katiba mpya

  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ally Hapi: CHADEMA kila siku Katiba Mpya, Katiba Mpya inatuletea Ugali mezani? Wananchi wanataka hoja, siyo malalamiko

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM Taifa, Ally Salum Hapi akiwa Shinyanga Juni 4, 2026 amesema; "Chama chenye sera nzuri, ni chama cha Mapinduzi. Wamepewa fursa ya kusema, waitumie fursa hiyo kusema. Lakini sasa saa nyingine mnashangaa, kila wakizungumza hawasemi shida za wakulima...
  2. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Heche: Tutakwenda Kila Wilaya, Wasipotusikiliza Tutaitisha Maandamano nchi nzima hadi mtoto atatoka na tutakiwasha vibaya sana

    Makamu Mwenyekiti wa Chadema amesema watafanya mikutano kila Wilaya nchi nzima na kama serikali isipowasikiliza wataitisha maandamano nchi nzima na watakiwasha sana siku hiyo. Tulisema no reforms na tulisimama hapo na sasa hivi tunawaambia tunataka katiba mpya, tunataka katiba mpya. Tunazunguka...
  3. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Prof. Mkumbo: Mchakato wa Katiba Mpya utaendelezwa ulipoishia

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo katika Mkutano wa Tume ya Taifa ya Mipango na Waandishi wa Hanari kuhusu Maelezo ya Utekelezaji wa DIRA2050, Ikulu Dar es Salaam 31 Mei, 2025 amesema; "Ndio maana umeona kwenye dira, kwenye mpango mrefu, na hata kwenye...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Katiba mpya si mali ya Chama chochote cha Siasa bali ni mali ya Wananchi

    Ambagile anasema kuwa anaona itakuwa ngumu sana kupata katiba mpya kwa sababu anaona vyama vya siasa vimeanza kugombea agenda kuwa hiyo agenda ya Katiba ni ya chama fulani, anasema Katiba mpya ni ya Watanzania na Si ya CCM, CHADEMA, Waislam, Wakristo, Simba au Yanga. Anasema ni kama tunaanza...
  5. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Kahama: CHADEMA yaunguruma, Moto wa Katiba mpya wasambaa kila mahali, Maelfu ya Wananchi Wafurika, viwanja vyazidiwa

    Bila kujali Mauaji ya Octoba 29, Wakazi wa Kahama wamefurika kuwasikiliza viongozi wa Chadema kwenye kampeni kabambe ya Katiba mpya na Free Lissu Kama kawaida Mimi mtumishi wenu nitakuwepo kuwaletea uhondo Usiondoke JF https://www.youtube.com/watch?v=B1Ygb_BQNMc
  6. U

    JamiiForums Tanzania Dangote aipongeza Serikali kwa kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji, pamoja na kutatua changamoto za wawekezaji

    #HABARI Mwenyekiti na Mtendaji Mkuu wa Dangote Group, Alhaji Aliko Dangote, ameipongeza Serikali kwa kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji, pamoja na kutatua changamoto za wawekezaji nchini. Katika taarifa iliyotolewa na Ikulu ya Tanzania baada ya Mfanyabiashara huyo kufanya mazungumzo...
  7. R

    JamiiForums Tanzania Katoro Geita imeitika Wimbo wa Katiba mpya

    Hawajasombwa na wametangaziwa siku moja, wamefurika.
  8. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Tujiandae kwa Maridhiano ya Amani kitaifa, Kuelekea Mchakato wa Katiba Mpya

    My friends, ladies and gentlemen, Sote ni mashuhuda kwamba, hivi sasa amani na utulivu wa nchi yetu kisiasa, kijamii na kiuchumi tangu tumalize uchaguzi mkuu wa kihistoria Oct.29.2025, unaendelea kuimarika na kushamiri vyema sana, na hiyo inatoa nafasi na fursa kwetu sisi sote kama familia ya...
  9. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Ni hoja ya isiyofaa kupendekeza rais Samia aongezewe muda kukaa madarakani kwa sababu ya katiba mpya.

    Kwanza mpaka sasa hivi kama alivyosema Mzee Warioba alipigiwa kura na Tume ya uchaguzi ya Jaji Mwambegete sio wanannchi. Mchakato wa katiba mpya upo tayari maana rasimu ya warioba tayayri ilishaweka kile ambacho watanzania wanakihitaji. Yaani katiba ambayo itakidhi mahitaji ya Watanzania. Ambao...
  10. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Katiba mpya imuongezee Dr. Samia Suluhu walau miaka minne 4 ya ziada ili asimamie utekelezaji wake kabla ya Rais mpya kuingia madarakani

    Hii itaongeza utulivu zaidi wa kitaifa na kuepusha usumbufu wa kikatiba kwa Rais mpya atakaeshika hatamu baada ya Dr.Samia kumaliza kipindi cha mpito kusimamia utekelezaji wa matumizi ya katiba mpya hiyo. Napendekeza Dr.Samia Suluhu Hassan ang'atuke 2034, baada ya kutupatia katiba mpya na...
  11. O

    JamiiForums Tanzania Kuna dalili za kutaka kumwongezea muhula wa tatu katika Katiba Mpya ya mwaka 2028 ili kukwepa uwajibikaji baadaye

    Wameanza kutest mitambo. ============== Baadhi ya wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wamependekeza kufanyika kwa marekebisho ya Katiba ya Zanzibar ili kumpa nafasi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, kuendelea kuiongoza Zanzibar zaidi ya ukomo wa mihula...
  12. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Rais Samia hana washauri? Habari ya kupata Katiba Mpya inahitaji elimu ya miaka mitatu inatoka wapi? Tume ya Jaji Kisanga na rasimu ya Jaji Warioba?

    Nimeshangaa kusikia anasema eti ili mabadiliko ya katiba mpya wananchi wanatakiwa kupata elimu kwa miaka mitatu . Wajue nini kinafaa ndani ya katiba hii ya sasa na nini hakifai. Iliundwa tume ya Jaji Kisanga mwaka 1998 ikakisanya maoni ya Wananchi kupitia White paper. Serikali ya CCM chini ya...
  13. W

    JamiiForums Tanzania Salum Mwalimu: Hatutaki Ajenda ya Katiba Mpya na Utekaji iwe ya kudumu. Tunataka ziishe

    Katibu Mkuu wa CHAUMMA Salum Mwalimu akizungumza Mei 7, 2026 amesema kuwa Msimamo wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) hakitaki masuala ya Katiba Mpya na Utekaji yaendelee kuwa ajenda za kudumu za kisiasa nchini Tanzania. "Pengine huo ndio mtihani ambao tumekuwa tukiupitia vyama vya...
  14. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Katiba mpya haina maana kwenye watu wenye fikra za zamani za Giza/potofu

    Hamjambo Wote! 1. Fikiria watu wasioweza kuishi sehemu safi, wanatupa takataka hovyohovyo, Akitokea Bwana/Bibi afya mkali anachukiwa n kuwekewa zengwe aondolewe. 2. Nenda pale Kariakoo au Karume au soko lolote Tanzania. Bei ya kitu ni 50k na faida ipo ndani ya hiyo elfu 50 lakini utaambiwa...
  15. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania Uchawa ni mfumo, bila Katiba mpya hauwezi kuisha

    Kama kuna jambo kwa sasa ambalo kama Taifa tunakubaliana, ni kuwa UCHAWA ndilo tatizo linalokua kwa kasi zaidi katika siasa zetu na sekta ya utumishi wa umma. Athari za uchawa ni bayana; kwakuzitaja chache ni uteuzi wa watu wenye sifa duni, upandishwaji vyeo watu wasio stahili, kushuka kwa...
  16. Think2

    JamiiForums Tanzania Kwa haya yanayoendelea nchini unategemea kuna Katiba mpya?

    Kuna bajeti imepitishwa hadi sasa ya kuunda Katiba mpya? Bunge la chama kimoja liunde katiba? Wabunge vilaza wamekalia uchawa tu kusifiasifia tu matumbo yajae Mambo ya tume ya ccm kuchunguza ni kupoteza muda tu wananchi wanahitaji katiba mpya wataepata lini? Katiba hakuna waweke wazi watu wajue
  17. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania Prof Kabudi: Matumaini ya kupata katiba mpya ni makubwa sana kwa sababu serikali ya Samia ina utashi wa kisiasa

    "Matumaini ya kupata katiba mpya ni makubwa sana kwa sababu serikali ya Samia Suluhu Hassan ina utashi wa kisiasa" - Waziri wa nchi katika ofisi ya waziri mkuu, sera, bunge na uratibu nchini Tanzania Prof. Palamagamba Kabudi akizungumza na mwandishi wa BBC
  18. kavulata

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wakisusia maridhiano watasusia na vikao vya kuandika Katiba Mpya?

    Nilimsikia Rais Samia akisema ataunda tume ya maridhiano nchini ya kuwaleta watanzania pamoja kabla ya kuanza mchakato wa kuandika Katiba mpya. Nimewasikia chadema wakisema hawatahusika wala kushiriki kwenye maridhiano. Kwa maoni yangu sioni namna chadema itakavyoshirikishwa kwenye kuandika...
  19. MALCOM LUMUMBA

    JamiiForums Tanzania Mchakato wa Katiba: Miaka 12 imepita kina nani walikuwa vinara wa kuhujumu katiba ya Warioba ?

    Binafsi naamini kama mchakato wa katiba mwaka 2014 usingehujumiwa na makundi ya watu wahuni wanaonufaika na mfumo basi kuna mambo mengi ambayo yangetokea, aidha kwa bahati nzuri au mbaya na yangeleta faida na hasara pia. Mambo mengi yanayotokea leo hii 2026 msingi wake ni siasa za 2008-2015...
  20. McLaren

    JamiiForums Tanzania Jaji Chande: Katiba Mpya ipatikane hadi ifikapo 2028. Uchaguzi wa 2030 tuwe na Katiba Mpya

    Ameyasema hayo wakati akiwasilisha Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025, tarehe 23 Aprili, 2026, Dar es Salaam ambapo Tume hiyo imetoa mapendekezo yake Mapendekezo ya Tume ya Jaji Chande Serikali kuweka...
Back
Top Bottom