wakuu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Leo nalala nyumbani kwa Ex wangu,nahitaji maombi yenu wakuu.

    She my ex girlfriend for last five years. Well katika hizi hustle za maisha nimejikuta leo niko mji anaoishi.ktk blah blah za chattings za hapa na pale leo natakiwa kulala kwake while her boy is currently huko new York kwenye mambo yao ya diplomatic mission cos the guy is working with one of...
  2. K

    Naombeni kazi, sijabobea kwenye kazi yoyote inayohusu vyeti 100%

    Nipo kibaha,mwanaume 27YRS Naombeni connection ya kazi yoyote niweze kuishi mjini wakuu,sijabobea kwenye kazi yoyote inayohusu vyeti 100% ila nina soft skills (driving,basic computer skills etc) na nina nguvu na akili timamu. Katika harakati za kutoka magetoni nimetoka mkoani kuja mjini...
  3. contask

    Kimfaacho mtu chake

    Habari wakuu, Kama ilivyo kila mtu na starehe yake, wengine pombe, mpira, wanawake, uvutaji Muda si mrefu nilikua nipo kwenye PUBG MOBILE naplay na my teamates hadi saa saba usiku, tukiwa tunafurahia Unakutana na marafiki munabadirishana mawazo hadi #UZI TAYARI #JF STATUS #WAJINGA NDO WALIWAO
  4. Strong25

    Karibuni sana kupata madirisha ya vioo na milango

    Natumai mko poa kabisa PENDEZESHA NYUMBA YAKO KWA ALLUMINIUM _natengeneza madirisha ya alluminiu _milango ya alluminium & viooo _partion za mahoficini & duka la dawa & hopitali _vioo vya saloon kike na kiume _kama uliweka madirisha tunafanya repair kama vioo havitembei vizuri ama wavu kuchanika...
  5. To yeye

    Singlemom kurudi kwa ex na asiye na mtoto kurudi kwa ex tatizo nini hapa wakuu

    Japo mi binafsi nadhani inasababishwa na kuingia kwenye mahusiano bila upendo....kuingia kwenye mahusiano kusitirika na siyo upendo ..... Maoni yenu tafadhali...maana mapenzi yamepoteza maana sikuhizi...🚮
  6. ndege JOHN

    Wakuu ni kweli kisu ukikatia vitunguu kinakuwa butu au tunashikana tu masikio

    Mwenye kujua uhusiano uliopo wa kisayansi hasa kikemia ni kivipi kisu ukikikatia vitunguu ukali wake unaondoka, binafsi mimi sijapata muda wa kufanya hio tafiti nithibitishe kama ni kweli au chai kama chai nyingine.
  7. nipo online

    Speaker za kuchongesha bei gani wakuu

    Tafadhali anaejua bei za speaker za kuchonga saizi ya kati inauzwaje aniambie bei au kama anajua wapi naweza pata, Kuna posho ya maji ya kunywa Asanteni.
  8. A

    Baada ya Gaddafi na Saadam waliokuwa wafadhili wakuu wa ugaidi kuuawa, ni vizuri Iran isambaratishwe ili Ugaidi uishe kabisa duniani

    Kwanza tuelewe , ugaidi na uislamu ni vitu viwili tofauti. Tujikumbushe nyuma kidogo kisa cha kuuawa kwa Gadaffi wa Libya na Saadam wa Iraq , pamoja na yote wale ndio walikua wafadhili wakubwa wa makundi ya kigaidi duniani. Walitumia mabilioni mengi kufadhili makundi hayo duniani kote, Baada...
  9. Wakuperuzi

    Msaada wakuu kuhusu utaratibu wa kupata cheti cha ndoa Rita

    Naomba kufahamishwa kuhusu upatikanaji wa cheti cha ndoa cha Rita je! Kinaweza kupatikana hta kwa hawa viongozi wetu wa dini au ni Rita tu peke yake?
  10. Cavill

    Nielewesheni Wakuu, shida iko wapi?

    Wakuu aisee nna changamoto ambayo nahitaji kuielewa kabla sijaipotezea as usual but this time nahitaji msaada wenu Ili nikiipotezea nisije jiuliza maswali kama haya Tena hapo badae.. Wanawake 1. Kwanini wanawake haswa my age Kila ninapo wakuta sehemu wanazotoa services mfano canteen, kwenye...
  11. USSR

    Picha makamanda wakuu wa Hezbolah waliuwawa ya tangu kuanza kwa mashambulio ya IDF

    Karibu makamanda wote waliohudumu wameuwawa na kuchaguliwa wengine na pia watawawa tu USSR
  12. Football

    Wapi naweza kupata eneo zuri la kujenga jijini Dar Es Salaam?

    Habari za mda huu natafuta Kiwanja Dar maeneo mazuri yaliyotulia kwa ambae anacho naomba tuwasiliane bajeti yangu 10M hili jambo lipo serious na tunaweza kufanya biashara Hata leo hii nawakaribisha maoni yenu ni wapi pazuri kujenga Kwa Dar es Salaam hata kwa Kibaha itakuwa poa naomba mnitajie...
  13. E

    Nimechaguliwa kusoma Computer Engineering nisaidieni!! Vipi ajira zake zipo?

    Nimechaguliwa DIT kusoma computer Ingineering naomba kujua fursa Zake katika kujiajiri kuajiriwa pia! Niongozeni wakuu.
  14. McIntyre

    Nimefanikuwa Rasmi kufungua akaunti ya Jamii Forums leo .

    Habari zenu wana Jf? Mimi ni mwanachama Mpya, Ni kijana.... Nimefungua akaunti yangu leo hii hii, Nimefurahi kujumuika nanyi, Tutakutana huko kwenye nyuzi tofauti tofauti.. Ahsanteni!!
  15. M

    MSAADA WAKUU

    Samahani wakuu kuna dada alipima mimba juzi jumatano kipimo kikaonyesha anayo.. Hakuridhika akapima kesho yake alhamisi jioni kikaonyesha tena kwamba anayo akanunua kingine akapima ijumaa asubuhi kikaonyesha kwamba anayo... Sasa chakushangaza tarehe ya hedhi ilikua jana damu haikutoka tukajua...
  16. Acehood

    Msaada wakuu. "Microsoft Setup bootstrapper has stopped working"

    Habari za mchana wakuu. Samahani kila ninapo install Microsoft office 2007 kwenye kompyuta yangu naletewa huu ujumbe " Microsoft setup bootstrapper has stopped working". Nimejaribu kubadili setup zaidi ya mara tano bado shida Iko palpable. Leo nimeamua kupiga window upya lakini bado hii shida...
Back
Top Bottom