kike

The word kike () is an ethnic slur for a Jew.

View More On Wikipedia.org
  1. Mshana Jr

    ⚡ Gubu la Kike; Uhusiano Siyo Vita! ⚡

    Katika miondoko ya pwani, wazee wetu husema: "Mwanamke ni siri ya nyumba, siyo dhoruba ya bahari." Lakini unajua maana halisi ya gubu la kike? Ni ile tabia ya mwanamke kugeuza nyumba kuwa uwanja wa mapambano. Kila kidogo kelele, kila unachofanya hakifai, na maneno ya dhihaka yanatoka kama...
  2. Jaji Mfawidhi

    Suari za Kike zinachora “V” , Je wanaume huwaza nini?

    Wanawake tunapovaa Suruali, hapa mbele hujichora alama ya “V”. Je, wanaume huwaza kitu gani? Iwapo sisi tukiona zipu zao za suruali ni ndefu tunapata mawazo na msisimko je wao wakiona mchoro wacha tu zile pajama huwaza nini? Tuwaache na shida zao tusijali au turudi kuvaa sketi na undersketi...
  3. Masweeter

    Kulea mtoto wa kiume ni ngumu kuliko wa kike,

    Tuwe makin sana Kwakuwa mmmm watoto wanaharibika sana hasa wa kiume wanaokulia pwani na dar
  4. M

    Jinsi Marekani ilivyogundua kuwa Imeingia cha kike kweny MoU na Iran na jinsi ilivyoanza kuivunja MoU yenyewe

    Kwa kweli vita hii ya Iran na Marekani imetuonyesha kuwa Marekani siyo nchi ya kuiamni hata kidogo hata mkiingia nayo Makubaliano. Hazikupita hata wiki mbili tangu Marekani na Iran wawekeane wafanye makubaliano lakini Marekani tayari keshaanza kutoheshimu makubaliano. Hebu kwanza tuone...
  5. de Gunner

    Hivi kuna msanii wa kike Afrika anayemzidi Tems?

    She's ma favorite artist.. The first time nasikiliza wimbo wake.. Essence I was in awe! It was pure art, in its essence ngoma ya essence ilikuwa essential.. Ni mwanamziki asiyependa Kiki but ana Grammy yake mkononi. Hama makuu, polite hapendi Kiki, ni yeye na kazi tuu I love tems, till I die...
  6. wa stendi

    Sitokaa nihudhurie tena kwenye harusi ya dada au ndugu wa karibu upande wa kike

    Nineumia sana kuona dadangu anashikwa shikwa trako na kuchezewa mbele yetu ma kaka na wazazi ukumbini kisa wanacheza mziki wa bluez. Japo dada yetu katuheshimisha kutuletea shemela lakini binafsi nimeumia. Yaani baada ya kula na kunywa tukiwa ukumbini kuna mda kukawa hakuna shamra shamra...
  7. Mbabani

    Kwenu wazazi wenye watoto wa kike

    Wazazi kuna jambo ambalo inabidi leo mlielewe ama mlizingatie wakati wa kuozesha binti zenu. Kuna kasumba ya kutajiana mahari kubwa halafu mnaanza kuvutana kama vile mnauziana bidhaa. Sasa ni hivi mnapotaja mahari za watoto wenu muwe mna uhakika zinaendana na thamani ya binti yako, usitaje...
  8. Jaji Mfawidhi

    Midoli ya kike iliyo uchi ipigwe marufuku Sinza na Kariakoo!

    Midoli ya kike yenye kuonyesha viungo vya uzazi vya mbele na vya haja kubwa imekuwa ikizagaa madukani na kuvalishwa chupi na mingine sidiria pasi na kusahau shanga! Midoli hiyo pia ambayo ipo uchi imekuwa ikiacha maziwa yaliyosimama yakiwa wazi, huku watu wa jinsia zote wakijione pasi na...
  9. D

    Kagame alishangaa unawezaje kuua watu ambao kimsingi unapaswa kuwalinda ili kupata madaraka?

    Museveni aliyempa maharamia ya kuja kuua watoto wa Tanganyika yeye alimaliza Uchaguzi uliokuwa na mikiki mikiki yote lakini hakuua hata mbu. Kagame alishangaa unawezaje kuua watu ambao kimsingi unapaswa kuwalinda ili kupata madaraka? Na ndiyo sababu yeye na vijana wadogo wa Rwanda nyakati hizo...
  10. X

    Kuna tabia ya kike imeingia miongoni mwa wanaume kulala kwenye vitanda vya kike

    Hii tabia imekaa kiupinde sana unakuta mwanaume kabisa ananua kitanda eti bed sofa WTF! Kihalisi kitanda cha kiume ni cha mbao, imeshindikana kabisa basi kiwe cha chuma kisicho na urembo wa sofa. Hivi vitanda vimekaa kikike na vinapendwa na wanawake
  11. Carlos The Jackal

    Hata yule Mfungwa wa Kike kumbe naye ni ASKARI !! Haya Majama yanayomzunguka Samia ni Majinga ,yanafanana Kila kitu

  12. Nelson Kileo

    HATARI ! sasa mtoto wa Kiume analindwa kwenye malezi kulliko mtoto wa Kike

    Katika dunia ya sasa, watoto wa kiume nao wanahitaji uangalizi na malezi ya karibu kama watoto wa kike. Changamoto za maisha, makundi mabaya, na ushawishi wa mitandao vinaweza kuwaathiri kirahisi. Malezi bora, maadili, na muda wa wazazi kwa watoto wao ni muhimu kwa kila mtoto bila kujali jinsia...
  13. L

    Wanafunzi wa kike nchini Tanzania wafuata ndoto zao kwa kujifunza lugha ya Kichina

    Shule ya Sekondari Zanaki jijini Dar es Salaam, shule ya wasichana inayomilikiwa na serikali ya Tanzania, mwanafunzi wa kike anayeitwa Rosemary Thadei Mushi anasimama mbele ya wanafunzi wenzake, akiwaongoza kwa umakini jinsi ya kutamka maneno ya Kichina kwa kufuata lafudhi sahihi. Katika...
  14. Richard

    Filamu ya Spy X wengi wamejiuliza kwanini mchezaji wake wa kike Anya hupenda sana kula karanga. Na Anya akiri kupenda karanga zaidi kuliko karoti

    https://www.youtube.com/watch?v=wuuDdOeI--k "X Spy Family" ni filamu nzuri ya watoto na ina mhusika mkuu mmoja aitwae Anya ambae katika vyakula vyote avipendavo huwa hakosi Karanga. Haijulikani hadi leo sababu kubwa ya Anya kupenda mno kitafunwa hicho maarufu cha karanga. Jana nilimwona mmoja...
  15. Pascal Mayalla

    Acheni Wivu wa Kike!, Kumuonea Wivu Mwenye Kismat, Mwenye Nacho, Anaongezewa!. Huu Ubunge Tuu, Kelele Hivi!, Atakapokuwa Waziri, Mtafura Kujinyonga?.

    Wanabodi, Hili ni bandiko la kuwaomba Watanzania tuacheni kuwa na wivu wa kike!, kumuonea wivu mtu mwenye nyota yake, bahati yake, kismeti chake, ambaye pia ni mwenye nacho, anapoongezewa!. Aliyesema mwenye nacho ataongezewa sio mimi ni YEYE mwenyewe ndiye aliyesema "mwenye nacho ataongezewa"...
  16. MEGATRONE

    Nahitaji Mfamasia ngazi ya degree

    Habari nahitaji Mfamasia Ngazi ya Degree! Aliye tayari tuwasiliane: Contact: 0672473087
  17. K

    Hivi ni sahihi mtoto wa kike kumfumania Mzee wake tena kwa yowee kuita watu washuhudie?

    Kuna tukio nimekutana nalo maeneo fulani eti binti kamfumania Baba yake tena anapiga mayowee watu wajae washuhudie akijua anamkomesha baba yake kumtia aibu kingine eti anapambania ndoa ya Mama yake. Nikajiuliza vipi kimaadili hili jambo limekaa sawa kweli? au tuishi kiutandawazi kuitikia mapokeo?
  18. Dr leader

    Tangazo la kupotea kwa Mtoto wa kike

    ⚠️ TAARIFA YA MTOTO ALIYEPOTEA ⚠️ Tunaomba msaada wa wananchi wote. Mtoto anayeitwa EDITHA ERICK ameripotiwa kupotea tangu juzi saa 1 usiku na mpaka sasa bado hajapatikana. 📍 Maeneo aliyopotelea: Wilaya ya Hai, Kata ya Bomang'ombe. Kwa yeyote atakayemuona au kuwa na taarifa zozote zinazoweza...
  19. SirAlfred006

    Ukweli kuhusu ubikira wa kike

    DEAR MEN, A VIRGIN GIRL MAY NOT BLEED ON THE FIRST DAY OF SEX. NO. SHE DIDN'T LIE TO YOU. READ. SHARE. REPOST. Walk with me, Men. The Hymen and Other Heavy Myths: A Small Tissue, a Large Silence As a gynaecologist, let me speak gently, and slowly, and clearly about the hymen, because...
  20. Pakome

    Sio kweli kuwa Fisi mmoja ana jinsia mbili, fahamu ukweli kuhusiana na mkanganyiko huu

    Mkanganyiko huu unasababishwa na Fisi Jike Maumbile ya Fisi Jike Fisi jike ana kisimi kirefu kinachoitwa pseudo-penis ambacho kinafanana sana na uume wa dume. Pia, midomo yake ya uke imejishika na kutengeneza mfuko unaofanana na korodani (pseudo-scrotum) Uzazi Licha ya kuwa na maumbile...
Back
Top Bottom