maji

  1. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Kwa matamko ya waziri wa ndani ni rasmi Tanzania imekwenda na maji. Tupo kwenye utawala wa kijeshi.

    Haiwezekani mtanzania kupata huduma ya kulala kwenye nyumba ya wageni lazima awe na NIDA tofauti na hapo inahesabika mhalifu. Haiwezekani mikutano ya kisiasa inazuiliwa tena na waziri wa mambo ya ndani bila kutoa sababu za msingi. Tangazeni hali ya hatari ili tujue tunabanana vipi maana maisha...
  2. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kero Ya Maji kwa Wakazi wa TABATA

    Kwa Takrabani mwaka sasa wakazi wa Tabata Tumekua katika Mgao wa Maji kwa siku Tatu ndani ya wiki Jumanne, Jumatano na Alhamisi. Lakini kwa muda mrefu ratiba zimekua hazifuatwi na mara Nyingi maji yakitolewa kuanzia saa 6 Usiku na kukatika baadha ya masaa machache. hii uladhimu kina mama na...
  3. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania Pastor anusulika kufa maji baada ya kutaka kuigawanya bahari kama alivyofanya Nabii Musa

    Ndugu zangu katika imani kama hauna upako na kibali cha Mungu husithubutu utakufa maji.
  4. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Umuhimu wa kumwagia maji sehemu iliyojengwa na cement ua zege

    Faida za Kufanya Curing kwenye Ujenzi (Hasa Saruji/Concrete) Curing ni mchakato wa kudumisha unyevu, joto na muda unaofaa ili saruji iweze kuwa na nguvu kamili baada ya kumwaga. Ni hatua muhimu sana katika ujenzi wa zege (concrete). Haya ndiyo faida kuu za kufanya curing vizuri: ### 1...
  5. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Tanzania, Ujerumani Wasaini Mkataba wa Bilioni 60.7 Kuboresha Huduma za Maji Tunduma na Vwawa-Mlowo

    Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesaini mkataba wa msaada wa Euro milioni 20 sawa na shilingi za Tanzania bilioni 60.7 kutoka Serikali ya Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani kupitia Benki ya Maendeleo ya Ujerumani (KfW) kwa ajili ya kufadhili mradi wa Uboreshaji wa Huduma za...
  6. A

    JamiiForums Tanzania Responded Wakazi wa Kimara King'ongo tumekuwa tukiteseka kwa kukosa huduma ya maji

    Wakazi wa Kimara King'ongo tumekuwa tukiteseka kwa kukosa huduma ya maji. Tangu maji yalipotoka Juni Mosi baada ya kulalamika Makao Makuu, hayajatoka tena. Hili si jambo la kwanza kutokea. Mara nyingi hatupati maji hadi tupige simu na kulalamika, kana kwamba huduma hiyo ni ya bure. Cha...
  7. B

    JamiiForums Tanzania KERO Tatizo la uhaba wa maji Dar

    Kuna uhaba mkubwa sana wa Maji maeneo ya Kwa Msuguri, Dar. Ni zaidi ya wiki tatu Sasa maji hayatoki na bili zinaletwa. Watu tunanunua maji Kwa gharama kubwa. Au ni mbinu ya DAWASA ili watu wafanye biashara ya maji? Uhaba wa Maji huku ni zaidi ya Mwanza AWESO.
  8. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Aweso chunguza 'Bodi za Maji za Mabonde', hasa ile ya Ziwa Victoria. Wachache wanajineemesha kwa kigezo "Wapo karibu na Waziri"

    Hellow JamiiForums team, nimeona hiyo post ya Mamlaka ya Maji Igunga, nami nina jambo la kumshauri Waziri Aweso, asiishie hapo tu, pia kuna hizi Bodi za Maji za Mabonde, na zenyewe zichunguzwe sana tena sana. Mipango kazi haitekekezwi na kama kutekelezwa ni kidogo sana, fedha zinatafunwa...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Je, mabomba ya maji safi yanayopita mitaroni hayahatarishi afya ya wananchi, hasa ikitokea yamepasuka mtaroni? Wataalamu watuelimishe

    Katika maeneo mbalimbali nchini, hususan kwenye miji mikubwa kama Dar es Salaam, Dodoma, Mwanza na mingineyo, ni jambo la kawaida kuona mabomba ya kusambaza maji safi yakipita ndani au pembeni mwa mitaro ya kupitisha maji machafu. Hali hii imekuwa ikinifanya niwe na maswali mengi ambayo naamini...
  10. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania KERO DAWASA kwanini mmeshindwa kutoa majibu kwa Wakazi wa Mbezi Beach maji ya bomba kutoka machafu kwa muda sasa

    DAWASA leo katika mkutano na waandishi wa habari mmeulizwa kuhusu tatizo la kutoka maji ya bomba yakiwa machafu kwa baadhi ya wakazi wa Mbezi Beach, jijini Dar es Salaam. Hii inamaanisha nini kwa sisi wakazi wa maeneo haya? Maji ya bomba ni machafu yanayotoka katika maeneo yetu yanazidi...
  11. UTPC

    JamiiForums Tanzania Dkt. Kevin Mvasha: Wananchi wanaotumia maji kutoka katika vyanzo visivyo salama wayachemshe au watumie vidonge vya kusafisha maji

    Hofu ya Kiafya Inayozidi Kutokana na Maji Yasiyo Salama Wakati mradi wa maji wa Shilingi bilioni 4, Kata ya Mkwajuni, Wilayani Songwe ukisubiriwa kwa hamu kubwa kuanza kufanya kazi, hofu ya kiafya inazidi kuongezeka miongoni mwa wananchi wa Kata hiyo. Wananchi wanabainisha kuwa maji...
  12. UTPC

    JamiiForums Tanzania Adha ya maji Mkwajuni Mkoani Songwe: Mahitaji ni lita Milioni 4.36 kwa siku, uzalishaji ni Lita laki 8 - Milioni 1 kwa Siku

    Utangulizi: Safari ya Alfajiri na Ndoto ya Maji Safi Kila alfajiri mkoani Songwe, mamia ya wanawake katika Kata ya Mkwajuni, Wilayani Songwe huanza safari ndefu na yenye hatari kubwa. Hii si safari ya burudani wala hiari, bali ni mapambano ya lazima ya kusaka nishati ya uhai maji safi na salama...
  13. D

    JamiiForums Tanzania Golani Maji Ni Mwa Mwa Mwaaa

    Wakazi wa Mtaa wa Golani, Kata ya Kimara, Wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam wameishukuru Serikali kupitia Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) baada ya kukamilika kwa mradi wa ujenzi wa kituo cha kusukuma maji (Booster Pump), ambao umeondoa changamoto ya...
  14. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wakazi wa Buswelu Nyamadoke, Mtaa wa Ibinza Msikiti wa chini hatuna mtandao wa mabomba ya maji

    Sisi wakazi wa Buswelu Nyamadoke, eneo la Ibinza Msikiti wa Chini, Wilaya ya Ilemela Mkoa wa Mwanza, tunaomba Serikali na mamlaka husika kutusaidia kutufikishia mtandao wa mabomba ya maji ili nasi tuweze kuunganishiwa huduma ya maji safi na salama. Kwa sasa, eneo letu halina mtandao wa mabomba...
  15. E

    JamiiForums Tanzania Huduma ya visima vya Maji

    Habai JFM, Ile huduma adhimu ya uchimbaji wa visima bado inaendelea, faida ya kufanya kazi nasi ni hizi; ✔️ Survey bure ✔️ Kufunga pump ya maji bure ✔️ Finishing plumbing fitting bure ✔️ Kufwatilia vibali bure Kazi ya uwakika popote ulipo bara na visiwani at easy, fast & affordable. Call,sms...
  16. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Tanesco Idara ya Maji vipi mnamuhujumu Rais ?

    Kuna kelele za maji na Umeme kila kona tatizo ni nini?
  17. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wananchi wa Pasiansi jijini Mwanza hatuna maji wiki mbili sasa na hakuna taarifa yoyote imetolewa

    Wananchi wa eneo la Pasiansi jijini Mwanza wamekumbwa na ukosefu wa huduma ya maji kwa takribani wiki mbili sasa, hali inayosababisha usumbufu mkubwa katika shughuli zao za kila siku. Kinachozua malalamiko zaidi ni kwamba mamlaka husika hazikutoa taarifa yoyote kwa wananchi kabla ya huduma hiyo...
  18. KENZY

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kweli kuwaelewa wanawake ni ngumu, wanachanganya sana!

    Nimefanya tafiti nimegundua mwanamke anaweza ku squirt (katerero) na asifike kileleni!, na anaweza asi squirt na akafika kileleni!!. Kiufupi ku squirt ni jambo tofauti nakufika kileleni!, na kufika kileleni ni jambo tofauti na ku squirt!.. japokuwa haya mambo mawili yanaweza kutokea kwa wakati...
  19. A

    JamiiForums Tanzania KERO Ombi la kuomba msaada wa huduma ya maji mtaani terrynite street, Segerea Magereza

    OMBI LA KUOMBA MSAADA WA HUDUMA YA MAJI MTAANI TERRYNITE STREET, SEGEREA MAGEREZA. Sisi wakazi wa Mtaa wa Terrynite Street, Segerea Magereza, tunapenda kuwasilisha malalamiko yetu kuhusu upatikanaji wa maji. Tatizo: Kwa muda mrefu tumekuwa tukipata maji mara moja tu kwa wiki, siku ya Alhamisi...
  20. J

    JamiiForums Tanzania KERO Wakazi Kimara Temboni (Mtakuja) tuna changamoto ya upatikanaji wa Maji. Yapata wiki ya tatu sasa hatuna maji

    Wakazi wa Eneo la Kimara Temboni mtakuja Tunapata shida ya Maji yapata sasa ni week ya tatu Maji hatuna .Ratiba ilikuwa kila jumamosi tena wanatoa Maji kuanzia saa kumi usiku na ikifika saa kumi na mbili maji yanakatika . Watu wanateseka sana. Tunaomba mamlaka husika itufikirie sisi wakazi wa...
Back
Top Bottom