Kwanza mpaka sasa hivi kama alivyosema Mzee Warioba alipigiwa kura na Tume ya uchaguzi ya Jaji Mwambegete sio wanannchi.
Mchakato wa katiba mpya upo tayari maana rasimu ya warioba tayayri ilishaweka kile ambacho watanzania wanakihitaji. Yaani katiba ambayo itakidhi mahitaji ya Watanzania. Ambao...
Hii itaongeza utulivu zaidi wa kitaifa na kuepusha usumbufu wa kikatiba kwa Rais mpya atakaeshika hatamu baada ya Dr.Samia kumaliza kipindi cha mpito kusimamia utekelezaji wa matumizi ya katiba mpya hiyo.
Napendekeza Dr.Samia Suluhu Hassan ang'atuke 2034, baada ya kutupatia katiba mpya na...
Wameanza kutest mitambo.
==============
Baadhi ya wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wamependekeza kufanyika kwa marekebisho ya Katiba ya Zanzibar ili kumpa nafasi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, kuendelea kuiongoza Zanzibar zaidi ya ukomo wa mihula...
Nimeshangaa kusikia anasema eti ili mabadiliko ya katiba mpya wananchi wanatakiwa kupata elimu kwa miaka mitatu . Wajue nini kinafaa ndani ya katiba hii ya sasa na nini hakifai.
Iliundwa tume ya Jaji Kisanga mwaka 1998 ikakisanya maoni ya Wananchi kupitia White paper. Serikali ya CCM chini ya...
elimu
elimu ya
habari
hana
inahitaji
jaji
jaji warioba
katibakatibampya
kisanga
kupata
miaka
miaka mitatu
mpya
rais
rais samia
rasimu
samia
samia hana
tume
wapi
washauri
Katibu Mkuu wa CHAUMMA Salum Mwalimu akizungumza Mei 7, 2026 amesema kuwa Msimamo wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) hakitaki masuala ya Katiba Mpya na Utekaji yaendelee kuwa ajenda za kudumu za kisiasa nchini Tanzania.
"Pengine huo ndio mtihani ambao tumekuwa tukiupitia vyama vya...
Hamjambo Wote!
1. Fikiria watu wasioweza kuishi sehemu safi, wanatupa takataka hovyohovyo,
Akitokea Bwana/Bibi afya mkali anachukiwa n kuwekewa zengwe aondolewe.
2. Nenda pale Kariakoo au Karume au soko lolote Tanzania. Bei ya kitu ni 50k na faida ipo ndani ya hiyo elfu 50 lakini utaambiwa...
Kama kuna jambo kwa sasa ambalo kama Taifa tunakubaliana, ni kuwa UCHAWA ndilo tatizo linalokua kwa kasi zaidi katika siasa zetu na sekta ya utumishi wa umma.
Athari za uchawa ni bayana; kwakuzitaja chache ni uteuzi wa watu wenye sifa duni, upandishwaji vyeo watu wasio stahili, kushuka kwa...
Kuna bajeti imepitishwa hadi sasa ya kuunda Katiba mpya?
Bunge la chama kimoja liunde katiba?
Wabunge vilaza wamekalia uchawa tu kusifiasifia tu matumbo yajae
Mambo ya tume ya ccm kuchunguza ni kupoteza muda tu wananchi wanahitaji katiba mpya wataepata lini?
Katiba hakuna waweke wazi watu wajue
"Matumaini ya kupata katiba mpya ni makubwa sana kwa sababu serikali ya Samia Suluhu Hassan ina utashi wa kisiasa" - Waziri wa nchi katika ofisi ya waziri mkuu, sera, bunge na uratibu nchini Tanzania Prof. Palamagamba Kabudi akizungumza na mwandishi wa BBC
Nilimsikia Rais Samia akisema ataunda tume ya maridhiano nchini ya kuwaleta watanzania pamoja kabla ya kuanza mchakato wa kuandika Katiba mpya. Nimewasikia chadema wakisema hawatahusika wala kushiriki kwenye maridhiano. Kwa maoni yangu sioni namna chadema itakavyoshirikishwa kwenye kuandika...
Binafsi naamini kama mchakato wa katiba mwaka 2014 usingehujumiwa na makundi ya watu wahuni wanaonufaika na mfumo basi kuna mambo mengi ambayo yangetokea, aidha kwa bahati nzuri au mbaya na yangeleta faida na hasara pia. Mambo mengi yanayotokea leo hii 2026 msingi wake ni siasa za 2008-2015...
Ameyasema hayo wakati akiwasilisha Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025, tarehe 23 Aprili, 2026, Dar es Salaam ambapo Tume hiyo imetoa mapendekezo yake
Mapendekezo ya Tume ya Jaji Chande
Serikali kuweka...
Mwenyekiti wa Tume, Jaji Mohamed Chande Othman, amesema ni maoni ya Tume kwamba ni muhimu Katiba Mpya ipatikane ifikapo mwaka 2028 ili iweze kutumika katika uchaguzi ujao wa Serikali za Mitaa mwaka 2029 pamoja na Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2030.
"Maoni ya Tume kwamba ni muhimu Katiba Mpya ipatikane...
Wanabodi
Mimi mwenzenu mzee wa masauti wakati Watanzania na dunia tukiisubiri kwa shauku na hamu kubwa Ripoti ya Uchunguzi ya Jaji Chande, ambayo itaamua mustakabali mpya wa taifa letu la Tanzania.
Asubuhi hii, nimeisikia tena ile sauti ya "The Voices From Within", kwenye sauti hiyo...
Tanzania haitakuwa moja mpaka katiba mpya tena nzuri.
Katiba ikiwa na hawa machawa na mafisadi tutakuwa palepale. Inatakiwa katiba itengenezwe kwanza na wataalamu kwa kuzingatia kaya na uchumi wa taifa ndiyo wapewe wanasiasa. Hawa brain zero wabunge na machawa hakuna kitu hapa tutapata madudu...
Utekelezaji huu umeanza wakati wa Magufuli. Watendaji wachache wa usalama wa taifa, Polisi na Jeshi walianza kusikilizwa na viongozi na kuambiwa kwamba huko mbele watakuja kushidwa na vyama pinzani na njia pekee ni kutumia dolla.
Bila kujua madhara yake Magufuli alijali zaidi madaraka yake...
Ibrahim Lipumba ataka Serikali ya Mpito kusimamia Maridhiano na Katiba Mpya. Aikataa tume ya Chande.
Lipumba amesema Tume ya Chande ilienda kufanya kazi ambayo majibu yashatoka.
Amesema Mama Samia alisema watu walipewa fedha, Watu walitaka kupundua Serikali nk. Sasa kama chanzo cha vurugu...
Italifaa vipi taifa letu kuwa na maridhiano na Lissu akawa nje bila kuwa na katiba mpya?
Tunapaswq kuwa na katiba ambayo Rais akitumia vobaya madaraka yake kwa manufaa yake,. rafiki zake na ndugu yake aweze kuwajibishwa.
Hata kama Lissu atatoka na kuwa huru. Lakini kama hatuna katiba ambayo...
Mbunge wa Bunda Mjini, Ester Bulaya amesema Watanzania watapata Katiba mpya ndani ya miaka mitano
"Katika Ilani ya CCM ndani ya miaka hii mitano ya awamu ya sita Watanzania watapata katiba Mpya na ukimwangalia anavyozungumzia suala la Katiba Mpya Rais Samia amemaanisha ndio maana katika Ilani...
Kwa kilichotokea kabla wakati na baada ya uchaguzi ni dhahiri shahiri sisi jamii ya kiafrika tunachangamoto ya kimsingi.
Namna hii mifumo ya uongozi ilikosea inakosea na inaendelea kukosea na cha kusikitisha zaidi kama sio kushangaza wanajitetea/jisafisha/jificha katika makosa yao.
Katika hali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.