ngorongoro

  1. D

    JamiiForums Tanzania Top 5 Reasons to Visit Ngorongoro Crater on Tanzania Safaris

    Experience the top 5 reasons to visit Ngorongoro Crater on Tanzania safaris, from the Big Five to stunning crater views and flamingo filled lakes. Ngorongoro Crater is one of the most incredible places on earth. This massive volcanic caldera is about 19 kilometers wide and 600 meters deep...
  2. R

    JamiiForums Tanzania Sinza kujengwa upya. Wamiliki waibua maswali

    Just for curiosity: Wamiliki watahamishwa kwenda " Msovera" au watalipwa kupisha wajomba toka Arabuni? Wakati Serikali ikibainisha mpango mpya wa 2026/2046 wa kuliendeleza eneo lote la Sinza jijini Dar es Salaam, wamiliki wa nyumba katika eneo hilo wamehoji ni wapi watakwenda kuishi mpango huo...
  3. E

    JamiiForums Tanzania Taasisi 14 zapinga ripoti za Tume za Rais kuhusu Ngorongoro, Loliondo

    Mtandao wa asasi za kiraia na watetetezi wa haki za binadamu Tanzania umekosoa matokeo ya ripoti zilizotolewa na tume mbili za Rais zilizoundwa kutathmini masuala ya mgogoro wa ardhi na utekelezaji wa zoezi la uhamaji wa hiari wa wakazi kutoka eneo la Hifadhi ya Ngorongoro, zikisema tume hizo...
  4. figganigga

    JamiiForums Tanzania Ngorongoro: Kabaney Mojah, Diwani wa ACT Wazalendo kata ya Oldonyo Sambu, atimkia CCM

    Diwani wa Kata ya Oldonyo Sambu, Wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha kupitia ACT Wazalendo, Kabaney K. Mojah, ametangaza kujivua udiwani na uanachama wa chama hicho kuanzia leo Jumatano, Aprili 15, 2025, na kujiunga Chama Cha Mapinduzi (CCM). Mojah ametangaza uamuzi huo jijini Arusha alipokuwa...
  5. Parabolic

    JamiiForums Tanzania Tafakuri kuhusu matokeo ya Tume za Rais zilizochunguza mgogoro wa ardhi, uhamaji katika Eneo la Hifadhi Ngorongoro

    Machi 12, 2026 Rais Samia Suluhu, alipokea taarifa ya Tume za Rais alizoziunda kutathmini masuala ya mgogoro wa ardhi na utekelezaji wa zoezi la uhamaji wa hiari wa wakazi kutoka eneo la Hifadhi ya Ngorongoro, Ikulu Chamwino, Dodoma. Soma: Rais Samia apokea taarifa ya Tume za Rais kuhusu...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Presidential Commission Report on Land Issues in Ngorongoro District

    Date of Presentation: March 12, 2026 Executive Summary This report outlines the findings and recommendations of the Presidential Commission tasked with assessing ongoing land disputes and conservation challenges in the Ngorongoro District. The assessment focused on three primary protected...
  7. M

    JamiiForums Tanzania The Ngorongoro Relocation Evaluation Report by the Chairman of the Presidential Commission

    This is a summary of a speech by Eng. Musa Iyombe, Chairman of the Presidential Commission evaluating the voluntary relocation of Ngorongoro Conservation Area (NCA) residents to designated areas like Msomera, Kitwai B, and Saunyi. While the government's decision to relocate residents to protect...
  8. E

    JamiiForums Tanzania Jukwaa la Kutetea Wamasai Lapinga Ripoti za Tume za Rais Kuhusu Ngorongoro

    Jukwaa la kimataifa la kutetea haki za Wamasai, Maasai International Solidarity Alliance (MISA), limetangaza kupinga vikali ripoti mbili za tume za rais zilizowasilishwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan Machi 12, 2026 katika Ikulu ya Chamwino State House. Katika taarifa yake ya Machi 18, 2026, MISA...
  9. stakehigh

    JamiiForums Tanzania MAKALA MAALUM: Wamasai wa Ngorongoro hawana budi zaidi ya kuondoka

    https://youtu.be/hqK3JMqiY0A
  10. K

    JamiiForums Tanzania Bila kutangazwa Tenda waarabu wapewa Bandari, Ngorongoro, Mwendokasi na KIA

    Kwenye yote haya hatutaona mikataba yeyote sasa kama ni kwa manufaa ya umma kwanini mikataba ya siri
  11. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Ifahamu Ngorongoro

    Nimeona mitandaoni Hifadhi adimu ya Ngorongoro tumewapa ndugu zetu waarabu wawekeze! Sitaki kuhoji zaidi maana nitazidi kuumia sana! Lengo la hii mada ni kuitambulisha Hifadhi ya Ngorongoro kwenu iliyovutia wawekezaji toka jangwani Hifadhi ya Ngorongoro nchini Tanzania ni eneo lenye ekolojia...
  12. Damaso

    JamiiForums Tanzania Kigezo cha UNESCO World Heritage hakitoshi kuwaondoa Wamaasai Ngorongoro

    Kwa miaka ya karibuni, mjadala kuhusu hatma ya jamii ya Wamaasai ndani ya Ngorongoro Conservation Area umeendelea kuchukua sura mpya. Kauli ya Samia Suluhu Hassan kwamba Ngorongoro ni moja ya maeneo machache sana duniani yaliyo ya kipekee ndani ya UNESCO World Heritage Sites imezua mjadala...
  13. O

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Samia: Ngorongoro tumewapa Ndugu zetu waarabu wawekeze

    Samia anasema tuna undugu na Waarabu; lakini ni tangu lini tumekuwa na undugu na Waarabu? Kwahiyo hapa anataka kusema kwamba amewapa waarabu wawekeze kwasababu ni ndugu zake!? Kwanini Rais wa hii nchi akili zake zimejaa undugu na nepotism kwenye kufanya maamuzi ya msingi ya nchi !? Hafai kuwa...
  14. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Ngorongoro ni urithi wa dunia

    Ngorongoro ni urithi wa Dunia sio tu wa Tanzania lakini ni urithi wa dunia na upo kwenye vitabu vya dunia chini ya Shirika la UNESCO, ni lazima sisi ambao tumeshushiwa Ngorongoro na Mwenyezi Mungu tulinde urithi huu wa Dunia.
  15. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Jaji Ndika: Ongezeko la watu Ngorongoro linaathiri matumizi ya ardhi

    Mwenyekiti wa Tume ya kutathmini matumizi ya ardhi katika eneo la Ngorongoro mkoani Arusha, Dk Gerald Ndika, amesema mfumo wa matumizi mseto ya ardhi ndani ya Hifadhi ya Ngorongoro umeleta mafanikio makubwa katika sekta ya utalii. Akizungumza leo Alhamisi, Machi 12, 2026 katika Ikulu ya...
  16. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Alietengeza mgogoro wa Aridhi Ngorongoro ndo anapokea riport ya tume leo tuache cheap politics hizi haziwezi kusogeza taifa popote

    Wakati mgogoro wa aridhi unaendelea kweli kama anaejiita amiri jeshi mkuu alishindwa kutoka na kusimama na kusema wamasai hawatikiwi kwenda popote wabaki ngorongoro kauli yake si ilikua inatosha tu kuweza kutatua huo mgogoro mpaka iundwe tume hiyo tume itumie kodi za wananchi maskini kulikua na...
  17. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Tume mgogoro Ngorongoro: Serikali isitishe ujenzi wa Nyumba kwa ajili ya Wananchi wanaohamia Msomela, Kitwai (B) na Saunyi badala yake wapewe pesa

    Mapendekezo ya Tume ya Rais iliyofanya tathimini kuhusu mgogoro wa ardhi na uhamaji wa hiari, Ngorongoro Eng. Musa Iyombe amesema uamuzi wa Serikali kujenga nyumba kwa wakati huo ulikuwa sahihi hata hivyo imebainika kuwa utekelezaji wake ulikuwa na dosari zinazohitaji kufanyiwa kazi. Tume...
  18. Troll JF

    JamiiForums Tanzania LIVE: Mheshimiwa Rais DK Samia Suluhu Hassan akipokea TAARIFA YA TUME ZA RAIS KUHUSU MGOGORO WA ARDHI NA UHAMAJI WA HIARI NGORONGORO.

    Watch https://www.youtube.com/live/kKU_Zsb_8bw?si=-QaqDHU-S9d8JH2Z Video Courtesy: State House
  19. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Rais Samia apokea taarifa ya Tume za Rais kuhusu mgogoro wa ardhi na uhamaji wa hiari, Ngorongoro

    Rais Samia Suluhu, akipokea taarifa ya Tume za Rais alizoziunda kutathmini masuala ya mgogoro wa ardhi na utekelezaji wa zoezi la uhamaji wa hiari wa wakazi kutoka eneo la Hifadhi ya Ngorongoro, Machi 12, 2026, Ikulu Chamwino, Dodoma. https://www.youtube.com/watch?v=kKU_Zsb_8bw Mwenyekiti wa...
  20. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wananchi wa Kata ya Olbalbal – Ngorongoro tumekata tamaa, huduma ya Zahanati ya Kijiji ni mbovu sana

    YAH: KILIO CHA WANANCHI – ZAHANATI YA OLBALBAL HAINA DAWA, MAISHA YA WATU YAPO HATARINI Ndugu Wanajamii, Sisi Wananchi wa Kata ya Olbalbal, Wilaya ya Ngorongoro, tumefika mahali pa kuchoka na kukata tamaa kutokana na hali mbaya ya huduma za afya katika zahanati yetu ya kijiji. Kwa muda mrefu...
Back
Top Bottom