lisu

The Lisu people (Lisu: ꓡꓲ‐ꓢꓴ ꓫꓵꓽ; Burmese: လီဆူလူမျိုး, [lìsʰù]; Chinese: 傈僳族; pinyin: Lìsù zú; Thai: ลีสู่) are a Tibeto-Burman ethnic group who inhabit mountainous regions of Myanmar (Burma), southwest China, Thailand, and the Indian state of Arunachal Pradesh.
About 730,000 Lisu live in Lijiang, Baoshan, Nujiang, Diqing and Dehong prefectures in Yunnan Province and Sichuan Province, China. The Lisu form one of the 56 ethnic groups officially recognized by China. In Myanmar, the Lisu are recognized as one of 135 ethnic groups and an estimated population of 600,000. Lisu live in the north of the country; Kachin State (Putao, Myitkyina, Danai, Waingmaw, Bhamo), Shan State, (Momeik), (Namhsan, Lashio, Hopang, and Kokang) and southern Shan State (Namsang, Loilem, Mongton) and, Sagaing Division (Katha and Khamti), Mandalay Division (Mogok and Pyin Oo Lwin). Approximately 55,000 live in Thailand, where they are one of the six main hill tribes. They mainly inhabit remote mountainous areas.The Lisu tribe consists of more than 58 different clans. Each family clan has its own name or surname. The biggest family clans well known among the tribe clans are Laemae pha, Bya pha, Thorne pha, Ngwa Pha(Ngwazah), Naw pha, Seu pha, Khaw pha. Most of the family names came from their own work as hunters in the primitive time. However, later, they adopted many Chinese family names. Their culture has traits shared with the Yi people or Nuosu (Lolo) culture.

View More On Wikipedia.org
  1. shonkoso

    JamiiForums Tanzania Je wajua kwa nini Kesi ya Lisu itaendelea tena tarehe 11 June,siku ambayo kombe la dunia linanza?

    Natamani kila Mtanzania aelewe namna ambavyo viongozi wetu wanatuchukulia Wanatuchukulia kama mazwazwa,mapwoyoyo flani yasiyotofautisha mambo serious na ishu extra yaani za burudani kama mpira. Siku Simba na Yanga wamecheza mpira tarehe Sikumbuki wa NBC premier league,tukiwa busy sijui na...
  2. R

    JamiiForums Tanzania USHAURI KWA RAIS SAMIA: To soften the International stance against you and your cronies, mwachie Lisu bila masharti

    Pamoja na kuwa bado utakuwa na kibarua kigumu kuhusu yaliyotokea October 29th 2025, bado unaweza kuonesha remorse and a road to a fresh start kwa yaliyotokea 29th October 2025 kwa kumwachia Lisu as a good gesture to a road to truth, accountability and finally reconciliation. Hao wanaokushauri...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Nembo ya kumuunga Mkono Lissu ni hii: Hakuna kuchana wala kunyoa nywele mpaka lisu aachiwe

    Hakuna KUCHANA wala KUNYOA nywele mpaka Lisu aachiwe! Wote wapiganaji kuanzia sasa mpaka hapo atakapo achiwa LISU ndiyo mtindo wa kutunza Nywele. HAKUNA KUCHANA WALA KUNYOA NYWELE KICHWANI.
  4. R

    JamiiForums Tanzania Rachel Dangwa anaomba: Free Polepole ijumuishe kwenye slogan ya Chadema ya Free Tundu Lisu

    Ni ombi lake ingawa Polepole was an accomplice to whatever cruelty done during Magufuli era! Tunafanyaje. Weka maoni yako.
  5. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Anae lengwa kuumizwa zaidi kwenye vita inayoendelea ndani ya uongozi wa Chadema taifa ni Tundu Lissu au Chadema kama taasisi?

    Maana mivutano ni mkali sana ndani ya Chadema taifa kwasasa baina ya wanaotaka Lissu atoke korokoroni dhidi ya wale wanaotaka Lissu aendelee kusota korokoroni. Je, unadhani vita hii inalenga kumuadhibu lisu kisaikolojia akiwa korokoroni au kuidhoofisha chadema kama taasisi?🐒 Mungu Ibariki Tanzania
  6. R

    JamiiForums Tanzania Chemsha Bongo: Kati ya Tundu Lisu na Sinde Warioba nani, Mungu akitenda muujiza, nani awe Rais?

    SWALI ni hilo hapo juu. Maana chungu kimeishiwa kabisa , sana sana uchaguzi ni hao wawili
  7. H

    JamiiForums Tanzania Nikiyaangalia Maisha ya Lisu, Nikitafakari na Neno la Kristo: "Hakuna Upendo Unaozidi wa Mtu Kuutoa Uhai Wake Kwaajili ya Rafiki zake

    Kila mwenye akili timamu, mkweli wa nafsi, hawezi kuacha kukiri kuwa tangu taifa hili liwepo, hakujawahi kutokea mtu mwenye msimamo ulionyoka wa kutetea haki, zaidi ya TUNDU ANTIPASI LISU. Mtu huyu ni wa pekee sana. Mtu huyu wakati wote, historia yale imepambwa na moyo wa kutetea haki, na...
  8. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Kama Tundu Lisu atakufa na Msimamo wake. Atakuwa ndiye mtanzania shujaa wa muda wote Akifuatiwa na Magufuli. Hao watu hakuna anayesogea Kwa ukaribu

    Habari za Sabato! 1. Bado tunafuatilia mambo yanavyoendelea. 2. Shujaa na Legendary ni Yule mwenye msimamo wa Haki, mwenye uwezo wa kujitoa maisha yake kwaajili ya msimamo wake na kupigania Haki na Ukweli. 3. Si hivyo tuu. Shujaa na legendary katika level ya kitaifa ni Yule ambaye alionyesha...
  9. R

    JamiiForums Tanzania Kuchelewa kusikilizwa kwa kesinya Tundu Lisu: hii inaweza kuwa sababu?

    Kuna mtindo ambao amekuja nao Masaju, VJ kuwa kesi za Court of appeal zisikilizwe kwa mtindi wa sessions. Ikiwa na maana kuwa session inaweza kuwa ya civil, criminal, matrimonial ???(Sina uhakika kama na hii ni civil kwa mtindo wa mahakama)etc. Ukipitia TanzLII, utaina kuwa judgements zote za...
  10. shonkoso

    JamiiForums Tanzania Je,Wajua kuwa ipo Siku Lissu atasomwa shuleni kama shujaa, kama vile ilivyo kwa akina Mkwawa?

    Hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha,ndo ninavyoweza kusema kwani hata kipindi akina Nyelele wanapigania uhuru baadhi ya Watanganyika waliwaona kama wana fujo kwani walikuwa wananufaika na uwepo wa wazungu. Ipo siku Mwamba huyu mwenye akiri kubwa hata ya kuweza kusoma report nchi nzima badala ya...
  11. October 2pm

    JamiiForums Tanzania Vijana Chadema Lissu hajajisalimisha na hatajisalimisha

    Hahahaha! Hii ndio yenewe mayi! Wanaachia usuzi wanusa wenyewe. Heheee! Na bado. Mwajua jinsi Lisu ako. Hawezi muinamia mapembelosi. Waache wacheze Ngoma yao menyewe. Ukombozi uko pale. Na bado MTU wao Siku sio nyingi anapanda anga la mbali na akiwa na NASA. Dadeki. Soma hiyooo
  12. R

    JamiiForums Tanzania Kwako Godbless Lema: Kutana na Lisu kujua kama kweli Lisu alimtuma kusema aliyosema

    Tafuta any means kutembelea Lisu kupata ukweli wa alichokisema Lisu! Inaonekana Kisabo anataka kuleta ushenzi! Tafuta any means kujua ukweli wa Lisu!
  13. P

    JamiiForums Tanzania Anayesema Lissu ni msaliti aende akafungwe yeye badala yake

    Napita mitandaoni nasikia wanasema kamanda n msaliti sasa kama n msaliti wala haina shida Basi aende yeye AKAFUNGWE had hapo haki itakapo patikana Hiv LISU harakat hz ameanza Leo mmesahau Zile risasi alizopigwa akiipigania nchi Leo hamuoni haya Mtu yupo kwake familia yake inafuraha anataka...
  14. USSR

    JamiiForums Tanzania Yerico Nyerere: Jela sio sehemu salama, hakuna aliyekaa jela akabaki na msimamo wake uleule

    Jela sio sehemu salama, hakuna aliyekaa jela akabaki na msimamo wake uleule, Nampongeza Lissu kwakubadili msimamo wake na kuomba sasa maridhiano ya mezani, Ukikomaa utafia jela ndugu….. Waulize wapinzani wengine Afrika kilichowakuta. Yuko mtu kwasababu ya uelewa mdogo anaamini kuwa Marekani na...
  15. R

    JamiiForums Tanzania CHADEMA diaspora seeks talks with Donald Trump and rights bodies over alleged abuses in Tanzania and the release of Tundu Lissu

    Look for any alternatives to secure release of Tundu Lisu and thereafter other issues of democracy in Tanzania to follow such as Katiba Mpya, Tume Huru ya Uchaguzi and many others. Finally to bring to justice those involved in October 29th 2025 massacre of innocent Tanganyikans Najua meeting...
  16. R

    JamiiForums Tanzania Jaji Mkuu Masaju usikubali ushetani, maliza kesi ya Lisu kwa haki. Heshima yako itasimama milele kwa jinsi ulivyo handle kesi ya Lisu

    Itende HAKI na HAKI itakutenda Milele. Ikatae pressure ya Executive, tenda Haki na nenda zako, usisubiri shukrani au cheo toka Executive. Mtendee Lisu HAKI NA WALA SI UPENDELEO Siku 40 or so kweli CoA haiwezi kukaa na kutolea maamuzi pingamizi la serikali? Muhukumuni kwa haki hata kama...
  17. R

    JamiiForums Tanzania Heche kuna nini kinaendelea garezani Ukonga. Is Lisu safe/ alive?

    Gwajima amesema kuhusu Lisu katika mahubiri yake leo. Kuna taarifa inasambaa kuhusu Lisu. Is Lisu still alive? Is he living? Or at the blink of death!
  18. R

    JamiiForums Tanzania Kilio na sala ya Lissu toka Ukonga: Watanzania mmelala? Mimi sijalala

    Watanzania, mmelala? Mimi sijalala hadi sasa! Hii si leo, hii si kesho – hii ni vita ya maisha na uhai wangu! Niko hapa peke yangu, njaa inaungua ndani yangu, sina chochote kinywani, wala sijui nini kinachoendelea kuhusu hatima yangu! Mimi si jambazi, si gaidi. Kama ni hivyo, nipelekeni mbele ya...
  19. R

    JamiiForums Tanzania Pole Mr. Lissu, Mungu yupo nawe

    From X Umetimiza siku 340 leo Gerezani. Aliyekubambikiza kesi ya UONGO yuko busy kufanya maigizo ya kuasili watoto huku mtaani ili aonekane ana upendo kwenye macho ya dunia. Uzuri ni kwamba historia haidanganyi. IKO SIKU!.
  20. a sinner saved by Christ

    JamiiForums Tanzania Lissu ana nguvu ya kiroho nyuma yake isiyo ya kawaida

    NGUVU HIYO KUBWA YA KIROHO ILIYO NYUMA YAKE NDIYO INAYOMSUKUMA. 1) Kupenda kusimamia HAKI na UKWELI ,kiu ya kuona utawala wa HAKI na USAWA kwa misingi ya sheria na katiba. 2) Kupenda kuona masikini na wanyonge wanasaidiwa kupata HAKI zao,nimepata shuhuda za watu aliowasaidia msaada wa...
Back
Top Bottom