Tabia is a small town and rural commune in Taroudannt Province of the Souss-Massa-Drâa region of Morocco. At the time of the 2004 census, the commune had a total population of 2329 people living in 487 households.
Habari wanaJF
1.Huacha Mapambo, au vitu vilivyotumiaka katika sherehe iliyokuwa miezi kadhaa iliyopita kama sikukuu ya kuzaliwa, mti wa chrismass mapambo ya ukutani ya mwaka mpya nk.
2. Kutumia Miguu kwenye shughuli zinazotakiuwa utumie mikono kama kubonyeza swichi, kusogeza vitu, kufunga...
Hello wakuuu
Tupeane mbinu mnaishije na mwenza au mpenzi mwenye tabia ngumu ambapo unakuta io tabia inakukera au zinakukera sana na umejaribu kuongea nae mara kwa mara lakini haachi,,,na unakuta unampenda ila hiyo tabia ndo inakukwaza sana
Weekend tarehe 23 iliyopita nilitembelea sehemu moja karibu na mji wa kupang ila ni vijiji vya nchi ya Timor-Leste nikiwa na rafiki yangu kwao palikuwa na kama kumbukizi ya mwaka mmoja wa kifo cha babu yake nikamsindikiza kuna tukio moja liliniacha na maswali mengi sana kuhusu mambo ya...
Watu wengi huamini kwamba kuchelewa kufanikiwa ni bahati mbaya, ukosefu wa connection, au mazingira magumu pekee. Lakini ukweli ni kwamba kuna tabia ndogo ndogo ambazo watu huzifanya kila siku bila kujua ndizo zinazowarudisha nyuma polepole kwenye maisha. 😳
👉 Kwanini baadhi ya watu wana...
Uislamu ni dini inayomlea mwanadamu kuwa na tabia njema, huruma, uadilifu na heshima kwa watu wote. Katika mafundisho ya Kiislamu, ibada hazihusiani tu na kuswali au kufunga, bali pia zinahusisha mwenendo mwema katika maisha ya kila siku.
Muhammad alisema kuwa lengo kubwa la ujumbe wake...
Ndugu zangu watanzania,
Wiki iliyopita niliumia sana kuona mkutano wa CHADEMA kule kanda ya ziwa ukigeuka jukwaa la kuwatukana, kuwadhalilisha,kuwatweza na kuwavunjia heshima askari wetu ambao kila mmoja wetu anatambua kazi kubwa wanayoifanya usiku na mchana kuwalinda watanzania na mali zao...
Acha tabia ya kutembelea ndugu mara kwa mara utafikiri mechi za kila wikiendi, uchumi umebadirika, sasa hivi watu wanaenda na bajeti.
Una mwaga mwaga ovyo kila kona, mwishowe ni kuongeza watoto wanaokuja kutaabika kimahitaji na saikolojia hapa duniani, masingo maza na kutopata care maalumu ya...
Yaani mwenza anapost vitu ambavyo unaona kabisa kakulenga wewe kufuatia mkwaruzano uliojitokeza. Mimi nachukia hii tabia ambayo wanawake wanayo zaidi. Kupost status ni kuwapa faida watu wengine.
Mapenzi hayahitaji third party kabisa. Kuhusisha watu wengine kupitia watsapp status ni...
Habari wanajamii
Hivi ni tabia gani au mazoea ambayo umeshindwa kabisa kuacha?
Mfano kwa upande wangu huwa siwezi kujisaidia haja kwenye Choo ambacho hakuna ndoo ya maji na lazima nimwage maji nisafishe choo na nijaze maji tena kwenye ndoo kabla ya kujisaidia hata kama hotel hiyo ina uhakika...
Hamjambo Wote!
1. Mimi nimesoma Dini Kupitia Ukristo, dhehebu Usabato.
2. Ninauelewa kiasi WA mambo ya Dini nafikiri katika mambo ninayoyajua akilini mwangu ukiacha Mahusiano, saikoloji, sosholoji ma Falsafa basi Dini ni moja ya mambo ninayoyajua kwa kiwango cha kuridhisha kwa vijana wa umri...
Watu watatu wamefariki baada kushukiwa kuambukizwa virusi vya hantavirus katika meli moja ya kubeba abiria iliyokuwa ikisafiri katika bahari ya Atlantiki, hii ni kulingana na taarifa iliyotolewa na shirika la afya duniani WHO.
Kisa kimoja cha hantavirus kimethibitishwa, huku visa vingine vitano...
Je kipaumbele chako kwenye ndoa ni tabia au sura? (Shape/mwonekano)?
Je kati ya sura na tabia ni kipi kinarekebishika?
Je utaoa mwenye tabia nzuri lakini shepu mbaya au utaoa mwenye sura nzuri lakini tabia mbaya?
Zingatia neno TABIA MBAYA!
https://www.facebook.com/share/v/14kX7ftmETV/
Wote tunajua kuwa kwa Chadema matusi ni sehemu ya Siasa zake. Lakini jueni kuwa ulimwengu wa sasa umehama kutoka kwenye siasa za matusi kwenda kwenye siasa za hoja.
Hii tabia za kuwatukana viongozi wetu IKOME! Tunaomba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama viwapate wachacche kama sample tu ili...
Je, una tabia ya kujiongelesha mwenyewe?
Mfano kujipa maoni binafsi au kujiambia: Hiki ninachofanya si sahihi sitaki tena Kuna wakati kujisemesha mwenyewe ni muhimu sana ukweli ni kwamba hakuna anayekujua zaidi ya unavyojijua wewe mwenyewe.
Kuna tabia zipo ndani yetu ambazo si rahisi mtu wa...
Habari za mda huu wanajamvi
Huyu wangu tuliokotana mwaka jana mwezi WA 3 Aisee nakajihisi nimepata Ila baada ya siku kuenda
Aisee naona hafai na nilipatikana mbona wanawake wa kipare huwa hawaeleweki japokuwa ni wazuri nilishauriwa Sana Ila nikapagawa na uzuri
Sasa she call me only when she a...
Mzuka wana jamvi ?
Katika uchunguzi wangu nimegundua kuwa member ngluli wa Jf GENTAMYCINE na Rais wa Marekani Donald Trump ni watu ambao wanafanana sana tabia .
1. Wote hata uwe rafiki yake vipi na uwe unamsifia siku ukimkosoa na kupishana nae basi lazima akutweze na kukuona hauna akili...
Kumekuwa na tabia ambayo imekuwa endelevu kwa baadhi ya mabasi mengi yanayotokea Kigoma kuelekea MWANZA, mfano GTA Express, kuuza wateja wake baada ya kukata tiketi usiku wake unapigiwa simu eti "samahani gari halitoweza kwenda limekodishwa, hivyo mtapanda basi la Kampuni ya TAKBIIR".
Wanafanya...
Salaam JF tuwe makini hili linaweza kumkuta yoyote.
Kumekua na tabia ya baadhi wapenzi baada ya kuachana huvujisha faragha zao kama voice, picha au video walizoshiriki wakati wa mahaba motomoto na kuzua taharuki.
Uenda usababishwa na mihemko, hasira au kukomoana.
Nini kifanyie kukemea hii...
Wadau naomba ushauri wenu.
Nimekutana na mwanamke ambaye kiukweli yuko vizuri kifedha kuliko mimi. Tatizo linalonichanganya ni kwamba ana tabia ya kujiangalia yeye tu na wakati mwingine anaonesha dharau kidogo.
Nina interest naye na natamani kuingia naye kwenye mahusiano, lakini najiuliza:
Je...
Walimu Ajira Mpya mwezi wa kwanza 2026 had leo hatujapewa pesa za kujikimu Halmashauri ya Wilaya ya Babati, tunateseka hatuna hela ya matumizi.
Pia Walimu wa Science na wa Arts huwa mishahara inatofautiana wa Science kwenye barua ya kazi tuliyopewa basic salary ni Shilingi 925,000 but...
Anonymous
Thread
arts
hii
lini
mishahara
mishahara ya walimu
science
serikalini
tabia
walimu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.