tundu lisu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    JamiiForums Tanzania Rachel Dangwa anaomba: Free Polepole ijumuishe kwenye slogan ya Chadema ya Free Tundu Lisu

    Ni ombi lake ingawa Polepole was an accomplice to whatever cruelty done during Magufuli era! Tunafanyaje. Weka maoni yako.
  2. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Anae lengwa kuumizwa zaidi kwenye vita inayoendelea ndani ya uongozi wa Chadema taifa ni Tundu Lissu au Chadema kama taasisi?

    Maana mivutano ni mkali sana ndani ya Chadema taifa kwasasa baina ya wanaotaka Lissu atoke korokoroni dhidi ya wale wanaotaka Lissu aendelee kusota korokoroni. Je, unadhani vita hii inalenga kumuadhibu lisu kisaikolojia akiwa korokoroni au kuidhoofisha chadema kama taasisi?🐒 Mungu Ibariki Tanzania
  3. R

    JamiiForums Tanzania Chemsha Bongo: Kati ya Tundu Lisu na Sinde Warioba nani, Mungu akitenda muujiza, nani awe Rais?

    SWALI ni hilo hapo juu. Maana chungu kimeishiwa kabisa , sana sana uchaguzi ni hao wawili
  4. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Kama Tundu Lisu atakufa na Msimamo wake. Atakuwa ndiye mtanzania shujaa wa muda wote Akifuatiwa na Magufuli. Hao watu hakuna anayesogea Kwa ukaribu

    Habari za Sabato! 1. Bado tunafuatilia mambo yanavyoendelea. 2. Shujaa na Legendary ni Yule mwenye msimamo wa Haki, mwenye uwezo wa kujitoa maisha yake kwaajili ya msimamo wake na kupigania Haki na Ukweli. 3. Si hivyo tuu. Shujaa na legendary katika level ya kitaifa ni Yule ambaye alionyesha...
  5. R

    JamiiForums Tanzania Kuchelewa kusikilizwa kwa kesinya Tundu Lisu: hii inaweza kuwa sababu?

    Kuna mtindo ambao amekuja nao Masaju, VJ kuwa kesi za Court of appeal zisikilizwe kwa mtindi wa sessions. Ikiwa na maana kuwa session inaweza kuwa ya civil, criminal, matrimonial ???(Sina uhakika kama na hii ni civil kwa mtindo wa mahakama)etc. Ukipitia TanzLII, utaina kuwa judgements zote za...
  6. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Ni Wakati wa kumtoa sasa Tundu Lisu

    Hamjambo! Inatosha. Tundu Lisu aachiwe. Tundu Lisu ni asset katika taifa. Atumiwe uzee umegonga mlango. Tumejifunza mengi kupitia Ligi zake na Serikali. Taifa na wananchi tumepata faida kubwa kupitia migogoro baina yake na serikali. Tundu Lisu atakuwa kielelezo cha vijana kuhusu uzalendo na...
  7. G

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu ni kama Nyerere, wakati anapigania uhuru watanzania wengi walikuwa wajinga hata alipotetea demokrasia asilimia 20 walimwelewa Nyerere

    Takwimu ziko wazi kipindi Nyerere anapigania uhuru asilimia kubwa ya watanzania walikuwa wajinga Kuwatetea kundi lenye watu wajinga wanaijiita machawa au mazuzu ni gharama kubwa sana. Nyerere alifanya kazi ngumu sana kuongoza kundi la watu wajinga kuhusu uhuru Aliutumia Kwa bidiii kipaji...
  8. H

    JamiiForums Tanzania Katuga na Mawakili wenzake wa Serikali waombe darasa la kufundishwa Sheria na Bingwa wa Sheria na mpigania haki wa pekee Tundu Lissu

    Kesi bandia ya uhaini dhidi ya Tundu Lisu imezidi kuweka wazi unafiki, ushetani na ujinga wa mawakili wa Serikali, jeshi la polisi na wale wendawazimu waandaaji wa kesi za mchongo. Tumeshuhudia jinsi mashahidi polisi wakidhalilika mbele ya mahakama wanapobanwa na Mtaalam wa sheria Tundu Lisu...
  9. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Unadhani ni kwanini wafuasi wa Tundu Lisu hawajai tena mahakamani, kuzua vurugu na kuchochea fujo kwenye viwanja vya mahakama kama ilivyozoeleka?

    Nini kimewachosha mapema hivyo na kuwafanya kukata tamaa? Au ni kwasababu ya nanma kibaraka lisu navyojitetea kilezy na kuashiria wazi kabisa kwamba hatoboi? Ni wazi muungwana amechoka kimwili na kiakili, na kabisa nae amekata tamaa na anaona wazi kutiwa hatiani. Gharama za ubinafsi zinamtesa...
  10. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Body language na facial expression zinaeleza wazi kwamba Lissu amekata tamaa, licha ya kujaribu kulazimisha furaha na ujasiri ambao ni wazi hana

    Inasikitisha sana kumuona amechoka phisically na kwakweli mentally ni kama yupo confused. Mbaya zaidi, mamluki na wafuasi wake ndio wanaonyesha kuchoka na kukata tamaa zaidi, licha ya kuhamasishwa kwa vitendo na mtuhumiwa wa uhaini mwenyewe eti waonyeshe furaha na ujasiri ambao wote hawana na...
  11. Kijakazi

    JamiiForums Tanzania akina Tundu Lisu wa venezuela waanza kuachiwa!

    D.Trump (USA)- wafungwa wa kisiasa waliofungwa na communist maduro wameanza kuachiwa, thanks to D.Trump, ni swala la muda tu hata akina Tundu Lisu watafikiwa, tusife moyo to fight evil ...
  12. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Nini kinachofanya ndugu Tundu Lissu mpaka sasa awe mahabusu na kesi inashindwa kuendelea?

    Binafsi kwa mawazo yangu naona ni ubabe wa watawala kwamba utafanya nini, ndani tunakuweka na kesi haisikilizwi mpaka tutakapoamua wenyewe. Hii dhambi kiukweli itakuja kuwatafuna sana. Madaraka yasi ondoe roho ya utu. Mheshimiwa Tundu Lisu kuna watu wengi sana wapo nyuma yake wanamtegemea...
  13. THE BIG SHOW

    JamiiForums Tanzania Tunaomba Mahakama isitishe kusikiliza shauri la uhaini dhidi ya Tundu Lissu hadi tume ya Rais itapokamilisha kazi yake

    Friends and Our Enemies , Sote tunajua na tunakubali ya kwamba zile fujo na vurugu zilizotokea tareh 29.10.2025 zilihamasishwa na kupangwa na makundi mbali mbali kama TEC na wanasiasa kama Lisu bila kuwasahau washirika wao wengine wanaharakati diaspora njaa. Sasa,kwa kuwa Mh Rais ameshaunda...
  14. lutemi

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Tundu LISU imekupa fundisho gani na kama angekuwa Rais wa Tanganyika kungekuwa na utawala upi bora?

    ### Mambo makuu kumi ambayo kesi ya Tundu Lissu imenifundisha kama Mtanganyika: 1. Udhaifu wa mihimili ya serikali: Kesi hii inaonyesha jinsi polisi, mahakama na upande wa mashtaka vinavyoweza kutumika kisiasa badala ya kutenda haki. 2. Ukandamizaji wa kisiasa: Mashtaka ya uhaini yanatumiwa...
  15. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Nini kinasababisha mpaka sasa Tundu Lisu asalie mahabusu? Maana ilibidi atoke November 3

    Tundu Lisu ilibidi aachiwe tangu November 3 baada ya samia kuapishwa . Naona umepita mwezi sasa tunaona kimya, kesi haisikilizwi na yeye bado hajaachiwa. Au je mamlaka husika wanaona nchi bado haijakaa sawa kutokana na hofu ya maandamano au wanahisi atakuwa chachu ya watu kuandamana akiingia...
  16. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tundu Lissu hata akiachiwa kwa sasa haina maana yoyote. Too late

    Hamjambo wote! 1. Ndugu zangu Watanzania, mnakumbuka miezi ya nyuma kidogo niliandika nyuzi takribani tatu mfululizo nikiisihi serikali kumiachia Tundu Antipas Lisu. 2. Nafikiri wengi wenu mnakumbuka. Niliandika vile kutokana na sababu kuna Jambo na mambo mengi niliyaona katika spiritual...
  17. adriz

    JamiiForums Tanzania Kutokana na Maelezo ya Tundu Lissu, Mwalimu Nyerere ndio chanzo cha utawala mbovu unaoendelea Afrika Mashariki

    Moja kwa moja. Nilikuwa natazama kwa umakini YouTube hoja za Lisu wakati alipoalikwa kuongea katika kongamano Moja katika chuo cha Makerere Uganda. Kutokana na Maelezo yake alimsifia Mwalimu kwa jitihada zake za ukombozi Afrika , kutopenda ufisadi na kujilimbikizia Mali Kisha akaenda kwenye...
  18. mwehu ndama

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu aliliona hili, hatimae Leo tunaishi katika maneno yake

    Alikua mbele ya muda
  19. sergio 5

    JamiiForums Tanzania TUndu Lissu hutoa wapi taarifa?

    Jana mahakamani
  20. Superbug

    JamiiForums Tanzania Awamu ya kwanza haikumnyonga Bibi Titi Mohamed. Je, ya sita itamnyonga Tundu Lissu ikiwa atatiwa hatiani?

    Naomba niulize wajuvi na wajuzi wa mambo ni kweli wanawake wana huruma sana kimaumbile sasa swali langu Nyerere hakumnyonga bibi Titi Mohamed; Je, awamu hii itamnyonga Tundu Lissu mkatoliki? Tena hapa kuna mbadilishano wa dini na jinsia.
Back
Top Bottom