Hamjambo!
Sisi tunatazama. Tunafuatilia kila kitu kwa ukaribu sana. Tunahakikisha hatutapitwa na chochote. Ingawaje kuna baadhi ya episodes hatuzielewi na kuzifanyia tathmini inachukua muda.
Katika mchezo wa Chess huo ndio napenda kuutumia katika mambo ya kisiasa. Kwa sababu unaakisi hali...
Rule of law inasema no one above the law.
Naamini nchi yetu inaendeshwa Kwa mujibu wa Sheria sio mtu mmoja ajikurupia TU kutaka kupindua serikali
Nashauri mashahidi hao watatu wakatiwe rufaa Ili wake wathinishe uhaini kama ni mtu kunyongwa anyongwe Kwa haki.
Tutakuwa hutajamtendea haki...
Jamaa amekabidhiwa chama majuzi tu lakini kimeshinda yeye siasa kwake ni kurumisha mitusi mwanzo mwisho. Kwake hakina pont of consensus hata kidogo.
Inawezekana ana akili ya darasani ili hekima zero.
Alichapwa risasi 32 mama akaenda kumtoa huko ughaibuni kwa kumhurumia na baada ya kufika...
Moja ya taarifa kubwa iliyotikisa vyombo vya habari mwaka huu ilikuwa ni kukamatwa kwa Rais wa Venezuela, bwana Nicolás Maduro na vikosi vya Marekani tarehe 3 Januari 2026, huko Caracas, Venezuela, katika operesheni ya kijeshi iliyoitwa Operation Absolute Resolve.
Ingawa tarehe 5 Januari 2026...
Hamjambo!
Kuna Wanasiasa wa Msimu. Akiingia kiongozi huyu wanakuwa wakali kama viwavi jeshi. Akitoka huyu na kuingia mwingine wanakuwa kimya.
Hali hiyo inawafanya waonekane wanasiasa wenye maslahi fulani au ubaguzi hivi.
Hata ingekuwa ni mimi ndiye nimeingia madarakani. Yaani wakati wa...
Hamjambo wote!
Nilikuwa najiulizaga kwa nini watu wengi hawapendi kufikishana mahakamani. Iwe kama shahidi, mshtaki au mshtakiwa.
Kushtakiwa niliwaona wanaona hoja. Lakini mashahidi na wenye mashtaka sikuona haja ya wao kuogopa kwenda Mahakamani
Lakini kesi ya Lisu imenifumbua macho.
Huko...
Friends and Our Enemies,
Ukistaajabu ya Nchimbi utayaona ya Chama Cha Maandamano,
Kuna taarifa zinazagaa zagaa zikielezea kuwa John Heche na Genge lake linahaha kuwatafuta CCM ili wawashawishi wamtoe lupango Tundu Lisu ili waunde serikali ya mseto wao na CCM ili kushughulikia masuala ya nchi...
Hamjambo!
Bila kuwa na maneno mengi. Ni hakika katika nchi yetu kama ingekuwa zamani basi leo hii tungekuwa na Nabii aitwaye Tundu Antipas Lissu.
Anatimiza vigezo vyote vya kuwa Nabii.
Nimewasoma kina Daniel, Ezekiel, Kina Yeremia, kina Isaya na wengineo.
Kwa mambo anayoyafanya Lisu ni wazi...
Ninaandika andiko hili nikiwa katika fikra pevu sana.
Ninakumbuka katika maandiko Yesu aliposulubiwa ilifika hatua Alilia kwa sauti na Kusema Mungu wangu Mungu Wangu,Mbona umeniacha?
Nimefuatilia sana sakata la Lisu,Swali ambalo nimekuwa najiuliza na hata sasa najiuliza Je Tundu Lisu anajtoa...
Unaambiwa jamaa kajilinda dk zote tisini akimeza mashambulizi ya timu pinzani . Kwenye dk za nyongeza tano kasimamisha sub hatari
1. Straiker: Samia!
2. Winga: Philipo
3. Midfielder: Majaliwa
4. Beki : Heche
Kudadeki watu wanaita refa amalize game ili watu hao wasipate namba zitapigwa pass...
Nilisema nimejiweka tayari kuzibua masikio yangu yote kumsikiliza Dr Nchimbi kama analo jipya la kuwaambia waTanzania juu ya ubovu wa chama chake.
Hii ni bila kuathiri uamzi wangu niliokwisha hitimisha kwamba "Kupona kwa Tanzania, hakuna budi CCM yenyewe ife", kwanza.
Nimemsikia Dr Nchimbi...
Hamjambo!
Naona hasimu wa Lissu wanachokifanya kutumia mbinu ya kumchosha na kumpotezea Muda wake.
Mbinu hii kisiasa hasa zile siasa chafu inafanyaga kazi hasa kwa watu wenye misimamo mikali kama aina ya Tundu Lisu.
Kuna watu huwezi kuwashinda kwa kifo. Na hawaogopi kufa. Lakini mbele ya muda...
Mfungulieni Lissu, Acheni blabla.
Kumlazimiaha Lissu akubali kufanya Maridhiano akiwa ndani ya Kuta za MAGEREZA ndipo atoke jel, ni sawa na kumlazimisha mtu kusaini nyaraka akiwa amewekewa mtutu wa bunduki kichwani.
Mnasingizia eti Kuna mwenzenu mmoja ndio anatia ugumu. Endeleeni na Maridhiano...
Aachiwe huru mara moja na kisha akamatwe tena hapo hapo baada ya kesi kufunguliwa upya, ili hatimae ushahidi mpya utumike katika kumtia hatiani na apewa haki anayostahili kama watuhumiwa wa uhaini wengine duniani.
Hii itasaidia sana kutokuingilia uhuru na maamuzi ya mahakama za Tanzania, lakini...
baada
hapo
huru
kesi
kufunguliwa
kukamatwa
kwa mujibu wa sheria
lisu
mashtaka
mpya
mujibu wa sheria
napendekeza
nyongeza
sheria
tena
tundutundulisu
upya
ushahidi
Bado tunafuatilia!
Kila mara nimesikia viongozi mbalimbali wa upinzani, wa chama Dola, waastafu, watu maarufu kwenye media wakizungumza kauli inayofanana na hii: Mtafanyaje mazungumzo wakati Tundu Lisu kiongozi wa CHADEMA yuko ndani?
Swali hilo lina maana kubwa sana zenye tafsiri kadhaa. Huku...
Huwa naangalia drama za Tundu Lissu akipelekwa au akiwa mahakamani nashindwa kuelewa tatizo liko wapi. Ni kwamba serikali, polisi na magereza wanaogopa atatoroka au nini hasa, kwamba watu watafanya mission ya kumtorosha? Watu wa nje wanataka kumtorosha?
Nafikiria ulinzi unaokuwepo pale ni zaidi...
Maana mivutano ni mkali sana ndani ya Chadema taifa kwasasa baina ya wanaotaka Lissu atoke korokoroni dhidi ya wale wanaotaka Lissu aendelee kusota korokoroni.
Je, unadhani vita hii inalenga kumuadhibu lisu kisaikolojia akiwa korokoroni au kuidhoofisha chadema kama taasisi?🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Habari za Sabato!
1. Bado tunafuatilia mambo yanavyoendelea.
2. Shujaa na Legendary ni Yule mwenye msimamo wa Haki, mwenye uwezo wa kujitoa maisha yake kwaajili ya msimamo wake na kupigania Haki na Ukweli.
3. Si hivyo tuu. Shujaa na legendary katika level ya kitaifa ni Yule ambaye alionyesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.