

    Paul Makonda na Serikali yake Wamefungia Maandamano Tanzania, lakini ajabu ameenda kuandamana Nchi ya watu tena kapewa Ulinzi. Aliandama huku akitabasamu akifurahia kuandamana. Annatumia mmaandamano kueneza ujumbe kuhusu Kiswahili. Ila ukimwambia tuandamane kuhusu Katiba unaitwa mhani sababu...
  3. mirindimo

    PICHA: MAKONDA ATINGA MEXICO KUPATA UZOEFU WA KUANDAA KOMBE LA DUNIA

  4. Mad Max

    Mkataba wa Arsenal na Rwanda umefika tamati baada ya miaka 8. Waziri Makonda fanya mchakato tuone “Visit Serengeti”

    Mkataba wa Rwanda Development Board (RDB) na Arsenal umeisha msimu huu wa EPL (2025/26)! Kwahiyo jersey za Arsenal hazitakua na Visit Rwanda mkononi tena. Jimbo liko wazi, Waziri wa Michezo na board yake, fanyeni mtangaze vivutio vyetu. #COYG
  5. fimboyaukwaju

    Ushauri kwa Makonda: Shughulikia redio ya TBC Taifa, soka waachie wenye uwezo

    TBCtaifa fm haisikiki vizuri sehemu nyingi tu na hukatika mara kwa mara.Mfano huju Mwanza maeneo ya kiseke ppf,msumbiji,redio haisikiki. Cha ajabu eti bongofm inasikika vizuri tbcfm haisikiki.TBC fm inashindwa hata na viredio vidogodogo vinasikika vizuri. Makonda fuatilia jambo hili yawezekana...
  6. Waufukweni

    Makonda alivyoshuka Jukwaani na kwenda kuomba Picha na Chole wa Serengeti Boys

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Paul Makonda baada ya timu vijana ya Serengeti Boys kupoteza fainali ya AFCON U17 mbele ya Senegal
  7. tucker carlson

    Makonda: Asitokee mtu wa kuilaumu Serengeti Boys, kaa kimya kalale

    Kauli ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh.Paul Makonda baada ya timu vijana ya Serengeti Boys kupoteza fainali ya AFCON U17 mbele ya Senegal. "Asiwepo mtu yoyote wa kulaumu na kunyoosha kidole na kutafuta maneno ya kuwakebehi na kuwadhalilisha vijana hawa ambao ni mashujaa wetu...
  8. R

    Ya Makonda na wasanii imebuma, na hii ya Russia itabuma

    Itabuma tu maana ukweli una tabia moja tu: unajitetea wenyewe. Haujitaji mtu kuutetea. Unaweza kuichelewesha, lakini kuna siku utaibuka
  9. R

    Makonda: Kila Mkoa tuweke screen kubwa kuangalia heshima inayojengwa na vijana wetu Serengeti Boys, Juni 2, 2026

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Paul Makonda amewataka wakuu wa mikoa Nchini kote Siku ya Jumanne, Juni 2, 2026 Kila Mkoa waweke Luninga kubwa ili watu watazame fainali ya michuano ya AFCON kati ya Timu ya Taifa ya Vijana chini ya umri wa miaka 17 Serengeti Boys na Senegal...
  10. Nyankurungu2020

    Takukuru iingilie kati kufanya uchunguzi juu ya matumizi ya fedha yanayofanywa na Makonda na wizara ya maliasili na utalii kuleta wanamichezo nchini.

    Hizi ni pesa za walipa kodi na ni pesa ambazo zilipaswa kutumika kwa maendeleo ya Watanzania. Sasa wanaletwa akina Rio Ferdinand, wacheza mieleka wapiga masumbwi na wakata viuno kwa kigezo cha kukuza utalii. Huu ni upigaji na wizi wa pesa za umma ambao hayati Magufuli kama angekuwepo...
  11. MURUSI

    Makonda anautaka sana Uwaziri wa Mali Asili na Utalii. Mabdailiko yajayo huenda ikawa hivyo

    Ma consultance wa Makonda hawalali yaani wana kesha usiku kucha kumpa Makonda mbinu. Makonda kaambiwa Mali asili na utalii ndiko hasa panamfaa ndiko kwenye mafuta, na ili aingie huko aanze kufanya harakati mbazo mnaziona kwa sasa hivi. Hao wastafu wa Soka anao waleta sio kwa lengo la michezo...
  12. Carlos The Jackal

    Makonda huwezi kuwa Rais, Mafwele huwezi kuwa IGP. Bado US/EU yuko njian KUDEAL na Wauaji wa Okt 29, Wanaopiga Vita UKRISTO, Kuteka na Kuua MAPADRE

    US kadeal na MAFWELE ,sababu alousema ni "Kuwateka akina Agatha". Sasa Kuna wale walikua Wanapiga Vita UKRISTO, Waloua watu Okt 29, Wanaomfunga Lissu na kuanzisha vita dhidi ya DEMOKRASIA. Na nyinyi Jiandaeni, Tena nyinyi Kipigo Chenu ni Cha Mbwa Koko Soma pia Mafwele azuiwa kuingia...
  13. I

    Makonda na Mafwele nawashauri kwenda USA mkajifunze namna bora ya kusimamia matukio makubwa ya kimichezo

    Makonda na Mafwele ni viongozi katika taifa letu na wana wajibu mkubwa wa kusaidia mashindano ya afcon 2027 yanafanyika kwa kiwango kikubwa na ufanisi. Hivyo kwa nafasi zao nawashauri kwa nia njema kabisa waende USA kupata uzoefu wa kusimamia matukio makubwa ya kimichezo Ikumbukwe USA wana...
  14. tucker carlson

    Makonda: Nimemwambia Rio usipost. Nilimwambia aje hapa anisaidie kuscout vijana wazuri wenye vipaji vya Kitanzania

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amesema amemuomba Mchezaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya Uingereza Rio Ferdinand, asichapishe ‘Ku-Post’ kwa sasa kuwa yupo Tanzania, akieleza kuwa hilo sio jambo muhimu ikilinganishwa na kazi aliyo nayo ya kuinua vipaji vya Vijana wa...
  15. Q

    Makonda alipopigwa Ban Magufuli alimtumbua, Samia akamrudisha, Je atamtumbua Mafwele au atamteua awe IGP.

    Magufuli alimtumbua Makonda ili kujitenge mbali na uchafu wake sidhani kama Samia atakubali kuwa mnyonge kwa Marekani kama mtangulizi wake. Nategemea Samia badala ya kumtumbua Mafwele atamteua awe IGP kamili, kuonyesha jeuri kuwa hatuingiliwi na mtu, ili kuendeleza slogan yake ya 'Who are you'.
  16. mirindimo

    Makonda Angalipo Kwenye Mfumo Sahauni Utekaji Kuisha

    Paul Makonda anaitumia Michezo sasa kuwin his trust kwa jamii aliyoiumiza sana kipindi cha Uongozi wa Magufuli kiasi cha kupigwa ban kuingia Marekani na Serikali ya Marekani bado ana tikisa na genge lake la Mafwele kwa Utekaji nyara wa Viongozi wa vyama Pinzani ambao sasa wanawaita wana...
  17. Think2

    Gerson msigwa :Serikali haiwalipi mastaa kuja Tanzania wanakuja kutokana na ukaribu na mheshiwa waziri Makonda

    Msigwa wadanganye watoto wako tu star mkubwa wa ball duniani aje bure ajilipie gharama zote za passport kuja tanzania kisa ameitwa na Makonda? Usikute hata ulaya hawamjui msukuma Makonda 😂 😂 na hilo trako lake kubwa 😂 Tusifiche ukweli tuwambie watanzania pesa zao za kodi wanalipwa hawa mastaa...
  18. M

    Makonda: Ferdinand atakuwepo kwa siku 3, atakwenda Bungeni, Arusha akiinjoi hali ya hewa nzuri

    Mliokuwa mnasema Paul Makonda huwa haongei kingereza hapa ni wapi? WAziri Makonda akizungumzia ujio wa Ferdinand ambaye amewasili Mei 19, 2026 amesema atakaa nchini kwa siku 3 na atatembelea maeneo mbali mbali ikiwemo bungeni.
  19. Robert Heriel Mtibeli

    Wageni anaowaleta Makonda watatumika na vijana wa mtandaoni kuelezea maovu ya Tanzania

    Hamjambo wote! 1. Ni Kweli yapo mambo ambayo sio mazuri ambayo yalitokea na yanayoendelea kutokea ndani ya nchi yetu. 2. Ambayo yamelalamikiwa kwa muda mrefu Sana. Vijana na wanaharakati wamekuwa wakiimba Kila Siku mitandaoni kuhusu maovu yaliyotokea na Yale yanayoendelea kutokea ndani ya nchi...
  20. S

    Makonda amekonda akili.

    Akili yenye afya ingemwelekeza kujenga akademi za mpira walau 5 tu nchi nzima, halafu akawa anaweleta hao wacheza mpira wa zamani kuja kuwatia hamasa vijana kwenye hizo akademi za mpira. Anachokifanya sasa hivi ni kuwafanya hao wachezaji kuwa twiga wa maonesho . Maana wanakuja ili tuwatazame...
Back
Top Bottom