katambi

Garcinia indica, a plant in the mangosteen family (Clusiaceae), commonly known as kokum, is a fruit-bearing tree that has culinary, pharmaceutical, and industrial uses.

View More On Wikipedia.org
  1. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Katambi: Tujitenge na uhalifu na tuwakatae wanaohamasisha vurugu na vitendo vya kuharibu uchumi wa Tanzania

    Waziri wa Mambo ya Ndani, Patrobas Katambi amesema hali ya nchi ni salama akiwashukuru Watanzania kwa kutunza amani. Waziri Katambi ameyasema hayo alasiri ya leo Jumanne, Julai 7, 2026 baada ya kujionea hali ya usalama wa jijini Dar es Salaam ikiwa ni kufuatia tishio lililokuwa likisambaa...
  2. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Kauli kama hizi za Katambi, ndio zimedisha UHALIFU, na kuwafanya Wananchi Waogope kulifikia Jeshi la Polisi kwakua hawalioni likiwasaidia

    Fikiria, Una Kaka yako, Katekwa . Unatakiwa ukareport Polisi TUKIO hilo Unakutana na Habari ya WAZIRI ,anakuambia, Kama unaushahidi wa Utekaji, uniletee hapa !!. SI TU kuwadharau Wananchi, KATAMBI anathibitisha hatakiwi kua hata Mjumbe wa Nyumba Kumi.
  3. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Katambi: Mzazi Mkanye Mwanao, Jinai hailipi na haiozi

    "Hakuna taifa ambalo likipoteza amani yake inarejea kirahisi...niwaombe sana wazazi wote Baba na Mama, Kaka, Shangazi, Mjomba mkanye mwanao mwambie jinai hailipi na bahati mbaya sana jinai haiozi. Ukifanya leo kosa linai ukidhani mjanja haujakamatwa leo basi kesho hautakamatwa lakini si...
  4. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Katambi: Mwenye ushahidi kuhusu watekaji aniletee

    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema Serikali haitoi ruhusa ya utekaji na kwamba vitendo vya utekaji, mauaji na kupotea kwa watu ni makosa ya jinai yanayokiuka sheria na yatachunguzwa kwa kina ili ukweli ubainike. Amesema endapo mtu anahusishwa na uhalifu, Serikali...
  5. kavulata

    JamiiForums Tanzania Watanzania wako juu ya Katiba, Katambi yuko sahihi kuzuia mikutano

    Wakati wa vurugu katiba na sheria vinasimama kufanyakazi kusudiwa. Kwenye vurugu na vita hakuna mwenye haki yake, vyote kwa 100% vinapotea ghafla halafu unabakia utawala binafsi, yarabi nafsi yangu. Kama DHAMIRA ya Waziri wa mambo ya ndani, Katambi ni kuzuia haki moja tu ili kulinda haki...
  6. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Katambi: Ukitamka neno Maandamano uwe umechukua barua

    Waziri wa Mambo ya Ndani Patrobas Katambi amesema kuanzia leo Julai 4, 2026 mtu yeyote atakayetamka neno maandamano awe tayari na barua inayomruhusu na awe amefuata taratibu zote za kufanya maandamano. Katambi amesema hayo akizungumza na bodaboda Kariakoo jijini Dar es Salaam na kubainisha kuwa...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Katambi: Hakuna mtu aliyembabe kuliko Serikali, yoyote atakayetishia usalama wa Nchi atakuwa halali wa vyombo vya ulinzi na Usalama

    VIDEO:Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi ametoa wito kwa Watanzania kuheshimu utawala wa kisheria na mamlaka ya serikali nchini Tanzania huku akitoa onyo kwa wale wanaofikiri kuwa wanaweza kuwa juu ya sheria.Akizungumza na waendesha bodaboda, bajaji, na machinga mkoani Dar es...
  8. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Katambi: Tarehe 7 itakuwa siku ya furaha na amani sana

    Kama kutakuwa na amani mbona mmeanza vitisho sasa! Siwaoni watu wakija huko sabasaba hiyo siku hofu imetawalaa sana =========== WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amewasihi wananchi wajitokeze kwa wingi kwenye kilele cha Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara (Sabasaba) ili...
  9. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Katambi aulizwa swali la kuzuia mikutano ya kisiasa, ashindwa kulijibu kwa ufasaha ameishia kupaniki

    Mtangazaji anaulizwa kuhusu kifungu cha sheria kinachompa mamlaka: "Tunataka watupe tu kifungu kimoja tu ambacho kimekupa mamlaka ya kutoa tamko ulolitoa ukiwa bungeni, kifungu tu yaani ambacho...". Katambi anajibu kwa kusema kuwa suala hilo litashughulikiwa mahakamani: "Sasa hilo ndio kazi...
  10. Inside10

    JamiiForums Tanzania Katambi: Ukitaka kuandamana, katoe taarifa Polisi

    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi amezungumzia utaratibu wa maandamano na mikusanyiko ya hadhara kwa mujibu wa Katiba na Sheria, ikiwemo wajibu wa kutoa taarifa kwa Kituo cha Polisi saa 48 kabla ya kuandamana. Akizungumza leo Julai 2, 2026, Jijini Dar es salaam, Katambi amesema...
  11. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Namlaumu sana John Heche maana ndo alituzalia huyu Katambi kwenye siasa,Wacha limpige bakora

    John Heche POPOTE ulipo ulaaniwe na Mungu Baba wa Mbinguni kwa kutizalia poyoyo kwenye siasa, Katambi wewe ndo ulilichoa Nafasi ya mwenyekiti Taifa Bavicha ona yanayo jili Sasa. Nyinyi wewe na Mbowe ndo mlililea Leo linatukungia chama cheti kisifanye siasa maana akili halina ni poyoyoyoooo
  12. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Hata CHADEMA wapo, kwani Katambi si wao? Hivi Dr Mashinji je? Yaani hata wao wanamapoyoyo wasitutishe bhana!

    Nikiona Katambi Mimi simwoni kama mwanaccm, kamwe huyu ni zao la mbowe, Najiuliza hata Dr Mashinji kweli au wakina lijualikali HAYA ni maproduct ya mbowe na heche.
  13. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Wakili Madereka Vs Waziri Katambi, utabaini serikalini Kuna poyoyo, na nje ya serikali Kuna smart brain Ina inaliza sana jamani

    Najua mpo mtakao sema aliyepo Ikulu vs aliyepo ukonga, Mimi Sina maana hiyo jamanI wenye smartphone nawaombeni mtafute maelezo ya wakili Madereka na KAULI za Katambi aise Ina umiza sana sana sana sana Yaani Waziri Katambi anavyotetea hoja dhidi makosa yake kisheria dhidi maagizo yake kwa IGP...
  14. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Katambi: Nchi jirani zinachochea machafuko ili tushuke kiuchumi

    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema baadhi ya nchi jirani zinachochea machafuko nchini kwa lengo la kudhoofisha uchumi wa Tanzania Vita ya kiuchumi ni kuchocheana nyie wenyewe mpigane bwana wakubwa waje kuchukua rasilimali." "Mimi msingi wangu uko sehemu moja nasimamia...
  15. figganigga

    JamiiForums Tanzania Afrika Mashariki: Katambi na Vyama vya Siasa Kainerugaba na Vyombo vya habari. Tunaelekea wapi?

    Huku waziri aloteuliwa na Samia akifungia vyama vya Siasa, Mtoto wa Rais wa Uganda amefungia vyombo vya habari. Kisa mtangazaji wake alihoji kutata kujua kama Janeth Mke wa Museven amekufa huko Marekani au yupo hai. Mnamo Machi 21, 2026. Yoweri Museveni alisema kwaamba ana hofu kubwa juu ya...
  16. McLaren

    JamiiForums Tanzania Waziri Patrobas Katambi: Kitambulisho cha NIDA sio taarifa binafsi. Ni Public na ndio maana mnasheherekea Birthday

    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema kutoa Kitambulisho cha Taifa (NIDA) unapotembelea nyumba ya kulala wageni hakumaanishi kuanika taarifa binafsi, kwani kitambulisho hicho si taarifa binafsi. Soma Pia: Waziri Katambi: Wamiliki wa Hoteli, AirBnB, Guest Houses na Lodge...
  17. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Kauli za Magufuli enzi za Corona, zililiponya Taifa kwa kututoa taharuki, TAARIFA za Mwigulu, na Katambi zinaleta taharuki dhidi ya usalama Taifa letu

    Moja ya kitu siwezi kukisaau ni KAULI za hayati Magufuli enzi za maradhi ya korona hakika zilizuia taharuki kubwa sana kwa wananchi, Wapo walio KAIDI ushauri wao na kwakweli waliondoka na korona kabisa hasa walio puuza kujifukiza uku wanavitambi vya wizi WA FEDHA za UMMA walisepeshwa. Si hizo...
  18. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Katambi: Nipo radhi kupoteza nafasi yangu lakini sitakuwa tayari kuona amani ya Taifa hili inavunjika

    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema yupo tayari kupoteza nafasi yake ya uongozi endapo itahitajika, lakini hawezi kukubali kuona amani ya Tanzania ikivunjika. "Nipo radhi kupoteza nafasi yangu lakini sitakuwa tayari kuona amani ya Taifa hili inavunjika. Dhamana...
  19. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Huyu ndiye Waziri Katambi sasa kwenye ubora wake

    Wahenga wanasemaga kuwa hapa duniani ogopa Sana teknolojiia na serikali iliyo madarakani. Huu hapa chini ndiyo uhalisia wa MH Katambi.
  20. R

    JamiiForums Tanzania Katambi na Madilu hawawezi kupigana wala watoto wao kuwapeleka front line, mtakufa nyinyi polisi na Jeiwii kapuku. Why die? Achana nao . Tenda HAKI

    Katambi wala Madilu kukitokea civil war among ourselves, hawa hawatakuwepo front line. Sana sana watawapeleka nyinyi polisi na JW kapuku mfe. Hivyo msiwasikilize hawa wauaji. Madilu anamuandaa mwanawe kuwa Rais, nyinyi wa kwenu kuwa boda boda, msikubali ujinga huu. Tutende haki na kila kitu...
Back
Top Bottom