kumbukumbu

The Kumbukumbu Room, or Kumbukumbu Room: Africa, Memory and Heritage, or Kumbukumbu Exhibition, was one of the spaces of the National Museum of Brazil, destroyed by the fire of 2018. The name of the room refers to a word in Swahili, used for "objects, people or events that make us think about the past."
In the room, objects from the African and Afro-Brazilian collections were on display. In particular, the collections Police of the Court and Heloísa Alberto Torres were featured. Also in the room were the set of gifts from Africa sent to John, the Clement, in 1810, including the Throne of the King of Dahomey. Most of the objects on display were from the 19th century.
The room was organized from nine showcases, six side and three central, and a map from which one could establish the origin of the exposed pieces. According to the official book of presentation of the exhibition:

View More On Wikipedia.org
  1. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Historia ya Rajani Marijabu a.k.a Jabali la Muziki na kumbukumbu ya nyimbo zake.

    Marijani Rajabu alikuwa mmoja wa wanamuziki wakubwa na wenye ushawishi mkubwa katika historia ya muziki wa dansi nchini Tanzania. Alizaliwa tarehe 3 Machi 1955, Kariakoo, Dar es Salaam, katika familia ya kawaida. Baba yake alikuwa akifanya kazi ya uchapishaji, huku mama yake akiwa mama wa...
  2. Parabolic

    JamiiForums Tanzania Kifo cha Mchungaji Msuya kilivyoibua kumbukumbu maisha yake

    Kifo cha Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Mwanga, Sylvanus Msuya, kimeacha simanzi miongoni mwa waumini, viongozi wa dini na watu wengi walioguswa na ushuhuda wa maisha yake. Baadhi wamekumbuka safari yake ya kutoka kwenye changamoto za maisha hadi kuwa...
  3. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Kumbukumbu ya kifo cha Hassan Upeka

    KUMBUKUMBU YA KIFO CHA HASSAN UPEKA Naweka picha nilizopiga tarehe 28 October 2010 nyumbani kwa Hassan Upeka Mwananyamala wakati wa maziko yake. Kleist Sykes katika ''memoir'' zake alizoandika katika miaka ya 1940 kabla ya kifo chake 1949 akieleza kwa nini African Asscoation ilikuwa wamejazana...
  4. feyzal

    JamiiForums Tanzania Duh barabara nyeupeeeee, kweli kumbukumbu za Oktoba 29 hazijafutika

    Salaam Hii ishu ya 7/7 tunatoka wote inaweza ikawa serious.Nimeamka asubuhi niende mishe ebwana stand Mombassa nimekaa dk zaid 40 ndo nimepata gari ,watu wachache mno na gari chache mno na biashara zimefungwa. Vipi huko ulipo hali ikoje? NCHI IMESIMAMA HII
  5. Fbn

    JamiiForums Tanzania Hata muweke nini ila kama hakuna haki leo mkifa mtabaki makaburini bila kumbukumbu

    Tokea kufa kwake mpaka leo uwezi kusikia huyu alijiona dunia yake. Kwa nini na sema ili ?.Hana jipya wala lolote labda kukumba shuka jioni kuwa nchi inaelekea kubaya wakati mda umekwisha. Leo kuna watu wanafikiri wanaishi kama wao ila katika watu ambao hata wakifa kesho , hata mbwa ukimuuliza...
  6. KING MIDAS

    JamiiForums Tanzania Je unawezaje kukumbuka kumbukumbu zako zote?

    Kukumbuka kumbukumbu zako zote kwa ukamilifu si jambo linalowezekana kwa watu wengi. Ubongo wa binadamu hauhifadhi kila tukio kama video inayoweza kuchezwa tena; badala yake huhifadhi sehemu muhimu na kuzijenga upya unapozikumbuka. Hata hivyo, unaweza kuongeza uwezo wa kukumbuka mambo mengi...
  7. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Pendekezo: Tanzania Ianzishe siku ya kumbukumbu ya Agosti 29

    nimekuwa nikiona jinsi mataifa mbalimbali yanavyohifadhi historia zao kwa kuanzisha siku maalumu za kumbukumbu. Kwa mfano Timor-Leste huadhimisha kila mwaka tarehe 12 Novemba kuwakumbuka waliopoteza maisha katika tukio la Santa Cruz ambapo siku hio mamia ya wanafunzi waliokuwa wakiandamana...
  8. Ambuje Akunnungu

    JamiiForums Tanzania Tanzania na kenya: Tofauti za kiuelewa kwa wananchi wa kawaida hadi kwa wanataaluma. Kumbukumbu ya gwiji mzee wangu MCHUNGAJI CHRISTOPHER MTIKILA

    NIMEJIKUTA NAMKUMBUKA MCHUNGAJI MTIKILA. Binafsi nimefuatilia sana siasa za kenya kama kama ninavyofuatilia siasa za hapa nchini kwetu Tanzania. Ukweli ni kwamba nchi hizi mbili ni miliki ya jumuiya moja ya Africa mashariki na zina historia ya kiasi fulani ya utawala wa kingereza kama...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Tanzania iliadhimisha kumbukumbu ya mauaji ya Soweto ya Juni 16, 1976, lakini inapuuza mauaji ya Watanzania ya 29/10/2025

    Kama umewahi kusikia usemi wa nyani haoni..., basi hiyo ndio Tanzania ya uongozi wetu wa sasa. Hebu Fikiria. Huko Afrika Kusini, tarehe 16 mwezi wa sita mwaka 1976, wanafunzi waliandamana kwa ajili ya kupinga kulazimishwa kutumika lugha ya Afrikaans kwenye masomo. Wanafunzi hawa walikuwa...
  10. kindikinyer leborosier

    JamiiForums Tanzania Ulimwengu wa mapenzi ulikuacha na kumbukumbu ipi usiyoweza kuisahau?

    Habari Wana jamii!! Mpo salama? Mpo poa? . Niende Moja kwa moja kwenye habari, nimewaza hili nikikumbuka matukio mawili ambayo Siwezi kuyasahau, yanafundisha sana, na kuonyesha vile vile. . TUKIO LA KWANZA. nikikua na mpenzi mwanamke mzuri alieajiriwa jeshini ni daktari, alipata mafunzo yote ya...
  11. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Kumbukumbu Binafsi za Al Jamiatul Islammiya fi Tanganyika

    Chanzo hiki kinatoa kumbukumbu za kihistoria** kuhusu taasisi ya Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika iliyoanzishwa mwaka 1933 kwa lengo la kuendeleza elimu na maslahi ya Waislamu. Mwandishi anasimulia uzoefu wake wa utotoni akisisitiza umuhimu wa sherehe za maulidi zilizokuwa zikiwaleta watu...
  12. G

    JamiiForums Tanzania Kumbukumbu: Je, unakumbuka nini ulivyokuwa unasoma hasa kwenye presentation, Imepekelea baadhi ya hotuba za viongozi kuwa na sintofahamu

    Natumaini muwazima wote. Kwa wale ambao wanachangamoto za kiafya, kiuchumi na nk. Mungu afanye njia kila Mtu awe kwenye hali anaipenda. Twende kwenye mada yeti. Leo nimekumbuka baadhi ya adha nilizopitia hasa kwenye presentation hii ni kutokana kufuatilia taarifa au hotuba za kiranja mkuu wa...
  13. Abtali Mwerevu

    JamiiForums Tanzania Mfano wa Maswali ya Usaili Msaidizi wa Kumbukumbu Daraja la II Record Management Assistant II

    Kama umeitwa katika usaili wa mchujo, Msaidizi wa Kumbukumbu Daraja la II au kwa kimombo, Record Management Assistant II utakuwa unajiuliza maswali yanatokaje hasa kama ni mara yako ya kwanza kufanya mitihani hii. Katika mitihani hii, chochote kinaweza kuulizwa hata kile ambacho hujasomea. Hata...
  14. Kaudunde Kautwange

    JamiiForums Tanzania Karibu Tujifunze: VICOBA na changamoto ya utunzaji wa Kumbukumbu

    Wana Jukwaa Habari! Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na wimbi kubwa sana la watu kuanzisha na wengine kujiunga kwenye VICOBA. Na ki-uhalisia imekuwa msaada mkubwa sana kwa watu ambao wamekosa sifa za kukopesheka kutoka kwenye mifumo rasmi ya kukopa, mfano bank. Nakumbuka miaka mitatu (3)...
  15. Voltaire

    JamiiForums Tanzania October 29: Kumbukumbu ya Vifo vya Watanzania!

    Siasa zilivyo na kwa jinsi mambo yalivyo hadi sasa..baada ya huu utawala kumaliza kipindi chake, tukubali tukatae hii siku lazma itaingizwa kwenye siku za maombolezo makubwa sana nchi nzima! (JUMATANO NYEUSI). Iwe ni CCM au upinzani watakaokuwa madarakani..mliopo madarakani sasa mtatumika kama...
  16. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Ni kumbukumbu ipi Rais Samia atatuachia akiondoka madarakani 2030?

    Japo.bado ana mda lakini matumaini ni kidogo. Kikwete alituachia A. Mazuri 1. Daraja la kigamboni 2. Chuo kikuu Dodoma 3. Chuo kikuu Nelson Mandela Arusha 4. Barabara mabasi ya mwendokasi 5.Ajira lukuki kwa graduates 6. Kushamiri kwa democrasia ya vyama vingi B. Mabaya 1. Rushwa iliyokithiri...
  17. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Leo ni siku maalum ya maombi ya kumbukumbu ya mauaji ya kukusudia Oktoba 29, 2025

    Leo, Jumapili, Machi 29, 2026, inatumika kama siku maalum ya maombi na kumbukumbu ya kitaifa kwa ajili ya watu waliouawa, waliojeruhiwa, au kupotea wakati na baada ya matukio ya Oktoba 29, 2025 nchini Tanzania. Muktadha wa Kumbukumbu Hii Tukio la Msingi: Oktoba 29, 2025, ilikuwa siku ya...
  18. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Hizi ni ajali tatu zilizoniachia kumbukumbu mbaya zenye simanzi kwenye akili yangu

    Hizi ni ajali ambazo hadi leo zimeniachia simanzi na kumbukumbu mbaya kichwani mwangu. Sikupoteza ndugu wala mtu yeyote wa karibu ila ziliniumiza mno. 1. Ajali ya moto kwenye bweni la wasichana Shauritanga sec, Rombo Hii ajali ilitokea usiku wa tarehe 18 June 1994. Bweni lilishika moto na...
  19. Echolima1

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Muhoozi Kainerugaba Dreams of Monument to Yoni Netanyahu (brother of Benjamin Netanyahu), Slams Sudan’s RSF

    Uganda Kumheshimu Yoni Netanyahu Uganda inatarajiwa kuzindua sanamu ya Yonatan Netanyahu, kaka mkubwa wa Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu, ambaye aliuawa wakati wa operesheni ya ujasiri ya 1976 ya kuwaachilia mateka wa Israeli waliokuwa wakishikiliwa na magaidi wa Ujerumani na Palestina katika...
Back
Top Bottom