DKT. MWIGULU: CHUO CHA SOKOINE KATAVI KUWA CHA MFANO TANZANIA
Ujenzi wa Jengo la Taaluma la chuo cha SUA Kampasi ya Mizengo Pinda Katavi wafikia zaidi ya Asilimia 90
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba alifanya ziara ya kikazi Mkoani Katavi ambapo alifanikiwa...
Leo Simba wapo tena uwanjani dhidi ya Mbeya City
Simba kwa mara ya kwanza kwenye msimu huu wanacheza mechi ya mchana tena jua kali na hili jua kali liwawakie tu
Mbeya City VS Simba SC | Ligi Kuu NBC | Sokoine | Juni 17, 2026 | 8:00 Mchana
Watu walifilisiwa mali zao pasipo hata sababu za msingi.
Watu wengi hawa mkupelekwa mahakamani waliporwa mali zao kwa kisingizio cha uhujumu uchumi.
Sheria hazikufuatwa.
Amri za Sokoine zilitumika kupora mali za watu bila kufuata sheria
Ni wazi ameweka ukweli kwa umma wa Watanzania kuwa uongozi uliopo sasa hivi haupo kulinda rasilimali za umma.
Wizi upigaji na mtandao wa wanaCCM wezi wa mali za umma ndio waliopo madarakani.
Hayati Julius Nyerere alitaka Sokoine awe mrithi wake lakini akafa kwa ajli yenye utata.
Hayati...
Plot For Sale.
Plot details: Prime area, along tarmac road near new SGR train station and Dar port.
•Perfect for; Yard, Garage, container’s storage, godown.
Location: Gerezani street/Sokoine drive.
Size: 903sqms.
Permit: Residential & Commercial.
Document: Title Deed.
Price: Tsh 1.5B.
For more...
EMPLOYMENT OPPORTUNITIES
Sokoine University of Agriculture (SUA) was established on the 1st July 1984 by the Parliamentary Act No.6 of the same year, which was repealed by the Universities Act No.7 of 2005 from which the SUA Charter was granted in 2007. The vision of the University is to be a...
Plot For Sale.
Plot details: Prime area, along tarmac road near new SGR train station and Dar port.
•Perfect for; Yard, Garage, container’s storage, godown.
Location: Gerezani street/Sokoine drive.
Size: 903sqms.
Permit: Residential & Commercial.
Document: Title Deed.
Price: Tsh 1.5B.
For more...
Salaam!
Nchi hii wamewahi kutokea viongozi majasiri ambao Katika kusimamia hoja huwa hawageuki nyuma,
Sasa huyu ndugu Gwajima kwa hoja zile alizotia kwa Press,
Ujasiri wa kuingia bungeni kuwakabilli kautoa wapi kama hana Roho ya Simba?
Kwa tulipofikia,
Huyu ndiye kiongozi pekee ndani ya...
Baada ya kufanikiwa kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Mbeya, Elias Mwanjala amewahakikishia wana Mbeya na wapenzi wa soka kiujumla kushirikiana na serikali ili kuufanyia marekebisho makubwa Uwanja wa Sokoine hususani eneo la kuchezea (pitch) kwani Uwanja huo si...
Tangu msimu huu wa Ligi uanze, Kwa kiasi kikubwa bodi ya Ligi na vilabu vimejitahidi kuboresha viwanja na kuvifanya walau kuwa na hadhi. Ila pamoja na yote kuna baadhi ya viwanja ni aibu TUPU kwa Ligi namba sita kwa ubora barani Afrika.
Huu uwanja wa Sokoine unaotumiwa na KenGold ni kama shamba...
Waungwana hivi ni viwanja vyote ambavyo vina changamoto ya vyoo au ni Sokoine Stadium tu hapa Mbeya.
Maana huu uwanja vyoo vyake ni changamoto kubwa, ni vichafu balaa na hakuna maji kabisa.
Wamiliki wa uwanja embu jitahidini basi kurekebisha vyoo kama mnavyo pambana kurekebisha sehemu ya...
Serikali imeamua kufanya maboresho ya vyoo vilivyopo katika Kituo cha Afya cha Sokoine ambacho wenyeji wamezoea kukiita Hospitali ya Sokoine baada ya kuripotiwa kuwa havipo katika mazingira mazuri.
Uamuzi huo unakuja siku chache baada ya Mdau wa JamiiForums.com kulalamikia kuhusu ubora wa choo...
Kituo cha Afya cha Sokoine ambacho wenyeji wa huku tumezoea kukiita Hospitali ya Sokoine, kilichopo katika Manispaa ya Singida ni taasisi kongwe Mkoani hapa
Kwa ukongwe wake Hospitali hiyo ilitakiwa iwe na mazingira mazuri haswaa, kuzingatia afya na usalama wa wagonjwa /wauguzaji pamoja na...
Habari wanajukwaa..kwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia mechi zinazochezwa uwanja wa sokoine uliopo mbeya.
Kitu ambacho nimegundua kwa muda mrefu ,huu uwanja ni mchafu sana kwa kweli hasa sehemu za pembezoni mwa pitch na karibia na majukwaa.Manyasi yameota hovyo hovyo hata yakikatwa huwa...
Baada ya kutoka kuchapika dhidi ya mtani wake leo Simba SC anakibarua kizito mbele ya wanajelajela Tanzania Prisons
Tanzania Prisons VS Simba SC |
NBC Premierleague |
Sokoine Mbeya |
Oktoba 22, 2024
4:00 PM
Dakika, 5 Simba wanapata goli la kuongoza
Dakika,13 Simba wamekuwa na umiliki mzuri...
Wadau hamjamboni nyote?
Sijaongeza hata neno moja
Mzee wa Atikali ✍️✍️✍️
Alhamis, Oktoba 10, 2024
0754 744 557
"Vitabu zote zinazochapishwa kwaajili ya kutumika kwenye syllabus kwa shule na vyuoni lazma zifanyiwe tahariri makini ili zisalie na accurate information".
Mhe. EZEKIEL MACHOGU...
C&P from Face Book.
THE RIGHT THING AT THE WRONG PEOPLE, IDIOT!
Na Bollen Ngetti
0748 092092
KUNRADHI kwa kuteua kichwa cha andiko hili kuwa katika lugha ya kikoloni. Shabaha ni namna tu ya kufikisha ujumbe uliokusudiwa.
Naam! Nilikuwa miongoni mwa mamia ya watu waliohudhuria uzinduzi wa...
Jeshi la kujenga taifa lilianzishwa mwaka 1964 chini ya waisraeli pale Temeke ilipo kambi ya Twalipo, na kikundi cha kwanza kilikuwa na askari wanawake na wanaume na ndicho kipindi hicho wanawake walianza pia kuingizwa jeshi la wananchi wa Tanzania.
Moja ya kauli aliyotoa Rais Samia Jana wakati akikizindua kitabu Cha Hayati Edward Sokoine, katika hafla iliofanyika Dar, aliwaonba viongozi wenzake, waige mfano wa Hayati Edward Sokoine wa uzalendo wa kulipenda Taifa lake wa hali ya juu sana na kuwatumikia wananchi wa nchi hii Kwa uadilifu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.