Rais Samia mwenye kujawa na ustahimilivu

Rais Samia mwenye kujawa na ustahimilivu

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,773
Reaction score
1,174
Wakati wote Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameendelea kusimama imara katika falsafa yake ya uongozi ya 4R kwa kuitekeleza kwa vitendo.

Ameendelea kuwa mwenye ustahimilivu hata pale anapotolewa maneno machafu dhidi yake, amekuwa akitumia hekima na busara , mwenye kuyasikiliza, kuyapuuzia na kuendelea kuchapa kazi kwa maslahi mapana ya Taifa na Watanzania kwa ujumla.

#SamiaApp

 
Back
Top Bottom