Hajui mipaka yake ya kazi, hujiona yeye ni kiongozi wa wizara zote.
Hajui chain of command.
Akipewa cheo hujiona yeye ni kila kitu, he's everything.
Low IQ, 'wanaopigia kelele rushwa hawajaingia jikoni'.
One man show.
Ana Charismatic ya kuaminiwa but empty head.
Layman, hana profession...