kampeni

Hylarana kampeni is a species of true frog in the genus Hylarana. It is native to Sumatra, Indonesia. It lives in primary rainforest along streams above 700 m (2,300 ft).

View More On Wikipedia.org
  1. A

    JamiiForums Tanzania KERO Vijana tulioshiriki katika Kampeni ya Chanjo ya Polio - Misungwi (Mei 2026) hatujalipwa posho zetu

    Vijana tulioshiriki katika kampeni ya chanjo ya polio iliyofanyika kuanzia tarehe 7 hadi 10 Mei 2026 katika mikoa ya Kanda ya Ziwa na Kanda ya Kati. Mimi nilifanya kazi katika Wilaya ya Misungwi, Mkoa wa Mwanza, kama mhamasishaji wa jamii kuhusu umuhimu wa chanjo kwa watoto wenye umri wa miaka 0...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Kampeni za Dada Happy wa CCM zimedoda

    Kuna jamaa mmoja mwenye jina la kike anapigia kampeni CCM! Naona kazidiwa hoja🤦🏾‍♂️🤦🏾‍♂️
  3. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Songolo: Hakuna bodaboda aliyefunga bendera ya chama kwenye Kampeni bure, tuliwalipa walikuwa kwenye biashara

    Meya wa Kinondoni, Songoro Mnyonge, amesema waendesha bodaboda walioshiriki katika kampeni za vyama vya siasa hawakufanya hivyo bure, bali walilipwa kwa huduma zao kama sehemu ya shughuli za kibiashara. "Nilikuwa namsikia mbunge mmoja juzi anazungumza kwenye bunge, kwamba hawa watu [Bodaboda]...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Ni ujinga wazanzibari 4% ya Watanzania kupiga kampeni za kibaguzi!!! kwa 96%

    Ni ujinga wazanzibari 4% ya Watanzania kupiga kampeni za kibaguzi!!! kwa 96%. Wabunge kutoka zanzibar wameanza kampeni za kibaguzi na kumuita huyu VP fake Yuda. Sasa hii inaweza kuleta fikra za kibaguzi kwa Watanzania pamoja na uvumilivu ubaguzi kwa watanganyika ni mkubwa sana kipindi hiki...
  5. University of Dodoma (UDOM)

    JamiiForums Tanzania UDOM yazindua rasmi kampeni za uchaguzi wa serikali ya wanafunzi (UDOSO 2026/27)

    Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma, Prof. Lughano Kusiluka, leo Ijumaa tarehe 22 Mei 2026 katika ukumbi wa CIVE Auditorium, amezindua rasmi kampeni za uchaguzi wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOSO) katika hafla iliyowakutanisha viongozi wa chuo, Tume ya Uchaguzi, wagombea...
  6. E

    JamiiForums Tanzania Ile FBI tulio ahidiwa kwenye kampeni itaundwa imeishia wapi!?

    Kipindi Cha kampeni tuliahidiwa to Tanzia itaunda FBI, sasa sijui imeishia wapi
  7. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Huyu billionea george soros ni nani haswa? Mtu anaesadikika kufadhili kampeni za kusambaza maudhui ya kishoga duniani kwa kununua haki za televisheni

    Namuona huyu mtu akitajwa sana kwenye maandamano ya kumpinga trump, maandamano ya upinde na maandamano ya free palestine. Mwenye moja mbili tatu zake anishtue
  8. October 2pm

    JamiiForums Tanzania Nikiwa kama MwanaCHADEMA Kanda ya Pwani. Nitapiga kampeni Halima Mdee arejeshwe. Tuanze na Kura humu mtandaoni

    Hehee! Kumekucha na Makucha yake. Halima Mdee ndani ya nyumba. Twajua afanya makosa lakini kosa moja lafutaje jasho na damu zake peke zake. Nitapiga nakupiga kampeni. Erythrocyte tunajua ugomvi wako na Halima Mdee haujaanza juzi wala Jana. Umekwama. Na bado
  9. Mindyou

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Diamond Platnumz: Wanaweka nguvu kwenye mpira. Wasanii wanatudharau, wanatuthamini kipindi cha kampeni tu

    Wakuu, Naona ndugu zetu washaanza kutoa milio huko 😂 Tuliwaambia waachane na siasa wasimame na wananchi wakakaza shingo. Sasa hivi wameshatumika wanatoa milio. Malipo ni hapa hapa duniani! ------- Msanii Diamond Platnumz, akizungumza leo, Machi 31, 2026, katika mahojiano maalum na kituo...
  10. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Kataa ndoa ni kampeni ya kijinga kuliko zote duniani

    Ndoa ni mpango wa Mungu,ni mpango wenye manufaa makubwa sana kwa binadamu. Hivi sasa kumezuka kampeni ya kupinga ndoa,kwa musingi ya dosari za kibinadamu baina wa wanawake na wanaume.Hakuna anayekataa Kuwa ndoa hazina changamoto lakini manufaa yake ni makubwa mno kuliko matatizo. Ndoa...
  11. Parabolic

    JamiiForums Tanzania TCB Yazindua Kampeni Kuwezesha Ndoto za Watanzania

    Benki ya Biashara Tanzania (TCB) imezindua kampeni maalum inayolenga kuwawezesha Watanzania kufikia ndoto zao kwa kuwapatia suluhisho sahihi za kifedha, hatua inayotarajiwa kuchochea ukuaji wa uchumi na kuongeza ustawi wa jamii. Kampeni hiyo inalenga kuimarisha upatikanaji wa huduma za kifedha...
  12. Yoda

    JamiiForums Tanzania Ni watu maarufu wanasilimu kwa kasi bongo au watu kusilimu huambatana na kampeni kubwa ya matangazo?

    Wabillahi taufiq, Nimeona taarifa za kusilimu kwa watu maarufu wa mitandaoni bongo hivi karibuni, kuanzia Pierre Liquid, Snura majanga na Gigy money. Watu wakisilimu taarifa zao hujaza sana mitandaoni kuanzia kusilimu kwao, kufunga ndoa za Kiislamu na kwenda kuhiji Mecca. Sijawahi kuona...
  13. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Kampeni zimeisha, pikipiki na baiskeli alizogawa Samia zinadaiwa huko

  14. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Hizi ni kampeni zisizo rasmi zinazonikera mno mtandaoni

    1. Usile wanga 2. Usioe single mother 3. Unaweza anza biashara bila hata mtaji 4. Usioe asiye bikra 5. Usioe mwanamke mwenye miaka 30+ 6. Usipeleke mtoto A - level.. mpeleke chuo. ONGEZEA ZINGINE
  15. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Gen z kuja na kampeni ya kuacha kutumia huduma za airtel Tanzania kama walivyofanya kwa wasanii wao ndio wanawapa hela ya kula

    Gen z kuja na kampeni ya kuacha kutumia huduma za airtel Tanzania kama walivyofanya kwa wasanii wao ndio wanawapa hela ya kula. Vita ni vita
  16. Damaso

    JamiiForums Tanzania Goli la Mama, lakini Kombe halionekani: Taifa Stars Kati ya Ahadi na Kampeni

    Kauli ya Serikali kwamba “goli la mama lipo… safari hii tutavunja rekodi” imeamsha mjadala mzito miongoni mwa wadau wa soka nchini. Wakati fainali za AFCON zikikaribia Desemba 21, 2025, matumaini yanapandishwa juu kupitia kauli tamu, zawadi nono na misafara ya wajumbe. Lakini swali la msingi...
  17. Pfizer

    JamiiForums Tanzania TCB yazindua kampeni ya Sikukuu yenye Rejesho la 10% kwa Wateja

    Benki ya Biashara Tanzania (TCB) imezindua Kampeni Kabambe ya Msimu wa Sikukuu kwa ajili ya kuwazawadia wateja wake wanaofanya malipo kwa kutumia kadi ya Popote Visa, ambapo watapata rejesho la 10% kwa kila muamala unaokidhi vigezo vilivyowekwa na benki. Akizungumza jijini Dar es Salaam katika...
  18. sanalii

    JamiiForums Tanzania Kwanini wapiga kura Mil. 31 wa CCM wasiwasapoti wasanii waliowaburudisha kipindi cha kampeni?

    Wasanii walishiriki kampeni upande ambao ulipata kura mil. 31, ushindi mkubwa kabisa huu!. Sasa hawa watu ambao ni nusu ya watanzania kwanini wasiwasapoti? Kama waliweza kwenda kupiga kura hatika tension ile wanashindwa kuingia youtube kuwasapoti? Hakika uongo una lifespan ndogo sana, Huyu...
  19. L

    JamiiForums Tanzania Katoa onyo kali kwa cabinet na CCM: Rais anawekwa na Mungu, msianze kampeni. Ni mpango wake kusimika mtu wake 2030

    Kwa wale walioshindwa ku stomach spichi yote ya Samia jana wakamzima katikati, Rais kaongelea 2030, from nowhere! Kaanza mbio za 2030 wakati watu hatujamaliza ma mauaji ya Oct 29, wala yeye hajui hatima yake na ICC, na Gen Z, na EU, au na wanamgambo wowote waliouliwa watoto na wake zao...
  20. Common Folk

    JamiiForums Tanzania M/Kiti Baraza la Wazee DSM: Sisi tunatambua kampeni za uchaguzi na upigaji kura vilienda vizuri sana.

Back
Top Bottom