January is the first month of the year in the Julian and Gregorian calendars and the first of seven months to have a length of 31 days. The first day of the month is known as New Year's Day. It is, on average, the coldest month of the year within most of the Northern Hemisphere (where it is the second month of winter) and the warmest month of the year within most of the Southern Hemisphere (where it is the second month of summer). In the Southern hemisphere, January is the seasonal equivalent of July in the Northern hemisphere and vice versa.
Ancient Roman observances during this month include Cervula and Juvenalia, celebrated January 1, as well as one of three Agonalia, celebrated January 9, and Carmentalia, celebrated January 11. These dates do not correspond to the modern Gregorian calendar.
Januari na Nape kuondolewa sio faraja kabisa kuelekea Uchaguzi,
Hivyo tutafakari ya mwaka 2015 walio yafanya tunaweza kujiuliza ni kweli wameondolewa au watanzania wamefanyiwa kiini macho,
Hao vijana ni hatari sana mfumo unaweza kuwa unahadaa umma sio rahisi kihivyo kabisa katikati ya nyakati...
Kwenye nchi masikini watu smart huwa hawapewei nafasi ya Ku-shine hata siku moja.
That is way umeondolewa kisa una wa-out smart viongozi.
You deserve to be PRESIDENT
At ur Age 49 bado naamini utalisaidia TAIFA letu.
Watanzania wakijua umewazidi AKILI watakuponda sana
Bora uwazidi PESA na mali .
Sina uhakika ila kila nikiwaza naona kama matrix inaegemea kwa Makamba Junior.
JK, Luten Makamba na Luten Nauye wazazi wa Ridhiwan, January na Nape. Wazazi wamekuwa wote pale Chuo cha Jeshi Monduli na Mzee Kinana.
January personal secretary wa Rais Jakaya, mbio za Urais 2015 kaingia tatu bora...
Raia wengi wa Kenya katika mitandao ya kijamii hasa ule wa X wameonekana 'kumgeuka' mgombea wao wa nyumbani Raila Odinga na badala yake sasa wanamuunga mkono January Makamba kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika(AU).
Katika taarifa inayosambaa mitandaoni, Wakenya wanadai kuwa wamuzi wao...
Wizara imetulia, mambo yanafanyika vizuri kwa maneno na matendo. diaspora na wafanya biashara kimataifa kwa ujumla wao, wanakubali kazi na jitihada za wizara kupitia Waziri huyu kijana na mbunge wa Jimbo la bumbuli mh.January Makamba..
Mchango wa Tanzania kwenye forums mbalimbali duniani...
Waziri huyu kila wizara aitumikiayo huja na maono endelevu na kuacha alama.
Alipokuwa nishati alibuni mambo mengi ikiwa ni pamoja na ugavi wa mitungi ya gesi bure. Gesi ikiisha ni lazima baadhi ya wagaiwa watanunua tena hata ikiwa hawakuwa na utamaduni wa kutumia gesi.
Sasa akiwa waziri wa nje...
Hali ilivyo barabara ya Tambani Mkuranga inayopita Mbande (Temeke) kwenda Kitonga(Ilala) tangu mwezi wa 1 haina marekebisho wala haipitiki na imekatika kabisa. TARURA Mkuranga na Mkurugenzi wa Mkuranga mmekaa kimya.
Uzi huu nauandika nikiwa nimebanwa nkaa kwenye mwendokasi. Na nimepanda mwendokasi kwa sababu sina jinsi maana route ya daladala iliuawa kutokea town centre kuelekea Ubungo hadi Kimara.
Hivyo ndivyo maono yangu yanavyonituma.
Kwamba hiki kizazi cha akina Mwigulu, Nape, January, kamwe hakitakaa...
Ndio hivyo, madaraka koti la kuazima, nataraji ziara ya Nape na January Arusha. Thats politics.
Makonda ajiandae kukaa airport akimsubiri Nape na January
Baba na mwana katika hizi familia mbili za wapakwa mafuta zinatafakarisha.
UKimchukua January Makamba na mzee wake Yusuf ukaweweka kwenye mzani,Yusuf atamzidi January kwa umri tu,ni dhairi January alijifunza siasa kwa mzeewake na akampiku kila kitu,elimu,aiba nk.
Njoo kwa Rizwan ambaye...
11 March 2024
Kigali, Rwanda
Waziri January Makamba na ujumbe wake kutoka sekta za wizara za Uchukuzi, Biashara na Viwanda, TEHAMA, Kilimo, Nishati na maofisa pia wa mashirika ya umma.
Ziara ya rais Dr. Samia Hassan mwezi agosti 2021 nchini Rwanda imesaidia nchi hizi mbili jirani kufahamiana...
Nafanya business online, huu mwaka wa 2
Toka nimeanza kufanya haya mtokeo makubwa na mazuri niliyapata kwa Mara ya kwanza,
Ndani ya miezi 2 yaani December na January niliweza kupata 1M na shilingi Kazaa
TOA matumizi, bills, chakula n.k ndani ya hiyo miezi 2 nililipa na rent pia 120k ya miezi...
Ukweli lazima usemwe, kuna tatizo gani kutambua juhudi za hayati Magufuli kwenye mradi huu wa umeme (JNHP), hasa kwenye hotuba zenu?
Wazo lilikuwa la Mwalimu Nyerere akashindwa, awamu zilizofuata kuanzia ya pili mpaka ya NNE, hawakuwa na habari na mradi huo, waliupa kisogo.
Hayati Magufuli kwa...
Habari zenu wanaJF wenzangu,
Huyu mtu baada ya kushindwa kuiongoza wizara aliyopewa bure kutokana umaarufu wa baba yake huko chamani, na pia kushindwa kuisimamia vyema wizara ya mambo ya nje aliyohamishiwa, sasa kaamua kuja na mkakati wa kumchafua hayati Magufuli kwa lengo la kutrend katika...
Hello wadau,
I am currently residing abroad and find myself in need of assistance regarding an issue that falls under the the Minister of Foreign Affairs, January Makamba.
Therefore, I am kindly requesting any information or contacts that could lead me to reach out to him.
Your help would be...
Mh. January Makamba wakati anapewa wizara ya Nishati alitoka na swaga nyingi huku akituaminisha kwamba, amekuja na dawa ambayo mtangulizi wake Kalemani aliyekuwa waziri wa wizara hiyo kudai kwamba, alielekea kuharibu kabisa mitambo yote ya uzalishaji umeme
Yeye akadiriki kusema, kwa namna...
INVITATION FOR BID (IFB)
Bid No. GNTZ/HO/002/2024
FOR
PROCUREMENT OF SAMSUNG GALAXY A54 5G FOR SPONSORSHIP PROGRAMME, DATA MANAGEMENT AT GOOD NEIGHBORS TANZANIA.
Good Neighbors has set aside funds during the financial year 2024. It is intended that part of the proceeds of the fund will be...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.