wakuu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. TheGreatest Of AllTime

    JamiiForums Tanzania Toa uthibitisho wowote kuwa wachina wana roga na uchawi wao una mauza mauza ndio maana wamewashinda wale wachawi wakuu wa kariakoo

    waafrika tunapenda kujitetea ili kufanya make up upumbavu wetu, kwa sababu unafanya ushirikina sasa unataka uhusishe na wengine ili usionekane fala. Mmezidiwa mamlaka, mmezidiwq akili, mmenunuliwa kwa pesa alafu mnataka kusema mchina ku-survive hapo kariakoo eti kwa sababu anachinja sana mbuzi😁...
  2. T

    JamiiForums Tanzania Kwa wanunuzi wa Hisa kuweni makini na Brokers

    Habari, Kwa mtu mwenye ndoto ya kununua Hisa za makampuni mbali mbali jiepusheni na Tanzania Security Limited(TSL) Kwa sasa huyu broker ameshakuwa broke embu fikiria kama kampuni inaweza kuzima namba za huduma Kwa mteja siku nzima je Hisa zako zitakuwa salama, kama unaweza kuuza Hisa zako...
  3. Equation x

    JamiiForums Tanzania Wakuu, mnapambana vipi na changamoto za ununuzi wa bidhaa nje ya nchi?

    Wakuu, katika harakati zangu za biashara, nikakutana na kampuni B mtandaoni. Kutokana na bidhaa zao walizozichapisha kwenye ukurasa wao, ziliweza kunivutia sana na kunishawishi kufanya nao biashara. Nikapiga mahesabu, mpaka nizilete hapa bongo, naweza kupata faida mara mbili. Nikawasiliana...
  4. CAPO DELGADO

    JamiiForums Tanzania Wakuu naombeni msaada kupata hizi nyimbo

    Habari wakuu nina shid sana na Nyimbo za Franco FRANCO RUAMBO LUANZO MAKIADI Nyimbo za Madilu mult sytem Asanteni sana. Natanguliza Shukran Nyingi.
  5. under500

    JamiiForums Tanzania Habari za Jumapili wakuu

    Habar za Jumapili wakuu Mlioenda kanisan mmekumbuka kutuombea sisi wengine
  6. under500

    JamiiForums Tanzania Wakuu mbona h?amkunipa muongozo mzuri?

    Picha linaanza wakuu nimezoea Mafinga ukifika rood unasubili magari yaishe ndo uvuke Leo apah Dar Si nimekaa masaa ma wili nasubili magari ya ishe lakin hayaishi ndo nikaona wat wanavuk TU ivo ivo ndo na mm nikaamua nivuke Yan wakuu amkunipa mwongozo mzur sjui mlikua mnataka nitie aibu kwanza
  7. Room 28

    JamiiForums Tanzania Wakuu nimeona hiki kitu hotelini

    Wakuu nimeona hiki kitu hotelini ndani ya chumba!! Niambieni n nni Afu kina waka waka taa baadhi ya muda kama camera
  8. under500

    JamiiForums Tanzania Mlioko Dar naombeni muongozo. Maisha yakoje huko?

    Habari za jion wakuu Kwanza kabisa Mimi ni mkazi wa mafinga ila kwa sasa Niko kwenye gar naelekea dar ila sjawai fika kabla i Hii ndo mara yangu ya kwanza kuenda Dar kwa hiyo naombeni mwongozo
  9. mapema

    JamiiForums Tanzania Wakuu nina 60,000 niiweke kwenye nusu na fainali kombe la dunia nipeni mwongozo

    Kwa heshima na taadhima naomba huu uzi usihamishwe. Wakuu nataka kujaribu bahati yangu, nina kiasi hiko cha fedha nikigawanye Nikigawanye mara tatu, nusu fainali kati ya Argentina na England 20,000 Ufaransa na uhispania 20,000 Na finali yenyewe 20,000 Naamini kwenye jukwaa hili wapo wadau...
  10. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Makatibu Wakuu wa SADC wakutana Malawi kujadili amani na usalama

    Mkutano wa 28 wa Mawaziri wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), ngazi ya wataalamu umefunguliwa leo Julai 13, 2026, mjini Salima, Malawi ambapo wajumbe watajadili agenda mbalimbali, zinazolenga kuimarisha ulinzi na usalama, demokrasiaa na utawala...
  11. Red black

    JamiiForums Tanzania Wakuu huyo mwanamke ulienaye minya kidogo eneo la transaction kwa wiki mbili akiendelea kubaki njoo nikupe 2ml

    Anahama kama fisi waliomaliza kula mzogo somewhere kwenye hifadhi. Pesa, kibunda, dollar,fedha,noti...hii kitu inaamua mambo mengi sana.
  12. Romanus js

    JamiiForums Tanzania Wakuu naombeni msaada wenu katika hili

    Nimekuwa nikifanya utafiti wa kina na maandalizi ya bidhaa moja ya kibunifu (innovative product) kwenye sekta ya vinywaji hapa nchini. Bidhaa hii inaleta suluhisho la kipekee sokoni na tayari nimeshaanza hatua za msingi za kisheria na usajili na mamlaka husika (TBS/TRA) ili kuhakikisha kila kitu...
  13. Kyenju

    JamiiForums Tanzania Wakuu! Wapi naweza kupata hivi vifaa vya ujenzi/bati

    Nipo Dar es salaam, nahitaji hizi materials.
  14. K

    JamiiForums Tanzania Nimefuatilia kauli za Mwigulu kwenye majukwaa anayohutubia nimepata mashaka

    Wakuu, habari. Mimi nimefuatilia kauli za huyu bwana kwenye majukwaa anayohutubia nimepata mashaka na afya yake ya akili. Maana anaropoka vitu asivyo na ushahidi navyo na ambavyo haviwezekaniki kufanyika. Maana kama CDM wangefanya hayo, naapa hakuna rangi wangeacha kuona. Kwanza CHADEMA...
  15. feyzal

    JamiiForums Tanzania Wakuu ni kwamba pesa mtaani hamna au?

    Salaam. Wakuu wafanya biashara wadogo wenzangu,hivi hali ikoje kwenye biashara mbona mambo yanazidi kua mabaya hivi wazee kwa zaidi ya mwezi sijawahi kukutana na hali mbaya ya biashara kama wakati huu tangu nianze hii biashara,yaani pesa hakuna mteja anakuja analia vibaya sana. Wazee ni kwangu...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Mtaji wa 3.5Milioni biashara gani inafaa

    Kwa kijana mwenye umri wa 22yrs mwenye mtaji wa 3.5M apa mjini dsm ungemshauri ajikite kwenye biashara zipi zinakazomfanya atoboe kimaisha baada ya miaka michache?
  17. DesertStorm

    JamiiForums Tanzania Marudio ya mechi, Full game nitaipataje wakuu?

    Wakuu kwema lakini? Nataka nicheki game la Morocco na wazungu full game, acha pes. Ni really yenyewe! Naombeni mnisaidie kwa hilo. You tube kila nikifungua nakutana na clip not really Morocco forever ♥
  18. Red black

    JamiiForums Tanzania Muda wa Morning Glory huu wakuu mlioko tz na maeneo ya jirani Bado mmelala kizembe 🤣

    😁
  19. 650

    JamiiForums Tanzania Hakuna pesa rahisi wakuu

    Wakuu habari Zenu Dah wimbi kubwa la vijana tumekuwa tunapenda matokeo ya haraka sanaaa yaan boom baah 💥 Manoti hayooo Hii kitu inapelekea baadhi ya vijana 😂 kutumia fursa hii ya vijana tupendao matokeo overnight kupiga pesa Wanafungua platform wanaipromote mitandaon kwamba ukijiunga...
  20. E

    JamiiForums Tanzania Ndani ya miaka 10, Mawaziri wakuu 6 wa Uingereza wamejiuzulu

    Wakati Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer akijiuzulu leo Juni 22, 2026, historia inaonyesha kwa miaka 10, wameshajiuzulu mawaziri sita. Tatizo ni kwamba mfumo wa kisiasa wa Uingereza unafanya Waziri Mkuu abaki madarakani tu ikiwa anaungwa mkono na chama chake na anaweza kuongoza serikali...
Back
Top Bottom