mbezi

Mbezi is an administrative ward in the Kinondoni District of the Dar es Salaam Region of Tanzania. According to the 2002 census, the ward has a total population of 32,641.

View More On Wikipedia.org
  1. Agent Smith

    JamiiForums Tanzania Mkazi wa Mbezi, Dar es salaam. Natafuta kibarua

    Mimi ni kijana wa kiume naishi Mbezi, magari saba. Natafuta kazi yoyote halali inayofundishika.
  2. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Mnaouiba umeme msako umeanza maeneo ya Kimara na mbezi na huko mwanza ..mjiandae na mawakili

    Cha bure gharama Kama VISHOKA WALIWAUNGA WAKAWADANGANYA TANESCO WAMEANZA MSAKO WA NYUMBA KWA NYUMBA MAENEO TAJWA NA SASA HUKO MWANZA NAKO KUMEKUCHA MJIPANGE WANATEMBEA NA MAPOLISI
  3. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania Beach resort hotel for sale in mbezi beach-whitesand road

    BEACH RESORT HOTEL FOR SALE IN MBEZI BEACH-WHITESAND ROAD ✅60 Rooms all en suite ✅2 Conference Halls ✅Swimming pools 2 ✅Big Restaurant ✅Standby Generator ✅Has more than 60 Employees ✅Plot size Sqms 16,000 ✅Document: Title Deed Price USD $7m negotiable 🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717...
  4. E

    JamiiForums Tanzania Changamoto ya nauli za mabasi ya Mwendokasi na kero ya tiketi zisizo na muunganiko wa ruti (Gerezani - Kimara - Mbezi), DART wafafanua

    Kumekuwa na malalamiko ya watumiaji wa mabasi yaendayo haraka (BRT), kuhusu ukubwa wa nauli za mabasi hayo na kutokuwepo kwa tiketi za muunganisho wa safari. Soma pia: Changamoto ya nauli za mabasi ya Mwendokasi (DART/UDART) na kero ya tiketi zisizo na muunganiko wa ruti (Gerezani - Kimara -...
  5. M

    JamiiForums Tanzania House4Sale NYUMBA INAUZWA MBEZI MAKABE TZS. 23m

    Mbezi mwisho - Makabe - Kwa Lipelanya . Ni nyumba inayohitaji finishing ndogo ili kuingia . Ukubwa wa kiwanja ni mita 17 kwa mita 18 Vyumba vitatu, sebule, dining, store Shimo la choo, setting ya vyoo, setting ya maji na setting ya umeme tayari Imeshapauliwa tayari madirisha na milango ya grill...
  6. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kata ya Mbezi Kijiji - Msufini Kidete, Mkuranga tunalazimishwa kuuza maeneo kwa Wachina kwa bei ndogo

    Mimi ni mmoja wa wamiliki wa maeneo ya viwanja na nyumba yaliyopo Kata ya Mbezi, Kijiji cha Msufini Kidete, Wilaya ya Mkuranga, Mkoa wa Pwani. Maeneo yetu yamekuwa yakihitajika na wawekezaji kutoka China wanaopanga kujenga kiwanda cha kutengeneza nondo. Hata hivyo, kinachotutia wasiwasi ni bei...
  7. Sonship

    JamiiForums Tanzania Eneo la ukubwa wa heka 3 linauzwa Mbezi mwisho

    🏢 ENEO KUBWA LA UWEKEZAJI LINAPATIKANA — MBEZI MWISHO! Mbezi Mwisho, sio mbali na Stand ya Mabasi ya Mbezi Magufuli 🛣️ Linatazama moja kwa moja Barabara Kuu ya Mbezi–Msigani 📐 Ukubwa: Heka 3 ➡️ Sqm 12,300 ENEO BORA KWA UWEKEZAJI WA KIBIASHARA! Eneo hili linafaa kwa miradi mbalimbali...
  8. Yoda

    JamiiForums Tanzania KERO Sheikh alia na hali mbaya ya vyoo Mbezi Magufuli stendi

    Ujumbe nitakaoutuma, naomba huu ujumbe ufike, niombi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam. Mimi nimeingia leo kutoka safari, tumefikishwa Mbezi... waitwaje ile stendi mpya? Mbezi Magufuli. Ningeomba Mkuu wa Mkoa au yule aliyeweka lile jambo, enda katembelee ile sehemu. Je, yastahili kuwapeleka watu...
  9. A

    JamiiForums Tanzania KERO Changamoto ya nauli za mabasi ya Mwendokasi (DART/UDART) na kero ya tiketi zisizo na muunganiko wa ruti (Gerezani - Kimara - Mbezi)

    Habari zenu Wana-Jukwaa, Naandika uzi huu kuwasilisha kero inayowakabili wananchi na wasafiri wa kila siku wanaotumia Mabasi ya Mwendokasi (DART) katika korido ya Morogoro Road, kuanzia Kivukoni, Gerezani, Kimara hadi Mbezi. Tunatambua mchango mkubwa wa usafiri wa mwendokasi katika kupunguza...
  10. BigTall

    JamiiForums Tanzania Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo: Ushuru wa Bajaj Mbezi Stendi ni Tsh. 500 inayoshusha abiria na Tsh. 2,000 kwa siku

    TAARIFA KWA UMMA UFAFANUZI WA USHURU WA BAJAJI KATIKA KITUO CHA MABASI CHA MAGUFULI Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo inapenda kutoa ufafanuzi kwa umma kwamba viwango vya ushuru vinavyotozwa kwa bajaji katika Kituo cha Mabasi cha Magufuli vinatofautiana kulingana na aina ya huduma inayofanyika...
  11. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania *PRIME 3RD BEACH PLOT FOR SALE* 🌴🌊 📍 Location: Mbezi Beach, Kidimbwi 📏 Plot Size: 2,509 SQM ✅Fenced: with Planted Palm Trees ✅Title Deed:

    PRIME 3RD BEACH PLOT FOR SALE 🌴🌊 📍 Location: Mbezi Beach, Kidimbwi 📏 Plot Size: 2,509 SQM ✅Fenced: with Planted Palm Trees ✅Title Deed: Ready ✅Suitable for: Apartments, Villa, Residence & More Price: TZS 1.9 Billion - Negotiable 🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717 #viral #video...
  12. BigTall

    JamiiForums Tanzania KERO Hali ya fukwe za Bahari Mbezi Beach (Jangwani) haziridhishi; Tutaenda na hali hii AFCON?

    Kwa takribani siku tatu nilikuwa kikazi kwenye hoteli moja iliyopo Mbezi Beach. Jumapili, Agosti 16, 2026, kabla ya kumaliza siku zangu za kuwepo hapo, nilijipa muda wa kutembelea fukwe za bahari za Mbezi Beach, upande wa chini wa mitaa ya Jangwani. Nilikuwa sijafika maeneo hayo kwa takribani...
  13. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kuna upigaji katika choo cha stendi kuu mbezi.

    Unapofika Stendi ya Mbezi na kuhitaji huduma ya choo kwenye ghorofa ya kwanza, unatozwa Sh300 bila kupewa risiti. Hata hivyo, ukienda ghorofani kwenye waiting lounge, unatozwa Sh200 na unapewa risiti. Hali hii inazua maswali kuhusu uhalali wa tozo ya Sh300 na matumizi ya mapato hayo. Ikiwa tozo...
  14. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania Wezi, Matapeli na Vishoka Stendi Mbezi Loius Wachekelea

    Kufungwa rasmi na milele kwa stendi zilizokuwa shekilango, Lumumba na mnazi mmoja imekuwa kicheko kwa matapeli, wezi, vibaka , wabakaji na waganga wa kienyeji waliokuwa wamekosa kazi: MADALALI: Ukishuka tu stendi pale , una mizigo, walet mfukoni na mabegi unavamiwa na vijana , MMOJA ANA TIKETI...
  15. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Nakupongeza RC Chalamila kurudisha mabasi ya mkoani Mbezi Magufuli, bado hili la malori!

    1. Nianze hii sledi pendwa kwa kukupongeza RC Chalamila kwa hatua ya kurejesha mabasi ya mikoani katika eneo la Mbezi Magufuli. Ni hatua nzuri katika kupunguza msongamano na usumbufu kwa wakazi wa Dar es Salaam. 2. Sasa tuangalie tatizo jingine kubwa: malori na ICDs zilizo ndani ya jiji. 3...
  16. BOB LUSE

    JamiiForums Tanzania Responded HOJA Tuanze na Malori, yaishie Pwani kwenye Dry port , badala ya kupambana na wenye mabasi, kwenda Mbezi!

    Mabasi yapo Maeneo Mengi ya Dar kwenye ofisi zao Binafsi ili kuturahishia Maisha.sio chanzo cha Foleni! Shida ni Yard na Maloli kila kona, Mkuu wa Mkoa aelekeze nguvu zake kwenye Malori na Dry Port zinazooteshwe kila kukichq! Walitengewa eneo lao Pwani, kwanini waendelee kusumbua maisha ya watu...
  17. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania Nyumba inauzwa, ipo Mbezi Beach Ramada. Bei ni Dola milioni 1.3

    Nyumba Ya Gorofa 4 bedroom all ensuite Swimming pools, GymSolar Servants quarter CCTV Camera Electrical Fence Plot area 1,800 sqm With clean title deed Hati safi ya wizara Asking Price USD 1.3M Call/WhatsApp +255758844717
  18. Mpepetaji

    JamiiForums Tanzania Kituo cha Afya Mbezi kiboreshe huduma, kuna kompyuta moja tu, huduma zipo slow sana

    Mimi ni mdau wa afya ila kitu kinanikwaza kutoka Kituo cha Afya Mbezi, kituo hakina kompyuta za kutosha, vyumba vitatu vya madaktari chenye kompyuta nzima ni kimoja tu. Tupo hapa tumelundikana kusubiri huduma uongozi hata hautoi mwafaka wanapitapita tu, kuna daktari mmoja, wengine wanazunguka...
  19. A

    JamiiForums Tanzania KERO Mwendokasi wana-charge nauli ya Tsh 2,000 kutoka Mbezi to Mjini. Magari yote yanatumia gas ambayo ni nishati nafuu

    Wasafiri wanaotumia huduma ya Mwendokasi kutoka Mbezi kwenda mjini wameeleza kusikitishwa na kiwango cha nauli kinachotozwa, ambacho ni Shilingi 2,000 kwa safari moja. Wananchi wanasema hali hiyo imekuwa kero kubwa, hasa kwa kuzingatia kuwa mabasi hayo yanatumia gesi (GAS), ambayo ni nishati...
  20. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kituo cha Daladala "Kwa Yusuph" Mbezi Mwisho kutumika kama Kituo cha Malori, si salama

    Hapa ni kwa Kituo cha Daladala cha "Kwa Yusuph" kilichopo Mbezi (Morogoro Road) kwa sasa kimegeuka kuwa stendi ya magari makubwa (malori) yanayosimama kwa ajili ya kupakia abiria pamoja na gari ndogo zinazosafirishwa kwenda mikoan na nchi jiran, (IT) bila kusahau mabas kwa nyakari za usiku. Hii...
Back
Top Bottom