Wana jf habari za muda huu
Tumeni project za kiuhasibu kama template za kuandaa bank reconciliation, cash book, payment voucher, etc yaani yoyote tuone Kali ni ipi?
MKUU WA WILAYA (DC) NA WAKUU WA SHULE ZA SEKONDARI WANENA KUHUSU UMUHIMU WA MFUKO WA JIMBO
Jana, Ijumaa, 24.3.2023, Wakuu wa Shule za Sekondari za Musoma Vijjini, na Bodi zao, walianza kuchukua vifaa vya ujenzi vilivyonunuliwa kwa kutumia Fedha za Mfuko wa Jimbo.
*Manunuzi yalifanywa na...
Poleni na majukumu ya kila siku, nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha.
Moja kwa moja kwenye mada, nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa...
Mimi sio mgeni hapa JF,
Kuna wakati apo nyuma nilikuja kuomba ushauri juu ya binti ambae nilikuwa nimempenda Kwa mara ya kwanza kwenye maisha Yangu, binti ambae bila ya sababu yoyote aliniaacha na kuniambia kuwa hajawahi kunipenda na ananichukulia kama kaka au rafiki yake.
Wengi wenu apa Jf...
Naomba kuuliza kwenu wakuu, upi ni ushauri wenu kwa Mimi/ sisi vijana ambao tupo vyuo vikuu, juu ya kuwekeza kupitia pesa ya boom.
Mfano mm apa had sasa nipo semester naingia semester ya nne nime save almost laki tano,
Na natarajia mwaka wa tatu ni save million moja na nusu,
Sasa wakuu nipo...
Akina GENTAMYCINE tuliosoma miaka hiyo ya mid 80's hadi late 90's mpaka leo Majina ya Walimu Wakuu, Walimu waliotufundisha hadi Walinzi wa Shule tunajua majina yao.
Mitoto ya Siku hizi hawawajui Walimu Wakuu Wao na wanaowajua zaidi ni Wasanii, Madereva wa School Bus zao, Bajaji na Wauza Chips...
Kipindi kirefu sana sasa sijasikia DC amemsweka mtu ndani kwa saa 24 au 48
Kipindi cha Magufuli ilikuwa ni kawaida kusikia DC kamsweka mtu ndani sababu kadhaa
DC inakuita anakuhoji akiona umemzidi kwa hoja basi anaagiza uwekwe ndani..😂😂😂
Ilikuwa wafanyabishara, wanasiasa, viongozi wa dini...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akifungua Mkutano wa Faragha (Retreat) wa Mawaziri, Naibu Mawaziri, Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa Arusha (AICC) jijini Arusha leo tarehe 02 Machi, 2023
RAIS SAMIA
“Kutofanyika kwa...
Habari za Mahangaiko Members.
Mimi ni kijana wa kiume (27), Naishi Dar es salaam.
Elimu yangu ni ya Form Six
Nimekuja mbele yenu kuomba Msaada wa Kazi iwe Kibarua kwa siku au kwa mwezi.
Nimeandamwa na malimbikizo ya Kodi ya CHUMBA.
Mungu amguse yeyote mwenye uwezo wa kutoa Msaada kwangu...
Bosi akiwa mwanamke, wafanyakazi wakiume na wengineo wanakuwa wanamuita mama, badala ya kumpa heshima yake kwa kumuita bosi; ila bosi akiwa wakiume, ataitwa bosi na si kuitwa baba.
Kwa mtazamo wangu, mi naona hawa wanaoleta mahusiano ya kuitana mama katika maeneo ya kazi, huku wamama zao wazazi...
Naomba kupata connection ya kuweza kusafirisha vyombo vya nyumbani kutoka magu kwenda morogoro. Hasa nikitegemea magari yanayotokaka mara au musoma yanayorudi bila mzigo, pia Kama kuna gari ya uhakika kuanzia mwanza nistueni nisogeze mzigo
SEHEMU YA PILI YA TAARIFA YA KIKAO CHA MBUNGE WA JIMBO NA WAKUU WA SHULE ZA MUSOMA VIJIJINI
Sehemu ya Kwanza ya Taarifa ya Kikao hicho:
Sehemu hii ilitolewa na Ofisi ya Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Muhongo.
*Mahali inapopatikana ni kwenye TOVUTI ya Jimbo letu ambayo ni...
Habari za mida wakuu, niende moja kwa moja kwenye mada. Nahitaji kupata kazi yoyote ya kufanya itakayo nisadia kupata chochote kitu, yaani nipo tu kitaa, sina kazi.
Pia hatakama una kazi yako unaweza nisaidia kwa kunifundisha pia, yaani mpaka sasa sina fani yoyote.
Nina hali ngumu balaa. Mie...
WANAOJIFANYA WANAIKUBALI NDOA WENGI WAO NI MAKATILI NA WATESAJI WAKUU.
Anaandika, Robert Heriel.
Kuhani.
Ndoa ni nzuri. Ndoa ni tamu Sana. Ndoa inahitaji upendo wa kweli, sio huu upendo wa kinafiki nafiki. Pamoja na uzuri WA ndoa lakini ndoa sio lazima ikiwa hakuna Upendo WA kweli. Mambo ya...
Form four results DIV 3 YA 25 Ponts
CIV =C
HIST =D
GEOG =D
KISW =C
ENG = D
ELIMU/D/KIISLAM =C
ARABIC = D
BIO = D
B/MATH= F
Ajiandae kwa wapi? Ualimu anaweza kuchaguliwa?
Wakuu habari zenu
Samahanini poleni na kazi naomba mnijulishe kuhusu soko la zao la karafuu
Soko lake la uhakika ni wapi na huwa wanatengenezea Nini in common
🙏🙏🙏🙏 karibuni
Mimi ni muajiriwa mpya katika taasisi fulan ya afya kabla ya ajira kutoka nilisha kua na plan ya kujiendeleza katika masters level Sasa nataka kufanya maombi ya masters in health economics and policy maswali nilionayo ni Barua ya muajiri release letter.
Itawezekana muajiri kunikubalia coz...
Wakuu habari za saa hizi...
Naombeni msaada wenu,
Nilikua nabadili taarifa za simu yangu coz mtumiaji anaenda kuwa mwingine nilichokosea ni kucancel kabla sijamaliza kujaza detail ikawa imejilock inawaka tu na kuzima muda wote but nikibonyeza power button na ya kupunguzia sauti inazima ...
Wakuu. Naomba ufafanuzi nataka nikasome IT Ila Kama tunavyojua IT Ina vipati bingo mfano (Security, networking, system Administrator, code).. binafsii nataka nakasome kitu kimoja ili nikijue vizurii. Kipii Ni better kwa carne hii na hata hapo baadae
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.