freeman mbowe

Freeman Aikaeli Mbowe (born 9 December 1961) is a [[Tanzanian] politician and the current nominated chairman of the Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA – Political Party for Democracy and Development). He was elected to continue as a National Assembly member representing the Hai District in the Kilimanjaro Region as per the 2015 general election.Mbowe was elected to the National Assembly in 2000 representing Hai Constituency (Kilimanjaro Region). He won 64.5% of the vote, which was the highest percentage of votes won among constituencies with opposition MP's.In preparation for the 2005 elections, Mbowe was nominated to represent CHADEMA as their presidential candidate for the 2005 presidential elections. Jumbe Rajab Jumbe, a Zanzibari was chosen as his vice-presidential candidate. The election was originally scheduled for 30 October 2005, but was postponed until 14 December due to the death of Jumbe.
Mbowe constructively criticized the lengthy postponement, saying a week's delay would have sufficed and that his political party cannot afford to finance extra campaigns. Chadema eventually settled on Ms. Anna Maulidah Komu to be the running political party executive.
He placed third out of ten candidates in the presidential election of 14 December 2005, winning 5.88% of the vote. Although there are rumours that many of the votes in that election were stolen by the ruling party Chama Cha Mapinduzi (CCM) going to their presidential candidate, Jakaya Kikwete.
In the 2010 general elections, he was elected as a member of parliament for The united republic of Tanzania parliament after winning against the experienced candidate the incumbent from Mapinduzi, fuya kimbita taking 51.63% of the vote. Currently, he is the leader of the opposition in parliament after his party the chama cha demokrasia na maendeleo won a significant majority in the opposition camp in parliament.].One of the founders of CHADEMA in 1992, Mbowe is a good strategist which makes him currently one of the main strategists of the CHADEMA political party and a main executive board member in the political party to ensure the political growth of his party, of which he has steadily led as chairman since 2004, in a healthy politically competitive environment that has witnessed a steady collapse of major opposition parties since 1990s at the hands of the CCM government, the country's highly politicized police force, and intelligence.

View More On Wikipedia.org
  1. K

    JamiiForums Tanzania Nauliza tuu Kulikoni Freeman Mbowe?

    Kulikoni sinuoni FAM mdau mkubwa wa CDM?kortini kwenye kesi ya TAL? Nimewaza tuu Kwa SAUTI. GOD HAVE MERCY OVER SISI MALAWIANS
  2. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania CHADEMA Jifunzeni toka CCM how to take quick actions. Lembrose Mchome, Said Issa Mohamed na Freeman Mbowe wanasubiri nini ndani ya chama?

    Siungi mkono na sijawahi kuipenda CCM.. Lakini yapo machache ya kujifunza toka kwao... Wanailinda taasisi yao kwa nguvu sana bila kujali kwa kufanya hivyo wanakuwa sahihi au la... Wamekula kichwa cha Dr Emmanuel Nchimbi. Hawajaangalia alikuwa ni nani au ni maarufu kwa kiwango gani.. Kwao ni...
  3. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tundu Lissu: No Reforms, No Election ni kauli ya Freeman Mbowe

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Tundu Antipas Lissu anayekabiliwa na kesi ya uhaini ambapo leo Agosti 24, 2026 amesimama Mahakamani kuendelea kujitetea. Tundu Lissu ameiambia Mahakama kwa Kauli mbiu ya NO REFORMS, NO ELECTION siyo yake bali ni ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Sidhani kama Mbowe atahamia CCM, labda akipewa Uwaziri. Ni AI lakini hakuna ajuaye kesho yetu!

    Sidhani kama Mbowe atahamia CCM, labda akipewa uwaziri. Ni AI lakini hakuna ajuaye kesho yetu! AI lakini kesho inawezekana ikawa AI ya kweli!
  5. M

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe, Tusamehe kwa kukuita Msaliti ulipotaka kumng'oa Mbowe

    Ndugu Zitto. Watanzania walianza kukuita msaliti pale uliposuka mkakati wa kumng'oa Mbowe kutika kwenye uenyekiti wa chama. Wakati ule tulikuona una uchu wa madaraka na unafanya kazi ya CCM. Lakini baada ya leo kuona anayofanya Mbowe, ya kumsaliti hata mwenyekiti wa chama chake. Mtu aliyekuwa...
  6. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Niwaombe radhi niliowabishia kwamba Chadema ni SACCOS ya Mbowe

    Niombe mpokee radhi yangu. Katika harakati zake kumbe kuna watu waliujua mchezo wa Mbowe kuwauza wanachama. Siwezi kubisha tena kwamba Mbowe alimuuzia ugombea urais Lowasa. Siwezi kubisha tena kwamba kuwapa vyeo vikubwa kina Dr.Mashinji na Katambi haikuwa bahati mbaya. Sote tunaona Mbowe...
  7. TheForgotten Genious

    JamiiForums Tanzania Mbowe aliitangaza Demokrasia ili kujijenga yeye kwa manufaa yake binafsi kwa mgongo wa chama

    Wote tunajua namna FAM alivyokipigania CHADEMA Mpaka kikawa chama Tishio kwa kila Taasisi ya kiserikali,lakini katika kukijenga chama,chama kilizungumza,haki,usawa,utawala bora na demokrasia mambao ambayo wanainchi wengi wanapenda kusikiliza ajenda zake,chama kikakubalika. Lakini wakati wa...
  8. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Kisiasa, influence ya Freeman Mbowe ndani ya chadema ni amazing sana.

    Hahusiki na chochote ndani ya chadema lakini viongozi na wana chama wa chadema wanaweweseka na ukimya wake, lakini zaidi sana kuonekana kwake kwenye hafla za nchi kitaifa kumewatia kiwewe zaidi. Huenda viongozi wa chadema na wanachadema wote kwa ujumla wamesaha kwamba, Freeman Mbowe wakati wa...
  9. funaku

    JamiiForums Tanzania Ukomavu wa Kisiasa wa Freeman Mbowe ni wa kupongezwa

    Ukirejea falsafa ya 4 R na nia ya dhati ya Mhe. Samia Suluhu Hassan ya maridhiano leo tena tunamuona Freeman Mbowe akiwakilisha ukomavu mkubwa wa kisiasa na kuwapa funzo vijana wake wote aliowaibua kutoka vyuo vikuu kuwa siasa za upinzani sio ushindani usio na tija bali ni hoja mbadala...
  10. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Kutoka AI: Freeman Mbowe ulichokifanya leo hakiakisi utu, mshikamano wala hekima

    Kuonekana kwa Freeman Mbowe hadharani leo katika uzinduzi wa Serikali wa Mradi wa Kufua Umeme wa Maji wa Julius Nyerere (JNHPP) kumezua ukosoaji mkubwa kutoka kwa wanachama na wapenzi wa CHADEMA, ambao wanaona hatua hiyo kama usaliti kwa mapambano ya sasa ya chama hicho. Wafuasi wengi wa...
  11. DogoWaNjombe

    JamiiForums Tanzania Mmemuona Freeman Mbowe kwenye ‘suti sare’ na Mawaziri wa CCM?

    Hii ni leo Agosti 22, 2026 wakati Rais Samia Suluhu Hassan amezindua rasmi Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP) chenye uwezo wa kuzalisha megawati 2,115 leo, tarehe 22 Agosti 2026, katika eneo la mradi lililopo Rufiji, mkoani Pwani.
  12. Superbug

    JamiiForums Tanzania Uwepo wa Mbowe kwenye ufunguzi wa bwawa la Mwl Nyerere ni usaliti kwa Lissu?

    MBOWE ameonekana kupitia TBC kwenye shughuli ya UFUNGUZI WA BWAWA la Mwl Julius Nyerere je ni USALITI KWA LISSU?
  13. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania CCM wawasifia Mbowe, Mrema kwa “upinzani mkali”

    Katibu wa NEC Organaizesheni ya Chama cha Mapinduzi CCM Paul Matiko Chacha amesema kwa sasa nchini hakuna upinzani wenye nguvu kama ilivyokuwa miaka ya nyuma akitolea mfano wa upinzani wa Agustino Lyatonga Mrema(aliyewahi kuwa mgombea Urais kupitia NCCR Mageuzi) Freeman Mbowe, Dkt. Wilbroad Slaa...
  14. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Bananga: CHADEMA ya Freeman Mbowe ni bora zaidi kuliko hii, Mbowe anajua kupunguza presha

    Katibu wa Siasa na Uenezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Ally Bananga, amesema CHADEMA ya Freeman Mbowe ilikuwa bora zaidi kuliko ilivyo sasa, akimtaja Mbowe kuwa kiongozi mwenye uwezo wa kupunguza presha za kisiasa na kuweka maslahi ya taifa mbele. Akizungumza katika mahojiano na East Africa...
  15. figganigga

    JamiiForums Tanzania Ikigundulika Freeman Mbowe ndio yupo nyuma ya kesi zote na maovu yote dhidi ya CHADEMA itakuaje?

    Ikigundulika Freeman Mbowe yupo nyuma ya kesi dhidi ya CHADEMA itakuaje? Ikigundulika ndiye anatamani kuona CHADEMA haitawaliki au umeshindwa, itakuaje? Ikigundulika wanafurahia kesi zote zinazoendelea kwa makada wa CHADEMA itakuaje? Ikigundulika ndo aliyemuwezesha Mchome kwenda kuishati...
  16. Pfizer

    JamiiForums Tanzania Hai: Lengai Ole Sabaya na Freeman Mbowe Uso kwa Uso. Watoa ya moyoni

    Mkiti msaafu wa Chadema Freem mbowe wamekutana na mkuu wa wilaya ya Hai Mstaafu Lengai Ole Sabaya katika msiba wa Mama yake mbunge wa Hai Saasisha Mafuwe. Katika Msiba Huo,mbowe amesema yeye ameshamsamehe sabaya kwa mambo yote kwa hakuna mwanaadamu mkamilifu. Nae sabaya alipopata nafasi ya...
  17. Mwanamwana

    JamiiForums Tanzania Unafikiri nini kilikuwa kinaongelewa kati ya Lipumba na Mbowe kwenye picha hii?

    Uongozi ni kama koti la kuazima; Mbowe na Lipumba sasa si viongozi tena! Pia soma Mirambo arithi mikoba ya Profesa Lipumba CUF Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%
  18. mirindimo

    JamiiForums Tanzania James Mbowe amwaga pongezi kwa ATC 'Any Time Cancellation'

    Nichukue nafasi hii kipekee kuwapongeza Air Tanzania kwa namna wanavyo badili ratiba za ndege mara kwa mara. Mfano leo ndege ya Air Tanzania iliyokuwa iruke kwenda Kigoma saa 5:40 imesogezwa mpaka saa 9:30 sababu wanasema ni Operation yaani siyo hata kwamba hali ya hewa ni mbaya au ndege mbovu...
  19. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mbowe: Taifa lina maumivu makubwa. Nisiposema haya nitakuwa mnafiki au 'Mswahili'

    Mwenyekiti mstaafu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema kuwa taifa bado lina maumivu makubwa, akibainisha kuwa wapo watu walioko magerezani ambao wanastahili kula matunda ya nchi yao pamoja na Watanzania wenzao. Ameyasema hayo leo wakati wa msiba wa Mzee Mtei...
  20. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Mbowe: Tulipata hazina kubwa sana kufanya kazi na Mzee Mtei na alikuwa muaminifu sana na akili kubwa

    Mwenyekiti wa zamani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, ambaye pia ni mwanafamilia wa karibu wa marehemu Mzee Edwin Mtei, amesema kuwa Mzee Mtei alikuwa Muasisi wa sarafu ya kwanza ya Tanzania. Soma Pia: Mwasisi wa CHADEMA, Edwin Mtei afariki Dunia
Back
Top Bottom