mbezi

Mbezi is an administrative ward in the Kinondoni District of the Dar es Salaam Region of Tanzania. According to the 2002 census, the ward has a total population of 32,641.

View More On Wikipedia.org
  1. Sonship

    JamiiForums Tanzania Kiwanja Mbezi Mpigi Magoe -kwa mzungu

    KIWANJA KINAUZWA – MBEZI MPIGI MAGOE (KWA MZUNGU) Unatafuta kiwanja kwenye eneo zuri la makazi au uwekezaji? Hiki ni fursa yako! ✅ Ukubwa: Mita 20 × 20 ✅ Kiwanja kimepimwa ✅ Hati inatolewa moja kwa moja kwa jina la mnunuzi ✅ Kimezungukwa na fensi ya ukuta pande mbili ✅ Maji na umeme...
  2. Sonship

    JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa Mbezi Makabe-kwa Paulo

    KIWANJA KINAUZWA – MBEZI MAKABE (KWA PAULO) 📍 Mita 150 kutoka Barabara Kuu ya Mbezi Makabe, kimepakana na barabara kuu ya mtaa. 📐 Kiwanja kimepimwa Ukubwa: 4,333 m² (Takribani Ekari 1.07) ✅ Eneo Kuu: 3,131 m² ✅ Swamp: 1,202 m² ⭐ Sifa za Kiwanja ✔️ Eneo ni tambarare, halina mabonde wala...
  3. Sonship

    JamiiForums Tanzania BOMA LA VYUMBA 3 LINAUNZWA MILIONI 9 MBEZI LUGURUNI

    🏠 BOMA LINAUZWA – LUGURUNI, UBUNGO 💰 Bei: Milioni 9 tu Maongezi yapo kidogo. ✅ Boma lina vyumba 3 ✅ Ukubwa wa eneo: Mita 12 × 22 ✅ Umeme upo – unashusha waya tu ✅ Maji ya DAWASCO yapo ✅ Eneo zuri na linafikika kirahisi 📍 Lipo Luguruni, Wilaya ya Ubungo. Kutoka standi unaweza kufika kwa miguu...
  4. A

    JamiiForums Tanzania Wafanyakazi wa BCEG Mbezi Beach tunashukuru Mamlaka Kufanyia Kazi Malalamiko yetu

    Siku chache zilizopita tuliwasilisha malalamiko kuhusu changamoto tulizokuwa tunakumbana nazo katika eneo letu la kazi la BCEG Mbezi Beach, ikiwemo madai ya makato ya michango ya NSSF kutowasilishwa pamoja na masuala mengine ya ustawi wa wafanyakazi. Hoja ya awali ~ Waziri wa Ujenzi na RC wa...
  5. Sonship

    JamiiForums Tanzania VIWANJA VINAUZWA MBEZI ST. JOSEPH NA LUGURUNI

    VIWANJA VINAUZWA – MBEZI ST. JOSEPH NA Mbezi LUGURUNI 📌 Ukubwa 20×20 – Bei TSh Milioni 13 📌 Ukubwa 22×33 – Bei TSh Milioni 15 ✅ Viwanja vipo mtaa mzuri kwa makazi ✅ Gari zinafika mpaka kwenye viwanja ✅ Vinamiliki nyaraka halali na dokumenti zote muhimu Kwa maelezo zaidi na kupanga...
  6. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania HOJA Ushauri wangu: Mabasi ya abiria ya mikoani yaishie Mbezi Magufuli

    Sioni haja ya kila kampuni ya mabasi iwe na kituo chake cha kushushia abiria, inatosha wakiishia kituo kikubwa cha mabasi Mbezi Magufuli itasaidia kupunguza msongamano ktk mji na pia stendi ya Magufuli haitopoteza mapato na wafanyabishara watanufaika.
  7. Dalali wa Mjini

    JamiiForums Tanzania Nyumba ya kuishi au kubomoa inauzwa Mbezi njia ya Goba

    Habari maboss Kiwanja chenye nyumba kinauzwa Sqm 300 Docoment serikali ya mtaa Eneo linaangalia barabara ya kwenda mitaani ambayo inapita magari aina yote ispokuwa ya abiria na mizigo mikubwa.Kwa badae Rami itahusika. Kutoka eneo lilipo Hadi BaraBara kuu ya kwenda Goba au Madale kutokea...
  8. Kitomai

    JamiiForums Tanzania NYUMBA YA GHOROFA INAUZWA – MBEZI BEACH

    Je, unatafuta nyumba yenye eneo kubwa na fursa ya kuikamilisha kulingana na mahitaji yako? Hii ndiyo nafasi yako! ✅ Eneo: Mbezi Beach ✅ Ujenzi umekamilika kwa 80% ✅ Ukubwa wa kiwanja: Square mita 1,400 💰 Bei: TSh 600,000,000 (Mazungumzo yapo) Usikose fursa hii ya kupata nyumba katika eneo lenye...
  9. Sonship

    JamiiForums Tanzania Heka 1 inauzwa Mbezi Msakuzi

    HEKA 1 INAUZWA – MBEZI MSAKUZI Eneo zuri lipo sehemu ya center. • Ardhi imenyooka, hakuna bonde. • Inafaa kwa makazi, biashara au uwekezaji. Bei: TSh Milioni 70 tu Wasiliana: 0675 065 906 Wahi sasa kabla halijapata mnunuzi.
  10. B

    JamiiForums Tanzania Natafuta chumba na sebule maeneo ya Mwenge mpaka Mbezi Africana

    Wakuu, natafuta nyumba ya kupanga self-contained kiwe chumba kimoja na sebule. Maeneo ya Mbezi Africana kurudi mpaka Mwenge na Kawe. Isiwe mbali na barabara kuu. Meter ya maji na Luku ya umeme kujitegemea. Itapendeza ikiwa ndani ya geti na yenye sehemu ya kuegesha magari ndani. Budget...
  11. Dalali wa kimataifa

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nyumba inauzwa, ipo Mbezi Msuguri, bei tsh 240m

    GHOROFA INAUZWA MBEZI KWA MSUGURI#### INA HATI YA WIZARA(CLEAN TITTLE DEED)#### INA VYUMBA 4 KULALA VYOTE MASTERS, SEBLE, JIKO, DINNING NA CHOO LUBLIC##### UKUBWA WA KIWANJA SQM 2000*****UMBALI KUTOKA LAMI KM 1### BARABARA NI LAMI#### BEI MILLION 240 MAONGEZI!!!! 🇹🇿Call/WhatsApp...
  12. Sonship

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Viwanja Mbezi mpigi magoe-machimbo

    📢 VIWANJA VINAUZWA – MBEZI MPIGI MAGOE (MACHIMBO) 📢 🔥 Fursa ya kipekee ya kumiliki kiwanja eneo zuri na lenye maendeleo! 🏡 Viwanja vimebaki 7 tu 💰 Bei: Milioni 10 kwa kila kiwanja 📍 Eneo: Mbezi Mpigi Magoe – Machimbo ✨ Sehemu tambarare (flat land) 🚗 Barabara inafika hadi site 📞 Piga simu: 0675...
  13. A

    JamiiForums Tanzania RESOLVED KERO Waziri wa Ujenzi na RC wa Dar tusaidieni Wafanyakazi BCEG Mbezi Beach tunakatwa NSSF lakini hazipelekwi

    Kero yetu sisi wafanyakazi wa Kampuni ya BCEG Construction. Tunaomba Waziri wa Ujenzi au Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam afike kwenye mradi wetu uliopo Mbezi Beach, karibu na Ramada au Whitesands—ni mradi wa waste water treatment. Kuna mambo mengi yanayoendelea hapa ambayo siyo sahihi, na hatuna...
  14. A

    JamiiForums Tanzania KERO Daladala za Mbezi – Makumbusho zinaishia Magomeni, abiria tunateseka

    Tunapata changamoto Magari ya Mbezi To Makumbusho Via Kimara Hayapakii Ruti Ya Makumbusho yanaishia Magomeni Ni Kero Kwa Abiria Wengi Ndani ya Stendi ya Mbezi Luis.
  15. Mstahiki Mea

    JamiiForums Tanzania Mbezi Magufuli kuna gari za kwenda Mbweni Gen Isamuhyo?

    Tunaotaka kwenda kuangalia mpira tunaomba ramani sisi wageni yakufika uwanjani.
  16. P

    JamiiForums Tanzania KERO Hii foleni Mbezi Beach barabara ya chini ni kiboko, hadi bajaji na baiskeli zinakwama!

    Wakuu, ushaona foleni hadi bodaboda inakwama sehemu inabidi isubiri gari zisogee? Sasa huku ni hizo gari chache ambazo zinatoka Mbezi juu, hali ya huko si ndio italuwa balaa? Na hii si asubuhi wala jioni, hakuna afadhali, ukizingatia barabara ni ndogo. Yote haya ni kufanya ujenzi bila plan ya...
  17. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Foleni haitembei kati ya Tegeta na Mbezi Afrikana saa 5 za usiku

    Habari ndiyo hiyo, kama unatarajia kwenda popote, badili njia. Hata bodaboda hazipiti
  18. Sonship

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Viwanja vinauzwa Mbezi Mpigi Magoe na Machimbo

    VIWANJA VINAUZWA MBEZI MPIGI MAGOE MACHIMBO Viwanja vipo 5 Ukubwa sqm 400 kila kimoja Bei mln 10 Kila Kimoja Vipo mbezi Mpigi kituo cha Machimbo Barabara nzuri,sio kwenye korongo 0675 065906
  19. A

    JamiiForums Tanzania KERO Jirani anatupigia kelele na ufundi wake wa makontena Mbezi Salasala

    Kero yangu ni jirani yangu kufanya eneo lake kuwa kiwanda cha kutengeneza nyumba za makontena ambazo zimekuwa kero kubwa sana kwa wakazi wa eneo letu na tumesha jaribu kuwasiliana na uongozi wa mtaa wetu lakini hakuna wanacho tusaidia zaidi ya kupiga danadana. Tunapata kero ya makelele wakati...
  20. A

    JamiiForums Tanzania KERO Barabara ya Mbezi kutokea Mbezi High School hadi Mpiji Magohe ni mbovu sana

    Mnatusaidiaje kupaza sauti jamani kuhusu ujenzi wa barabara ya Mbezi kutokea Mbezi High School hadi Mpiji Magohe, barabara ilikuwa kwenye mpango wa kuanza ujenzi Mwaka 2025 mwezi wa 10 hadi tender waliitangaza. Baadaye wakaitoa, now barabara ni mbaya sana, mashimo kila mahali, kutoka Mpiji hadi...
Back
Top Bottom