tundu antipas lissu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Jemima Mrembo

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa kutupia picha mbalimbali na video za Rais wa Tanzania ajaye, Tundu Antipas Lissu ili kumtia moyo kwenye kupambania katiba, utu na haki

  2. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Heche: Hakuna mazungumzo yatakayofanyika bila Mwenyekiti kuwa Nje

    Kaimu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, ametoa msimamo wa chama hicho akisema hakutakuwa na mazungumzo yoyote na Serikali iwapo Mwenyekiti wa Chama hicho, Tundu Lissu, atakapoachiwa huru na vikao halali vya Chama kuketi na kutoa uamuzi kuhusu hatua zinazofuata. Heche ametoa msimamo huo Julai...
  3. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Ni mda sasa wa Tundu Antipas Lissu kuandika kitabu cha kuhusu maisha yake

    Maisha ya Lissu yamekua ya mchaka mchaka toka anasoma mpaka kwenye SIASA ni maisha yaliyojaa milima na mabonde kwa ushawishi alionao ni mda wa Lissu kutupatia kitabu kinachoeleza maisha yake. Kwa ushawishi ulionao Lissu najua atauza nakala za kutosha kuna mengi hatuyajui kuhusu Lissu...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Heche: Lissu ana influence kubwa kwenye nchi hii, iwe CCM au CHADEMA hakuna mtu analingana naye

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche akizungumza katika mahojiano kwenye kipindi cha Super breakfast cha EATV radio leo Juni 17, 2026. "Lissu ni mtu ambaye influence yake kwenye nchi hii ni kubwa kuliko mwanasiasa mwingine yeyote across the board. Ikiwemo...
  5. britanicca

    JamiiForums Tanzania Kesi ilihairishwa ili Lissu apewe option 2. Apewe stahiki zote kukaa gerezani (5B) au awekwe under home arrest kwa Mwaka Mzima, bado ni kizungumkuti

    Nipata Mawasiliano ya mtu mzito CCM amenambia Lissu amekaba hoja zote hawana jipya, leo ilikuwa afikishwe Mahakamani lakini Jana nilivyodekeza sehemu Dawati la Ikulu wakiwa na watu wanne wa upande wa Magereza 1. Jeremiah Yoram Katuma 2. Emmanuel Malisa, 3. Edith Mbogo Ndani ya ukumbi wa...
  6. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Jamani tunaomba mwachie Tundu Antipas Lissu bila masharti yoyote tunaomba mrudisheni Polepole bila masharti yoyote hii Nchi yetu sote

    Tunajua nyie mmeshika mpini sisi tumeshika makali tunaomba sasa mwachieni Balozi Polepole tunaomba sana mwachieni Tundu Antipas Lissu hawa ni watanzania wenzetu tunapkosana na kukosea tujifunze kua wavumilivu Kumwekana sawa kumweka Tundu Lissu jela na kuendelea kumshikilia Polepole sio...
  7. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Emanuel Nchimbi Vs Tundu Antipas Lissu. Nitaondoka na Tundu Lissu japokua Emanuel ni mwana CCM mwenzangu atanisamehe

    CCM wakimsimamisha Emanuel na Lissu nafasi ya urais nitaondoka na Lissu sio Emma japokua mwana ccm mwenzangu nina sababu za msingi kama tatu. Emanuel ni mtu mwenye misimamo Ila ni mtu muoga hawezi kutoka kusimamia anachokiamini mpaka mwisho. Walivyomkata Lowasaa 2015 yeye na sophia simba ndo...
  8. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania John Heche: Lissu ana siku 350 Gerezani

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche, ameiomba Mahakama iitishe na kusikiliza kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama hicho, Tundu Lissu ili kesi iishe na Lissu akafanyiwe matibabu ambapo amesema kama Lissu atapatwa na lolote akiwa gerezani kuna Watu watalazimika kujibu ni nini kimempata...
  9. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Sugu: Nilikuwa team Mbowe, ila Lissu ni mwanangu

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu, amesema kwamba ingawa katika uchaguzi wa ndani wa chama hicho alimuunga mkono Freeman Mbowe, katika maisha yake binafsi alikuwa rafiki zaidi wa Tundu Lissu tangu walipokuwa pamoja bungeni...
  10. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Kwa mateso haya ya gerezani ingekuwa ni Freeman Mbowe angekuwa ameshajipeleka Ikulu na kupewa juisi na kuwasaliti watanzania

    Mbowe alipenda sana siasa za kujaza tumbo lake. . Alikuwa yupo tayari kuuza watu ili mradi yeye na tumbo lake washibe na kwenda chooni. Kwa namna alivyoteswa Tundu Lissu leo hii Mbowe angekuwa ameenda Ikulu kunywa juisi za Ceres. Lissu hanunuliki. Na hii ndio Sababu CHADEMA inazidi kuwa na nguvu.
  11. Heparin

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Lissu anyimwa tena faragha ya kuzungumza na mawakili wake gerezani Ukonga, barua aliyoandika kuhoji mwenendo wa kesi yatumia siku 10 kumfikia Msajili

    Leo (Jana, Desemba 17, 2025) nimemtembelea Mteja wangu Mhe Lissu, Ukonga Gerezani kujadiliana naye hatima ya kesi zinazomkabili, ashukuliwe Mungu kwa kuendelea kumjalia afya na siha njema kiongozi. Gerezani kuna utaratibu mpya umeanzishwa ambao ni kinyume cha sheria, Nilichokutana nacho leo...
  12. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tundu Lissu: Wote waliohusika na mauaji ya watanzania lazima wawajibike au wawajibishwe

    Nilisema humu kuwa hakutakuwa na Msalia mtume wala nini. Tatizo mmeua sana Ndugu zetu, mmeua Sanaa. Hamjaishia kuua, Mmezika kwa Halaiki, haikutosha, Mmechoma Miili ya Ndugu zetu. Oaaaa unyama mloufanya kwa Taifa hili, NI LAZIMA TUTAWANYONGA, TUTAWAFUNGA NA TUTAWAFILISI TU.
  13. Heparin

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Lissu 'Tutakinukisha' saivi miezi 9 yupo gerezani. Shehe 'Tutakata watu vichwa' bado yupo mtaani anakunywa Alkasusu

    Nchi hii inashangaza sana. Kuna double standard ya hali ya juu mno. Aliyesema atakinukisha hakuchukua round akawekwa nyuma ya nondo, saivi anapambana asinyongwe hadi kufa. Lakini aliyesema atakata watu vichwa yupo mtaani tu anajidai na kunywa alkasusu bila shida. Lakini tutashinda. Safari hii...
  14. Heparin

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Lissu aiomba Mahakama Kuu imuunganishe kama mdaiwa kwenye kesi ya Mgawanyo wa Mali za Chama

    Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mhe Tundu A. Lissu amewasilisha Maombi mahakama kuu ya Tanzania akiomba kuunganishwa kwenye shauri namba 8323/2025 lililofunguliwa na SAID ISSA MOHAMED na wenzake dhidi ya Bodi ya wadhamini wa Chama na Katibu Mkuu wa Chama. Mhe Lissu anaiomba mahakama aunganishwe...
  15. Heparin

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kizungumkuti Makahama Kuu, Lissu hajafikishwa kuendelea na kesi ya Uhaini kwa sababu za kiusalama

    Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu imeanza kusikilizwa katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam leo, Jumatatu Novemba 10.2025 Hata hivyo, tofauti na siku zote ambapo Lissu ambaye anajitetea mwenyewe kwenye...
  16. Heparin

    JamiiForums Tanzania GE2025 Uhaini wa Lissu kuendelea kusikilizwa tena Novemba 10, 2025 Mahakama Kuu kanda ya Dar

    KESI ya uhaini namba 19605/2025 inayomkabili Tundu Lissu, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), inatarajiwa kuendelea siku ya jumatatu, tarehe 10 Novemba 2025, katika Mahakama Kuu masjala ndogo ya Dar es Salaam.
  17. Heparin

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwanzoni nililaumu Lissu na Heche kuwa mikononi mwa dola, kwa kilichotokea Oktoba 29, hawa watu kwasasa wangekuwa marehemu

    Mungu anaweza kukunusuru kutoka kwenye janga fulani bila wewe kujua. Kwa tulichokiona kuanzia Oktoba 29, 2025, bila shaka Tundu Lissu na John Heche wangekuwa uraiani sasa hivi tusingekuwa nao. Ni dhahiri, serikali hii dhalimu ingewaua wakiwa makazini kwao, hata kama wasingeandamana. Kama...
  18. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kesi ya Lissu yaahirishwa hadi Novemba 3, 2025, shahidi wa nne wa Jamhuri ‘akwama mkoani’

    Kutoka Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam, kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu imehairishwa leo, Ijumaa Oktoba 24.2025 hadi Novemba 03.2025 Kesi hiyo imehairishwa kufuatia ombi la Jamhuri lililowasilishwa Mahakamani hapo likieleza kuwa, leo...
  19. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania Ninadhani Lissu ni salama zaidi huko mahabusu kuliko huku uraiani

    Kwa yaliyotokea kwa Heche, Polepole, ukimya wa Gwajima, naona kabisa bora Lisu aendelee kukaa hukohuko mahabusu kuliko uraiani. Nchi inatisha kwa sasa, na Lisu ndiye mtu pekee anayetazamiwa na wengi kuwavusha kwenye nchi ya ahadi. Sasa tuangalie upande wa pili kama Lisu akarudi uraiani na...
  20. Heparin

    JamiiForums Tanzania Lissu amkaba Shahidi wa Jamhuri Mahakamani, ahoji elimu yake ya 'Mafriji' kasomea wapi

    Kumsikiliza Lissu akiwasulubu mashahidi wa mchongo wa Jamhuri ni jambo la kufurahisha sana. Leo kamkaba shahidi wa pili kuhusu elimu yake ya kuunga unga kwenye kesi yake ya Ugaidi. Ni polisi, mtaalamu wa cyber ila kasomea kutengeneza mafriji.
Back
Top Bottom