hapo

High-altitude pulmonary edema (HAPE) is a life-threatening form of non-cardiogenic pulmonary edema (fluid accumulation in the lungs) that occurs in otherwise healthy people at altitudes typically above 2,500 meters (8,200 ft). However, cases have also been reported between 1,500–2,500 metres or 4,900–8,200 feet in more vulnerable subjects.
Classically, HAPE occurs in persons normally living at low altitude who travel to an altitude above 2,500 meters (8,200 feet). Re-entry HAPE is also an entity that has been described in persons who normally live at high altitude but who develop pulmonary edema after returning from a stay at low altitude, this has been called re-entry HAPE. It is severe presentation of altitude sickness.
There are many factors that can make a person more susceptible to developing HAPE, including genetic factors, but detailed understanding is lacking and currently under investigation. HAPE remains the major cause of death related to high-altitude exposure, with a high mortality rate in the absence of adequate emergency treatment.

View More On Wikipedia.org
  1. F

    JamiiForums Tanzania Hii namna mpya ya kuandamana hapo hapo na kiongozi akiwepo jukwaani inaweza kuleta mapinduzi makubwa kwenye siasa za Tanzania

    Tumeona kwenye tamasha la bongo fleva Mlimani City jinsi ambavyo wahudhuriaji walivyokataa mambo wasiyoyataka. Tumeona naibu waziri wa utamaduni akizomewa kwa kutaka kuingiza siasa kwenye burudani. Pia tumeona hayo hayo yakimtokea Dully Sykes kwa kumtaja tu Makonda. Haya yanatufundisha nini...
  2. venchwa

    JamiiForums Tanzania Nawapa tip, mwanamke akikudanganya usiulize tuma pesa tu! Hapo ume mu win

    Kuna wanawake wanajifanyaga wajanja kwamba wanadamganya wanaume kupata pesa kwamba anaumwa au kuna shida we mpe tu pesa anajiweka mwenyewe kwenye kona Yaan huyo utamla sana kuliko ambaye hajakudanganya
  3. papag

    JamiiForums Tanzania Hapo vipi?

    Sasa itakuwaje?
  4. U

    JamiiForums Tanzania wadau kisayansi nini hasa kinasababisha nguo ya ndani kuchafuka sehemu hiyo ?

    wadau karibuni jukwaani
  5. Q

    JamiiForums Tanzania Heche shikilia hapo hapo hadi mwenye spika ajitokeze

    Ukiona adui yako anakusifia jiangalie mara mbili mbili, lkn ukiona vilio vimezidi jua umewashika panapostahili. Hawa unaowasikia ni vispika tu endelea kukaza kamba hadi mwenye spika atokeze pua. Kaza kamba ili watu waendelee kula pesa za wajinga. Atakayejitokeza fyekelea mbali, Tanga fyekelea...
  6. A

    JamiiForums Tanzania Je, kuna uwezekano hapo

    Wakubwa shikamooni, wadogo zangu mambo vipi? Ndugu zangu nimekuja tena baada ya kuingia mtaani kupambania kombe Nakumbuka mara ya mwisho nilipitia msoto mkali sana nikaja humu kwa ushauri na msaada wowote nilimwagiwa matusi hadi nikajichukia ilibaki kidogo nijiondoe kwasababu sikuona thamani...
  7. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Wiki iliyopita niliingia kwenye ofisi moja ya serikali, huyo ofisa aliyekuwa hapo aliponiona akaanza kutabasamu na kunikaribisha kwa bashasha

    Wiki iliyopita niliingia kwenye ofisi moja ya serikali, huyo ofisa aliyekuwa hapo aliponiona akaanza kutabasamu na kunikaribisha kwa bashasha. Nikajua ni uchangamfu tu, nilipoketi ndiyo akaniambia "nakufahamu, huwa nakuona mtandaoni". Badala ya kunihudumia, akaanza kuniuliza, nawezaje kuishi...
  8. Fbn

    JamiiForums Tanzania CCM inaogopa na inawaza siku wakishika nchi CHADEMA ndio mwisho wa wao umeishia hapo

    Tokea kupata uhuru kumekuwa na uchafu mwingi na mambo mengi ambayo si rahisi hawa watu kama msipo kaza buti. Tena wanatakiwa kutolewa kwa nguvu sio maneno ya kubembeleza. Walicho wahi sasa ni kuingiza mpaka jeshi la nchi kuwalinda na idara za polisi na TISS. Tarehee 7 msije shangaa mpaka...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Ataondoka siku ya maandamano au kabla ya hapo, akielekea SERBIA

    Wanadai anakwenda kuzindua mkutano wa uwekezaji kati ya Tanzania na Serbia. Utakaouzindua tarehe 8 Julai, Belgrade, Serbia, saa sita mchana, akiwa na Rais wa Serbia, Alexander Cucic Sekta walizotaja ni madini, kilimo, nishati, utalii, tehama, viwanda, na mabenki na mengineyo...
  10. NYOLODO

    JamiiForums Tanzania Nyolodo Nongwa! Kuna msela flani hivi ndani ya dera hapo jijini kautaka

    Sometimes huwa najiuliza, kwa nn Nature inafeli kufata mkondo wake. Unakutana na jimama au jidada lina mitikasi, identity na personality na kiume kabisa. Kuanzia roho, akili na kiasi cha ujeuri kiko juu sana yani aggresive sio poa. Leo nimejidhatiti kulipandia boti kulifata hukohuko dar mana...
  11. goldcall

    JamiiForums Tanzania Hapa tulipo na hapo ulipo ni kwasababu ya kuicha njia ya kweli

    kichwa cha habari chahusika, tukumbushane kuwa, hapa duniani bila Yesu Kristo na toba ya kweli hatutaweza kushinda, hapa tulipo na hapo ulipo na hapa tulipofika ni kwasababu tumeiacha kweli na kufuata mafundisho ya mashetani, leo hii msomi mzima unaamini miujiza ya maji, mafuta, jiwe na vitambaa...
  12. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Broo/sister uchawi upo, hata DSM watu wanaroga,Mkurugenzi wa fish point Martin KOMBA alilogwa na anae Jenga biashara kama yake hapo hapo.

    Nina Imani wazee wa vijiwe mpooo! JE uliwai fika pale Mbezi beach kijiwe kizuri kabisa kilichojilikana kama FISH POINT? Ni kijiwe Fulani kizuri kilichohasisiwa na kijana mdogo sana aliyejulikana kwa JINA la Martin KOMBA,sijui kama hapo kijiweni alijukana kwa JINA ilo ILA naisi atakuwa...
  13. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Wasomali wamewezaje kuipiga system na kuiba mabilioni na mabilioni ya pesa kwa muda mrefu hapo Minnesota, Marekani?

  14. Wakufoji

    JamiiForums Tanzania Kama uta pata ajali ya kujiunguza au mtu wako wa karibu akiungua mtibu hivi ata pona papo hapo

    Hii ndiyo tiba na huduma ya kwanzaya kuungua iwe na moto au maji au chochote. Ni baada yakupata hiyo ajali hakikisha haugusi kitu chochote cha baridi. Yaani epuka kutumia maji au kitu chochote cha baridi. Baada ya hapo tafuta nguo nzito au shuka zito au hata koti zito ni sawa kishachukua hiyo...
  15. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi limlete David Jumbe akiwa HAI, Mashuhuda wanakiri Gari la Watekaji kuingia Moja ya Nyumba hapo Mbweni wakiwa Naye !!!

    Muache ngonjera za kusema Aliruka na kutokomea akiwa na PINGU. Ukimfunga Mtu Míkono kwa namna yoyote ile, UMEMUONDOLEA BALANCE YA KUKIMBIA , HIVO HAWEZ KUA NA UWEZO WA KUKIMBIA KWA KASI HATA KUWASHINDA MAASKARI UHUNI MLOUFANYA KWA POLEPOLE, KWAKUA HAMNA AKILI, NDIO MNAURUDIA ULEULE
  16. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Ni tukio/kituko gani ambacho alifanya dada yako wa kazi hapo nyumbani hutosahau?

    Salute! Nafahamu kwa sababu mbalimbali watu wengi tunapenda kuishi na dada wa kazi majumbani mwetu Wapo watu wengi ambao wamekutana na Mikasa mbalimbali kutokana na dada hawa wa kazi. Je ,ni kituko gani uliwahi kukutana nacho kutoka kwa dada wa kazi?
  17. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Mapokezi ya Rio Ferdinand hapo Airport ya Dar, yamenipa maswali mengi kuliko majibu

    Watu wamejitokeza kwa wingi lakini wananipa mashaka kama wameenda kwa hiyari yao au wamekusanywa kwa malipo. Rio Ferdinand alishastaafu mpira miaka hiyo. Hakuwa na ushawishi mkubwa sana ukizingatia alikuwa anacheza nafasi ya beki. Sasa kwa nyomi iliyojitokeza imenipa maswali maana hata wengi...
  18. Fbn

    JamiiForums Tanzania Ziara ya rais Trump pamoja kundi lake na hapo hapo Elon musk na mtoto wake.

    Ukifika malekani ukisikia neno mfia nchi au mzalendo basi ni jambo rahisi kuona kila nyumba ikiwa na bendera ya marekani. Nchi zenye kupenda watu wake zinaangalia utaifa na watu wake.Sio huku tanzania Amani labda za wanyama ambao hawa wezi kuuliza. Kuna mda unaweza kusema sisi ambao raia...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Ni kwa familia nyingi au ni chache tu nazozijua yule mtoto aliekuwa hapewi mategemeo makubwa ndie anakuwa tegemezi hapo baadae.

    Huenda walikuwa watundu sana, au wakaonekana wenye kiburi, au wazazi waliwapuuza hata walipokuwa watiifu na wenye heshima. Lakini ukubwani, mambo yanakuwa tofauti, unakuta wanabeba mizigo ya familia kuanzia uchumi hadi usimamizi wa kila jambo.
  20. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania rita hongera kuifanya BSS kuwa east africa wise ila ingefaa ionekane DSTV maana inatazamwa Africa nzima, hapo azam ni watalaam wa etugru uswahilini

    Kura zingepigwa fairly na squarely kutoka kwa wana EA kila mahalai ila hii ya azam kura zitaishia kulimbikizwa kwa wabongo hata kama hawajui.
Back
Top Bottom