Mbezi is an administrative ward in the Kinondoni District of the Dar es Salaam Region of Tanzania. According to the 2002 census, the ward has a total population of 32,641.
KIWANJA KINAUZWA – MBEZI MPIGI MAGOE (KWA MZUNGU)
Unatafuta kiwanja kwenye eneo zuri la makazi au uwekezaji? Hiki ni fursa yako!
✅ Ukubwa: Mita 20 × 20
✅ Kiwanja kimepimwa
✅ Hati inatolewa moja kwa moja kwa jina la mnunuzi
✅ Kimezungukwa na fensi ya ukuta pande mbili
✅ Maji na umeme...
KIWANJA KINAUZWA – MBEZI MAKABE (KWA PAULO)
📍 Mita 150 kutoka Barabara Kuu ya Mbezi Makabe, kimepakana na barabara kuu ya mtaa.
📐 Kiwanja kimepimwa
Ukubwa: 4,333 m² (Takribani Ekari 1.07)
✅ Eneo Kuu: 3,131 m²
✅ Swamp: 1,202 m²
⭐ Sifa za Kiwanja
✔️ Eneo ni tambarare, halina mabonde wala...
🏠 BOMA LINAUZWA – LUGURUNI, UBUNGO
💰 Bei: Milioni 9 tu
Maongezi yapo kidogo.
✅ Boma lina vyumba 3
✅ Ukubwa wa eneo: Mita 12 × 22
✅ Umeme upo – unashusha waya tu
✅ Maji ya DAWASCO yapo
✅ Eneo zuri na linafikika kirahisi
📍 Lipo Luguruni, Wilaya ya Ubungo.
Kutoka standi unaweza kufika kwa miguu...
Siku chache zilizopita tuliwasilisha malalamiko kuhusu changamoto tulizokuwa tunakumbana nazo katika eneo letu la kazi la BCEG Mbezi Beach, ikiwemo madai ya makato ya michango ya NSSF kutowasilishwa pamoja na masuala mengine ya ustawi wa wafanyakazi.
Hoja ya awali ~ Waziri wa Ujenzi na RC wa...
Anonymous
Thread
beach
kazi
malalamiko
mamlaka
mbezimbezi beach
wafanyakazi
VIWANJA VINAUZWA – MBEZI ST. JOSEPH NA Mbezi LUGURUNI
📌 Ukubwa 20×20 – Bei TSh Milioni 13
📌 Ukubwa 22×33 – Bei TSh Milioni 15
✅ Viwanja vipo mtaa mzuri kwa makazi
✅ Gari zinafika mpaka kwenye viwanja
✅ Vinamiliki nyaraka halali na dokumenti zote muhimu
Kwa maelezo zaidi na kupanga...
Sioni haja ya kila kampuni ya mabasi iwe na kituo chake cha kushushia abiria, inatosha wakiishia kituo kikubwa cha mabasi Mbezi Magufuli itasaidia kupunguza msongamano ktk mji na pia stendi ya Magufuli haitopoteza mapato na wafanyabishara watanufaika.
Habari maboss
Kiwanja chenye nyumba kinauzwa
Sqm 300
Docoment serikali ya mtaa
Eneo linaangalia barabara ya kwenda mitaani ambayo inapita magari aina yote ispokuwa ya abiria na mizigo mikubwa.Kwa badae Rami itahusika.
Kutoka eneo lilipo Hadi BaraBara kuu ya kwenda Goba au Madale kutokea...
Je, unatafuta nyumba yenye eneo kubwa na fursa ya kuikamilisha kulingana na mahitaji yako? Hii ndiyo nafasi yako!
✅ Eneo: Mbezi Beach
✅ Ujenzi umekamilika kwa 80%
✅ Ukubwa wa kiwanja: Square mita 1,400
💰 Bei: TSh 600,000,000 (Mazungumzo yapo)
Usikose fursa hii ya kupata nyumba katika eneo lenye...
HEKA 1 INAUZWA – MBEZI MSAKUZI
Eneo zuri lipo sehemu ya center.
• Ardhi imenyooka, hakuna bonde.
• Inafaa kwa makazi, biashara au uwekezaji.
Bei: TSh Milioni 70 tu
Wasiliana:
0675 065 906
Wahi sasa kabla halijapata mnunuzi.
Wakuu, natafuta nyumba ya kupanga self-contained kiwe chumba kimoja na sebule. Maeneo ya Mbezi Africana kurudi mpaka Mwenge na Kawe. Isiwe mbali na barabara kuu. Meter ya maji na Luku ya umeme kujitegemea. Itapendeza ikiwa ndani ya geti na yenye sehemu ya kuegesha magari ndani.
Budget...
GHOROFA INAUZWA MBEZI KWA MSUGURI####
INA HATI YA WIZARA(CLEAN TITTLE DEED)####
INA VYUMBA 4 KULALA VYOTE MASTERS, SEBLE, JIKO, DINNING NA CHOO LUBLIC#####
UKUBWA WA KIWANJA SQM 2000*****UMBALI KUTOKA LAMI KM 1###
BARABARA NI LAMI####
BEI MILLION 240 MAONGEZI!!!!
🇹🇿Call/WhatsApp...
📢 VIWANJA VINAUZWA – MBEZI MPIGI MAGOE (MACHIMBO) 📢
🔥 Fursa ya kipekee ya kumiliki kiwanja eneo zuri na lenye maendeleo!
🏡 Viwanja vimebaki 7 tu
💰 Bei: Milioni 10 kwa kila kiwanja
📍 Eneo: Mbezi Mpigi Magoe – Machimbo
✨ Sehemu tambarare (flat land)
🚗 Barabara inafika hadi site
📞 Piga simu: 0675...
Kero yetu sisi wafanyakazi wa Kampuni ya BCEG Construction. Tunaomba Waziri wa Ujenzi au Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam afike kwenye mradi wetu uliopo Mbezi Beach, karibu na Ramada au Whitesands—ni mradi wa waste water treatment. Kuna mambo mengi yanayoendelea hapa ambayo siyo sahihi, na hatuna...
Anonymous
Thread
beach
dar
haki
mbezimbezi beach
tusaidieni
ujenzi
wafanyakazi
walilia
waziri
waziri wa ujenzi
Tunapata changamoto Magari ya Mbezi To Makumbusho Via Kimara Hayapakii Ruti Ya Makumbusho yanaishia Magomeni Ni Kero Kwa Abiria Wengi Ndani ya Stendi ya Mbezi Luis.
Anonymous
Thread
abiria
daladala
daladala za mbezi
magomeni
makumbusho
mbezi
Wakuu, ushaona foleni hadi bodaboda inakwama sehemu inabidi isubiri gari zisogee?
Sasa huku ni hizo gari chache ambazo zinatoka Mbezi juu, hali ya huko si ndio italuwa balaa? Na hii si asubuhi wala jioni, hakuna afadhali, ukizingatia barabara ni ndogo.
Yote haya ni kufanya ujenzi bila plan ya...
Kero yangu ni jirani yangu kufanya eneo lake kuwa kiwanda cha kutengeneza nyumba za makontena ambazo zimekuwa kero kubwa sana kwa wakazi wa eneo letu na tumesha jaribu kuwasiliana na uongozi wa mtaa wetu lakini hakuna wanacho tusaidia zaidi ya kupiga danadana.
Tunapata kero ya makelele wakati...
Mnatusaidiaje kupaza sauti jamani kuhusu ujenzi wa barabara ya Mbezi kutokea Mbezi High School hadi Mpiji Magohe, barabara ilikuwa kwenye mpango wa kuanza ujenzi Mwaka 2025 mwezi wa 10 hadi tender waliitangaza.
Baadaye wakaitoa, now barabara ni mbaya sana, mashimo kila mahali, kutoka Mpiji hadi...
Anonymous
Thread
barabara
high
high school
mbezi
mbovu
mpiji magohe
sana
school
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.