Ndugu zangu Watanzania,
Itoshe kusema ya kuwa usishindane na alipewa Kibali na Mungu , usishindane na Aliyeinuliwa kwa Mkono wa Mungu , usishindane na aliyebarikiwa na Mungu.
Rais Samia ni Mbarikiwa,Rais Samia ni Mpango wa Mungu,Rais Samia ni chaguo la Mungu,Rais Samia kainuliwa kwa Mkono wa...