ng'ombe

Ng'ombe
Ng'ombe ni wanyama wakubwa wanaokula nyasi. Ni wanyama wanaofugwa kwa wingi sana kwa ajili ya nyama, maziwa, ngozi au pia kwa kuvuta plau au gari la kukokotwa.

Kwa asili kuna aina mbili za ng'ombe-kaya: ng'ombe wa Ulaya na ng'ombe wa Uhindi ambazo ni nususpishi za B. primigenius (B. p. taurus na B. p. indicus mtawalia, ingawa mara nyingi nususpishi hizo zinaainishwa kama spishi za B. taurus na B. indicus). Zinatoka kwa nususpishi za zamani B. p. primigenius na B. p. namadicus.

Ng'ombe hula nyasi na hutembea kwa kwato. Ng'ombe waliofugwa na binadamu walitokana na ng'ombe-mwitu ili kujipatia nyama na maziwa. Katika nchi nyingi hutumiwa pia kama mnyama wa mizigo anayevuta plau au magari.
  1. Fbn

    JamiiForums Tanzania Waziri katambi ina maana mpaka waziri wako mkuu kutumia chama na swala la mwenge umesitisha si umejumuisha CCM nayo.

    Wana JF wenye kudadavua maana mambo ya serikali yanatumia CCM. Na yeye kauli zake kadai mpaka CCM.Kama tukiamua msumeno utumike kweli japo katiba sijui kama ni muelewa maana hata wajibu wa sheria na katiba za nchi sijui kama anaelewa. kuanzania sasa mwiguru na wengine wote CCM mshakatazwa kama...
  2. thaddeus

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa ng'ombe wa kienyeji kibiashara.....

    Habari Ninafikiria kuhusu kufanya mradi wa ufugaji wa mbuzi, kondoo na ng'ombe wa kienyeji katika shmba kuliko likae idle. Wazo nililonalo ni kuanza na mbuzi jike 15 wa kienyeji na dume moja chorata (Malya Blended kutoka TALIRI) pia kondoo jike 10 na dume mmoja. Kwa upande wa ng'ombe...
  3. J

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa ng'ombe wa maziwa

    Wauzaji wa ng'ombe bora wa maziwa Ng'ombe wetu wana maziwa mengi kwa siku wanakamuliwa lit30 ...pia tuna ndama wadogo kuanzia miezi Mitano tupo makambako 0763 357 978
  4. J

    JamiiForums Tanzania Ng'ombe bo

    Wauzaji wa ng'ombe bora wa maziwa Tupo makambako 0763 357 978
  5. J

    JamiiForums Tanzania Ng'ombe bora wa maziwa

    Wauzaji na wazalishaji wa ng'ombe wa maziwa makambako 0763 357 978
  6. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Bangladesh yaingilia kati uchinjaji wa ng'ombe 'anayefanana na Trump'

    Kuchinjwa kwa fahali aliyekuwa akisemekana kufanana na kupewa jina la utani “Donald Trump” kutokana na nywele zake kusimama. Fahali huyo, ambaye alikuwa anatarajiwa kuchinjwa wakati wa Eid, amechukuliwa na serikali ya Bangladesh ambayo imesema imechukua jukumu la kumtunza. Siku moja kabla ya Eid...
  7. Mhandisi Mzalendo

    JamiiForums Tanzania Nyama ya Ng'ombe ndio nyama bora duniani, haina mpinzani

    Pamoja na kuwa nimekula nyama aina nyingi. Kuanzia kuku, nguruwe, samaki, mbuzi, bata, panya, nyama pori n.k ila hakuna nyama ambayo inaweza kumpita ng'ombe kwa kutokinaisha. Unaweza kuila kila siku na maisha yakaendelea. Ila nyama nyingine huwa ni mtihani sana kuila kila siku.... Tumpe...
  8. Dalton elijah

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania SI KWELI Je, Pundamilia anaweza kuzaliana na Ng'ombe pamoja

    Kumekuwepo na chapisho lililosambazwa kwenye ukurasa wa Facebook likimnukuu mfugaji mmoja nchini Kenya akilalamikia uwepo wa zebra katika eneo lake. Mfugaji huyo anadai kuwa zebra hao wanazaliana na ng’ombe pamoja na punda wake, hali inayosababisha kuzaliwa kwa wanyama wenye madoa yanayofanana...
  9. C

    JamiiForums Tanzania Kuna Mtu alikua anauwezo wa kumnyanyua Ng'ombe, Ni rahisi nitawafundisha. hata wewe unaweza ukiamua

    alichofanya ni hivi: alianza kumnyanyua ndama akiwa bado mdogo kabisa alivozaliwa, akawa anamnyanyua huyo ndama kilasiku. siku zilivyokua zinaenda ndama anazidi kukua. nayeye uwezo wake wa misuli unazidi kukua, alikua anamnyanyua kilasiku bula kukosa. baada ya muda ndama alikua na kufikia kua...
  10. kavulata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba na Yanga ni ng'ombe wa maziwa wa mpira wa Tanzania, wapewe heshima yao.

    Hakuna timu ambayo inataka mechi yake ya nyumbani ya Simba na Yanga ichezwe saa 8 mchana. Hakuna mdhamini wa timu ambae anapenda mechi ya timu inayoidhamini icheze mechi zake na simba na yanga saa 8 mchana. Mwenye haki ya matangazo asilani hawezi kukubali mechi za simba na yanga zichezwe mchana...
  11. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Kuna jamaa alisemaga humu eti ukifuha ng'ombe mmoja wa maziwa mwajiriwa wa serikali hakufikii😂 ila JF bana isifutwe aisee

    Hii ndio zile ahadi za kiujamaa tukaishia kula vumbi hadi leo
  12. Imani rubaba

    JamiiForums Tanzania Ng'ombe mmoja anatoa sio chini ya lita 25 za maziwa, ninao zaidi ya 10 wateja hadi tunawakataa

    📌 KUMBUKIZI LA UHALISIA “Ng’ombe mmoja akiwa amezaa, huwezi kukosa lita 25 za maziwa kwa siku ukiwa na ng’ombe bora na lishe sahihi. Mimi nina zaidi ya ng’ombe 10, na soko la maziwa ni kubwa sana. Tunauza katika maeneo mbalimbali ikiwemo mashuleni kutokana na ubora wa maziwa tunayozalisha.” —...
  13. Imani rubaba

    JamiiForums Tanzania Ukifuga hata ng'ombe mmoja tu wa maziwa, mwajiriwa hakufikii

    KUMBUKIZI 📌 Hapa tulipata fursa ya kumtembelea Mzee Hassan Migeto, mfugaji wa ng’ombe wa maziwa kutoka Mkuyuni – Mwanza. Alitueleza kwa uwazi safari yake ya ufugaji, changamoto alizokumbana nazo mwanzoni—ikiwemo kukosa ng’ombe bora na uhaba wa malisho ya uhakika. Kupitia kujifunza, kufanya...
  14. Mstahiki Mea

    JamiiForums Tanzania Usitumie Mafuta ya kukamulia Ng'ombe kujipaka binadamu

    Bidhaa inapotengenezwa hasa ya afya huambatana na tafiti na uthibitisho wakutosha kabla ya kuruhusiwa kutumika katika shughuli maalumu iliyokusudiwa. Kubadilisha matumizi ya bidhaa ya afya sio jambo linaloshauriwa hata kidogo mara nyingi ni hatari na huweza kuambatana na madhara makubwa...
  15. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Kuna watu eti wanataka kumchangia yule Ng'ombe

    Nasikia kuna watu wapo bize kutafuta habari za yule Ng'ombe kutaka kujua hali yake baada ya ile ajali. Kuna diaspora mmoja kasema kama huyo Ng'ombe atahitaji matibabu mazuri zaidi anaijua Hospitali moja mahiri ya UC Davis Veterinary Hospital iliyoko California huko Marekani. Na kama aliuawa...
  16. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Ipo siku atakufa mwanasiasa mkubwa wa CCM na Watanzania watachinja ng'ombe na kusherehekea.

    Napata picha mbaya sana ya hii chuki. Haijawahi kutokea tangu tumepata uhuru. Leo hii askari polisi au MwanaCCM akipata ajali watu wanafurahia afe. Akifariki mwanaCCM au chawa wa CCM watu wanashangilia kifo ni kifo tu.
  17. Imani rubaba

    JamiiForums Tanzania Kumbe kuna ng'ombe wanatoa hadi lita 40 kwa siku

    Hapa Tanzania ukisema kuna ng’ombe wanaoweza kutoa lita 40 za maziwa kwa siku, wengi watakushangaa—wengine hata watakupinga kabisa. Lakini ukweli ni huu: ng’ombe hao wapo. Ukienda nchi jirani kama Kenya, ufugaji wa ng’ombe wa maziwa unachukuliwa kama BIASHARA, si mazoea. Ni jambo la kawaida...
  18. Mzee Mwanakijiji

    JamiiForums Tanzania Zizini TV: Kwenye zizi la ng'ombe, Chui ndiye Mhubiri mkubwa wa "Amani na Utulivu"?

    Na. M. M. Mwanakijiji Sijui ni 'genius' gani huyo ambaye ameanzisha hili la kuwa "tunataka amani kwanza". Kwa wiki hasa baada ya Oktoba 29 kumekuwa na jitihada kubwa ya kujaribu kugeuza mambo kinyumenyume. Sasa tunaambiwa "amani kwanza" ndio mambo ya "haki" yaje baadaye. Hili sijui limeanzaje...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Upandishaji wa ng'ombe na nguruwe kwa njia ya mrija

    🌟 WAKATI NI SASA! 🌟 Upandishaji kwa Chupa (AI) kwa Ng’ombe na Nguruwe – Teknolojia ya Kisasa kwa Mafanikio ya Mifugo Yako! 🐄🐖 Unataka Ng’ombe au Nguruwe Wenye Maziwa Mengi, Uzito Mkubwa, na Uwezo Bora wa Kuzaa? Tunakuletea huduma ya kitaalamu ya AI (Artificial Insemination) kwa kutumia mbegu...
  20. excel

    JamiiForums Tanzania Rais Wa JMT hajui kama wananchi wanasafirishwa kama ng'ombe. mfikishieni Taarifa

    Inaumiza sana kuona sasa magari ya kusafirishia ng'ombe kwenda machinjioni kwa sasa ndio usafiri mkuu wa wananchi kwenda kwenye mikutano ya CCM (ila vyama vingine havithubutu kufanya hivi) Mh. Rais SSH hana hizi taarifa Huu usafiri sio salama
Back
Top Bottom