tundu lisu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Baada ya kumshindwa Tundu Lisu, wameamua kumfuata namba 2 wa CHADEMA. Je wataweza?

    Hamjambo! Sisi tunatazama. Tunafuatilia kila kitu kwa ukaribu sana. Tunahakikisha hatutapitwa na chochote. Ingawaje kuna baadhi ya episodes hatuzielewi na kuzifanyia tathmini inachukua muda. Katika mchezo wa Chess huo ndio napenda kuutumia katika mambo ya kisiasa. Kwa sababu unaakisi hali...
  2. G

    JamiiForums Tanzania Baada ya CDF IGP DCI Kuwasilisha ushahidi wao mahakamani Tundu Lisu akate rufaa ya kuomba PM VP na Mh Rais Kuja mahakamani kosa la uhaini ni zito

    Rule of law inasema no one above the law. Naamini nchi yetu inaendeshwa Kwa mujibu wa Sheria sio mtu mmoja ajikurupia TU kutaka kupindua serikali Nashauri mashahidi hao watatu wakatiwe rufaa Ili wake wathinishe uhaini kama ni mtu kunyongwa anyongwe Kwa haki. Tutakuwa hutajamtendea haki...
  3. D

    JamiiForums Tanzania Kikwete aliona mbali sana kwamba ni kheri Slaa kuwa rais kuliko Tundu Lissu

    Jamaa amekabidhiwa chama majuzi tu lakini kimeshinda yeye siasa kwake ni kurumisha mitusi mwanzo mwisho. Kwake hakina pont of consensus hata kidogo. Inawezekana ana akili ya darasani ili hekima zero. Alichapwa risasi 32 mama akaenda kumtoa huko ughaibuni kwa kumhurumia na baada ya kufika...
  4. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania Lissu ana somo la kujifunza kutoka kwa María Corina Machado wa Venezuela

    Moja ya taarifa kubwa iliyotikisa vyombo vya habari mwaka huu ilikuwa ni kukamatwa kwa Rais wa Venezuela, bwana Nicolás Maduro na vikosi vya Marekani tarehe 3 Januari 2026, huko Caracas, Venezuela, katika operesheni ya kijeshi iliyoitwa Operation Absolute Resolve. Ingawa tarehe 5 Januari 2026...
  5. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Consistency ya Tundu Lissu kukosoa serikali za awamu zote inafanya watu wamuamini tofauti na wale Wanasiasa wa msimu

    Hamjambo! Kuna Wanasiasa wa Msimu. Akiingia kiongozi huyu wanakuwa wakali kama viwavi jeshi. Akitoka huyu na kuingia mwingine wanakuwa kimya. Hali hiyo inawafanya waonekane wanasiasa wenye maslahi fulani au ubaguzi hivi. Hata ingekuwa ni mimi ndiye nimeingia madarakani. Yaani wakati wa...
  6. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Kwa hiki kinachoendelea mahakamani kwenye kesi ya Tundu Lisu, sasa naelewa kwa nini watu hawapendi kupanda kizimbani

    Hamjambo wote! Nilikuwa najiulizaga kwa nini watu wengi hawapendi kufikishana mahakamani. Iwe kama shahidi, mshtaki au mshtakiwa. Kushtakiwa niliwaona wanaona hoja. Lakini mashahidi na wenye mashtaka sikuona haja ya wao kuogopa kwenda Mahakamani Lakini kesi ya Lisu imenifumbua macho. Huko...
  7. THE BIG SHOW

    JamiiForums Tanzania Tetesi: CHADEMA wanapambana kuiomba CCM wampe Tundu Lissu nafasi ya Umakamu ili waunde Serikali ya mseto

    Friends and Our Enemies, Ukistaajabu ya Nchimbi utayaona ya Chama Cha Maandamano, Kuna taarifa zinazagaa zagaa zikielezea kuwa John Heche na Genge lake linahaha kuwatafuta CCM ili wawashawishi wamtoe lupango Tundu Lisu ili waunde serikali ya mseto wao na CCM ili kushughulikia masuala ya nchi...
  8. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu kwa maisha ya zamani sasa hivi tungemsoma kama Nabii mkubwa

    Hamjambo! Bila kuwa na maneno mengi. Ni hakika katika nchi yetu kama ingekuwa zamani basi leo hii tungekuwa na Nabii aitwaye Tundu Antipas Lissu. Anatimiza vigezo vyote vya kuwa Nabii. Nimewasoma kina Daniel, Ezekiel, Kina Yeremia, kina Isaya na wengineo. Kwa mambo anayoyafanya Lisu ni wazi...
  9. ubongokid

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu anajitoa Kafara au anapigania Haki?

    Ninaandika andiko hili nikiwa katika fikra pevu sana. Ninakumbuka katika maandiko Yesu aliposulubiwa ilifika hatua Alilia kwa sauti na Kusema Mungu wangu Mungu Wangu,Mbona umeniacha? Nimefuatilia sana sakata la Lisu,Swali ambalo nimekuwa najiuliza na hata sasa najiuliza Je Tundu Lisu anajtoa...
  10. Olmo

    JamiiForums Tanzania Sub za Tundu Lissu zinawatisha wapinzani wanataka wamalize game iishe sare

    Unaambiwa jamaa kajilinda dk zote tisini akimeza mashambulizi ya timu pinzani . Kwenye dk za nyongeza tano kasimamisha sub hatari 1. Straiker: Samia! 2. Winga: Philipo 3. Midfielder: Majaliwa 4. Beki : Heche Kudadeki watu wanaita refa amalize game ili watu hao wasipate namba zitapigwa pass...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Tuwe wakweli kwa nafsi zetu. Ni nani mwingine CCM zaidi ya Dkt. Nchimbi anayeweza kusema jambo na WaTanzania wakamsikiliza

    Nilisema nimejiweka tayari kuzibua masikio yangu yote kumsikiliza Dr Nchimbi kama analo jipya la kuwaambia waTanzania juu ya ubovu wa chama chake. Hii ni bila kuathiri uamzi wangu niliokwisha hitimisha kwamba "Kupona kwa Tanzania, hakuna budi CCM yenyewe ife", kwanza. Nimemsikia Dr Nchimbi...
  12. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Mkakati wa kumchosha na kumpotezea Muda Tundu Lisu utafanya kazi?

    Hamjambo! Naona hasimu wa Lissu wanachokifanya kutumia mbinu ya kumchosha na kumpotezea Muda wake. Mbinu hii kisiasa hasa zile siasa chafu inafanyaga kazi hasa kwa watu wenye misimamo mikali kama aina ya Tundu Lisu. Kuna watu huwezi kuwashinda kwa kifo. Na hawaogopi kufa. Lakini mbele ya muda...
  13. L

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kumtaka Tundu Lissu akubali kushiriki Mariadhiano akiwa kifungoni ni Utekaji pia

    Mfungulieni Lissu, Acheni blabla. Kumlazimiaha Lissu akubali kufanya Maridhiano akiwa ndani ya Kuta za MAGEREZA ndipo atoke jel, ni sawa na kumlazimisha mtu kusaini nyaraka akiwa amewekewa mtutu wa bunduki kichwani. Mnasingizia eti Kuna mwenzenu mmoja ndio anatia ugumu. Endeleeni na Maridhiano...
  14. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Napendekeza Tundu Lisu aachiwe huru kwa mujibu wa sheria, akamatwe tena na kufunguliwa mashtaka upya yenye ushahidi mpya uliothibishwa.

    Aachiwe huru mara moja na kisha akamatwe tena hapo hapo baada ya kesi kufunguliwa upya, ili hatimae ushahidi mpya utumike katika kumtia hatiani na apewa haki anayostahili kama watuhumiwa wa uhaini wengine duniani. Hii itasaidia sana kutokuingilia uhuru na maamuzi ya mahakama za Tanzania, lakini...
  15. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Je, Tundu Lissu kuwekwa ndani ni mbinu ya kuwarudisha CHADEMA kwenye line wamtumie kutaka maridhiano?

    Bado tunafuatilia! Kila mara nimesikia viongozi mbalimbali wa upinzani, wa chama Dola, waastafu, watu maarufu kwenye media wakizungumza kauli inayofanana na hii: Mtafanyaje mazungumzo wakati Tundu Lisu kiongozi wa CHADEMA yuko ndani? Swali hilo lina maana kubwa sana zenye tafsiri kadhaa. Huku...
  16. S

    JamiiForums Tanzania Hizi drama dhidi ya Lissu mahakamani, kukiwa na mabunduki mengi, lundo la maofisa magereza nk, ni kuwa wanaogopa atatoroka au hawana kazi za kufanya?

    Huwa naangalia drama za Tundu Lissu akipelekwa au akiwa mahakamani nashindwa kuelewa tatizo liko wapi. Ni kwamba serikali, polisi na magereza wanaogopa atatoroka au nini hasa, kwamba watu watafanya mission ya kumtorosha? Watu wa nje wanataka kumtorosha? Nafikiria ulinzi unaokuwepo pale ni zaidi...
  17. R

    JamiiForums Tanzania Rachel Dangwa anaomba: Free Polepole ijumuishe kwenye slogan ya Chadema ya Free Tundu Lisu

    Ni ombi lake ingawa Polepole was an accomplice to whatever cruelty done during Magufuli era! Tunafanyaje. Weka maoni yako.
  18. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Anae lengwa kuumizwa zaidi kwenye vita inayoendelea ndani ya uongozi wa Chadema taifa ni Tundu Lissu au Chadema kama taasisi?

    Maana mivutano ni mkali sana ndani ya Chadema taifa kwasasa baina ya wanaotaka Lissu atoke korokoroni dhidi ya wale wanaotaka Lissu aendelee kusota korokoroni. Je, unadhani vita hii inalenga kumuadhibu lisu kisaikolojia akiwa korokoroni au kuidhoofisha chadema kama taasisi?🐒 Mungu Ibariki Tanzania
  19. R

    JamiiForums Tanzania Chemsha Bongo: Kati ya Tundu Lisu na Sinde Warioba nani, Mungu akitenda muujiza, nani awe Rais?

    SWALI ni hilo hapo juu. Maana chungu kimeishiwa kabisa , sana sana uchaguzi ni hao wawili
  20. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Kama Tundu Lisu atakufa na Msimamo wake. Atakuwa ndiye mtanzania shujaa wa muda wote Akifuatiwa na Magufuli. Hao watu hakuna anayesogea Kwa ukaribu

    Habari za Sabato! 1. Bado tunafuatilia mambo yanavyoendelea. 2. Shujaa na Legendary ni Yule mwenye msimamo wa Haki, mwenye uwezo wa kujitoa maisha yake kwaajili ya msimamo wake na kupigania Haki na Ukweli. 3. Si hivyo tuu. Shujaa na legendary katika level ya kitaifa ni Yule ambaye alionyesha...
Back
Top Bottom