mtanganyika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. figganigga

    JamiiForums Tanzania Kama kweli mnajiamini mguseni Mtanganyika Dr. Emanuel Nchimbi

    Salaam Wakuu, Naomba Dr. Emanuel Nchimbi mumuache afanye kazi. Kwanza udaktari wake wa kusomea so aheshimiwe. Msimuingize kwenye ugomvi wenu na Ufisadi wenu.. Ameishi kwa heshima kwa kuheshimu wakubwa na Wadogo.. Uroho wenu wa madaraka usiwafanye mumchafue kisa yeye anawalazimisha kutenda...
  2. secretarybird

    JamiiForums Tanzania Kwanini mara nyingi watu wanashangaa ukijiita Mtanganyika, lakini ukijiita Mzanzibari wanaona kawaida?

    Kwanini mara nyingi watu wanashangaa ukijiita Mtanganyika, lakini ukijiita Mzanzibari wanaona kawaida?
  3. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Suala la watu kupoteza nyeti, tumesahau Ripoti ya CAG, kupanda bei ya Mafuta na Ripoti ya Chande. Fungua macho Mtanganyika!

    Aweeee, Ila serikali na CCM huwa wanajua kuchagua mambo ya kututoa kwenye reli, wanajua wakigusa nyeti na hivi wanaume 'wanadai' wao ni wachache na ongezeko la ushoga jambo litakuwa hot topic fastaaaaa! Afu jambo limesambazwa sehemu ambako litafika fasta, nimeshangaa hadi ukanda wa Gaza nao...
  4. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Mtanganyika usikate tamaa hata huko Marekani kuna watu wasio na makazi wanalala barabarani

    Los Angeles Homeless Crisis: How Fentanyl Is Fueling a Growing Crisis in 2025 | Documentary 2025 fuatilia youtube......
  5. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Nimekana rasmi uraia wa Tanzania: Mimi ni Mtanganyika, Samia si Rais wangu

    Kuanzia leo nakana uraia wa Tanzania, mimi ni Mtanganyika, naipenda nchi yangu, niko tayari kushiriki katika hatua zote za ujenzi wa nchi yangu pendwa iliyozikwa kwa hila.
  6. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Tangu tarehe 29 Oktoba, najihisi Mtanganyika na kuchukia Utanzania wangu

    Kama kichwa cha habari kilivyo, kuanzia tarehe tajwa, najihisi Mtanganyika. Napanga kuuzika utanzania wangu. Je Watanganyika wenzangu mnapitia ninachopitia?
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mtanganyika akishapata Ajira, Cheo au biashara hana habari na mambo ya haki, mali, wala shida za Tanganyika

    Mpe mtanganyika ajira, cheo, tenda au awe na biashara yake, atajiona wa tofauti sana,
  8. K

    JamiiForums Tanzania Kuanzia mitaani, makazini, makanisani, misikitini, vyuoni, kama wewe ni Mtanganyika wajibu wako kuikomboa nchi

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza kama wewe ni Mtanganyika ni wajibu wako kuikomboa inchi yako, hata kama chawa, haya unayoyaona utakuja kuyalipia baada ya Tanganyika kukombolewa, maana saa hizi tunatawalia na familia ya Samia Suluhu na baadhi ya Viongozi walioko Serikalini wakiongozwa na...
  9. mwehu ndama

    JamiiForums Tanzania Napata amani nikijitambulisha kama MTanganyika kuliko MTanzania

    Siku za hivi karibuni ,nimejikuta napata faraja Kila nikilitamka neno Tanganyika. Najisikia fahari sana kujitambulisha mbele za watu hususani wageni kama MTanganyika na sio mTanzania.. Inanifanya nijihisi karibu zaidi na asili yangu , chimbuko langu, wazee wangu na watu wetu wazuri ..Kila...
  10. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ukiwa Mtanganyika, haijalishi uko ndani au nje ya nchi, unayachukuliaje haya mauaji ya ndugu zetu?

    Nazani kama kichwa cha habari kinavyoonyesha inasikitisha sana kwa yanayoendelea Tanzania,sikuwa kuamini kama Viongozi wa inchi pamoja na jeshi la polisi wanaweza kusimamia mauaji dhidi ya raia zao hata kama wananufaika na rushwa ndani ya hiyo serikali,hata Magufuri alikuwa dikteta lakini...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Hivi sasa karudi nchini kwake. Ninakushangaa wewe mtanganyika unayesurubu watanganyika wenzako kwasababu yake

    Amerudi nchini kwake rasmi na atamalizia kampeni zake huko. Halafu wewe mtanganyika umebaki nchini kwako ukiwapiga ndugu zako watanganyika kwasabb ya kulinda madaraka "yake". Hebu tuweni na uchungu wenye wivu juu ya nchi yetu Tanganyika ili waifaidi watanganyika. Sisi tumegeuzwa mateka na mtu...
  12. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Ni aibu mtanganyika kumshabikia SSH aongezwe miaka ya urais, Zanzibar inaneemeka, Tanganyika hoi

    Tanganyika imefifia na itazidi kufifia. Ndani ya miaka hii minne ,Zanzibar imepiga hatua zaidi kwa mgongo wa Tanganyika Maisha ya watanganyika yamejaa hofu, ajira hewa, hospitali gharama zipo juu ukihojo hoji sana unapotezwa hadharani. Jitafakari wewe mtanganyika unayemshabikia mzanzibari...
  13. Mashamba Makubwa Nalima

    JamiiForums Tanzania Bibi anasema katika uongozi wa Richard Turnbull watu walikuwa hawapotei. Alikuwa na UTU, hakutaka kuona damu ya mtanganyika, kweli mkoloni hana RANGI

    Kwenye story mbili tatu na mke wangu hapa (Junior huwezi elewa, namuongelea BIBi hapa) akawa ananisumulia kuhusu utawala wa waengeleza (ni reza au leza, tuachane nayo pia, sio muhimu). Watu walikuwa hawapotei hovyo, anasema yule bwana alikuwa hataki kuona watu wanapotea potea na alishawahi utoa...
  14. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Mtanganyika LISSU ananyanyaswa na Rostam Aziz ,Vyombo vya Dola Hususani Polisi , Mahakama viko mfukoni mwake

    Inasikitisha sana, Yaan Mtanganyika , anaumizwa na Rostam Kwasababu ya Masilahi ya ROSTAM na Genge lake !!.
  15. M

    JamiiForums Tanzania Kila Mtanganyika halisi, ataitetea Tanganyika kwa nguvu zake zote

    Tumepigwa sana Watanganyika Itoshe kusema, tunahitaji kuungana watangayika kuitetea Tanganyika yetu na kukemea dhuluma kwa watangayika wenzetu popote pale walipo
  16. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Neno moja kwa Shujaa Mtanganyika Tundu Antipas Lissu

    Shujaa wa Tanganyika 👇
  17. K

    JamiiForums Tanzania Nahisi Viongozi wa juu wa Tanzania bara wamelishwa limbwata, hawaijali tena nchi yao

    Hebu tuweke kwanza mapenzi ya vyama pembeni, Hayati Magufuli alikuwa kiongozi mzalendo aliyeipenda Tanzania kutoka moyoni mwake na sisi sote ni mashahidi kwa hilo Lakini baada kufa kuna Viongozi wamekuja hawana hata uchungu na Tanzania bara,wamejaa porojo wameuza rasilimali zetu alizozipigania...
  18. ngara23

    JamiiForums Tanzania Moderators naomba kuanzia Sasa nitambulike kama "Mtanganyika" hapa jamii forums

    Naleta ombi langu kwenu nataka kubadili utambulisho wangu hapa jamii forums kutoka Ngara23 kuwa " Mtanganyika" Nahitaji kuanzisha harakati za Kufufua utambulisho wa Taifa la Tanganyika, historia yake, utawala Naona Sasa Watanganyika tumejisahau Taifa letu la Tanganyika limekufa Tunatawaliwa...
  19. Mganguzi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nyerere alituingiza kwenye tatizo!! kwanini mzanzibar anaruhusiwa kuwa rais wa Tanzania bara na mtanganyika haruhusiwi kuwa rais wa Zanzibar?

    Siku moja tusikie mwigulu nchemba ni rais wa Zanzibar au tumuone mnyakyusa kutoka mbeya akiiongoza ikulu ya Zanzibar ! Kwa Nini mngoni ,mmatumbi na mndengeleko wasiwe na sifa ya kuongoza zanzibar ? Ila wazanzibar wanakuja kutawala Tanganyika? Kwanini muungano wetu upo kama msaafu Kila anaejaribu...
  20. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Natamani mtanganyika Mtikila angekuwa hai ili siasa zinoge

    Sijui kama mwanangu Christopher Mtikila angekuwa hai hali ingekuwaje alivyokuwa haogopi na kuona mbali?
Back
Top Bottom