Issue ya Mwalimu mchezaji inaweza ikawa muhimu kwa siasa zetu watu wamepanga kunufaika nayo, kumbukeni wiki hii ndio kuna deadline fulani hivi, na uhakika mnaijua lakini pia kuna kesi muhimu sana mahakamani inaendelea.
Sasa kwa vile simba na yanga ndio maradhi mojawapo yaliyotutia ulemavu wa...