ngumu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Stroke

    JamiiForums Tanzania Itungwe sheria kuzuia uchomaji wa Taka ngumu mitaani

    Naishauri serikali kuu na zile za mitaa kutunga sheria kuzuia uchomaji wa taka ngumu mitaani. Unakuta baadhi ya mitaa kuna mashindano ya kuchoma taka ngumu. Unakuta taka zina nailoni mbali mbali na materials nyingine ambazo zinaweze kuwa na madhara ya kiafya kwa wakazi wa maeneo hayo.
  2. Jack Daniel

    JamiiForums Tanzania Betting ni ngumu

    I hate Barcelona, Nawachukia Barcelona Laki tatu siyo ndogo. Nawachukia. Why ball position iwe 78 then ushindwe kuifunga timu mchekea like as Valencia? Kwa taarifa zenu hafilisiki mtu
  3. A

    JamiiForums Tanzania KERO Ajira Mpya Wilaya ya Chemba (Afya) tuna mwaka hatujapewa pesa ya kujikimu na hali ya maisha inazidi kuwa ngumu

    Ajira mpya wilaya ya chemba afya tuna mwaka sasa hatujapewa pesa ya kujikimu na hali ya maisha inazidi kuwa ngumu
  4. KENZY

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kweli kuwaelewa wanawake ni ngumu, wanachanganya sana!.

    Nimefanya tafiti nimegundua mwanamke anaweza ku squirt (katerero) na asifike kileleni!, na anaweza asi squirt na akafika kileleni!!. Kiufupi ku squirt ni jambo tofauti nakufika kileleni!, na kufika kileleni ni jambo tofauti na ku squirt!.. japokuwa haya mambo mawili yanaweza kutokea kwa wakati...
  5. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania Ayoub Rioba: Ninaomba Serikali ichukue hatua ngumu kukomesha hii 'narrative' ya utekaji. Tutaharibu Nchi yetu nzuri bila sababu za msingi!

    Watanzania ni watu wanaopenda amani na hawajazoea kuishi kwa hofu. Niwapongeze Polisi kwa kujibu haraka kwamba wanachunguza tukio la 'kutekwa' Msaidizi wa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, ndugu Djumbe. Nitoe pole kwake na kwa familia yake! Kuna maadui zetu wanaweza kutumia mwanya wa...
  6. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Kazi ya udaktari ni ngumu sana, hawa watu tuwatie moyo sana.

    Katika watu ambao inabidi walindwe kwa gharama zozote basi ni madaktari. Asilimia kubwa ya madaktari wanafanya kazi kwa uwito na sio maslahi zaidi . Ukitaka kuamini hivyo utakuta daktari ana miradi yake mikubwa tu na asilimia kubwa inahitaji uwepo wake lakini yeye yupo busy hospitali kutibu...
  7. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baada ya kumhudumia vya kutosha ananikataa; anasema Nina sura ngumu kama wimbi la uji!😠

    Wakati tunaanza na kumpatia uhakika wa huduma alikuwa anatoa ushirikiano nzuri tu kunipatia sifa kedekede za 'uhandsome'. Leo, baada ya kuyafikia malengo yake kwa asilimia kubwa, amenizingua kwa kauli kama hiyo. Nimfanyie uhuni gani. Nje ya mada; hivi miaka 40+ unaweza kumpata bint wa 2005 kuja...
  8. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Bado business partnership ni ngumu sana kufanikiwa hapa Tanzania

    Sisi kuungana kuanzisha biashara pamoja kisha kuikuza na kufanya idumu ni ngumu sana. Partnership nyingi huishia kwenye uadui wa kudumu. Nilishawahi kuungana na jamaa zangu in my early 20s lakini haikudumu ila kwa bahati nzuri tuliachana kwa amani kabisa kupitia mwanasheria wetu. Mimi naona...
  9. Pakome

    JamiiForums Tanzania Kuzuia yaliyotokea ni sawa na kuzuia mkojo, kazi ambayo ni ngumu sana lakini mwisho wake mkojo utatakiwa kutoka nje kwasababu ulishaingia

    Kinachotakiwa sasa ni kumwaga mkojo nje sio kuzuia ndani kwasababu utaharibu figo Hata White wasipoingia ndani bado watafikishiwa taarifa zote huko waliko Wengi washazuia wamechoka wameamua kukimbia
  10. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Mi naamini Porsche 911 ndio best Sports Car ya muda wote! Sema used bila Mil 150+ ngumu sana kuimiliki!

    Tokea 1963 ianze kutengenezwa, zaidi ya generation 8, models zaidi ya 20 na units zaidi ya million 1.2 zimeuzwa. Uzuri wa hii gari, haipotezi muonekano wake, kila siku wanaiboresha tu lakini yenyewe iko vile vile kimuonekano. Wengi mlianza kuipenda 911 bila kuijua kwenye movie ya Commando...
  11. C

    JamiiForums Tanzania Nimeshusha bei tena Honda Ace 150

    Nipeni 2.5m bila discount wakuu niwe nimekula hasara ya 1.1m ndani ya mwezi Pikipiki ni Honda ace 150, cc150 Ipo Mbarali mbeya Pikipiki ni mpya namba yake ni FRD.... Imetembea jumla kilometa 380 Nzuri Kwa kufanya boda, maeneo yenye Barabara mbovu ,matumizi binafsi, kubeba mizigo mizito n.k...
  12. U

    JamiiForums Tanzania Tanzania ni ngumu kumfukuza mtumishi wa Umma Mzembe kazini | Salamu za Meimosi kutoka kwa David Kafulila

    Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila katika salamu zake za Meimosi amesema ingawa sheria ya kumlinda mtumishi wa Umma dhidi ya matumizi mabaya ya madaraka kutoka kwa viongozi waovu, Lakini kwa sasa imekuwa mzigo kwa walipa kodi kwa sababu ugumu wa kumwondoa mtumishi...
  13. Yaping Xi Laan

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania kweli kutongoza ngumu?

    Leo nimerusha vaibu kwa demu nnayemmaind.kanichenjia kinoma ameniambia nimkome. Hata nashindwa ni kiherehe gani ilinipeka kwake.saiv kan vuruga nimeamua nkanywe bia nitulize mawazo.
  14. PLOII

    JamiiForums Tanzania Nipo bado kwenye Ndoto; Kile kilichotokea 29 October, 2025 kina mwelekeo na Maandiko Matakatifu?Kwa Report ya Chande hata Lucifer kanyosha Mikono.

    Umofia Wadau. Nipo ndotoni ndugu zangu kiukweli, hivi watu wamekufa kiasi kile ila Viongozi hawajutii wala kusikitika wanachofanya ni kujipalilia waendelee "KULA" Labda wale wa Rohoni mnipe tafsiri sahihi ya hili bila kujali Imani ya Dini zenu:- 1. Kila mtu aitii Mamlaka iliyo kuu;kwa maana...
  15. A

    JamiiForums Tanzania KERO Walimu Halmashauri ya Sengerema hatujalipwa posho za kujikimu, hali ya maisha imekuwa ngumu

    Mimi ni mdau, nipo Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema, naomba kuwasilisha kero kuhusu malipo ya posho za kujikimu katika Idara ya Elimu. Walimu wameripot kazini lakini hela za kujikimu inakuwa changamoto kupewa kwa muda, kuna walimu wanapewa nusu na wameahdiwa kupatiwa inayobaki..ila hakuna...
  16. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mbunge Salvator: Kama vitu vinavyojadiliwa bungeni havitekelezeki ni ngumu kutoboa

    Mbunge wa Misungwi mkoani Mwanza, Silvery Salvator amesema kuwa utekelezaji hafifu wa uamuzi na mijadala ya Bunge unakwamisha maendeleo na mafanikio ya Serikali. Akichangia bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu bungeni jijini Dodoma leo Jumanne, Aprili 14, 2026, Salvator ameeleza kuwa uzoefu wake...
  17. G

    JamiiForums Tanzania Binafsi niwapongeze Pro Iran wanafanya kazi ngumu sana kutetea Iran ambayo hata intelligence inashindwa kulinda mkuu wa Intelligence

    Kiukweli Iran imewangusha sana wafuasi wake kote duniani Kwa aibu kubwa aliyoipata ya kushindwa kulinda viongozi wao Wanazidiwa hadi na mchwa wanaolinda Malkia wao Kwa gharama kubwa Pili intelligence Yao imeonyesha udhaifu mkubwa Hongereni sana team Iran mmeamua kufa na tai shingoni msife...
  18. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Sasa hivi kila sekta ngumu kutoboa ilikuwa rahisi 2012 kuja 2022

    Sasa hivi wanaofanikiwa ni wale walio kwenye mfumo tu mambo yamebadilika sasa ni kama kila deal halilipi.ukija kwenye biashara ya nguo watu wana maduka kibao mitaani wengine ku clear mzigo wanauza mpaka Jean's 5000, Ukija kwenye content creator washakuwa wengi ma simu ya mkopo kibao,ukija...
  19. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Dkt. Gwajima amesema Kumusahau Polepole Ni Ngumu Maana Alikuwa Rafiki wa Kweli

  20. jamaikatz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hakuna kitu ngumu kama kuanza mahusiano mapya aisee

    Hakuna kitu ngumu kama kuanza mahusiano mapya aisee
Back
Top Bottom